Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

EPISODE 6: The new Office

This is just an advice, when joining a new office it's important to avoid coming across as someone who knows too much. (u-much know unaweza kukucost)


Niliweza kujiunga na shirika jipya huku nikiwa nimejipanga kukabiliana na mazingira mapya yakazi, watu tofauti na wale niliowazoea lakini pia huku majukumu yaliongezeka kidogo na hata kasali kalikuwa na ahueni. Nilipokelewa pale kazini vizuri tu na kufanyiwa proper orientation. Utofauti ulikuwa mkubwa sana wakimazigira pamoja na structure ya uendeshaji wa ofisi kwani huku kwa sasa kulikuwa na idara nyingi nyingi ambazo zilikuwa na line managers ambapo mimi niliajiriwa pale idara ya ruzuku nikiwa ni mmoja wa maofisa usimamizi wa ruzuku (Program Officer – Grants). Nakumbuka kwenye ile nafasi tuliajiriwa wawili mimi pamoja na mwenzangu mmoja alikuwa kibonge hivi. Kwenye hii stori nitamwita Big.

Wiki ya tatu tu wakati nikiwa nimeanza kuzoea zoea kidogo mazingira nilipata very shocking news, that Dr KJ my former boss passed away. Nakumbuka nilikuwa nipo kwenye mkutano wakawaida wa wafanyakazi wa idara yetu nilipoona simu ya PS nikajua huyu labda kwa ni ijumaa hii basi ananitafuta labda twende kwenye mtoko maana aliniambia angenitafuta. Nikampotezea kwanza ili nimalize meeting. Kidogo nikana simu ya yule dereva na muhasibu wananipigia nikaona hii mbona kama haijawa sawa. Ikabidi nitoke nikapokee ya dereva ndio kuniambia Dr KJ is no more. Aisee nilipawtwa na mshtuko sana. Nikaconfirm kwa kumpigia mhasibu na PS. PS ndio akawa hajiwezi kabisa yaani anaongea huku analia tuu. Kwakweli ule zile habari ziliniumiza sana sikuweza tena kuendelea na kikao. Ikabidi niombe ruhusa pale niende msibani muda ule ule.

Kiufupi yale maradhi yaliyokuwa yanamsumbua KJ ndiyo yaliyopelekea kifo chake. Basi tukaorganize pale pamoja na wafanyakazi wengine tukaenda wote msibani. Kwahiyo ile weekend yote nilihudhuria msibar wa Dr KJ mpaka tulipomaliza kuzika. Wakati wa kuaga hakika nilitoa chozi la uchungu sana japo kisirisiri maana nilikumbuka mengi sana na mchango wake mkubwa katika kuniingixa kwenye ulimwengu wa ajira rasmi na decent. Japokuwa alikuwa na madhaifu yake lkn mchango wake kwangu ulikuwa mkubwa sana, Mr KJ aliniheshimisha sana mjini kwani maisha yalishanipiga sana ni yeye ndio aliyenipa ramani. Nakumbuka kuna kipindi baadhi ya madogo waliokuwa nyuma yangu kule chuoni ambaye pia alikuwa anawafundisha walinipigia simu za kunipongeza. Mwamba kama ilivyo kawaida ya masifa yake nasikia alikuwa anawaonyesha picha tuliyopiga ya wafanyakazi ya ofisi na kuwauliza darasani kama wananijua. Nasikia alikuwa ananifagilia kinoma noma kwamba amepata jembe ofisini kwake na alikuwa anafikiria hata kuniachia ofisi. Sema tu sifa zake ziliniletea matatizo kwa madogo maana aliwaambia mshahara anaolipa ni mkubwa sana (yeye aliwatajia mara nne ya kiasi alichokuwa ananilipa hahaha) kitu ambacho kilisababisha wale madogo wawe wananipiga sana mizinga. Kiufupi tu mwamba namkumbuka hadi kesho na kuna vitu ninavyo hadi leo kama kumbukumbu yake kwangu. RIP Dr, daima utaendelea kuwa mtu muhimu sana kwangu.

Anyway ya maamuzi ya Mungu hatupaswi kulalamikia sana tuendelee na stori yetu. Basi baada ya mazishi niliendelea na kazi kama kawaida. Sasa hii ofisi ilikuwa na watu sana ukilinganisha na kule nilipotoka. Mfano sisi kwenye department yetu pekee tulikuwa kama 16 hivi, hapo ongezea na wa idara nyingine. Kama nilivosema tuliingia mimi na Big tukiwa ndio newcomers –pale. Kwa kile kkipindi cha wiki mbili tu za mwanzo mwenzangu Big alikuwa ameshazoeana na watu wa karibia ofisi nzima na kwa muda mfupi akaanza mpaka kushirikishwa kwenye madili ya ofisi.

