Wamarekani ni watu wabishi mpaka wamekimbia kwao ulaya wakaenda kuanzisha makazi Marekani, wamebishana kwenye nchi yao inavyoendeshwa mpaka wamepigana vita ya wenyewe kwa wenyewe.Basi ww iliekaa nao kwao hongera ila nimeishi nao miaka ya kutosha mfano swala la hali ya hewa na urahisi wa maisha ndiyo ilikuwa nyimbo yao kila siku
Ni sawa tu ni kama Vijana wa Daslam hajui Wilaya ya Liwale ipo Mkoa gani?Me: "I'm from Tanzania"
American: "Did you say Tasmania?".
Wamarekani wengi hata hawajui Tanzania iko wapi kwenye ramani.
Sawa tumekusikia chawa. lakini tz tuna watu duni waisionna akili Wala maono ya kutumia fursa kuendeleza watu waoIngiwa nchi ya Marekani ina maendeleo makubwa ya kiteknolojia na kiuchumi, yapo mambo kadhaa ambayo Tanzania tumewaacha mbali mno.
1. Rasilimali za asili na utalii wa kiikolojia
Tanzania kuna hifadhi maarufu kama Serengeti, Ngorongoro crater, na Mlima Kilimanjaro, ambazo ni kivutio kikubwa cha utalii wa kiokolojia duniani.
● Biodiversity, Tanzania ina aina ya wanyama wakubwa wa porini kwa wingi na aina mbalimbali ya mimea ikilinganishwa na maeneo mengi ya Marekani.
11. Utulivu wa kijamii na kitamaduni
Utamaduni wa ujamaa mshikamano wa jamii na maisha ya kijamii ya mjini na vijijini ni imara zaidi nchini Tanzania kulinganisha na Tanzania.
● Amani na usalama wa kijamii, Tanzania kuna amani ya kijamii ukilinganisha na Marekani ambapo kuna ghasia za mara kwa mara kwenye jamii zao.
111. Chakula asili na lishe
● Chakula kisicho na kemikali, Tanzania kuna uzalishaji wa chakula cha asilia huku sehemu kubwa ya wakulima wakilima chakula pasipo kutegemea asili kulinganisha na Marekani ambao kilimo chao utegemea njia zisizo asilia.
1v. Hali ya hewa
Tanzania kuna hali ya hewa ya joto na unyevuunyevu,huku maeneo mengi ya Marekani yakipata hali mbaya za hewa kama kimbunga,baridi kali na vimbunga.
V. Gharama za maisha nafuu
Gharama za maisha nchini Tanzania kama malazi ,chakula na huduma za afya ni ndogo ukilinganisha na Marekani.
Vi. Matumizi madogo ya silaha
Tanzania ina viwango vya chini vya umiliki wa silaha na matukio machache ya uhalifu wa kutumia silaha tofauti na Marekani ambako matumizi ya silaha ni makubwa na matukio ya ghasia yanayojumlisha matumizi ya silaha ni ya juu.
Tatizo hatujiaminiCopium at work 🤣.
Sawa mkuuWamarekani ni watu wabishi mpaka wamekimbia kwao ulaya wakaenda kuanzisha makazi Marekani, wamebishana kwenye nchi yao inavyoendeshwa mpaka wamepigana vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Wewe Mtanzania hujakimbia kwenu kwenda kuanzisha nchi nyingine wala kupigana vita ya wenyewe kwa wenyewe bado hujawafikia kwa ubishi.
Nimeshakuwa chawa tena?kweli bongo si mchezoSawa tumekusikia chawa. lakini tz tuna watu duni waisionna akili Wala maono ya kutumia fursa kuendeleza watu wao
Tuna majambazi ya ccm ambayo yamehodhi rasilimali zetu na hayalipi kodi
Haya mkuuNi sawa tu ni kama Vijana wa Daslam hajui Wilaya ya Liwale ipo Mkoa gani?
Marekani umeenda lini mkuu?Ingiwa nchi ya Marekani ina maendeleo makubwa ya kiteknolojia na kiuchumi, yapo mambo kadhaa ambayo Tanzania tumewaacha mbali mno.
