Mambo makubwa manne niliyojifunza baada kifo cha Hayati Magufuli

Mambo makubwa manne niliyojifunza baada kifo cha Hayati Magufuli

Niko chato nilichojifunza sasa
Uraia wa Jpm ni wa mashaka
Chato na kata za jirani yake kama bwanga,runazi,muganza,buzirayombo,runzewe na buziku zimejaa warundi wanaojiita waha,
Makabila makubwa ya wilaya ya chato ni
Waha
Warundi
Wasumbwa
Wasubi
Wazinza
Wasukuma hawazidi asilimia kumi
Hitimisho
Magufuli hakuwa msukuma
Magufuli hakuwa mtanzania
Magufuli alikuwa mrundi
Kiwango chako cha ujinga imekuwa hivi?Alafu unaweza kuwa Raia wa Tanzania hata kama hujazaliwa Tanzania.
 
Habari Jf ,ni zaidi ya Mwaka sasa tangu Hayati JPM atutoke .Katika pitapita zangu mitandaoni yote ya nyumbani na kimataifa lakini pia pitapita za mitaani nlijifunza mambo makubwa manne .

1.Wazungu wameongeza kutudharau waafrika hasa watanzania ,Maana hata yule mtu aliyoonyesha muelekeo mzuri bado watanzania hawakumpenda .

2.Hakuna tofauti ya kifikra kati ya wasomi na wasio wasomi yaani tofauti kubwa ni kwamba kuna watanzania wenye Vyeti na wasio na Vyeti .

3.Watanzania ni wanafiki sana

4.Tofauti iliyopelekea tofauti kubwa ya kimaendeleo kati ya Waafrika na Wazungu ni Uwezo wa kufikiri na kuchanganua Mambo ,Afrika hususani tanzania uko Chini sana .

Mwisho kabisa Slogan ya Elimu Elimu Elimu ilikuwa na maana sana watanzania tunatawaliwa kwa very cheap politics .

Elimu bora ni muhimu sana
Sasa umesema hakuna tofaut kati ya waliosoma na wasiosoma, hafu mwisho unasisitiza umuhimu wa "elimu elimu elimu"
Mbona hueleweki
 
Kama ulivyomalizia elimu kwamba ni ya muhimu sana, huo ni ukweli usiopingika, shida ni kwamba bado elimu anayopata mtanzania haimsaidii kubadili fikra zake, ndiyo maana utakuta mtu anasema " mwaka huu nataka nikaongeze elimu " lakini ukimuuliza hiyo elimu unayotaka kuongeza unataka utatue changamoto gani?

Utasikia akisema naona mshahara mdogo pia ofisini natumwa tumwa, hivyo nataka mimi ndo niwe nawatuma tuma wengine.

Kama taifa ipo haja ya kutoa elimu ambayo watu watajitoa haswaa kubadili hali za kimaskini za watu wengi, ambao wataona ipo haja ya kutumia rasilimali vizuri kwa manufaa ya watu wengi, watu ambao wakienda shule wataumiza bongo zao kwelikweli siyo kwa ajiri maisha yao binafsi bali kwa maslahi mapana ya taifa.

Elimu! Elimu! Elimu! Shida ipo hapa.
 
Habari Jf ,ni zaidi ya Mwaka sasa tangu Hayati JPM atutoke .Katika pitapita zangu mitandaoni yote ya nyumbani na kimataifa lakini pia pitapita za mitaani nlijifunza mambo makubwa manne .

1.Wazungu wameongeza kutudharau waafrika hasa watanzania ,Maana hata yule mtu aliyoonyesha muelekeo mzuri bado watanzania hawakumpenda .

2.Hakuna tofauti ya kifikra kati ya wasomi na wasio wasomi yaani tofauti kubwa ni kwamba kuna watanzania wenye Vyeti na wasio na Vyeti .

3.Watanzania ni wanafiki sana

4.Tofauti iliyopelekea tofauti kubwa ya kimaendeleo kati ya Waafrika na Wazungu ni Uwezo wa kufikiri na kuchanganua Mambo ,Afrika hususani tanzania uko Chini sana .

Mwisho kabisa Slogan ya Elimu Elimu Elimu ilikuwa na maana sana watanzania tunatawaliwa kwa very cheap politics .