Unaju ile ofisi pamoja na shughuli nyingine ilikuwa pia inadili na mambo ya kugawa ruzuku kwa NGOs nyingine ili wakatekeleze miradi mbalimbali sasa kwa wazoefu wa pale kuna vimichezo walikuwa wanaicheza wanapiga piga vijisenti kwa njia za panya wanazozijua wao. Hii ilikuwa ni seriously unacceptable behavior na ukibainika unapiga hizo ilikuwa kwamba you are terminated on the spot. Na nakumbuka CEO wa lile shirika alikuwa hana msalie mtume katika hizo ishu. Kuna stori niliikuta pale kwamba CEO aliwahi kutimua department nzima ya grants kisa upigaji, akaanza kuajiri upya.hii idara ya grants ndio ambayo inahusika moja kwa moja na kureview proposals, ku-recoomen nani apate nani akose kulingana na vigezo na kusimamia miradi pale ofisini pamoja na kwenda field kuwakagua. Ilikuwa ni department ambayo imekaa kimtego mtego na kiushawishi sana na ilikuwa ukimaliza contarct yako ya miaka mine basi utapongezwa kwa kupewa zawadi ya pesa za kutosha before hujarenew mkataba. Yaani mimi tangu nilipofika pale before hata sijamaliza probation ya miezi mitatu nilishuhudia watu wanne wakitimuliwa. Balaa unaambiwa CEO alikuwa na informers wake nchi nzima utafikiri CIA ya Marekani.

Basi bhana turudi sasa kwa bwana Big. Big bhana nimeingia naye pale wiki moja tu keshazoeleka kwenye idara (halafu ile idara yetu wanaume tulikuwa watatu tu wengine wote wanawake). Wiki ya tatu ofisi nzima Bigii Bigii - Bigi Big Kweli. Big mtu wa mastory, Big mtu wa totoz, Big hana baya na mtu. Mda mfupi kila mtu pale ofisini anajua Big anashabikia utopolo kwa hapa bongo kwa nje anaipenda Liva. Mda mfupi tu k=watu wote tunajua big anapenda kwenda viwanja flani vya kujirusha weekend. Yaani ndani yam da fupi hata mwezi bado watu wote tunajua mambo mengi ya Big ya nje ya kazi, yaani mambo yake binafsi.

Iyo haikuwa kesi maana hizo ni character za mtu kiukweli hata mimi nilikuwa nainjoy kampani yake. Maana sometime Big alikuwa lesi hata kwenye kudai haki zake msingi. Mfano kuna siku sina hili wala lile nipo zangu napambana na majukumu yangu nashangaa naitwa kwa Meneja utawala. Kufika ofsini namkuta Big naye yupo. Mara yule meneja akaniuliza na wewe unataka mkopo? Ile ofisi walikuwa na utaratibu unaweza kukopa advance salali mpaka ya miezi 7 kwa hiyo utakuwa unakatwa kiasi cha pesa kulingana na muda wa mkataba mtakavyokubalina. Mimi nikashangaa, mkopo tena imekuwaje mbona mimi sijataka huo mkopo. Ndio yule meneja kunipa taarifa kwamba Bwana Big amejaza fomu za advance salary na kutaka mkopo wa miezi saba. Akaendelea kusema kwamba alipomwelekeza kwamba ni amalize probation bwana Big akawa anaforce kama vipi tupewe maana hata mimi nina shida na hela so nimemtanguliza yeye akajaribu.

Nikaona duu hii sasa soo. Kwa hiyo meneja ndio ananiuliza kama na mimi nataka au laa. Nikafikiri hapa Big ashaniingiza kwenye mambo yake bila ridhaa yangu lakini pia nikimtosa mooja kwa moja inaweza ikamjengea picha mbaya Big kwa yule meneja. Basi nikasema tuu ni kweli tulidiscuss pamoja na Big maana ni kipengere ambacho kipo kwenye mkataba na nilikubaliana na Big tukipata muda tufatilia so mimi bado sikupata muda muda wa kufatilia, ila kwa maelekezo hayo basi inabidi tusubiri. Yaani nilitoa sababu ya kijinga mpaka yule meneja kuna siku aliniambia kwa utani tulipozoeana kwamba siku zile alicheka sana kwani alijua fika Big kanichomekea. Kwenye hilo niliipenda ile spirit ya Big ya kuzitumia fursa vyenye vyedi.

Ila sasa bwana Big kuna mambo alikuwa anayaendea pupa sana mpaka kuna washkaji wengine pale ofsini wenye mapenzi mema walimtonya apunguze spidi ila akawa mjuaji. Sasa unajua sehemu yoyote ile kwenye michongo michongo watu wanakuwa makini hususani kwa newcomers kujaribu kuwasoma kama mnasomeka ama vipi. Basi zali la kusomeka likamdondokea bwana Big. Wataalamu wa zile kazi wakaona Big hana noma hata akielekezwa mchongo anasomeka. Mimi nikawa sisomeki yaani watu kama hawanielewi elewi hivi. Sijui niite ubaya au uzuri mimi nilijipa muda kwanza wa kuwasoma watu kabla watu hawajanisoma. Kwa hiyo mara nyingi nilikuwa msikilzaji sana na muongeaji kidogo hususani kwenye maswala ya kazi. Sikutaka kuanza kujichanganya kutoka weekend na washkaji wa pale ofisini kwa sababu zangu maalum.

