DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mpe unga na dagaa tu Ila usijaribu kumpatia PESA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matumizi hayawezi kusubiri sababu lazima umuhudumie mwanamke wako, ila mbususu mpk ndoa unaweza kuvumilia PERIOD.Na ukubali pesa ni mpaka ndoa PERIOD. Kama sivyo bc jiandae kutumika sana
Ww n malayaMatumizi hayawezi kusubiri sababu lazima umuhudumie mwanamke wako, ila mbususu mpk ndoa unaweza kuvumilia PERIOD.
Matumizi hayawezi kusubiri sababu lazima umuhudumie mwanamke wako, ila mbususu mpk ndoa unaweza kuvumilia PERIOD.
Hii inaumiza wengi sana, issue ni kwamba wengine wakishapata wenzi tu wanabwabwaja plans zao zote mbele ya mwanamke so anapima malengo yako na plans zake na akiona hautoshi anakubwaga.jitahidi sana usitoe siri zote za ufalme wako...
kuwa makini sana, hifadhi vema strengths na weaknnes zako...
dont open each and everything kwa mchumbaz...
wema na upendo wako kwake usizidi uwezo na ustahimulivu wako. utaumia sana bahati mbaya akabadili gia angani na kubadili uelekeo........
Km aliyekutotoa, kwani ww mama ako alimpa baba yako kabla??Ww n malaya
Kwani nyie mabikra?? Kwahiyo km sio bikra humtolei mahari??Akiwa bikra labda. Ila Kama sio bikra lazima wahuni wamchakaze
Nimegonga utosini eee 😂Km aliyekutotoa, kwani ww mama ako alimpa baba yako kabla??
Kwani nyie mabikra?? Kwahiyo km sio bikra humtolei mahari??
that is very wrong...Hii inaumiza wengi sana, issue ninkwamba wengine wakishapata wenzi tu wanabwabwaka plans zao zote mbele ya mwanamke so anapima malengo yako na planz zake na akipona hautoshi anakubwaga.
Bado sana kwani unanifahamu?? 🤣🤣🤣Nimegonga utosini eee 😂
😂😂😂😂 Wapi uko unapewa mke kwa shuka 5 za kimasai?? Hiyo mahari ww huogopi??Mahari unatoa Ila haiwezi kuzidi Mashuka matano ya kimasai
Hapana sikufahamu ila kutokana na ulichoandika naweza kusema tabia yako ipojeBado sana kwani unanifahamu?? 🤣🤣🤣
Basi una safari ndefu km unaangalia mwandiko kumjudge mtu aisee!! 😂😂😂Hapana sikufahamu ila kutokana na ulichoandika naweza kusema tabia yako ipoje
😂😂😂😂 Wapi uko unapewa mke kwa shuka 5 za kimasai?? Hiyo mahari ww huogopi??
Mbona km umepewa bomu mkuu
😂😂😂 uongoHiyo kwa wanwake ambao hawana bikra wanakula shuka tano za kimasai na kanga mbili Kwa mama mkwe
Haya nisameheBasi una safari ndefu km unaangalia mwandiko kumjudge mtu aisee!! 😂😂😂
kuna mtu kapora simu ya MbagaHaya nisamehe
Nimefunga mkuu 😂kuna mtu kapora simu ya Mbaga