Jiwe alikufa Kwa Uzembe wake MwenyeweUko sahihi.
Kilichomuua ni ubabe wa kiuchumi. Hayo mengine yanahusu kutia doa legacy yake mwenyewe.
Wazungu ukiwapa wanachokitaka they don't give a damn kuhusu demokrasia na haki za binadamu. Ila ukiwabana kama alivyofanya marehemu wanazitumia kama njia ya kukufutilia mbali...
Yule ku.ma aliharibu nchi. Manina mnaomsifia mnalaanaHabari Jf ,ni zaidi ya Mwaka sasa tangu Hayati JPM atutoke .Katika pitapita zangu mitandaoni yote ya nyumbani na kimataifa lakini pia pitapita za mitaani nlijifunza mambo makubwa manne .
1.Wazungu wameongeza kutudharau waafrika hasa watanzania ,Maana hata yule mtu aliyoonyesha muelekeo mzuri bado watanzania hawakumpenda .
2.Hakuna tofauti ya kifikra kati ya wasomi na wasio wasomi yaani tofauti kubwa ni kwamba kuna watanzania wenye Vyeti na wasio na Vyeti .
3.Watanzania ni wanafiki sana
4.Tofauti iliyopelekea tofauti kubwa ya kimaendeleo kati ya Waafrika na Wazungu ni Uwezo wa kufikiri na kuchanganua Mambo ,Afrika hususani tanzania uko Chini sana .
Mwisho kabisa Slogan ya Elimu Elimu Elimu ilikuwa na maana sana watanzania tunatawaliwa kwa very cheap politics .
Elimu bora ni muhimu sana
Thanks to COVID-19Kwa hiyo kwa akili zako ulifikiri Magufuli ana akili? Yule pimbi alisoma chemistry halafu akataka kuwa mtaalamu kuliko madaktari waliosoma MUHAS. Akaleta mzaha kwenye COVID-19 nayo COVID haikumkopesha sawa na Mrundi mwenziye Nkurunzinza
Una ushahidi au unaendeshwa kwa hisia tu ?Yule ku.ma aliharibu nchi. Manina mnaomsifia mnalaanaView attachment 2371951View attachment 2371952View attachment 2371953View attachment 2371954
Mbona hukusema?Hayo mimi nilishayajua hata kabla the late JPM hajaingia madarakani. Asante lkn
Kabisa kabisa !! Ni U- selfishness kwa kwenda mbele !!Wazungu wako hivyo. Gusa maslahi yao uone moto utakaokuwakia. Itapelekwa hoja ya dharula bungeni na hutaona cha Republican au Democrat. Wote wamoja inapokuja kwenye maslahi ya taifa. Wakitoka hapo kama kawa wanaendelea kuparurana huko.
Sisi shida ni ubinafsi. Kila mtu anapigania tumbo lake, familia yake (kwa mtazamo wa Kiafrika) na marafiki zake wachache. Hakuna kuangalia mambo ya legacy. Miaka 100 ijayo historia ya taifa langu itanikumbukaje. Watu hawa masikini ninaowaongoza nitawasaidiaje angalau waweze kupata huduma zao za msingi. Nooo! Ni kuiba tu na kutajirika kupindukia. Bado sana yaani!
Niko chato nilichojifunza sasa
Uraia wa Jpm ni wa mashaka
Chato na kata za jirani yake kama bwanga,runazi,muganza,buzirayombo,runzewe na buziku zimejaa warundi wanaojiita waha,
Makabila makubwa ya wilaya ya chato ni
Waha
Warundi
Wasumbwa
Wasubi
Wazinza
Wasukuma hawazidi asilimia kumi
Hitimisho
Magufuli hakuwa msukuma
Magufuli hakuwa mtanzania
Magufuli alikuwa mrundi
Kabisa mkuu. Umesema vema sana.Ukiwaingilia wazungu ulaji wao hutoboi. Nasema hutoboi! Wamezoea kujichotea madhahabu, gesi na madini mengine karibu na bure halafu wewe utoke huko ulikotoka uje uwanyang'anye? Who are you?
We jiulize. Baada tu ya kufariki, habari za ikulu na siri za serikali zikaacha kuvuja. Wanaharakati wote (Kimambi, Maria, Ngurumo, Chahali, Kigogo, Fatuma, Zitto, TL...) ghafla wakawa kimya. Hata wapinzani nao kimyaa eti maafikiano wakati mpaka leo hawawezi kufanya mikutano na kunadi sera zao. Hata Amsterdam aliyekuwa anafungua kesi kila leo ili mteja wake aruhusiwe kurudi nchini kimyaa japo mteja wake bado hajarudi...
Waafrika (isomeke watu weusi duniani kote) hatujui tunachokitaka acha tu wazungu waendelee kutuibia na kututawala mpaka Yesu atakaporudi. Kila mtu anawaza kuiba na kujinufaisha yeye, familia yake na marafiki. There is no hope for Africans labda ifike mahali tubadili kabisa falsafa na mitazamo yetu. Na hii itachukua vizazi kadhaa.
JPM alikuwa kiongozi sahihi kuhusu ubabe wa kiuchumi na angekuwa savy na kuacha tu kutumia maguvu kwa waliomkosoa angeifikisha nchi hii pazuri sana. Hakukuwa na haja ya kuvunja haki za binadamu na kuchafua demokrasia namna ile. Angekuwa savy kama mama pengine angekuwa hai na tungekuwa tunasonga mbele.