Big alikuwa lesi sana unaambiwa kala hata probation haijaisha big ameshavuta usafiri.Nakumbuka mimi alinishirikisha ile plan yake ya kununua mkoko ila nikamwambia ndugu sikilizia kwanza ujue hapa hata ulikuwa na umedunduliza vijisenti vyako huko itakuwa ngumu watu kuelewa watakuweka kwenye kundi la wapigaji. Big akaniambia yeye anajua anachofanya. Nikamwambia hii italeta shida si unakumbuka ile ishu ya kulazimisha mkpo kule kwa meneja utawala anaweza akajiuliza pesa umepata wapi wakati mkopo hakuidhinisha. Big akaniambia nisijali kuhusu hizo mambo yeye amejipanga. Bai akavuta ile ndinga ilikuwa ni moja ya nding zinazokula sana wese ila ndio ilikuwa habari ya mjini kwa majanki wa enzi zile.

Big hana baya ile ndinga ilivotoka tu bandarini siku hiyo hiyo alikuja nayo ofsini na kila mtu huko parking alioneshwa. Mjengo mzima ukajua leo there is a new father car in town. Nyie si mmezo father house, sasa kuna father car ndio sisi tunaosema kujenga sijengi maana sijawahi kulala nje ila nimetembea sana kwa miguu na kuloana wacha ninunue gari. Kuna jamaa mmoja nae alikuwa ni mmoja wa washkaji wa Big ila yeye alikuwa pale mda mrefu akawa anampa madini sana Big namna ya kuyaendea mambo ofsini, ila Big akataka hadi kuvunja urafiki kwa kuona kuwa jamaa ameanza kumwangia.

Basi maisha yakaendelea pale job kama kawaida. Nakumbuka tulikuwa tumebakiza kama wiki mbili hivi kumaliza probation mimi na Big tulienda kwenye training Nairobi ya wiki tatu ili tukitoka uko tuwe tumekwiva kwa ajili kupiga mzigo kama full employees. Sasa tukiwa kule kwenye training Big akatumiwa email na line meneja wetu inatakiwa arudi ofisini mara moja. Akaniuliza kama na mimi nimetumiwa nikamwabia sijatumiwa. Sasa tukawa hatuelewi pale ni nini kinaendelea. Akili yangu mimi ikawaza labda ni matatizo ya kifamilia labda msiba unaomuhusu sana so wanaoshindwa kumwambia. Hii ikaingia hata kwenye akili ya big huenda kweli kuna tatizo la kifamilia. Akawacheki ndg zake hakuna taarifa yoyote. Siku ya pili asubuhi akapigiwa simu kutoka ofisini kwamba inabidi arudi faster. Tukachanganyikiwa sana pale, basi ikabidi jamaa abadili ticket apande mwewe arudi dar ofsini akisisitizwa akishuka eapoti hasiende hata nyumba aunganishe job.

Kufika ofsini bhana amefikia kwenye kikao chamenejiment. Kiufuoi jamaa yangu Big aliingia kwenye harakati za panya pale ofsini kwa speed sana. Alisomewa mashtaka yake na ushahidi wa kutosha kuhusu harakati za panya mpaka simu zilizorekodiwa na wadau wakipanga mambo yao. Jamaa yangu wakampiga on the sport na kuambiwa kama anahisi ameonewa anaweza kwenda mahamani ila kwa kumuhurumia mambo yasiwe na kuepukwa kufungwa achukue vyake asepe. Huo ndio ukawa mwisho wa mshkaji wangu sana Big.

Anyway weekend hii wakubwa wangu tunafanyeje? Mana kutwa nasikiliza vipindi vya redio tuu home mpaka masikio yataka kutoboka. Na watangazaji wanakera sana maana kutwa kututangazi tu kwamba huu ni mwezi wa matumizi na sherehe kwahiyo watu watumie pesa. Nyie wenzangu mnatumia wapi pesa zetu, basi mtu mmoja ajitokeze anipe mwaliko wa kushangilia pamoja Mnyama akimuua wydad kwake.​

Muendelezo soma Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa
 
EPISODE 6: The new Office

This is just an advice, when joining a new office it's important to avoid coming across as someone who knows too much. (u-much know unaweza kukucost)


Niliweza kujiunga na shirika jipya huku nikiwa nimejipanga kukabiliana na mazingira mapya yakazi, watu tofauti na wale niliowazoea lakini pia huku majukumu yaliongezeka kidogo na hata kasali kalikuwa na ahueni. Nilipokelewa pale kazini vizuri tu na kufanyiwa proper orientation. Utofauti ulikuwa mkubwa sana wakimazigira pamoja na structure ya uendeshaji wa ofisi kwani huku kwa sasa kulikuwa na idara nyingi nyingi ambazo zilikuwa na line managers ambapo mimi niliajiriwa pale idara ya ruzuku nikiwa ni mmoja wa maofisa usimamizi wa ruzuku (Program Officer – Grants). Nakumbuka kwenye ile nafasi tuliajiriwa wawili mimi pamoja na mwenzangu mmoja alikuwa kibonge hivi. Kwenye hii stori nitamwita Big.

