Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Bin laden suluhu ni rahisi tu... Mlipue watoto kama wanne na ushehe hivi! Ndo umfungulie, hatoboi! Atakaa tu nyumbani. Madogo watashika usukani... Na uwahusie "mkizingua hapa shauri yenu!"Namba 2 umenisanua, nilikuwa nafikiria hili nalitatua vp.
Unamuita mwanaume mwenzio aliyekuzidi almost kila kitu "SHOGA" kwa sababu kakushauri?! Tena utanigonga au sio?! πππWe shoga Tulia yakikushinda wew usiyalazimishe,akitoka nakugonga wew.
Vibaya hivooo
Unamuita mwanaume mwenzio aliyekuzidi almost kila kitu "SHOGA" kwa sababu kakushauri?! Tena utanigonga au sio?! πππ
Hujielewi mdogo wangu... Kabila gani wewe?! Mbona mshamba namna hiyo?! Unathubutu kujianika mbele ya wanaume wenzako ambao hata wanaweza wakawa wamekuzidi almost kila kitu, tena mpaka uwezo tu wa kufikiri mambo madogo tu yasiyohitaji nguvu kubwa wala nini.... Eti unamuamini Na kumsifia mwanamke. Una hasara mdogo wangu.
Unamuita mwanaume mwenzio aliyekuzidi almost kila kitu "SHOGA" kwa sababu kakushauri?! Tena utanigonga au sio?! πππ
Hujielewi mdogo wangu... Kabila gani wewe?! Mbona mshamba namna hiyo?! Unathubutu kujianika mbele ya wanaume wenzako ambao hata wanaweza wakawa wamekuzidi almost kila kitu, tena mpaka uwezo tu wa kufikiri mambo madogo tu yasiyohitaji nguvu kubwa wala nini.... Eti unamuamini Na kumsifia mwanamke. Una hasara mdogo wangu.
mwee...ila chakushangaza sasa u say usiache kufikia malengo yako kwa sababu ya mwanamke wakati malengo yenyewe ni kumpata huyo mwanamke.1. Usimsomeshe, hiyo ni kazi ya mzazi wake
2. Usimuanzishie biashara, bali anzisha biashara na umwajiri
3. Usifanye uhalifu au deal yoyote illegal ili umridhishe mwanamke kwa kibunda
4. Usiweke mahitaji na matakwa yake kabla ya yako. Jitangulize na jipende wewe kwanza.
5. Usiitelekeze familia yako na marafiki zako kwa ajili ya mwanamke
6. Usiache kufikia malengo yako kwa sababu tu ya mwanamke.
Learn or perish
SiUnamuita mwanaume mwenzio aliyekuzidi almost kila kitu "SHOGA" kwa sababu kakushauri?! Tena utanigonga au sio?! πππ
Hujielewi mdogo wangu... Kabila gani wewe?! Mbona mshamba namna hiyo?! Unathubutu kujianika mbele ya wanaume wenzako ambao hata wanaweza wakawa wamekuzidi almost kila kitu, tena mpaka uwezo tu wa kufikiri mambo madogo tu yasiyohitaji nguvu kubwa wala nini.... Eti unamuamini Na kumsifia mwanamke. Una hasara mdogo wangu.
Ukiwa na partnership na hawa watu hesabu umeliwa na huna chako.Sawa vyovyote vile cha umuhimu asiwe na mamlaka au asiwe sehemu ya umiliki (business partner)
Fanya lolote uwezalo ili asiwe na ile kauli ya kusema biashara yetu
Replies zako zinadhihirisha ni kiasi gani akili zako ziko kwenye kiwango cha juu cha utaahira we kalagabaho!Mi mmeo sio mdogo wako kua na Adabu, Acha shobo.
Replies zako zinadhihirisha ni kiasi gani akili zako ziko kwenye kiwango cha juu cha utaahira we kalagabaho!
Huna akiliii,Dunia ya Leo unauliza mtu wew kabila Gani,unataka nikuoe au?! Pungaa kweliiii.Replies zako zinadhihirisha ni kiasi gani akili zako ziko kwenye kiwango cha juu cha utaahira we kalagabaho!
π π πSawa mkuu, sita sahau haya mausia hata nikiwa nimelewa
Ukiwa na partnership na hawa watu hesabu umeliwa na huna chako.