Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mifumo imara ya chama ndiyo ilimpa fisadi lowasa kugombea urais.Mtu huyo yupi basi?Yaani unataka washabikie ujinga?Alifanya nini akiwa mbunge?Hata kugombea demokrasia kwenye chama chake hawezi.Wacha kutetea ujinga.
Bunge la ccm tokea mwaka 2020 limefanya niniMtu huyo yupi basi?Yaani unataka washabikie ujinga?Alifanya nini akiwa mbunge?Hata kugombea demokrasia kwenye chama chake hawezi.Wacha kutetea ujinga.
Fisadi lowasa ambaye alipokewa kishujaa na magufuli aliporudi ccmMifumo imara ya chama ndiyo ilimpa fisadi lowasa kugombea urais.
Endelea kujifariji.Muda ukifika tayarisha visingizio. Si ndio kawaida yenu?Bunge la ccm tokea mwaka 2020 limefanya nini
Najua unakasirika sababu zile nafasi zenu za uchawa za ukuu wa mkoa na wilaya hazitakuwepo tena pole
Mke, watoto, dereva wa Lisu wote ni raia wa Marekani! Aende akashinde huko USA.
Tanzania hatutaki wanafiki.
#Tutashitakiwa MIGA
Peleka kibamia chako kulee!Mke, watoto, dereva wa Lisu wote ni raia wa Marekani! Aende akashinde huko USA.
Tanzania hatutaki wanafiki.
#Tutashitakiwa MIGA
Mwashambwa na kidoti ni wawili tu nchi nzimaHivi kweli Kuna watanzania wanatamani hua mama aendelee kuongoza, another 5 years waste of time tena? Dah
Hata magufuli mlisema atatawala mileleEndelea kujifariji.Muda ukifika tayarisha visingizio. Si ndio kawaida yenu?
Hii sababu kwanini ccm mnapenda sana kuitumiaCcm ilivyo sasa ndivyo Chadema itakavyokuwa wakipata urais
Gwajima?CHADEMA Huwa hairudii mgombea,
Lissu aligombea na akashindwa.
CHADEMA itashinda uchaguzi kupitia JG.
Chadema atataka kuanza kujijenga yeye kwanza, yn vyama vyote n vya kitapeliHii sababu kwanini ccm mnapenda sana kuitumia
Umejuaje jamaa ana kibamia.?Peleka kibamia chako kulee!
mfumo imara ndo msingi wa maendeleo nimeshangaa sana na hili hulijui upeo wa watanzania ni mdogo sanaSijaona ataletaje maendeleo hapo
Zaidi ni kubadili mfumo tu
Ajira ngapi atazalisha na vipi?
Tutakuwa na export gani
Je ataacha ombaomba kama wenzake?
Sijawahi kuona wanaongelea mambo ya maendeleo
Tuendelea kuongozwa na chama hichi kwa sababu ukiwapa wengine watajijenga aisee kwa hizi fikra tunasafari ndefu sana kama taifaChadema atataka kuanza kujijenga yeye kwanza, yn vyama vyote n vya kitapeli
Lissu awe kwanza Mwenyekiti wa chadema kwa miaka 10,kisha tutampima na atakuja ccm agombee urais sio kwa wahuni wanaozusha na kutukana mitandaoni.Iko wazi na sio siri mwakan Tundu lissu ndo Rais ajaye; baada ya kuwa Rais atafanya yafuatayo
Haya mabadiliko yataifanya Tanzania kuwa na strong institution in afrika
- Rais hatachagua mkuu wa tume na wajumbe wake- tume itakua huru kwa asilimia 100
- Majimbo ya uchaguzi yataamuliwa kwa wingi wa watu na kila baada ya miaka 10 yatachorwa upya sehemu yenye watu wengi yatakua na majimbo mengi
- Rais hatachagua jaji mkuu na majaji- mahakimu na majaji hawatafanya kazi kwa vimemo kama ilivyo sasa
- Rais hatamchagua dpp- faida ni kwamba yeyote atakayevunja sheria dpp atamgungulia kesi bila ya ruhusa ya Rais kama ilivyo sasa
- Rais hatamchagua igp- faida yake ni kwamba polisi hawatafanya kazi kwa mashinikizo ya wanasiasa
- Kwenye mashirika ya umma rais atapendekeza majina matatu kwa kila post ya taasisi na watafanyiwa interview atakayeshinda ndo atakua mkuu/boss wa taasisi mfano TRA, PsSSF, ATCL na mengineo
- Wakuu wa mikoa watachaguliwa kwa kupigiwa kura na baada ya hapo watapendekeza majina matatu kwenye kila wilaya ndani ya mkoa wake na tamisemi watawafanyia interview, huku nafasi za wakuu wa wilaya zitaondolewa
- Mawaziri hawatakuwa wabunge
- Rais akiondoka madarakan hatakua na kinga ya kutokustakiwa
Chawa hii habari hamuwezi ipenda sababu zile nafasi zenu za kupewa kama zawadi za ukuu wa wilaya, mkoa na ukurugenzi hazitakuwepo