Mambo atakayoyafanya Tundu Lissu baada ya kushinda uchaguzi wa 2025 kwa kishindo

Mambo atakayoyafanya Tundu Lissu baada ya kushinda uchaguzi wa 2025 kwa kishindo

De-zerbi

Member
Joined
Mar 7, 2024
Posts
82
Reaction score
103
Iko wazi na sio siri mwakan Tundu lissu ndo Rais ajaye; baada ya kuwa Rais atafanya yafuatayo

  • Rais hatachagua mkuu wa tume na wajumbe wake- tume itakua huru kwa asilimia 100
  • Majimbo ya uchaguzi yataamuliwa kwa wingi wa watu na kila baada ya miaka 10 yatachorwa upya sehemu yenye watu wengi yatakua na majimbo mengi
  • Rais hatachagua jaji mkuu na majaji- mahakimu na majaji hawatafanya kazi kwa vimemo kama ilivyo sasa
  • Rais hatamchagua dpp- faida ni kwamba yeyote atakayevunja sheria dpp atamgungulia kesi bila ya ruhusa ya Rais kama ilivyo sasa
  • Rais hatamchagua igp- faida yake ni kwamba polisi hawatafanya kazi kwa mashinikizo ya wanasiasa
  • Kwenye mashirika ya umma rais atapendekeza majina matatu kwa kila post ya taasisi na watafanyiwa interview atakayeshinda ndo atakua mkuu/boss wa taasisi mfano TRA, PsSSF, ATCL na mengineo
  • Wakuu wa mikoa watachaguliwa kwa kupigiwa kura na baada ya hapo watapendekeza majina matatu kwenye kila wilaya ndani ya mkoa wake na tamisemi watawafanyia interview, huku nafasi za wakuu wa wilaya zitaondolewa
  • Mawaziri hawatakuwa wabunge
  • Rais akiondoka madarakan hatakua na kinga ya kutokustakiwa
Haya mabadiliko yataifanya Tanzania kuwa na strong institution in afrika

Chawa hii habari hamuwezi ipenda sababu zile nafasi zenu za kupewa kama zawadi za ukuu wa wilaya, mkoa na ukurugenzi hazitakuwepo
 
Lissu atagombea CHADEMA na PCM (Paul Christian Makonda) atagombea kupitia ACT Wazalendo. Lissu na Makonda watagawana kura na Simba wa Nyika, shujaa wa vita, Iron Lady; na Kipenzi cha Watanzania hasa Lukasi Mwashambwa atashinda kwa ulainiiii tu!

At least that's the strategy. Siasa ni sayansi!
 
Lissu atagombea CHADEMA na PCM (Paul Christian Makonda) atagombea kupitia ACT Wazalendo. Lissu na Makonda watagawana kura na Mama wa Lukasi Mwashambwa atashinda kwa ulainiiii!

At least that's the strategy!
Hivi kweli Kuna watanzania wanatamani hua mama aendelee kuongoza, another 5 years waste of time tena? Dah
 
Iko wazi na sio siri mwakan Tundu lissu ndo Rais ajaye; baada ya kuwa Rais atafanya yafuatayo

  • Rais hatachagua mkuu wa tume na wajumbe wake- tume itakua huru kwa asilimia 100
  • Majimbo ya uchaguzi yataamuliwa kwa wingi wa watu na kila baada ya miaka 10 yatachorwa upya sehemu yenye watu wengi yatakua na majimbo mengi
  • Rais hatachagua jaji mkuu na majaji- mahakimu na majaji hawatafanya kazi kwa vimemo kama ilivyo sasa
  • Rais hatamchagua dpp- faida ni kwamba yeyote atakayevunja sheria dpp atamgungulia kesi bila ya ruhusa ya Rais kama ilivyo sasa
  • Rais hatamchagua igp- faida yake ni kwamba polisi hawatafanya kazi kwa mashinikizo ya wanasiasa
  • Kwenye mashirika ya umma rais atapendekeza majina matatu kwa kila post ya taasisi na watafanyiwa interview atakayeshinda ndo atakua mkuu/boss wa taasisi mfano TRA, PsSSF, ATCL na mengineo
  • Wakuu wa mikoa watachaguliwa kwa kupigiwa kura na baada ya hapo watapendekeza majina matatu kwenye kila wilaya ndani ya mkoa wake na tamisemi watawafanyia interview, huku nafasi za wakuu wa wilaya zitaondolewa
  • Mawaziri hawatakuwa wabunge
  • Rais akiondoka madarakan hatakua na kinga ya kutokustakiwa
Haya mabadiliko yataifanya Tanzania kuwa na strong institution in afrika
JamiiForums1327454580.jpeg
 
Iko wazi na sio siri mwakan Tundu lissu ndo Rais ajaye; baada ya kuwa Rais atafanya yafuatayo

