Mambo madogo ambayo Wanandoa ama Wapenzi wanaoishi Pamoja wakifanya yanaweza kuzalisha migogoro kwenye mahusiano

Mambo madogo ambayo Wanandoa ama Wapenzi wanaoishi Pamoja wakifanya yanaweza kuzalisha migogoro kwenye mahusiano

Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la wandoa wapya ama Wapenzi waliokuwa wakiishi pamoja Kwa muda mrefu kuingia Kwenye migogoro na hatimaye Ndoa zao kuvunjika ama wakati mwingine uchumba wao wa muda mrefu kuvunjika.

Tukiwa kama Wazazi ama watu tulioishi na kupitia mahusiano tunaweza kuwa na cha kuwafunza Vijana wetu wanaotarajia kuingia Kwenye maisha ya Ndoa ama Wapenzi wapya ili kuwasaidia kupunguza migogoro isiyo ya lazima kwenye maisha yao ya mahusiano.

Kwa maoni yangu, yafuatayo hapa chini ni baadhi ya mambo madogo dogo ambayo ukifanya yanaweza kuzalisha migogoro isiyo ya lazima Kwa wapenzi ama Wanandoa watarajiwa;

Mosi, Kutokula Chakula kilichoandaliwa na Mke wako/Mpenzi wako.
Kuna baadhi ya Wanaume wenzetu, kupitia mizunguko waifanyayo Mchana kutwa, huwapelekea wakati mwingine kula huko huko, hivyo wanapokuwa wamerudi nyumbani kwao kushindwa kula chakula kilichoandaliwa na Mke/Mpenzi wake. Jambo hili halina afya kabisa kwenye maisha yenu ya Ndoa na mapenzi, hata kama ulilazimika kula huko Mtaani, hakikisha unaacha sehemu ya kula chakula alichokuandalia Mkeo/mpenzi wako.

Pili, Kunyoa mavuzi kabla ya kusafiri ama ukiwa huko huko safarini.
Kufanya hivyo kuna mjengea mwenzako taswira ya kuhisi kwamba uendapo unaenda kuchekupa ama ukiwa huko huko safarini ulichepuka ndiyo maana umerudi umeshanyolewa huko Ikulu ndogo.

Tatu, Kupunguza ghafla idadi ya round Kwa Mkeo ama Mpenzi wako mara baada ya kurudi kutoka safari, hii moja Kwa moja mpenzi wako atahisi ulipotoka umetumika sana, hivyo nguvu wamekumaliza.

Nne, Kutoa manii(shahawa) kidogo mara baada ya kurudi safari yako ya kikazi.
Unapokuwa haujashiriki ngono muda mrefu iwe Siku 3,4 ama Wiki ukikutana na Mkeo/mpenzi wako lazima utakojoa manii nzito nzito, iwapo utakuwa umetumika Siku kadhaa nyuma kabla ya kurudi nyumbani, Mkeo anaweza kujua hivyo kuzalisha migogoro isiyo ya lazima.
Ndiyo maana Wazee wenu badala ya kunywa soda tunaagiza Korosho ama Karanga mbichi ili kufukia mashimo mashimo ya njiani.

Tano, Kuchati na simu muda mwingi wa Usiku unapokuwa nyumbani na familia.
Hii hata kama Mkeo/Mpenzi wako hana D mbili lakini atahisi unamchepuko wako unaochati nao muda huo.

Sita, kwenda kuangalia Mpira kwenye Mabaa wakati nyumbani umefunga DStv/Azam Tv.
Hata kama hajawahi kukwambia, lakini jambo hili lazima linamkera mwenzako, na kuna Siku litawaletea migogoro isiyo ya lazima.

Saba, Kucheza Vikoba ama kukopa Mikopo mbalimbali pasipo kumshirikisha Mume wako.
wapo baadhi ya Wanandoa/Wapenzi wanakopa fedha/Vyombo pasipo kumshirikisha Mume wake, Mume anakuja kujua baada ya Mke kufatwa na kudaiwa yeye akiwepo ama wakati mwingine kutumia fedha aliyoachiwa ya Matumizi kulipa madeni kisha familia kushindwa kula Siku hiyo.

