Mambo makubwa manne niliyojifunza baada kifo cha Hayati Magufuli

Jiwe alikufa Kwa Uzembe wake Mwenyewe
Aliidharau sana Covid
 
Yule ku.ma aliharibu nchi. Manina mnaomsifia mnalaana
 
Iyo no. 3 nimeishuhudia kwa macho yangu leo hii. Ni aibu hata kutoa ushuhuda
 
hili somo la tatu umechelewa sana kulielewa itakua wewe ni slow learner
 
18. It was when the Great Way declined that human kindness and morality arose.
19. Banish wisdom, discard knowledge...
 
Kabisa kabisa !! Ni U- selfishness kwa kwenda mbele !!
 

Maku koya wewe
 
Mimi nilijua watanzania wana unafiki mwingi kipindi cha Corona plandemic maana walipiga sana kelele za kuvaa barakoa, kukaa ndani, na mbwembwe nyingine ambazo ni matunda au matokeo ya kumezeshwa idea na mabwana zao wa magharibi.

Ila magu akakomaa na kuwaaibisha wazungu vibaya sana kuwa maneno yenu ni 100% rubbish na hayana ushahidi wa kisayansi. Hadi wakaona wam'malize ili asiendelee kuwaprove wrong.

Ila sasa hawa raia wa taifa hili wasio na shukrani wala aibu leo wanarudi kule kule walipokataa kwenda wakati Magufuli anawaelekeza kwenda na wanamsema vibaya nyuma ya pazia.
 
Kabisa mkuu. Umesema vema sana.
 
Mkuu, sio Waafrika wote.
 
kuna namba hapo inamuhusu kabudi
 
Kwa hiyo wewe umeona la barakoa tu? Wapumbavu ninyi ndio mnalirudisha taifa nyuma
 
Chawa wengi
 
Aisé umepiga mule mule. Watanzania tuna ushamba wa maendeleo na ushamba wa wazungu
 
Yeah angewatumia wapinzani kama hunting dog angefika mbali aliwaamini sana CCM. Yani unawapa wapinzani agenda then CCM wanaishika hatua za mwisho wanashinda. Aliweza fanya siasa ila hapo ndio alishindwa kutumia kila mtu
 
Umesahau msomaji wa vifo mwandosya yule bwana kipindi magufuli yupo hai kila siku alikua anatangaza vifo. Ila jpm alipokufa ndugu zake nao wakaacha kufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…