Mambo mawili yanafanya nisiusamehe utawala wa Awamu ya Tano

Basi usiusamehe tujue moja
 
So we unaandika kutokea kuzimu [emoji23][emoji23][emoji16][emoji22][emoji22] husamehi Vipi ! Ila alokuumba ana samehe we umekua Nani !! Au we unajikuta msafi sana [emoji3][emoji23][emoji23] pole sana
Jiwe alivunja rekodi ya uhalifu na ufirisi kwakweli
 
Mimi hata ajira sijawahi itafuta. Napiga mishe zangu tu, sasa unaposema cheti feki huoni kama unajifanya mpumbavu kama Jiwe
Upate wapi iyo ajira elimu ya kuiba mitihani pambana na hali yako
 
Mbona jiwe aliuona ukichaa wake mpaka akawa anasema adharani kuwa yeye ni kichaa?
Kumbe we ni ndumilakuwili unaangalia baadhi ya maneno na kumkubali Mwamba wa duniani JPM [emoji848]

Sasa mbona aliposema hakuna COVID 19 msihangaike na dawa za mabeberu hukukubali hatimaye ukaweka watu lock down na barakoa za usanii kibao ila bado hakuna lolote zaidi ya kufata msimamo wake JPM na kuamini hakuna COVID 19 [emoji848][emoji847]
 
Una ushahidi kuwa alipeleka fedha za maendeleo Moshi? He was a cursed man. Ndiyo maana akafia ikulu kinyume na propaganda walizokuwa wanatuletea CCM kuwa Lowassa ndiye angefia ikulu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…