Elimu bora ni muhimu sana
Kwa hiyo kwa akili zako ulifikiri Magufuli ana akili? Yule pimbi alisoma chemistry halafu akataka kuwa mtaalamu kuliko madaktari waliosoma MUHAS. Akaleta mzaha kwenye COVID-19 nayo COVID haikumkopesha sawa na Mrundi mwenziye Nkurunzinza
 
Habari Jf ,ni zaidi ya Mwaka sasa tangu Hayati JPM atutoke .Katika pitapita zangu mitandaoni yote ya nyumbani na kimataifa lakini pia pitapita za mitaani nlijifunza mambo makubwa manne .

1.Wazungu wameongeza kutudharau waafrika hasa watanzania ,Maana hata yule mtu aliyoonyesha muelekeo mzuri bado watanzania hawakumpenda .

2.Hakuna tofauti ya kifikra kati ya wasomi na wasio wasomi yaani tofauti kubwa ni kwamba kuna watanzania wenye Vyeti na wasio na Vyeti .

3.Watanzania ni wanafiki sana

4.Tofauti iliyopelekea tofauti kubwa ya kimaendeleo kati ya Waafrika na Wazungu ni Uwezo wa kufikiri na kuchanganua Mambo ,Afrika hususani tanzania uko Chini sana .

Mwisho kabisa Slogan ya Elimu Elimu Elimu ilikuwa na maana sana watanzania tunatawaliwa kwa very cheap politics .

Elimu bora ni muhimu sana
Kwahiyo ulitaka tumkumbatie serial killer.
Right now, We just need a benevolent dictator.
 
Nakupenda JPM 😍
nani walimminia tundu lisu risasi mchana kweupe vile? kosa la lisu lilikuwa nn? nani huyu musiba aliyekuwa akieneza uzushi na kutukana watu ( yapo wapi magazeti yake?) nani alimuua alphonce mawazo? aliwafanya nn? yupo wapi ben sanane? Anzory mwana wa gwanda yupo wapi? kosa la kuhoji elimu ya mtu ni kupotezwa?
Tanzania itakuwepo JPM alikuwa shetani anayevaa suti na muumini wa mungu.
MUNGU YUPI? SIJUI
 
Habari Jf ,ni zaidi ya Mwaka sasa tangu Hayati JPM atutoke .Katika pitapita zangu mitandaoni yote ya nyumbani na kimataifa lakini pia pitapita za mitaani nlijifunza mambo makubwa manne .

1.Wazungu wameongeza kutudharau waafrika hasa watanzania ,Maana hata yule mtu aliyoonyesha muelekeo mzuri bado watanzania hawakumpenda .

2.Hakuna tofauti ya kifikra kati ya wasomi na wasio wasomi yaani tofauti kubwa ni kwamba kuna watanzania wenye Vyeti na wasio na Vyeti .

3.Watanzania ni wanafiki sana

4.Tofauti iliyopelekea tofauti kubwa ya kimaendeleo kati ya Waafrika na Wazungu ni Uwezo wa kufikiri na kuchanganua Mambo ,Afrika hususani tanzania uko Chini sana .

Mwisho kabisa Slogan ya Elimu Elimu Elimu ilikuwa na maana sana watanzania tunatawaliwa kwa very cheap politics .

Elimu bora ni muhimu sana
elimu bora ni ipi?
 
Wazungu Gani wamekwambia wanatudharau?

Jpm alikua na mazuri yake na mapungufu yake pia usitake kuaminisha watu kuwa alikua na mazuri mahaba yasikupe upofu.

Ukiri wako kuwa waafrica tuna uwezo mdogo WA kifikra tayari ni tatizo. Kuhusu Hali ya Africa majira na nyakati za kuitawala dunia zitakuja pia Maana Mungu ndio hupanga majira na nyakati za mataifa.

Nikukumbushe kwamba Misri ilishawahi kuitawala dunia. China iliyotawaliwa Leo inapanda kileleni.
Iran Babel ilishatawala dunia. Roma imeshatawala dunia. Changamoto zilizopo Africa ndio zitazoifanya Africa kuinuka.
Ah ah... Africa ambayo baadhi ya nchi zimejaa mang'ombe km Tanzania according to CCM tusubili miaka million 5 ivi kuinuka
 
nani walimminia tundu lisu risasi mchana kweupe vile? kosa la lisu lilikuwa nn? nani huyu musiba aliyekuwa akieneza uzushi na kutukana watu ( yapo wapi magazeti yake?) nani alimuua alphonce mawazo? aliwafanya nn? yupo wapi ben sanane? Anzory mwana wa gwanda yupo wapi? kosa la kuhoji elimu ya mtu ni kupotezwa?
Tanzania itakuwepo JPM alikuwa shetani anayevaa suti na muumini wa mungu.
MUNGU YUPI? SIJUI
Nampenda sana JPM 😍
 
Habari Jf ,ni zaidi ya Mwaka sasa tangu Hayati JPM atutoke .Katika pitapita zangu mitandaoni yote ya nyumbani na kimataifa lakini pia pitapita za mitaani nlijifunza mambo makubwa manne .

