Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
- #61
Nini tena mkuu?Najuta 😭
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini tena mkuu?Najuta 😭
Pamoja sanaAhsante kwa muongozo
Labda kwa weak men na simpsTutaona na kusikia mengi safarii hii, mbna hapo Badooo
Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui ni ushamba wa mapenzi.. ila umempenda mtu.. kama kweli umempenda alafu unashindwa kumsupport mwenza wako hata kama unaona potential kisa unaogopa kuachwa!!!
ule usemi wa do it for the love hauna maana hapo?
Nadhani kuwe na kiasi ndio ila haimaanishi ushindwe kumsaidia mwenzio..
HayaUumsaidie kwa lipi? Toa mifano ya mambo ya kumsaidia. Kumuoa tu au kuishi naye tayari ni msaada mkubwa sana
Mkuu uliwekeza nini kwa huyo mwanamke?Najuta 😭
We acha tuu ndugu yanguMkuu uliwekeza nini kwa huyo mwanamke?
Pole sana mkuuWe acha tuu ndugu yangu
Sio mbaya, ngoja nifanye kama nimejifunza tenaPole sana mkuu
Tunaishi kwenye misingi1. Usimsomeshe, hiyo ni kazi ya mzazi wake
2. Usimuanzishie biashara, bali anzisha biashara na umwajiri
3. Usifanye uhalifu au deal yoyote illegal ili umridhishe mwanamke kwa kibunda
4. Usiweke mahitaji na matakwa yake kabla ya yako. Jitangulize na jipende wewe kwanza.
5. Usiitelekeze familia yako na marafiki zako kwa ajili ya mwanamke
6. Usiache kufikia malengo yako kwa sababu tu ya mwanamke.
Learn or perish
Tunaishi kwenye misingi
Hiyu ni mwanamke au mkeo?Sawa vyovyote vile cha umuhimu asiwe na mamlaka au asiwe sehemu ya umiliki (business partnership)
Fanya lolote uwezalo ili asiwe na ile kauli ya kusema biashara yetu
MkeHiyu ni mwanamke au mkeo?
YOU ARE LOST🥲🥲 WANAO WATAPATA TABU OTHERWISE UWE MZIMA MILELE
Mtaachana tuKwangu mke wangu ndio Kila kitu huniambii kitu, hao marafikii ukiumwa unajinyea hutaawaona ila mama watoto atanipambania.What matter is the choice of the type of wife....
Namshukru Mungu kuniletea wakuendana namimi,nikimtisha anatishika na anatii bila shurti hiki ndicho kinanifanya nijione Nipo mikono salama na ninampenda hatarii sipendi hata nnzii wamdondokee watamuumiza❤️❤️