Wiki ya tatu tu wakati nikiwa nimeanza kuzoea zoea kidogo mazingira nilipata very shocking news, that Dr KJ my former boss passed away. Nakumbuka nilikuwa nipo kwenye mkutano wakawaida wa wafanyakazi wa idara yetu nilipoona simu ya PS nikajua huyu labda kwa ni ijumaa hii basi ananitafuta labda twende kwenye mtoko maana aliniambia angenitafuta. Nikampotezea kwanza ili nimalize meeting. Kidogo nikana simu ya yule dereva na muhasibu wananipigia nikaona hii mbona kama haijawa sawa. Ikabidi nitoke nikapokee ya dereva ndio kuniambia Dr KJ is no more. Aisee nilipawtwa na mshtuko sana. Nikaconfirm kwa kumpigia mhasibu na PS. PS ndio akawa hajiwezi kabisa yaani anaongea huku analia tuu. Kwakweli ule zile habari ziliniumiza sana sikuweza tena kuendelea na kikao. Ikabidi niombe ruhusa pale niende msibani muda ule ule.

Kiufupi yale maradhi yaliyokuwa yanamsumbua KJ ndiyo yaliyopelekea kifo chake. Basi tukaorganize pale pamoja na wafanyakazi wengine tukaenda wote msibani. Kwahiyo ile weekend yote nilihudhuria msibar wa Dr KJ mpaka tulipomaliza kuzika. Wakati wa kuaga hakika nilitoa chozi la uchungu sana japo kisirisiri maana nilikumbuka mengi sana na mchango wake mkubwa katika kuniingixa kwenye ulimwengu wa ajira rasmi na decent. Japokuwa alikuwa na madhaifu yake lkn mchango wake kwangu ulikuwa mkubwa sana, Mr KJ aliniheshimisha sana mjini kwani maisha yalishanipiga sana ni yeye ndio aliyenipa ramani. Nakumbuka kuna kipindi baadhi ya madogo waliokuwa nyuma yangu kule chuoni ambaye pia alikuwa anawafundisha walinipigia simu za kunipongeza. Mwamba kama ilivyo kawaida ya masifa yake nasikia alikuwa anawaonyesha picha tuliyopiga ya wafanyakazi ya ofisi na kuwauliza darasani kama wananijua. Nasikia alikuwa ananifagilia kinoma noma kwamba amepata jembe ofisini kwake na alikuwa anafikiria hata kuniachia ofisi. Sema tu sifa zake ziliniletea matatizo kwa madogo maana aliwaambia mshahara anaolipa ni mkubwa sana (yeye aliwatajia mara nne ya kiasi alichokuwa ananilipa hahaha) kitu ambacho kilisababisha wale madogo wawe wananipiga sana mizinga. Kiufupi tu mwamba namkumbuka hadi kesho na kuna vitu ninavyo hadi leo kama kumbukumbu yake kwangu. RIP Dr, daima utaendelea kuwa mtu muhimu sana kwangu.

Anyway ya maamuzi ya Mungu hatupaswi kulalamikia sana tuendelee na stori yetu. Basi baada ya mazishi niliendelea na kazi kama kawaida. Sasa hii ofisi ilikuwa na watu sana ukilinganisha na kule nilipotoka. Mfano sisi kwenye department yetu pekee tulikuwa kama 16 hivi, hapo ongezea na wa idara nyingine. Kama nilivosema tuliingia mimi na Big tukiwa ndio newcomers –pale. Kwa kile kkipindi cha wiki mbili tu za mwanzo mwenzangu Big alikuwa ameshazoeana na watu wa karibia ofisi nzima na kwa muda mfupi akaanza mpaka kushirikishwa kwenye madili ya ofisi.

