Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pm zinahakiwa utajikuta uko kwa samia umevaa gagulo na nepi ,😉😉😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wa kuogopa pm hapo yuko wapi??
Mxiuuuu na sikutumii nabaki nao
Papuchi ni basic need, siyo luxury 😋Matumizi hayawezi kusubiri sababu lazima umuhudumie mwanamke wako, ila mbususu mpk ndoa unaweza kuvumilia PERIOD.
Akinipa tigo namfanyia, akipa k poaNi vitu gani hupaswi kumfanyia mtu ambaye hujamuoa na vipi vya kumfanyia?
Which is the line of demarcation?
🤣🤣🤣🤣 Hamna zetu za umbea hazina shida, ila hao wazalendo waliokunywa maji ya bendera ya taifa ndo wawe makinipm zinahakiwa utajikuta uko kwa samia umevaa gagulo na nepi ,😉😉😂😂🤣🤣
Vyote visubiri ndoa tu hii kitu ya kuwekeza sehemu hupati faida ni ujinga wa hali ya juu, au La kila mtu apate kulingana na avotoa.Matumizi hayawezi kusubiri sababu lazima umuhudumie mwanamke wako, ila mbususu mpk ndoa unaweza kuvumilia PERIOD.
😀😀 mkuu shikamoo 😀Kuwa makini sana na kumsomesha acha bodi ya Mikopo ifanye kazi zake.
Umemaliza kila kitu.Usimpe hela.
Na yeye asikupe mbunye.
Kwa kifupi msifanye zinaa na wala asikupige vizinga mpaka mtakapooana.
Hivyo yani.