Mambo ambayo nchi ya Marekani imezidiwa kwa mbali na nchi ya Tanzania

Fuatilia nukuu zako kwangu utaelewa kwamba sikubishana kusema hakuna baadhi ya mambo mmewazidi wamarekani.

Unabishia hoja ambayo mimi sijaisema.

Mimi nimesema tu Watanzania wanawaongelea Wamarekani kuliko Wamarekani wanavyowaongelea Watanzania.
Sasa kwa ukubwa wa marekani kuna taifa ambalo halilizungumzii taifa hili kubwa?
 
Tanzania AKA the Cradle of Mankind hatuna Mengi na Mengi tunazidiwa kwa macho / perception ya mtu /watu wa sasa...,

Ila Bongo tuna jambo moja tu ambalo sio USA to bali tunawazidi jamii nyingi sana Ulimwenguni nalo ni UNDUGU....., Heko kwa Waasisi kwa hili..., kwa nchi yenye Black and Whites au waliopigana CIVIL Wars ni ngumu sana kushindana na SISI..., ila ndio hivyo hata hilo tupo mbioni kulipoteza kwa UPUUZI wa wachache.... Walisema Wahenga You dont know you have it, till you loose it...
 
Sasa kwa ukubwa wa marekani kuna taifa ambalo halilizungumzii taifa hili kubwa?
That is irrelevant and tautological.

Mimi nakwambia Marekani ni taifa kubwa kila mtu analizungumzia, Watanzania wanaizungumzia Marekani zaidi ya Wamarekani wanavyoizungumzia Tanzania.

Wewe unaniukiza "Sasa kwa ukubwa wa Marekani kuna taifa ambalo halizungumzii taifa hili kubwa?".

You are making my point.
 
Hivyo vyote havijamsaidi mtanzania,mimi huwa napima maisha bora kwa nchi kwa juangalia mortuality ratr au life expectancy ya raia ,kama watu wanakufa below 60 unajisifu kula organic food ni ujinga
Kuna wabongo hawali kuku wa kisasa waishi maisha marefu halafu jioni wanachinjika kwenye ajali ya hovyo ya bus kwa sababu ya miondombinu mibovu!
 
Safi kabisa,mfumo dume umetawala pamoja na kuhubiri usawa wa jinsia
Hadi leo kwao wanawake wanalipwa mshahara pungufu kwa kazi ileile sawa na wanaume. Hapo pia tumewapita kwa mbali ikiwemo nchi nyingi za Ulaya. Uko sahihi, wanahubiri usawa wa kijinsia wasioufuata kabisa!
 
Sawa kama mataifa yote yanaizungumzia Marekani kwann ss iwe shida?
 
Unaota ndoto mbaya sana, amka ndugu yangu.
Siku ukifika USA naamini utashangaa kwamba hata State Moja inaweza kuitoa TZ knockout katika huo mlolongo wako uliotitirika nao, karibu tujumuike katika kubeba 'box'.
 
Unaota ndoto mbaya sana, amka ndugu yangu.
Siku ukifika USA naamini utashangaa kwamba hata State Moja inaweza kuitoa TZ knockout katika huo mlolongo wako uliotitirika nao, karibu tujumuike katika kubeba 'box'.
Endelea kubeba maboksi mm hapana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…