Haya ni baadhi ya mambo madogo dogo ambayo yanamkera mwenzi wako na wakati mwingine ndiyo chanzo cha migogoro mingi katika Ndoa na maisha mengi ya mahusiano.

Yapo mengine mengi ambayo mnahisi yatakuwa ndiyo chanzo cha hiyo migogoro katika mahusiano yetu.

Tunaweza kusaidiana kushea ili kuwasaidia Wanandoa wapya ama Wapenzi watarajiwa.
Je swala la kupekuana simu Na mazoea Na opposite gender....hili Babu unasemaje hujaliongelea....Kuna wale wanandoa unakuta wanataniana na watu wanaitana mke mume au majina YA mahaba
 
Hiyo namba sita si bora waniue,, yaani niangalizie mechi nyumbani kabisa na ubishi huu wote nilionao ntamfanyia nani sasa,,
 
Kutokusikiliza, hii kitu ni common sana kwa wanaume wengi sijui kwanini.

Mke akikuambia au kushauri jambo walaaaa hauna muda kabisa, uko tayari kumsikiliza na kufanyia kazi ushauri wa stranger ila sio mke.

Grahams uko wapi nije, sina salio la kukupigia nakufata.
Masikio yao yapo kama mapambo tu shoga yangu. Siku hizi namsemea kwa Mungu aseme na kiumbe chake
 
Je swala la kupekuana simu Na mazoea Na opposite gender....hili Babu unasemaje hujaliongelea....Kuna wale wanandoa unakuta wanataniana na watu wanaitana mke mume au majina YA mahaba
Hilo la simu, sishauri watu kupekuana.

Mnachotakiwa ni kuheshimiana pamoja na kulindana

Simu zinaleta magomvi mengi sana ya Ndoa na mahusiano mengi kuvunjika.

Hilo la kutaniana na opposite sex, sishauri lifanyike.

Mnaweza jikuta utani umezidi hadi mkajikuta mnasalitiana na wapenzi wenu wa Ndoa.
 
Masikio yao yapo kama mapambo tu shoga yangu. Siku hizi namsemea kwa Mungu aseme na kiumbe chake
Hutakiwi kuchoka kumwelekeza, Kuna wakati ataona umuhimu wa hicho unachomwambia hivyo atajirudi tu
 
Hiyo namba sita si bora waniue,, yaani niangalizie mechi nyumbani kabisa na ubishi huu wote nilionao ntamfanyia nani sasa,,
Hutakiwi Kila mechi uende nje kuangalia, sometimes mechi moja moja unaangalizia nyumbani.

Hapa nilipo nasubiria mechi ya Arsenal ya UEFA champions league, nitaangalizia home.

Nawapa kampani kidogo familia, wajue Baba mwenye nyumba Leo yupo nyumbani 👊
 
Badi sijaingia chamani babu nitakapoingia nitakua naweka mambo wazi
Hahaha......... nimependa ahadi yako, nitafurahi ukiitimiza utakapoingia Chamani, japo wengi huongozwa na Usiri.

Unakuta hata Mume hajui 🙌
 
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la wandoa wapya ama Wapenzi waliokuwa wakiishi pamoja Kwa muda mrefu kuingia Kwenye migogoro na hatimaye Ndoa zao kuvunjika ama wakati mwingine uchumba wao wa muda mrefu kuvunjika.

Tukiwa kama Wazazi ama watu tulioishi na kupitia mahusiano tunaweza kuwa na cha kuwafunza Vijana wetu wanaotarajia kuingia Kwenye maisha ya Ndoa ama Wapenzi wapya ili kuwasaidia kupunguza migogoro isiyo ya lazima kwenye maisha yao ya mahusiano.

Kwa maoni yangu, yafuatayo hapa chini ni baadhi ya mambo madogo dogo ambayo ukifanya yanaweza kuzalisha migogoro isiyo ya lazima Kwa wapenzi ama Wanandoa watarajiwa;

Mosi, Kutokula Chakula kilichoandaliwa na Mke wako/Mpenzi wako.
Kuna baadhi ya Wanaume wenzetu, kupitia mizunguko waifanyayo Mchana kutwa, huwapelekea wakati mwingine kula huko huko, hivyo wanapokuwa wamerudi nyumbani kwao kushindwa kula chakula kilichoandaliwa na Mke/Mpenzi wake. Jambo hili halina afya kabisa kwenye maisha yenu ya Ndoa na mapenzi, hata kama ulilazimika kula huko Mtaani, hakikisha unaacha sehemu ya kula chakula alichokuandalia Mkeo/mpenzi wako.

