Mambo gani hupaswi kumfanyia mtu ambaye hujamuoa?

Mambo gani hupaswi kumfanyia mtu ambaye hujamuoa?

Mpe pesa mwanamke wako ili asipate vishawishi, hakikisha unamjaza pesa za kutosha kwenye pochi lake.!!
Sisi wanawake tukipewa pesa nyingi sio wasumbufu kabisaaa ila usimuombe papa ili kujilindia mzigo wako mpk ndoa. ๐Ÿ˜œ
Jirani mfungo unakuchanganya sio bure.
 
Mimsingi Sana usipe Zaid ya elf 50 kwa mwezi San ale 20k tu hadi aolewe ndio upandishe kiwango
 
Hiiiiihahaaaa
 

Attachments

  • 255765039904_status_a849ff27c01c46b3979ef648d3fb0770.mp4
    2.6 MB
Wizo mi umbea ndio kazi yangu mwenzio tena ufanye uje PM nikupe umbea konki wa Ramadhani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wizo navyoogopa pm ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น em nitumieeeeeeeee umbea huo ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ
 
Wizo navyoogopa pm ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น em nitumieeeeeeeee umbea huo ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ wa kuogopa pm hapo yuko wapi??
Mxiuuuu na sikutumii nabaki nao
 
Back
Top Bottom