MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Usioe mwanamke maskini aliyefulia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SikupingiUsioe mwanamke maskini aliyefulia.
Umeamua Uweke na reference kabisa 😂😂😂😂
Umeamua Uweke na reference kabisa 😂😂😂😂
It will end in tearsKwangu mke wangu ndio Kila kitu huniambii kitu, hao marafikii ukiumwa unajinyea hutaawaona ila mama watoto atanipambania.What matter is the choice of the type of wife....
Namshukru Mungu kuniletea wakuendana namimi,nikimtisha anatishika na anatii bila shurti hiki ndicho kinanifanya nijione Nipo mikono salama na ninampenda hatarii sipendi hata nnzii wamdondokee watamuumiza❤️❤️
Pole na hongeraNipo mikono salama na ninampenda hatarii sipendi hata nnzii wamdondokee watamuumiza❤️❤️
Umesema vyemaIt will end in tears
It will end in tears
Namba 2 umenisanua, nilikuwa nafikiria hili nalitatua vp.1. Usimsomeshe, hiyo ni kazi ya mzazi wake
2. Usimuanzishie biashara, bali anzisha biashara na umwajiri
3. Usifanye uhalifu au deal yoyote illegal ili umridhishe mwanamke kwa kibunda
4. Usiweke mahitaji na matakwa yake kabla ya yako. Jitangulize na jipende wewe kwanza.
5. Usiitelekeze familia yako na marafiki zako kwa ajili ya mwanamke
6. Usiache kufikia malengo yako kwa sababu tu ya mwanamke.
Learn or perish
Kwani ukifuata maelekezo ya muamzisha uzi inamaanisha humpendi mkeo?Kwangu mke wangu ndio Kila kitu huniambii kitu, hao marafikii ukiumwa unajinyea hutaawaona ila mama watoto atanipambania.What matter is the choice of the type of wife....
Namshukru Mungu kuniletea wakuendana namimi,nikimtisha anatishika na anatii bila shurti hiki ndicho kinanifanya nijione Nipo mikono salama na ninampenda hatarii sipendi hata nnzii wamdondokee watamuumiza❤️❤️
NI SUALA LA MUDA TU[emoji1545].Kwangu mke wangu ndio Kila kitu huniambii kitu, hao marafikii ukiumwa unajinyea hutaawaona ila mama watoto atanipambania.What matter is the choice of the type of wife....
Namshukru Mungu kuniletea wakuendana namimi,nikimtisha anatishika na anatii bila shurti hiki ndicho kinanifanya nijione Nipo mikono salama na ninampenda hatarii sipendi hata nnzii wamdondokee watamuumiza[emoji3590][emoji3590]
NI SUALA LA MUDA TU[emoji1545].
NIMEKAA PALEE [emoji1542][emoji1542]
Tuishi humoNamba 2 umenisanua, nilikuwa nafikiria hili nalitatua vp.
Hiyo namba 5 mkishakuwa na watoto ndo unaingizwa chaka bila kutaka.1. Usimsomeshe, hiyo ni kazi ya mzazi wake
2. Usimuanzishie biashara, bali anzisha biashara na umwajiri
3. Usifanye uhalifu au deal yoyote illegal ili umridhishe mwanamke kwa kibunda
4. Usiweke mahitaji na matakwa yake kabla ya yako. Jitangulize na jipende wewe kwanza.
5. Usiitelekeze familia yako na marafiki zako kwa ajili ya mwanamke
6. Usiache kufikia malengo yako kwa sababu tu ya mwanamke.
Learn or perish
Niombee Dua,acha uchawi bosii🤣🤣NI SUALA LA MUDA TU[emoji1545].
NIMEKAA PALEE [emoji1542][emoji1542]
Niombee Dua,acha uchawi bosii🤣🤣
It's a matter of time we mpumbavu!Kwangu mke wangu ndio Kila kitu huniambii kitu, hao marafikii ukiumwa unajinyea hutaawaona ila mama watoto atanipambania.What matter is the choice of the type of wife....
Namshukru Mungu kuniletea wakuendana namimi,nikimtisha anatishika na anatii bila shurti hiki ndicho kinanifanya nijione Nipo mikono salama na ninampenda hatarii sipendi hata nnzii wamdondokee watamuumiza❤️❤️