1.Wazungu wameongeza kutudharau waafrika hasa watanzania ,Maana hata yule mtu aliyoonyesha muelekeo mzuri bado watanzania hawakumpenda .

2.Hakuna tofauti ya kifikra kati ya wasomi na wasio wasomi yaani tofauti kubwa ni kwamba kuna watanzania wenye Vyeti na wasio na Vyeti .

3.Watanzania ni wanafiki sana

4.Tofauti iliyopelekea tofauti kubwa ya kimaendeleo kati ya Waafrika na Wazungu ni Uwezo wa kufikiri na kuchanganua Mambo ,Afrika hususani tanzania uko Chini sana .

Mwisho kabisa Slogan ya Elimu Elimu Elimu ilikuwa na maana sana watanzania tunatawaliwa kwa very cheap politics .

Elimu bora ni muhimu sana
Rubbish
 
Uko sahihi.

Kilichomuua ni ubabe wa kiuchumi. Hayo mengine yanahusu kutia doa legacy yake mwenyewe.

Wazungu ukiwapa wanachokitaka they don't give a damn kuhusu demokrasia na haki za binadamu. Ila ukiwabana kama alivyofanya marehemu wanazitumia kama njia ya kukufutilia mbali...
JPM alikuwa na mikakati gani ya maana ya uchumi? Kupora wakulima korosho? Kufunga mipaka na nchi jirani? Kupora watu wa bureau fedha? vitambulisho vya machinga?
 
Sema kinachonishangaza kuhusu wazungu ni umoja wao linapokuja suala la maslahi yao. Wataparurana wee lakini linapokuja kuhusau Urusi au China haijalishi ni democrat au republican, haijalishi ni cnn au fox news, reuters au new york times, wote lao ni moja.

Ila njoo kwa waafrika sasa. Takataka kabisa.
Waafrika wapumbavu kama JPM walikua radhi kuua na kufilisi watu kisa tofauti ya mawazo
 
Nilimshangaa sana Lissu na tantalila zake za miga. Sema pia nishawahi kusoma makala kuhusu namna CIA na western intelligence organisation zinavyofanya kazi na kuwarubuni influential people wa nchi mbali mbali duniani: silaha yao ya kwanza ni pesa, ukigoma kwa pesa, wanakuvizia kwenye weakness yako nyingine ili uwe upande wao. Kwa Lissu asingetoboa kwa pesa ya muzungu. Na kwa mpunga mrefu wa wazungu I doubt kama kuna wanasiasa wetu njaa hawa anaeweza kidindia maslahi ya taifa.
Vip kuhusu tantalila za trilioni 360 za Magufuli?
 
Niko chato nilichojifunza sasa
Uraia wa Jpm ni wa mashaka
Chato na kata za jirani yake kama bwanga,runazi,muganza,buzirayombo,runzewe na buziku zimejaa warundi wanaojiita waha,
Makabila makubwa ya wilaya ya chato ni
Waha
Warundi
Wasumbwa
Wasubi
Wazinza
Wasukuma hawazidi asilimia kumi
Hitimisho
Magufuli hakuwa msukuma
Magufuli hakuwa mtanzania
Magufuli alikuwa mrundi
Naunga Mkono Hoja
 
Niko chato nilichojifunza sasa
Uraia wa Jpm ni wa mashaka
Chato na kata za jirani yake kama bwanga,runazi,muganza,buzirayombo,runzewe na buziku zimejaa warundi wanaojiita waha,
Makabila makubwa ya wilaya ya chato ni
Waha
Warundi
Wasumbwa
Wasubi
Wazinza
Wasukuma hawazidi asilimia kumi
Hitimisho
Magufuli hakuwa msukuma
Magufuli hakuwa mtanzania
Magufuli alikuwa mrundi
Naunga Mkono Hoja
Ukiacha Mwendakuzimu Jiwe, ushawahi kusikia Mbongo yeyote anaitwa Magufuli
 
Back
Top Bottom