Mambo kumi yaliyobebwa ndani ya kikao Kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na Tundu Antipas Lissu, Brussels Ubeligiji

Tundu hakushirikiana na mwenyekiti kupanga ugaidi? Mbowe kama hakumshirikisha makamu mwenyekiti kupanga ugaidi Basi hi kesi ina walakini maana mwenyekiti asingeweza kupanga kuchukua nchi halafu makamu wake hajui.
#Mbowenigaidi
 
Kuna mdudu anaitwa katiba huyo ndiyo sumu kubwa kabisa ambayo watawala wako tayari kuua mtu bila kujali

ofcouse bado shughuli ipo Lisu akiwa hapa unadhani suala la katiba litaendaje

Mama akija kukaa tu na jopo lake lazima afikirie tena na aje na mambo tofauti kabisa
 
Mbona Lisu anatetea ndoa za jinsia moja na bado ana wafuasi kama wewe??
Iulize serikali imewapiga marufuku wapezn wa jinsia moja Tanzania. Huyu hapa ni wewe unajiona
 
Siasa sio uadui kumbuka Uhuru Kinyata baada ya kushinda Uraisi alimuita Raila wakasungumza wakawaweka wakenya pamoja
 
Ndio wagombea wetu 2025 tuanze kupiga kura
 
Rais Samia amejiweka katika kundi la wanasiasa wenye akili.
Kiburi ni uthibitisho wa upumbavu, yeye hana.
Kiburi kina toka kwa kina Siro. Ndio wana mbania Mama kukaa na wapinzani. Naiona hatma ya aibu kwa Siro.
 
Tundu hakushirikiana na mwenyekiti kupanga ugaidi? Mbowe kama hakumshirikisha makamu mwenyekiti kupanga ugaidi Basi hi kesi ina walakini maana mwenyekiti asingeweza kupanga kuchukua nchi halafu makamu wake hajui.
#Mbowenigaidi
Una akili sana Beatrice!
 
Bandiko lenye afya na l8nawkilisha brain kubwa zilizopo JF
 
Watu mnaodhani kwamba lengo la Lissu kukutana na raisi ni kwa ajili ya kesi ya Mbowe mnaniboa sana.
 
The proof of the pudding is in the eating. Mbona alimtembelea hospitali lakini wakati wa campaign alimsimanga? Jana mtu kafungwa maisha kwa kesi ya ajabu ajabu na leo Bavicha wamezuiwa kufanya mkutano! Hao unaowaita wazazi bado hawajaelewana. Ni mapema mno kuanza kushangilia. Na hata Mbowe na wenzie wakiachiwa haitakuwa hatua ya kupongezwa wakati kuna watu wengi tu wasio na majina wanaendelea kuteseka mahabusu.

Amandla....
 
Itakua umemsahau Robert Amsterdam wewe ama la wewe sio memba wa Chadema.

Wenzako wote wanafahamu kwamba ndoa za jinsia moja ndio agenda kuu ya uchaguzi kwa chadema in 2020.
Ongea vitu vya maana basi na wewe kila saa takataka ya ushoga ushoga, si uende ukaolewe basi kama unapenda kuolewa, hatutaki hata kusikia hilo neno wengine na kama huna hoja kaa kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…