He sabotaged himself na kutia doa legacy yake mwenyewe...na matokeo yake wenye dunia yao wakatumia kisingizio cha uvunjaji wa haki za binadamu na ukosefu wa demokrasia (via Korona) kumwondoa.
Mkuu, sio Waafrika wote.Wazungu Gani wamekwambia wanatudharau?
Jpm alikua na mazuri yake na mapungufu yake pia usitake kuaminisha watu kuwa alikua na mazuri mahaba yasikupe upofu.
Ukiri wako kuwa waafrica tuna uwezo mdogo WA kifikra tayari ni tatizo. Kuhusu Hali ya Africa majira na nyakati za kuitawala dunia zitakuja pia Maana Mungu ndio hupanga majira na nyakati za mataifa.
Nikukumbushe kwamba Misri ilishawahi kuitawala dunia. China iliyotawaliwa Leo inapanda kileleni.
Iran Babel ilishatawala dunia. Roma imeshatawala dunia. Changamoto zilizopo Africa ndio zitazoifanya Africa kuinuka.
Kwa hiyo wewe umeona la barakoa tu? Wapumbavu ninyi ndio mnalirudisha taifa nyumaMimi nilijua watanzania wana unafiki mwingi kipindi cha Corona plandemic maana walipiga sana kelele za kuvaa barakoa, kukaa ndani, na mbwembwe nyingine ambazo ni matunda au matokeo ya kumezeshwa idea na mabwana zao wa magharibi.
Ila magu akakomaa na kuwaaibisha wazungu vibaya sana kuwa maneno yenu ni 100% rubbish na hayana ushahidi wa kisayansi. Hadi wakaona wam'malize ili asiendelee kuwaprove wrong.
Ila sasa hawa raia wa taifa hili wasio na shukrani wala aibu leo wanarudi kule kule walipokataa kwenda wakati Magufuli anawaelekeza kwenda na wanamsema vibaya nyuma ya pazia.
Chawa wenginaongezea na ni muhimu : watanzania wanapenda kusifia sana hata kama kuna madhara wanayoyapata wao ni sifa tu. wanamsifia mama kuliko mungu. watanzania wengi hawajui kujisemea hata gharama za maisha zipande vipi wao kimya. watanzania wengi asubuhi mpaka jioni kuzungumzia mpira.watanzania wengi maisha yao ni dili dili awe offisi za umma au za serikalia au binafsi
Yeah angewatumia wapinzani kama hunting dog angefika mbali aliwaamini sana CCM. Yani unawapa wapinzani agenda then CCM wanaishika hatua za mwisho wanashinda. Aliweza fanya siasa ila hapo ndio alishindwa kutumia kila mtuUkiwaingilia wazungu ulaji wao hutoboi. Nasema hutoboi! Wamezoea kujichotea madhahabu, gesi na madini mengine karibu na bure halafu wewe utoke huko ulikotoka uje uwanyang'anye? Who are you?
We jiulize. Baada tu ya kufariki, habari za ikulu na siri za serikali zikaacha kuvuja. Wanaharakati wote (Kimambi, Maria, Ngurumo, Chahali, Kigogo, Fatuma, Zitto, TL...) ghafla wakawa kimya. Hata wapinzani nao kimyaa eti maafikiano wakati mpaka leo hawawezi kufanya mikutano na kunadi sera zao. Hata Amsterdam aliyekuwa anafungua kesi kila leo ili mteja wake aruhusiwe kurudi nchini kimyaa japo mteja wake bado hajarudi...
Waafrika (isomeke watu weusi duniani kote) hatujui tunachokitaka acha tu wazungu waendelee kutuibia na kututawala mpaka Yesu atakaporudi. Kila mtu anawaza kuiba na kujinufaisha yeye, familia yake na marafiki. There is no hope for Africans labda ifike mahali tubadili kabisa falsafa na mitazamo yetu. Na hii itachukua vizazi kadhaa.
JPM alikuwa kiongozi sahihi kuhusu ubabe wa kiuchumi na angekuwa savy na kuacha tu kutumia maguvu kwa waliomkosoa angeifikisha nchi hii pazuri sana. Hakukuwa na haja ya kuvunja haki za binadamu na kuchafua demokrasia namna ile. Angekuwa savy kama mama pengine angekuwa hai na tungekuwa tunasonga mbele.
He sabotaged himself na kutia doa legacy yake mwenyewe...na matokeo yake wenye dunia yao wakatumia kisingizio cha uvunjaji wa haki za binadamu na ukosefu wa demokrasia (via Korona) kumwondoa.
Umesahau msomaji wa vifo mwandosya yule bwana kipindi magufuli yupo hai kila siku alikua anatangaza vifo. Ila jpm alipokufa ndugu zake nao wakaacha kufaWanaHarakati wa Tanzania Mange, Maria Sarungi, Kigogo 14, Fatma Karume, Zitto huyu ni Mdini sana, Tundu Lissu huyu ni pesa mbele. Wooote wakati wa JPM walinunuliwa na kupewa Pesa ili wamshambulie JIWE sasa hivi kimiaaaaaa hawaongei cha CORONA wala MFUMUKO WA BEI ni wahuni wahuni tuuuuu na Unafiki mwiiiingi
HakikaAisé umepiga mule mule. Watanzania tuna ushamba wa maendeleo na ushamba wa wazungu