Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,311
- 1,018
Ni vitu gani hupaswi kumfanyia mtu ambaye hujamuoa na vipi vya kumfanyia?
Which is the line of demarcation?
Which is the line of demarcation?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kweli ni Mzee kama jina lako lilivyo??Ni vitu gani usivyopaswa kumfanyia MTU ambaye hujamuoa? Na vipi vya kumfanyia?
Which is line of demarcation?
Mkuu jazia nyama kwenye swali lako, HUDUMA zinategemea na fikra zako juu ya huyo mwanamke.Ni vitu gani usivyopaswa kumfanyia MTU ambaye hujamuoa? Na vipi vya kumfanyia?
Hapa kwa mwanamke uliyenae kwenye uhusiano usio rasmi ila sio kahaba.....Mkuu jazia nyama kwenye swali lako, HUDUMA zinategemea na fikra zako juu ya huyo mwanamke.
Kuna demu ambaye hujamuoa ila una mpango wa kuja kumuoa(MCHUMBA), NA kuna demu ambaye hujamuoa na huna mpango wowote wa kumuoa(PISI,KIMADA,MALAYA,MLUPO,KING'AST,MANZI,DEMU,SHORI,MCHUCHU,).
Tueleze ni MTU yupi hasa umemkusudia?
Usimpe treatment ya mke kabla hujamuoaNi vitu gani hupaswi kumfanyia mtu ambaye hujamuoa na vipi vya kumfanyia?
Which is the line of demarcation?
jitahidi sana usitoe siri zote za ufalme wako...Ni vitu gani hupaswi kumfanyia mtu ambaye hujamuoa na vipi vya kumfanyia?
Which is the line of demarcation?
Usimpe hela.
Na yeye asikupe mbunye.
Kwa kifupi msifanye zinaa na wala asikupige vizinga mpaka mtakapooana.
Hivyo yani.
Mpe huduma kulingana na namna anavyokuwa msaada kwenye Maisha yako. Na vilevile Mpatie huduma kama zawadi kwa yale mazuri ambayo anakuwa anakutendea. Yaani huduma yako iwe kama REWARD na sio WAJIBU.Hapa kwa mwanamke uliyenae kwenye uhusiano usio rasmi ila sio kahaba.....
Kwahy pesa mpewe ila mbunye msitoe au siyo.?Mpe pesa mwanamke wako ili asipate vishawishi, hakikisha unamjaza pesa za kutosha kwenye pochi lake.!!
Sisi wanawake tukipewa pesa nyingi sio wasumbufu kabisaaa ila usimuombe papa ili kujilindia mzigo wako mpk ndoa. 😜
KumhudumiaNi vitu gani hupaswi kumfanyia mtu ambaye hujamuoa na vipi vya kumfanyia?
Which is the line of demarcation?
Mbunye mpk ndoa PERIOD.Kwahy pesa mpewe ila mbunye msitoe au siyo.?
Na ukubali pesa ni mpaka ndoa PERIOD. Kama sivyo bc jiandae kutumika sanaMbunye mpk ndoa PERIOD.
Subiri mpaka uolewe ndo utoe.Aisee Kama nina nyege mimi nikampe nani mbunye
Kiufupi mchumba hasomeshwi na hawara hana shukrani!Ni vitu gani hupaswi kumfanyia mtu ambaye hujamuoa na vipi vya kumfanyia?
Which is the line of demarcation?