Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Jirani mfungo unakuchanganya sio bure.Mpe pesa mwanamke wako ili asipate vishawishi, hakikisha unamjaza pesa za kutosha kwenye pochi lake.!!
Sisi wanawake tukipewa pesa nyingi sio wasumbufu kabisaaa ila usimuombe papa ili kujilindia mzigo wako mpk ndoa. π
Usimpe pesa zaidi ya elfu20 kama ni fake utanishukuru sanaNi vitu gani hupaswi kumfanyia mtu ambaye hujamuoa na vipi vya kumfanyia?
Which is the line of demarcation?
Ayo yatakua mahusiano au kikoba?π€Usimpe hela.
Na yeye asikupe mbunye.
Kwa kifupi msifanye zinaa na wala asikupige vizinga mpaka mtakapooana.
Hivyo yani.
Wanawake bhanaπMatumizi hayawezi kusubiri sababu lazima umuhudumie mwanamke wako, ila mbususu mpk ndoa unaweza kuvumilia PERIOD.
Khaaa mtu na wifi yake waoane tena huo si usagajimumewe(pegger) si wewe ? maana anakutagi kila saa
akiii wizo mchonganishi wewee khaaa ππMfyuuu πππ
Me ni wizo wake mumewe humuonagi anamtag kila mara au unatafutwa nisutwe??
Wachache watakuelewaKumhudumia
Safari badoMimsingi Sana usipe Zaid ya elf 50 kwa mwezi San ale 20k tu hadi aolewe ndio upandishe kiwango
π€£π€£π€£π€£ wizo ake mie huyo, huna baya
π€£π€£π€£ kwahiyo humtaki cazee wangu??akiii wizo mchonganishi wewee khaaa ππ
Wizo naomba uniache plizi mie mke wa mtuπ€£π€£π€£ kwahiyo humtaki cazee wangu??
π€£π€£π€£π€£ wee wizo kwahiyo cazee umeachana naye?? Haya nambie huyo mwingine nani??Wizo naomba uniache plizi mie mke wa mtu
Umbea tu umekujaaa, em niache mie nifaidi ndoa yangu πππ€£π€£π€£π€£ wee wizo kwahiyo cazee umeachana naye?? Haya nambie huyo mwingine nani??
Wizo mi umbea ndio kazi yangu mwenzio tena ufanye uje PM nikupe umbea konki wa Ramadhani ππππUmbea tu umekujaaa, em niache mie nifaidi ndoa yangu ππ
Wizo navyoogopa pm π€£π€£πΉπΉπΉ em nitumieeeeeeeee umbea huo ππππWizo mi umbea ndio kazi yangu mwenzio tena ufanye uje PM nikupe umbea konki wa Ramadhani ππππ
π€£π€£π€£π€£ wa kuogopa pm hapo yuko wapi??Wizo navyoogopa pm π€£π€£πΉπΉπΉ em nitumieeeeeeeee umbea huo ππππ