Mambo ambayo mwanaume haupaswi kumfanyia mwanamke

Mambo ambayo mwanaume haupaswi kumfanyia mwanamke

Kwangu mke wangu ndio Kila kitu huniambii kitu, hao marafikii ukiumwa unajinyea hutaawaona ila mama watoto atanipambania.What matter is the choice of the type of wife....

Namshukru Mungu kuniletea wakuendana namimi,nikimtisha anatishika na anatii bila shurti hiki ndicho kinanifanya nijione Nipo mikono salama na ninampenda hatarii sipendi hata nnzii wamdondokee watamuumiza❤️❤️
 
Kwangu mke wangu ndio Kila kitu huniambii kitu, hao marafikii ukiumwa unajinyea hutaawaona ila mama watoto atanipambania.What matter is the choice of the type of wife....

Namshukru Mungu kuniletea wakuendana namimi,nikimtisha anatishika na anatii bila shurti hiki ndicho kinanifanya nijione Nipo mikono salama na ninampenda hatarii sipendi hata nnzii wamdondokee watamuumiza❤️❤️
It will end in tears
 
1. Usimsomeshe, hiyo ni kazi ya mzazi wake

2. Usimuanzishie biashara, bali anzisha biashara na umwajiri

3. Usifanye uhalifu au deal yoyote illegal ili umridhishe mwanamke kwa kibunda

4. Usiweke mahitaji na matakwa yake kabla ya yako. Jitangulize na jipende wewe kwanza.

5. Usiitelekeze familia yako na marafiki zako kwa ajili ya mwanamke

6. Usiache kufikia malengo yako kwa sababu tu ya mwanamke.

Learn or perish
Namba 2 umenisanua, nilikuwa nafikiria hili nalitatua vp.
 
Kwangu mke wangu ndio Kila kitu huniambii kitu, hao marafikii ukiumwa unajinyea hutaawaona ila mama watoto atanipambania.What matter is the choice of the type of wife....

Namshukru Mungu kuniletea wakuendana namimi,nikimtisha anatishika na anatii bila shurti hiki ndicho kinanifanya nijione Nipo mikono salama na ninampenda hatarii sipendi hata nnzii wamdondokee watamuumiza❤️❤️
Kwani ukifuata maelekezo ya muamzisha uzi inamaanisha humpendi mkeo?
 
Kwangu mke wangu ndio Kila kitu huniambii kitu, hao marafikii ukiumwa unajinyea hutaawaona ila mama watoto atanipambania.What matter is the choice of the type of wife....

Namshukru Mungu kuniletea wakuendana namimi,nikimtisha anatishika na anatii bila shurti hiki ndicho kinanifanya nijione Nipo mikono salama na ninampenda hatarii sipendi hata nnzii wamdondokee watamuumiza[emoji3590][emoji3590]
NI SUALA LA MUDA TU[emoji1545].

NIMEKAA PALEE [emoji1542][emoji1542]
 
1. Usimsomeshe, hiyo ni kazi ya mzazi wake

2. Usimuanzishie biashara, bali anzisha biashara na umwajiri

3. Usifanye uhalifu au deal yoyote illegal ili umridhishe mwanamke kwa kibunda

4. Usiweke mahitaji na matakwa yake kabla ya yako. Jitangulize na jipende wewe kwanza.

5. Usiitelekeze familia yako na marafiki zako kwa ajili ya mwanamke

6. Usiache kufikia malengo yako kwa sababu tu ya mwanamke.

Learn or perish
Hiyo namba 5 mkishakuwa na watoto ndo unaingizwa chaka bila kutaka.
 
Kwangu mke wangu ndio Kila kitu huniambii kitu, hao marafikii ukiumwa unajinyea hutaawaona ila mama watoto atanipambania.What matter is the choice of the type of wife....

Namshukru Mungu kuniletea wakuendana namimi,nikimtisha anatishika na anatii bila shurti hiki ndicho kinanifanya nijione Nipo mikono salama na ninampenda hatarii sipendi hata nnzii wamdondokee watamuumiza❤️❤️
It's a matter of time we mpumbavu!

Unakajua kale kaboda anapenda kukatuma muda wote na kukasifia kwako?! Ndo kanakulambia asali yako sasa kama hujui
 
Back
Top Bottom