1. Rasilimali za asili na utalii wa kiikolojia
Tanzania kuna hifadhi maarufu kama Serengeti, Ngorongoro crater, na Mlima Kilimanjaro, ambazo ni kivutio kikubwa cha utalii wa kiokolojia duniani.
● Biodiversity, Tanzania ina aina ya wanyama wakubwa wa porini kwa wingi na aina mbalimbali ya mimea ikilinganishwa na maeneo mengi ya Marekani.
11. Utulivu wa kijamii na kitamaduni
Utamaduni wa ujamaa mshikamano wa jamii na maisha ya kijamii ya mjini na vijijini ni imara zaidi nchini Tanzania kulinganisha na Tanzania.
● Amani na usalama wa kijamii, Tanzania kuna amani ya kijamii ukilinganisha na Marekani ambapo kuna ghasia za mara kwa mara kwenye jamii zao.
111. Chakula asili na lishe
● Chakula kisicho na kemikali, Tanzania kuna uzalishaji wa chakula cha asilia huku sehemu kubwa ya wakulima wakilima chakula pasipo kutegemea asili kulinganisha na Marekani ambao kilimo chao utegemea njia zisizo asilia.
1v. Hali ya hewa
Tanzania kuna hali ya hewa ya joto na unyevuunyevu,huku maeneo mengi ya Marekani yakipata hali mbaya za hewa kama kimbunga,baridi kali na vimbunga.
V. Gharama za maisha nafuu
Gharama za maisha nchini Tanzania kama malazi ,chakula na huduma za afya ni ndogo ukilinganisha na Marekani.
Vi. Matumizi madogo ya silaha
Tanzania ina viwango vya chini vya umiliki wa silaha na matukio machache ya uhalifu wa kutumia silaha tofauti na Marekani ambako matumizi ya silaha ni makubwa na matukio ya ghasia yanayojumlisha matumizi ya silaha ni ya juu.
Kesho kutwa mkuu nimeendaMarekani umeenda lini mkuu?
...Sawa, Yote hayo yanatusaidia Nini ?... [emoji848]Ingiwa nchi ya Marekani ina maendeleo makubwa ya kiteknolojia na kiuchumi, yapo mambo kadhaa ambayo Tanzania tumewaacha mbali mno.
1. Rasilimali za asili na utalii wa kiikolojia
Tanzania kuna hifadhi maarufu kama Serengeti, Ngorongoro crater, na Mlima Kilimanjaro, ambazo ni kivutio kikubwa cha utalii wa kiokolojia duniani.
● Biodiversity, Tanzania ina aina ya wanyama wakubwa wa porini kwa wingi na aina mbalimbali ya mimea ikilinganishwa na maeneo mengi ya Marekani.
11. Utulivu wa kijamii na kitamaduni
Utamaduni wa ujamaa mshikamano wa jamii na maisha ya kijamii ya mjini na vijijini ni imara zaidi nchini Tanzania kulinganisha na Tanzania.
● Amani na usalama wa kijamii, Tanzania kuna amani ya kijamii ukilinganisha na Marekani ambapo kuna ghasia za mara kwa mara kwenye jamii zao.
111. Chakula asili na lishe
● Chakula kisicho na kemikali, Tanzania kuna uzalishaji wa chakula cha asilia huku sehemu kubwa ya wakulima wakilima chakula pasipo kutegemea asili kulinganisha na Marekani ambao kilimo chao utegemea njia zisizo asilia.
1v. Hali ya hewa
Tanzania kuna hali ya hewa ya joto na unyevuunyevu,huku maeneo mengi ya Marekani yakipata hali mbaya za hewa kama kimbunga,baridi kali na vimbunga.
V. Gharama za maisha nafuu
Gharama za maisha nchini Tanzania kama malazi ,chakula na huduma za afya ni ndogo ukilinganisha na Marekani.
Vi. Matumizi madogo ya silaha
Tanzania ina viwango vya chini vya umiliki wa silaha na matukio machache ya uhalifu wa kutumia silaha tofauti na Marekani ambako matumizi ya silaha ni makubwa na matukio ya ghasia yanayojumlisha matumizi ya silaha ni ya juu.