  • Rais hatachagua mkuu wa tume na wajumbe wake- tume itakua huru kwa asilimia 100
  • Majimbo ya uchaguzi yataamuliwa kwa wingi wa watu na kila baada ya miaka 10 yatachorwa upya sehemu yenye watu wengi yatakua na majimbo mengi
  • Rais hatachagua jaji mkuu na majaji- mahakimu na majaji hawatafanya kazi kwa vimemo kama ilivyo sasa
  • Rais hatamchagua dpp- faida ni kwamba yeyote atakayevunja sheria dpp atamgungulia kesi bila ya ruhusa ya Rais kama ilivyo sasa
  • Rais hatamchagua igp- faida yake ni kwamba polisi hawatafanya kazi kwa mashinikizo ya wanasiasa
  • Kwenye mashirika ya umma rais atapendekeza majina matatu kwa kila post ya taasisi na watafanyiwa interview atakayeshinda ndo atakua mkuu/boss wa taasisi mfano TRA, PsSSF, ATCL na mengineo
  • Wakuu wa mikoa watachaguliwa kwa kupigiwa kura na baada ya hapo watapendekeza majina matatu kwenye kila wilaya ndani ya mkoa wake na tamisemi watawafanyia interview, huku nafasi za wakuu wa wilaya zitaondolewa
  • Mawaziri hawatakuwa wabunge
  • Rais akiondoka madarakan hatakua na kinga ya kutokustakiwa
Haya mabadiliko yataifanya Tanzania kuwa na strong institution in afrika
Hujamtendea wema Lissu. Ktk haya iliyoyasema bora ugombee wewe kupitia chama cha CHAUMA sikumbiki vzr. Chama cha yule mzee wa ubwabwa.

Lissu aje na sera mbili zatosha.

Serikali za majimbo yenye uhuru kamili wa kujiamulia mambo yake wenyewe.

Kugeuza na kuwalinda wafanyabiashara wa kkoo kuwa wazalishaji wa vile wanavyoviuza. Akianza na vyombo na mashine za jikoni.
 
CHADEMA Huwa hairudii mgombea,

Lissu aligombea na akashindwa.

CHADEMA itashinda uchaguzi kupitia JG.
 
Iko wazi na sio siri mwakan Tundu lissu ndo Rais ajaye; baada ya kuwa Rais atafanya yafuatayo

  • Rais hatachagua mkuu wa tume na wajumbe wake- tume itakua huru kwa asilimia 100
  • Majimbo ya uchaguzi yataamuliwa kwa wingi wa watu na kila baada ya miaka 10 yatachorwa upya sehemu yenye watu wengi yatakua na majimbo mengi
  • Rais hatachagua jaji mkuu na majaji- mahakimu na majaji hawatafanya kazi kwa vimemo kama ilivyo sasa
  • Rais hatamchagua dpp- faida ni kwamba yeyote atakayevunja sheria dpp atamgungulia kesi bila ya ruhusa ya Rais kama ilivyo sasa
  • Rais hatamchagua igp- faida yake ni kwamba polisi hawatafanya kazi kwa mashinikizo ya wanasiasa
  • Kwenye mashirika ya umma rais atapendekeza majina matatu kwa kila post ya taasisi na watafanyiwa interview atakayeshinda ndo atakua mkuu/boss wa taasisi mfano TRA, PsSSF, ATCL na mengineo
  • Wakuu wa mikoa watachaguliwa kwa kupigiwa kura na baada ya hapo watapendekeza majina matatu kwenye kila wilaya ndani ya mkoa wake na tamisemi watawafanyia interview, huku nafasi za wakuu wa wilaya zitaondolewa
  • Mawaziri hawatakuwa wabunge
  • Rais akiondoka madarakan hatakua na kinga ya kutokustakiwa
Haya mabadiliko yataifanya Tanzania kuwa na strong institution in afrika
Afanye mabadiliko kuondoa mwenyekiti asiye na kikomo cha uongozi!
 
Endelea kuota lakini tahadhari usijinyee.Tumia vizuri muda wako wacha kuendeleza ujinga na ndoto za Ali Nacha.
 
Endelea kuota lakini tahadhari usijinyee.Tumia vizuri muda wako wacha kuendeleza ujinga na ndoto za Ali Nacha.
Watanzania wakisikia mtu anakuja kuweka mifumo imara wanachukia ni watu wa ajabu sana
 
Watanzania wakisikia mtu anakuja kuweka mifumo imara wanachukia ni watu wa ajabu sana
Mtu huyo yupi basi?Yaani unataka washabikie ujinga?Alifanya nini akiwa mbunge?Hata kugombea demokrasia kwenye chama chake hawezi.Wacha kutetea ujinga.
 
Back
Top Bottom