Mambo mawili yanafanya nisiusamehe utawala wa Awamu ya Tano

Siasa=sihasa !! ??
 
Then Covid-19 ikamfanyaje?
 
Sasa undhani wote ni wanyonge kama wewe? Naamini hata nikiweka CV yangu hapa hakuna hata

Eti hyo elimu ya memkwa ukoo gani wa maana zaidi ya walevi na waizi
Unamtisha nan elimu huna hats ugunduzi kugombani palr utumishi umedunda tatizo huko nyuma kuiba mitihani kucopy assignment chuo mpaka rsearch unadhani utamudu interview

Kawatishe huko kijijini kwenu maana hawana elimu
mmoja kwenye ukoo wako anaweza fikiaet
 
Daaa,ila lissu ana moyo wa paka aisee,risasi moja mtu anakuwa tayari yupo akhera kuimba pambio but yenye risasi lukuki still anasurvive...kweli kama Mungu hajaamua hajaamua tu
 
Ila we hujauwawa wala hujafa?

Una tofauti gani na motivational speakers wa kulima matikiti tu hadi kujenga ghorofa nakati muda huo hawana hata banda la kuku na wanaishi tu kwa Shemeji zao [emoji848][emoji19]
Kwa mpaka limkute yeye ndo aseme hayo? Hoja mfu..!!!Makosa yanakuwa makosa pale yanapopinga na taratibu zilizowekwa na jamii husika... Kama madhara ya makosa hayo hayajakupata wewe, HAIHALALISHI MAKOSA HAYO
 
3. Kulazimisha Uchaguzi wa vitongoji na Miata wa 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020 uwe wa watu wa CCM tu.

Halafu bado Watanzania wajinga wanasema alifanya mengi mazuri!! Wajinga sana kwa kweli
 
Tulipigwa Watanzania kuwa na Kiongozi ya Aina ya yule Mtu

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Ukistaajabu ya Musa utaona ya Furauni.
 
Kwa kweli ile awamu ilikuwa inatupeleka kubaya kutengeneza ulemavu kwa baadhi ya watu,kufilisi uchumi wa nchi na wananchi kwa ujumla,kuua demokrasia nchini,ile awamu ni ya kikatili sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…