Mambo ambayo biblia, Yesu, quran, Allah na Mohamed walidaganya wafuasi wao

To my definition

" Science is the imitation of God's creation".

Iko hivyo.
 
Mimi nakwambia Mungu hawezi (hatakiwi) kutuma ujumbe kupitia Biblia halafu wewe unaanza kunijibu kwa kuniambia "Ujumbe wa Mungu kupitia Biblia ni...".

Wewe hata somo ninalokupa unalielewa?
 
Pamoja Mkuu,

Nadhani wangekuwa wanawasoma walau baadhi ya Wanazuoni,
Maswali ya kuchosha na ya ubishi hapa Jf yangepungua!
 
Hii
Hii Article ya bwan
Hii Article ya bwana Joseph c.sommers,imetulia Sana na imeshiba.

Upande wa Biblia (Old & new testament) Imemaliza kazi.


Thanks,
 
Hii

Hii Article ya bwan

Hii Article ya bwana Joseph c.sommers,imetulia Sana na imeshiba.

Upande wa Biblia (Old & new testament) Imemaliza kazi.


Thanks,
Naam,

Mara nyingine huwa nafikiri sana.

Naweka vitu vizito kama hivi, halafu watu sijui hawaelewi, sijui hawajui Kiingereza, sijui wana ajizo ya kusoma, wanakuwa kama hawajaona kitu.

Naona kama watu hawa appreciate uzoto wa haya maandiko.

Halafu naadaye anatokea mtu kama wewe anayeoneoana kielewa na ku make all the effort worth it.
 
Hujielewi.

Mara useme Yesu hayupo mara useme Yesu muongo.
 
Huu ndio ukweli halisi wa hiyo Dini.
Na sielewi kwanini wanajifanya kutokuwa na habari nayo.
Ni kukwepa fedheha.

Soma
وَمَن يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَن يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ

[ AL I'MRAN - 85 ]
Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri.

"Haitakubalika kwake" Allah Mtume na Umat Muhammadi, asiye kuwa Mwislamu.
 
"Hali ya ulinzi na usalama ndani ya nchi ni shwari licha ya uwepo wa matishio ya kiusalama hasa la tishio la kigaidi na itikadi kali, wanamtandao wa kigaidi wamekuwa wakiwasafirisha vijana wetu wenye umri wa kati ya miaka 15 na 35 kwenda kujiunga na vikundi vya kigaidi hususani katika nchi za DRC, Msumbiji na Somalia hali inayoonesha ukuaji wa tatizo hilo hapa nchini," - Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Jacob Mkunda

#MkutanoCDFNaMakanda
#EastAfricaTV
 
Utakuwa hujasikia wewe. Habari ya wana wa Israel kutumia miaka 40 kutoka Misiri, umbari usiofika hata km 1000😅
 
Maandiko karibu yote ndani ya Biblia ni Legends na sio historical facts

Chance ya kuwa Musa, Yesu kama anavosemwa kwenye Biblia na Muhammad hawakuwahi kuwepo ni 80%.

Maandiko ya Kwanza ya Musa yaliandikwa Kati ya miaka 500-700 baada ya Muda ambao inasemekana Musa aliishi na hakuna mabaki ya mifupa yake.

Maandiko au Biography ya Kwanza ya Yesu iliandikwa Miaka 30 baada ya mwaka inaosemekana alipaa mbinguni.

Yesu Ndio mtu pekee Kati ya hawa watatu Maisha yake yaliandikwa na waliomuona, Hakuna mifupa ya mwili wake.

Muhammad Biography yake ya kwanza iliandikwa msimulia Hadithi anaitwa Al-Bukhari huyu sasa yeye aliishi Miaka 170-200 baada ya mtume kufariki tena cha ajabu alikuwa anatoka Uzibekistan zaidi ya KM 1000 alipokaa mtume, baada ya huyu kuandika kitabu chake kilipitia uhariri ambao jumla unafanya Miaka karibu 300 tangu afe kuwa na Historia ya Maisha yake tunayoyajua Leo.

Kingine mtume hakuacha mrithi wa utawala wake, hii ni prove kuwa huyo mtu hakuwa halisi Watu wachache waliotunga Hadithi zake waligeukana wakati Fulani na kila mmoja kuwa na mtazamo wake
 
hyo Quran Mpya Labda, Hakuna Sehemu Muhammad Kasema Mtu Akihoji Auwawe,quran Inasema Muhammad Alinganie Na Akumbushe Tu Na Sio Kulazimisha Mtu Aamini, Wala Quran Haijasema Muwalazimishe Wawe Waislam Hyo Ni Dhambi.Kama Hujui Kitu Kaa Kimya.Hakuna Utoto Kwenye Quran Kama Stor Za Biblia Za Mungu Kupigwa Na Yakobo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…