Unaju ile ofisi pamoja na shughuli nyingine ilikuwa pia inadili na mambo ya kugawa ruzuku kwa NGOs nyingine ili wakatekeleze miradi mbalimbali sasa kwa wazoefu wa pale kuna vimichezo walikuwa wanaicheza wanapiga piga vijisenti kwa njia za panya wanazozijua wao. Hii ilikuwa ni seriously unacceptable behavior na ukibainika unapiga hizo ilikuwa kwamba you are terminated on the spot. Na nakumbuka CEO wa lile shirika alikuwa hana msalie mtume katika hizo ishu. Kuna stori niliikuta pale kwamba CEO aliwahi kutimua department nzima ya grants kisa upigaji, akaanza kuajiri upya.hii idara ya grants ndio ambayo inahusika moja kwa moja na kureview proposals, ku-recoomen nani apate nani akose kulingana na vigezo na kusimamia miradi pale ofisini pamoja na kwenda field kuwakagua. Ilikuwa ni department ambayo imekaa kimtego mtego na kiushawishi sana na ilikuwa ukimaliza contarct yako ya miaka mine basi utapongezwa kwa kupewa zawadi ya pesa za kutosha before hujarenew mkataba. Yaani mimi tangu nilipofika pale before hata sijamaliza probation ya miezi mitatu nilishuhudia watu wanne wakitimuliwa. Balaa unaambiwa CEO alikuwa na informers wake nchi nzima utafikiri CIA ya Marekani.

Basi bhana turudi sasa kwa bwana Big. Big bhana nimeingia naye pale wiki moja tu keshazoeleka kwenye idara (halafu ile idara yetu wanaume tulikuwa watatu tu wengine wote wanawake). Wiki ya tatu ofisi nzima Bigii Bigii - Bigi Big Kweli. Big mtu wa mastory, Big mtu wa totoz, Big hana baya na mtu. Mda mfupi kila mtu pale ofisini anajua Big anashabikia utopolo kwa hapa bongo kwa nje anaipenda Liva. Mda mfupi tu k=watu wote tunajua big anapenda kwenda viwanja flani vya kujirusha weekend. Yaani ndani yam da fupi hata mwezi bado watu wote tunajua mambo mengi ya Big ya nje ya kazi, yaani mambo yake binafsi.

Iyo haikuwa kesi maana hizo ni character za mtu kiukweli hata mimi nilikuwa nainjoy kampani yake. Maana sometime Big alikuwa lesi hata kwenye kudai haki zake msingi. Mfano kuna siku sina hili wala lile nipo zangu napambana na majukumu yangu nashangaa naitwa kwa Meneja utawala. Kufika ofsini namkuta Big naye yupo. Mara yule meneja akaniuliza na wewe unataka mkopo? Ile ofisi walikuwa na utaratibu unaweza kukopa advance salali mpaka ya miezi 7 kwa hiyo utakuwa unakatwa kiasi cha pesa kulingana na muda wa mkataba mtakavyokubalina. Mimi nikashangaa, mkopo tena imekuwaje mbona mimi sijataka huo mkopo. Ndio yule meneja kunipa taarifa kwamba Bwana Big amejaza fomu za advance salary na kutaka mkopo wa miezi saba. Akaendelea kusema kwamba alipomwelekeza kwamba ni amalize probation bwana Big akawa anaforce kama vipi tupewe maana hata mimi nina shida na hela so nimemtanguliza yeye akajaribu.

Nikaona duu hii sasa soo. Kwa hiyo meneja ndio ananiuliza kama na mimi nataka au laa. Nikafikiri hapa Big ashaniingiza kwenye mambo yake bila ridhaa yangu lakini pia nikimtosa mooja kwa moja inaweza ikamjengea picha mbaya Big kwa yule meneja. Basi nikasema tuu ni kweli tulidiscuss pamoja na Big maana ni kipengere ambacho kipo kwenye mkataba na nilikubaliana na Big tukipata muda tufatilia so mimi bado sikupata muda muda wa kufatilia, ila kwa maelekezo hayo basi inabidi tusubiri. Yaani nilitoa sababu ya kijinga mpaka yule meneja kuna siku aliniambia kwa utani tulipozoeana kwamba siku zile alicheka sana kwani alijua fika Big kanichomekea. Kwenye hilo niliipenda ile spirit ya Big ya kuzitumia fursa vyenye vyedi.

Ila sasa bwana Big kuna mambo alikuwa anayaendea pupa sana mpaka kuna washkaji wengine pale ofsini wenye mapenzi mema walimtonya apunguze spidi ila akawa mjuaji. Sasa unajua sehemu yoyote ile kwenye michongo michongo watu wanakuwa makini hususani kwa newcomers kujaribu kuwasoma kama mnasomeka ama vipi. Basi zali la kusomeka likamdondokea bwana Big. Wataalamu wa zile kazi wakaona Big hana noma hata akielekezwa mchongo anasomeka. Mimi nikawa sisomeki yaani watu kama hawanielewi elewi hivi. Sijui niite ubaya au uzuri mimi nilijipa muda kwanza wa kuwasoma watu kabla watu hawajanisoma. Kwa hiyo mara nyingi nilikuwa msikilzaji sana na muongeaji kidogo hususani kwenye maswala ya kazi. Sikutaka kuanza kujichanganya kutoka weekend na washkaji wa pale ofisini kwa sababu zangu maalum.