Pili, Kunyoa mavuzi kabla ya kusafiri ama ukiwa huko huko safarini.
Kufanya hivyo kuna mjengea mwenzako taswira ya kuhisi kwamba uendapo unaenda kuchekupa ama ukiwa huko huko safarini ulichepuka ndiyo maana umerudi umeshanyolewa huko Ikulu ndogo.

Tatu, Kupunguza ghafla idadi ya round Kwa Mkeo ama Mpenzi wako mara baada ya kurudi kutoka safari, hii moja Kwa moja mpenzi wako atahisi ulipotoka umetumika sana, hivyo nguvu wamekumaliza.

Nne, Kutoa manii(shahawa) kidogo mara baada ya kurudi safari yako ya kikazi.
Unapokuwa haujashiriki ngono muda mrefu iwe Siku 3,4 ama Wiki ukikutana na Mkeo/mpenzi wako lazima utakojoa manii nzito nzito, iwapo utakuwa umetumika Siku kadhaa nyuma kabla ya kurudi nyumbani, Mkeo anaweza kujua hivyo kuzalisha migogoro isiyo ya lazima.
Ndiyo maana Wazee wenu badala ya kunywa soda tunaagiza Korosho ama Karanga mbichi ili kufukia mashimo mashimo ya njiani.

Tano, Kuchati na simu muda mwingi wa Usiku unapokuwa nyumbani na familia.
Hii hata kama Mkeo/Mpenzi wako hana D mbili lakini atahisi unamchepuko wako unaochati nao muda huo.

Sita, kwenda kuangalia Mpira kwenye Mabaa wakati nyumbani umefunga DStv/Azam Tv.
Hata kama hajawahi kukwambia, lakini jambo hili lazima linamkera mwenzako, na kuna Siku litawaletea migogoro isiyo ya lazima.

Saba, Kucheza Vikoba ama kukopa Mikopo mbalimbali pasipo kumshirikisha Mume wako.
wapo baadhi ya Wanandoa/Wapenzi wanakopa fedha/Vyombo pasipo kumshirikisha Mume wake, Mume anakuja kujua baada ya Mke kufatwa na kudaiwa yeye akiwepo ama wakati mwingine kutumia fedha aliyoachiwa ya Matumizi kulipa madeni kisha familia kushindwa kula Siku hiyo.

Haya ni baadhi ya mambo madogo dogo ambayo yanamkera mwenzi wako na wakati mwingine ndiyo chanzo cha migogoro mingi katika Ndoa na maisha mengi ya mahusiano.

Yapo mengine mengi ambayo mnahisi yatakuwa ndiyo chanzo cha hiyo migogoro katika mahusiano yetu.

Tunaweza kusaidiana kushea ili kuwasaidia Wanandoa wapya ama Wapenzi watarajiwa.
Kwa hoja hizi, ni wazi kabisa ndoa ni kifungo kwa mwanaume na ni mpimbavu tuu ndio atakayekubali kufungwa
 
Kwa hoja hizi, ni wazi kabisa ndoa ni kifungo kwa mwanaume na ni mpimbavu tuu ndio atakayekubali kufungwa
Unataka kusema na Wazee wetu ambao wapo pamoja na Mama zetu kwenye Ndoa, nao wapo kifungoni

Maturity ya Mwanaume inapimwa na uwezo wa ku-handle ishu za familia ikiwemo Ndoa yake
 
Mwambie ajaribu
Ndiyo tupo kuorodhesha mahitaji ya Posa, tumeshaandika Koti la Babu pamoja na Blanket la Bibi...

Jumapili mapema, jiandae kutupokea Wageni 🤗
 
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la wandoa wapya ama Wapenzi waliokuwa wakiishi pamoja Kwa muda mrefu kuingia Kwenye migogoro na hatimaye Ndoa zao kuvunjika ama wakati mwingine uchumba wao wa muda mrefu kuvunjika.

