Mambo ambayo mwanaume haupaswi kumfanyia mwanamke

Mambo ambayo mwanaume haupaswi kumfanyia mwanamke

Namba 2 umenisanua, nilikuwa nafikiria hili nalitatua vp.
Bin laden suluhu ni rahisi tu... Mlipue watoto kama wanne na ushehe hivi! Ndo umfungulie, hatoboi! Atakaa tu nyumbani. Madogo watashika usukani... Na uwahusie "mkizingua hapa shauri yenu!"

Hapo tutakuwa tumemaliza game! 👍
 
We shoga Tulia yakikushinda wew usiyalazimishe,akitoka nakugonga wew.
Unamuita mwanaume mwenzio aliyekuzidi almost kila kitu "SHOGA" kwa sababu kakushauri?! Tena utanigonga au sio?! 😊😊😊

Hujielewi mdogo wangu... Kabila gani wewe?! Mbona mshamba namna hiyo?! Unathubutu kujianika mbele ya wanaume wenzako ambao hata wanaweza wakawa wamekuzidi almost kila kitu, tena mpaka uwezo tu wa kufikiri mambo madogo tu yasiyohitaji nguvu kubwa wala nini.... Eti unamuamini Na kumsifia mwanamke. Una hasara mdogo wangu.
 
Mi mmeo sio mdogo wako kua na Adabu, Acha shobo.
Unamuita mwanaume mwenzio aliyekuzidi almost kila kitu "SHOGA" kwa sababu kakushauri?! Tena utanigonga au sio?! 😊😊😊

Hujielewi mdogo wangu... Kabila gani wewe?! Mbona mshamba namna hiyo?! Unathubutu kujianika mbele ya wanaume wenzako ambao hata wanaweza wakawa wamekuzidi almost kila kitu, tena mpaka uwezo tu wa kufikiri mambo madogo tu yasiyohitaji nguvu kubwa wala nini.... Eti unamuamini Na kumsifia mwanamke. Una hasara mdogo wangu.
 
Mi mmeo sio mdogo wako kua na Adabu, Acha shobo.
Unamuita mwanaume mwenzio aliyekuzidi almost kila kitu "SHOGA" kwa sababu kakushauri?! Tena utanigonga au sio?! 😊😊😊

Hujielewi mdogo wangu... Kabila gani wewe?! Mbona mshamba namna hiyo?! Unathubutu kujianika mbele ya wanaume wenzako ambao hata wanaweza wakawa wamekuzidi almost kila kitu, tena mpaka uwezo tu wa kufikiri mambo madogo tu yasiyohitaji nguvu kubwa wala nini.... Eti unamuamini Na kumsifia mwanamke. Una hasara mdogo wangu.
 
1. Usimsomeshe, hiyo ni kazi ya mzazi wake

2. Usimuanzishie biashara, bali anzisha biashara na umwajiri

3. Usifanye uhalifu au deal yoyote illegal ili umridhishe mwanamke kwa kibunda

4. Usiweke mahitaji na matakwa yake kabla ya yako. Jitangulize na jipende wewe kwanza.

5. Usiitelekeze familia yako na marafiki zako kwa ajili ya mwanamke

6. Usiache kufikia malengo yako kwa sababu tu ya mwanamke.

Learn or perish
mwee...ila chakushangaza sasa u say usiache kufikia malengo yako kwa sababu ya mwanamke wakati malengo yenyewe ni kumpata huyo mwanamke.
ebu stopp this foolishnes tuelezane ukweli mafanikio ya mwanaume ni kuopoa pisi kali basi anaebisha basi huyo kibamia kama mie na hana hela
 
Misimamo yangu et unaforce nifate mawazo Yako,acha ushamba
Unamuita mwanaume mwenzio aliyekuzidi almost kila kitu "SHOGA" kwa sababu kakushauri?! Tena utanigonga au sio?! 😊😊😊

Hujielewi mdogo wangu... Kabila gani wewe?! Mbona mshamba namna hiyo?! Unathubutu kujianika mbele ya wanaume wenzako ambao hata wanaweza wakawa wamekuzidi almost kila kitu, tena mpaka uwezo tu wa kufikiri mambo madogo tu yasiyohitaji nguvu kubwa wala nini.... Eti unamuamini Na kumsifia mwanamke. Una hasara mdogo wangu.
Si
 
Sijui ni ushamba wa mapenzi.. ila umempenda mtu.. kama kweli umempenda alafu unashindwa kumsupport mwenza wako hata kama unaona potential kisa unaogopa kuachwa!!!

ule usemi wa do it for the love hauna maana hapo?

Nadhani kuwe na kiasi ndio ila haimaanishi ushindwe kumsaidia mwenzio..
 
Tutaona na kusikia mengi safarii hii, mbna hapo Badooo
Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaaa,we mwehuu kwelii.Unawashwaaa.
Replies zako zinadhihirisha ni kiasi gani akili zako ziko kwenye kiwango cha juu cha utaahira we kalagabaho!
Huna akiliii,Dunia ya Leo unauliza mtu wew kabila Gani,unataka nikuoe au?! Pungaa kweliiii.
 
Ukiwa na partnership na hawa watu hesabu umeliwa na huna chako.
Hao viumbe ni matapeli tujifunze kwa makosa ya Reginald Mengi, Bill Gates na Jeff Bezos yaani inatakiwa wanaume tuwe na machale kundesa kama Achraf Hakimi
 
Back
Top Bottom