Hii ni uliza yanakusaidia nn?usiseme wingi kuna wengine yanawasaidia...Sawa, Yote hayo yanatusaidia Nini ?... [emoji848]
Tanzania tuna rais mwanamke baada ya miaka 60 tu ya uhuru. Marekani hawana baada ya zaidi ya miaka 200 ya uhuru. Wanawake wawili, Hilary na Kamala, walijaribu kukaribia wakaangushwa na Donald Trump mara 2!Ingiwa nchi ya Marekani ina maendeleo makubwa ya kiteknolojia na kiuchumi, yapo mambo kadhaa ambayo Tanzania tumewaacha mbali mno.
1. Rasilimali za asili na utalii wa kiikolojia
Tanzania kuna hifadhi maarufu kama Serengeti, Ngorongoro crater, na Mlima Kilimanjaro, ambazo ni kivutio kikubwa cha utalii wa kiokolojia duniani.
● Biodiversity, Tanzania ina aina ya wanyama wakubwa wa porini kwa wingi na aina mbalimbali ya mimea ikilinganishwa na maeneo mengi ya Marekani.
11. Utulivu wa kijamii na kitamaduni
Utamaduni wa ujamaa mshikamano wa jamii na maisha ya kijamii ya mjini na vijijini ni imara zaidi nchini Tanzania kulinganisha na Tanzania.
● Amani na usalama wa kijamii, Tanzania kuna amani ya kijamii ukilinganisha na Marekani ambapo kuna ghasia za mara kwa mara kwenye jamii zao.
111. Chakula asili na lishe
● Chakula kisicho na kemikali, Tanzania kuna uzalishaji wa chakula cha asilia huku sehemu kubwa ya wakulima wakilima chakula pasipo kutegemea asili kulinganisha na Marekani ambao kilimo chao utegemea njia zisizo asilia.
1v. Hali ya hewa
Tanzania kuna hali ya hewa ya joto na unyevuunyevu,huku maeneo mengi ya Marekani yakipata hali mbaya za hewa kama kimbunga,baridi kali na vimbunga.
V. Gharama za maisha nafuu
Gharama za maisha nchini Tanzania kama malazi ,chakula na huduma za afya ni ndogo ukilinganisha na Marekani.
Vi. Matumizi madogo ya silaha
Tanzania ina viwango vya chini vya umiliki wa silaha na matukio machache ya uhalifu wa kutumia silaha tofauti na Marekani ambako matumizi ya silaha ni makubwa na matukio ya ghasia yanayojumlisha matumizi ya silaha ni ya juu.
Shukrani ila Tanzania kuna mambo tumewazid Wamarekanimoja kati ya khabari ya ovyo ni huu uzi wako
Safi kabisa,mfumo dume umetawala pamoja na kuhubiri usawa wa jinsiaTanzania tuna rais mwanamke baada ya miaka 60 tu ya uhuru. Marekani hawana baada ya zaidi ya miaka 200 ya uhuru. Wanawake wawili, Hilary na Kamala, walijaribu kukaribia wakaangushwa na Donald Trump mara 2!
Nimeeleza Watanzania wanaizungumzia Marekani kuliko Wamarekani wanavyoizungumzia Tanzania.Ni sawa tu ni kama Vijana wa Daslam hajui Wilaya ya Liwale ipo Mkoa gani?
Kuna taifa ambalo hawalizungumzii taifa la Marekani?Marekani ni taifa kubwa!!ila tumewazidi kwenye baadhi ya mamboNimeeleza Watanzania wanaizungumzia Marekani kuliko Wamarekani wanavyoizungumzia Tanzania.
Sasa kijana wa Dar asipoijua Liwale iko mkoa gani hapo haijui Marekani?
Kijana wa Dar ni rahisi sana kuto8jua Liwale kuliko kutoijua Marekani.
Unajua kusoma kwa ufahamu na kufuatilia hoja kimantiki?
It is because you rotate with it. Go to another continent of your choice, you will rotate with it as well.
Fuatilia nukuu zako kwangu utaelewa kwamba sikubishana kusema hakuna baadhi ya mambo mmewazidi wamarekani.Kuna taifa ambalo hawalizungumzii taifa la Marekani?Marekani ni taifa kubwa!!ila tumewazidi kwenye baadhi ya mambo