Mambo ambayo biblia, Yesu, quran, Allah na Mohamed walidaganya wafuasi wao

Kuna jamaa aliupasua mwezi vipande vipande ukadondoka nyuma ya mlima huko
 
Kilanunachoandika kuhusu Qur'an au mafundisho ya Kiislam weka na ushahidi wa ulipoyatowa kwenye Qur'an ili tukuelimishe, bila hivyo itabaki kuwa ni uongo wako tu.
 
Kwa hiyo bichwa lako la habari lilikuwa ni uongo tu. Utumbo wako wa habari umeketa mambo ya Kiislam usiyoyajuwa.

Wewe ni muongo na mbabaishaji na unajaribu kucheza na maneno.

kama nia yako ilikuwa Kuuongelea Uislam ulikuwa hauna sababu ya kujidanganya.

Uislam ndiyo dini pekee ambayo ipo wazi kwa challenges wakati wowote.

Qur'an yenyewe imeweka opewn challenges za kutosha tu.
 
Tuwekee ushahidi, wacha uongo.

Utafananisha Qur'an na porojo za mtu kupigana mieleka na Mungu akamminya nini sijuwi katikati ya mapaja?
 
Hakuna mbingu kwenye Uislam.

Neno lililotumika ni "samaawat", maana yake ni "elevations" za uelewa. Sifahamu mtafsiri hilo neno "mbingu" alilitowa wapi.
Mbingu inaitwaje kwenye quran?
 
Hakuna mbingu kwenye Uislam.

Neno lililotumika ni "samaawat", maana yake ni "elevations" za uelewa. Sifahamu mtafsiri hilo neno "mbingu" alilitowa wapi.
Mbingu inaitwaje kwenye quran?
 
Tueleze kuwa mtume alienda mbingu ya 7 na hakuweza ona kuwa dunia ni duara... Pia amesema kuwa jua na mwezi ipo mbingu ya kwanza [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuswali kwenye temple la Suleiman bali aliswali kwenye masjid aqsa
 
Qur an nyingine ziko wap
 
Hii tafsiri duniani unayo wewe... Tuambie hizo mbingu saba zipo wapi maana mtume alizielezea vizuri tuu na kusema jua na mwezi na nyota zipo mbingu ya kwanza [emoji23][emoji23]
 
Tena unatakiwa kujua Mtume Muhammad (s.a.w) ndio mtu wa kwanza kufanya Time travel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…