Tukiwa kama Wazazi ama watu tulioishi na kupitia mahusiano tunaweza kuwa na cha kuwafunza Vijana wetu wanaotarajia kuingia Kwenye maisha ya Ndoa ama Wapenzi wapya ili kuwasaidia kupunguza migogoro isiyo ya lazima kwenye maisha yao ya mahusiano.

Kwa maoni yangu, yafuatayo hapa chini ni baadhi ya mambo madogo dogo ambayo ukifanya yanaweza kuzalisha migogoro isiyo ya lazima Kwa wapenzi ama Wanandoa watarajiwa;

Mosi, Kutokula Chakula kilichoandaliwa na Mke wako/Mpenzi wako.
Kuna baadhi ya Wanaume wenzetu, kupitia mizunguko waifanyayo Mchana kutwa, huwapelekea wakati mwingine kula huko huko, hivyo wanapokuwa wamerudi nyumbani kwao kushindwa kula chakula kilichoandaliwa na Mke/Mpenzi wake. Jambo hili halina afya kabisa kwenye maisha yenu ya Ndoa na mapenzi, hata kama ulilazimika kula huko Mtaani, hakikisha unaacha sehemu ya kula chakula alichokuandalia Mkeo/mpenzi wako.

Pili, Kunyoa mavuzi kabla ya kusafiri ama ukiwa huko huko safarini.
Kufanya hivyo kuna mjengea mwenzako taswira ya kuhisi kwamba uendapo unaenda kuchekupa ama ukiwa huko huko safarini ulichepuka ndiyo maana umerudi umeshanyolewa huko Ikulu ndogo.

Tatu, Kupunguza ghafla idadi ya round Kwa Mkeo ama Mpenzi wako mara baada ya kurudi kutoka safari, hii moja Kwa moja mpenzi wako atahisi ulipotoka umetumika sana, hivyo nguvu wamekumaliza.

Nne, Kutoa manii(shahawa) kidogo mara baada ya kurudi safari yako ya kikazi.
Unapokuwa haujashiriki ngono muda mrefu iwe Siku 3,4 ama Wiki ukikutana na Mkeo/mpenzi wako lazima utakojoa manii nzito nzito, iwapo utakuwa umetumika Siku kadhaa nyuma kabla ya kurudi nyumbani, Mkeo anaweza kujua hivyo kuzalisha migogoro isiyo ya lazima.
Ndiyo maana Wazee wenu badala ya kunywa soda tunaagiza Korosho ama Karanga mbichi ili kufukia mashimo mashimo ya njiani.

Tano, Kuchati na simu muda mwingi wa Usiku unapokuwa nyumbani na familia.
Hii hata kama Mkeo/Mpenzi wako hana D mbili lakini atahisi unamchepuko wako unaochati nao muda huo.

Sita, kwenda kuangalia Mpira kwenye Mabaa wakati nyumbani umefunga DStv/Azam Tv.
Hata kama hajawahi kukwambia, lakini jambo hili lazima linamkera mwenzako, na kuna Siku litawaletea migogoro isiyo ya lazima.

Saba, Kucheza Vikoba ama kukopa Mikopo mbalimbali pasipo kumshirikisha Mume wako.
wapo baadhi ya Wanandoa/Wapenzi wanakopa fedha/Vyombo pasipo kumshirikisha Mume wake, Mume anakuja kujua baada ya Mke kufatwa na kudaiwa yeye akiwepo ama wakati mwingine kutumia fedha aliyoachiwa ya Matumizi kulipa madeni kisha familia kushindwa kula Siku hiyo.

Haya ni baadhi ya mambo madogo dogo ambayo yanamkera mwenzi wako na wakati mwingine ndiyo chanzo cha migogoro mingi katika Ndoa na maisha mengi ya mahusiano.

Yapo mengine mengi ambayo mnahisi yatakuwa ndiyo chanzo cha hiyo migogoro katika mahusiano yetu.

Tunaweza kusaidiana kushea ili kuwasaidia Wanandoa wapya ama Wapenzi watarajiwa.
Kujiingizia kwenye mambo ya kisiasa kama Samia haiwezi kuleta shida ?
 
Back
Top Bottom