Big alikuwa lesi sana unaambiwa kala hata probation haijaisha big ameshavuta usafiri.Nakumbuka mimi alinishirikisha ile plan yake ya kununua mkoko ila nikamwambia ndugu sikilizia kwanza ujue hapa hata ulikuwa na umedunduliza vijisenti vyako huko itakuwa ngumu watu kuelewa watakuweka kwenye kundi la wapigaji. Big akaniambia yeye anajua anachofanya. Nikamwambia hii italeta shida si unakumbuka ile ishu ya kulazimisha mkpo kule kwa meneja utawala anaweza akajiuliza pesa umepata wapi wakati mkopo hakuidhinisha. Big akaniambia nisijali kuhusu hizo mambo yeye amejipanga. Bai akavuta ile ndinga ilikuwa ni moja ya nding zinazokula sana wese ila ndio ilikuwa habari ya mjini kwa majanki wa enzi zile.

Big hana baya ile ndinga ilivotoka tu bandarini siku hiyo hiyo alikuja nayo ofsini na kila mtu huko parking alioneshwa. Mjengo mzima ukajua leo there is a new father car in town. Nyie si mmezo father house, sasa kuna father car ndio sisi tunaosema kujenga sijengi maana sijawahi kulala nje ila nimetembea sana kwa miguu na kuloana wacha ninunue gari. Kuna jamaa mmoja nae alikuwa ni mmoja wa washkaji wa Big ila yeye alikuwa pale mda mrefu akawa anampa madini sana Big namna ya kuyaendea mambo ofsini, ila Big akataka hadi kuvunja urafiki kwa kuona kuwa jamaa ameanza kumwangia.

Basi maisha yakaendelea pale job kama kawaida. Nakumbuka tulikuwa tumebakiza kama wiki mbili hivi kumaliza probation mimi na Big tulienda kwenye training Nairobi ya wiki tatu ili tukitoka uko tuwe tumekwiva kwa ajili kupiga mzigo kama full employees. Sasa tukiwa kule kwenye training Big akatumiwa email na line meneja wetu inatakiwa arudi ofisini mara moja. Akaniuliza kama na mimi nimetumiwa nikamwabia sijatumiwa. Sasa tukawa hatuelewi pale ni nini kinaendelea. Akili yangu mimi ikawaza labda ni matatizo ya kifamilia labda msiba unaomuhusu sana so wanaoshindwa kumwambia. Hii ikaingia hata kwenye akili ya big huenda kweli kuna tatizo la kifamilia. Akawacheki ndg zake hakuna taarifa yoyote. Siku ya pili asubuhi akapigiwa simu kutoka ofisini kwamba inabidi arudi faster. Tukachanganyikiwa sana pale, basi ikabidi jamaa abadili ticket apande mwewe arudi dar ofsini akisisitizwa akishuka eapoti hasiende hata nyumba aunganishe job.

Kufika ofsini bhana amefikia kwenye kikao chamenejiment. Kiufuoi jamaa yangu Big aliingia kwenye harakati za panya pale ofsini kwa speed sana. Alisomewa mashtaka yake na ushahidi wa kutosha kuhusu harakati za panya mpaka simu zilizorekodiwa na wadau wakipanga mambo yao. Jamaa yangu wakampiga on the sport na kuambiwa kama anahisi ameonewa anaweza kwenda mahamani ila kwa kumuhurumia mambo yasiwe na kuepukwa kufungwa achukue vyake asepe. Huo ndio ukawa mwisho wa mshkaji wangu sana Big.

Anyway weekend hii wakubwa wangu tunafanyeje? Mana kutwa nasikiliza vipindi vya redio tuu home mpaka masikio yataka kutoboka. Na watangazaji wanakera sana maana kutwa kututangazi tu kwamba huu ni mwezi wa matumizi na sherehe kwahiyo watu watumie pesa. Nyie wenzangu mnatumia wapi pesa zetu, basi mtu mmoja ajitokeze anipe mwaliko wa kushangilia pamoja Mnyama akimuua wydad kwake.​

See you badae kwenye episode 7
Mshkaji wake Big nakupata vizuri mkuu
 
EPISODE 6: The new Office

This is just an advice, when joining a new office it's important to avoid coming across as someone who knows too much. (u-much know unaweza kukucost)


Niliweza kujiunga na shirika jipya huku nikiwa nimejipanga kukabiliana na mazingira mapya yakazi, watu tofauti na wale niliowazoea lakini pia huku majukumu yaliongezeka kidogo na hata kasali kalikuwa na ahueni. Nilipokelewa pale kazini vizuri tu na kufanyiwa proper orientation. Utofauti ulikuwa mkubwa sana wakimazigira pamoja na structure ya uendeshaji wa ofisi kwani huku kwa sasa kulikuwa na idara nyingi nyingi ambazo zilikuwa na line managers ambapo mimi niliajiriwa pale idara ya ruzuku nikiwa ni mmoja wa maofisa usimamizi wa ruzuku (Program Officer – Grants). Nakumbuka kwenye ile nafasi tuliajiriwa wawili mimi pamoja na mwenzangu mmoja alikuwa kibonge hivi. Kwenye hii stori nitamwita Big.

