Mambo gani hupaswi kumfanyia mtu ambaye hujamuoa?

Hii inaumiza wengi sana, issue ni kwamba wengine wakishapata wenzi tu wanabwabwaja plans zao zote mbele ya mwanamke so anapima malengo yako na plans zake na akiona hautoshi anakubwaga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…