Wiki ya tatu tu wakati nikiwa nimeanza kuzoea zoea kidogo mazingira nilipata very shocking news, that Dr KJ my former boss passed away. Nakumbuka nilikuwa nipo kwenye mkutano wakawaida wa wafanyakazi wa idara yetu nilipoona simu ya PS nikajua huyu labda kwa ni ijumaa hii basi ananitafuta labda twende kwenye mtoko maana aliniambia angenitafuta. Nikampotezea kwanza ili nimalize meeting. Kidogo nikana simu ya yule dereva na muhasibu wananipigia nikaona hii mbona kama haijawa sawa. Ikabidi nitoke nikapokee ya dereva ndio kuniambia Dr KJ is no more. Aisee nilipawtwa na mshtuko sana. Nikaconfirm kwa kumpigia mhasibu na PS. PS ndio akawa hajiwezi kabisa yaani anaongea huku analia tuu. Kwakweli ule zile habari ziliniumiza sana sikuweza tena kuendelea na kikao. Ikabidi niombe ruhusa pale niende msibani muda ule ule.

Kiufupi yale maradhi yaliyokuwa yanamsumbua KJ ndiyo yaliyopelekea kifo chake. Basi tukaorganize pale pamoja na wafanyakazi wengine tukaenda wote msibani. Kwahiyo ile weekend yote nilihudhuria msibar wa Dr KJ mpaka tulipomaliza kuzika. Wakati wa kuaga hakika nilitoa chozi la uchungu sana japo kisirisiri maana nilikumbuka mengi sana na mchango wake mkubwa katika kuniingixa kwenye ulimwengu wa ajira rasmi na decent. Japokuwa alikuwa na madhaifu yake lkn mchango wake kwangu ulikuwa mkubwa sana, Mr KJ aliniheshimisha sana mjini kwani maisha yalishanipiga sana ni yeye ndio aliyenipa ramani. Nakumbuka kuna kipindi baadhi ya madogo waliokuwa nyuma yangu kule chuoni ambaye pia alikuwa anawafundisha walinipigia simu za kunipongeza. Mwamba kama ilivyo kawaida ya masifa yake nasikia alikuwa anawaonyesha picha tuliyopiga ya wafanyakazi ya ofisi na kuwauliza darasani kama wananijua. Nasikia alikuwa ananifagilia kinoma noma kwamba amepata jembe ofisini kwake na alikuwa anafikiria hata kuniachia ofisi. Sema tu sifa zake ziliniletea matatizo kwa madogo maana aliwaambia mshahara anaolipa ni mkubwa sana (yeye aliwatajia mara nne ya kiasi alichokuwa ananilipa hahaha) kitu ambacho kilisababisha wale madogo wawe wananipiga sana mizinga. Kiufupi tu mwamba namkumbuka hadi kesho na kuna vitu ninavyo hadi leo kama kumbukumbu yake kwangu. RIP Dr, daima utaendelea kuwa mtu muhimu sana kwangu.

Anyway ya maamuzi ya Mungu hatupaswi kulalamikia sana tuendelee na stori yetu. Basi baada ya mazishi niliendelea na kazi kama kawaida. Sasa hii ofisi ilikuwa na watu sana ukilinganisha na kule nilipotoka. Mfano sisi kwenye department yetu pekee tulikuwa kama 16 hivi, hapo ongezea na wa idara nyingine. Kama nilivosema tuliingia mimi na Big tukiwa ndio newcomers –pale. Kwa kile kkipindi cha wiki mbili tu za mwanzo mwenzangu Big alikuwa ameshazoeana na watu wa karibia ofisi nzima na kwa muda mfupi akaanza mpaka kushirikishwa kwenye madili ya ofisi.

Unaju ile ofisi pamoja na shughuli nyingine ilikuwa pia inadili na mambo ya kugawa ruzuku kwa NGOs nyingine ili wakatekeleze miradi mbalimbali sasa kwa wazoefu wa pale kuna vimichezo walikuwa wanaicheza wanapiga piga vijisenti kwa njia za panya wanazozijua wao. Hii ilikuwa ni seriously unacceptable behavior na ukibainika unapiga hizo ilikuwa kwamba you are terminated on the spot. Na nakumbuka CEO wa lile shirika alikuwa hana msalie mtume katika hizo ishu. Kuna stori niliikuta pale kwamba CEO aliwahi kutimua department nzima ya grants kisa upigaji, akaanza kuajiri upya.hii idara ya grants ndio ambayo inahusika moja kwa moja na kureview proposals, ku-recoomen nani apate nani akose kulingana na vigezo na kusimamia miradi pale ofisini pamoja na kwenda field kuwakagua. Ilikuwa ni department ambayo imekaa kimtego mtego na kiushawishi sana na ilikuwa ukimaliza contarct yako ya miaka mine basi utapongezwa kwa kupewa zawadi ya pesa za kutosha before hujarenew mkataba. Yaani mimi tangu nilipofika pale before hata sijamaliza probation ya miezi mitatu nilishuhudia watu wanne wakitimuliwa. Balaa unaambiwa CEO alikuwa na informers wake nchi nzima utafikiri CIA ya Marekani.

Basi bhana turudi sasa kwa bwana Big. Big bhana nimeingia naye pale wiki moja tu keshazoeleka kwenye idara (halafu ile idara yetu wanaume tulikuwa watatu tu wengine wote wanawake). Wiki ya tatu ofisi nzima Bigii Bigii - Bigi Big Kweli. Big mtu wa mastory, Big mtu wa totoz, Big hana baya na mtu. Mda mfupi kila mtu pale ofisini anajua Big anashabikia utopolo kwa hapa bongo kwa nje anaipenda Liva. Mda mfupi tu k=watu wote tunajua big anapenda kwenda viwanja flani vya kujirusha weekend. Yaani ndani yam da fupi hata mwezi bado watu wote tunajua mambo mengi ya Big ya nje ya kazi, yaani mambo yake binafsi.

Iyo haikuwa kesi maana hizo ni character za mtu kiukweli hata mimi nilikuwa nainjoy kampani yake. Maana sometime Big alikuwa lesi hata kwenye kudai haki zake msingi. Mfano kuna siku sina hili wala lile nipo zangu napambana na majukumu yangu nashangaa naitwa kwa Meneja utawala. Kufika ofsini namkuta Big naye yupo. Mara yule meneja akaniuliza na wewe unataka mkopo? Ile ofisi walikuwa na utaratibu unaweza kukopa advance salali mpaka ya miezi 7 kwa hiyo utakuwa unakatwa kiasi cha pesa kulingana na muda wa mkataba mtakavyokubalina. Mimi nikashangaa, mkopo tena imekuwaje mbona mimi sijataka huo mkopo. Ndio yule meneja kunipa taarifa kwamba Bwana Big amejaza fomu za advance salary na kutaka mkopo wa miezi saba. Akaendelea kusema kwamba alipomwelekeza kwamba ni amalize probation bwana Big akawa anaforce kama vipi tupewe maana hata mimi nina shida na hela so nimemtanguliza yeye akajaribu.

Nikaona duu hii sasa soo. Kwa hiyo meneja ndio ananiuliza kama na mimi nataka au laa. Nikafikiri hapa Big ashaniingiza kwenye mambo yake bila ridhaa yangu lakini pia nikimtosa mooja kwa moja inaweza ikamjengea picha mbaya Big kwa yule meneja. Basi nikasema tuu ni kweli tulidiscuss pamoja na Big maana ni kipengere ambacho kipo kwenye mkataba na nilikubaliana na Big tukipata muda tufatilia so mimi bado sikupata muda muda wa kufatilia, ila kwa maelekezo hayo basi inabidi tusubiri. Yaani nilitoa sababu ya kijinga mpaka yule meneja kuna siku aliniambia kwa utani tulipozoeana kwamba siku zile alicheka sana kwani alijua fika Big kanichomekea. Kwenye hilo niliipenda ile spirit ya Big ya kuzitumia fursa vyenye vyedi.

Ila sasa bwana Big kuna mambo alikuwa anayaendea pupa sana mpaka kuna washkaji wengine pale ofsini wenye mapenzi mema walimtonya apunguze spidi ila akawa mjuaji. Sasa unajua sehemu yoyote ile kwenye michongo michongo watu wanakuwa makini hususani kwa newcomers kujaribu kuwasoma kama mnasomeka ama vipi. Basi zali la kusomeka likamdondokea bwana Big. Wataalamu wa zile kazi wakaona Big hana noma hata akielekezwa mchongo anasomeka. Mimi nikawa sisomeki yaani watu kama hawanielewi elewi hivi. Sijui niite ubaya au uzuri mimi nilijipa muda kwanza wa kuwasoma watu kabla watu hawajanisoma. Kwa hiyo mara nyingi nilikuwa msikilzaji sana na muongeaji kidogo hususani kwenye maswala ya kazi. Sikutaka kuanza kujichanganya kutoka weekend na washkaji wa pale ofisini kwa sababu zangu maalum.

Big alikuwa lesi sana unaambiwa kala hata probation haijaisha big ameshavuta usafiri.Nakumbuka mimi alinishirikisha ile plan yake ya kununua mkoko ila nikamwambia ndugu sikilizia kwanza ujue hapa hata ulikuwa na umedunduliza vijisenti vyako huko itakuwa ngumu watu kuelewa watakuweka kwenye kundi la wapigaji. Big akaniambia yeye anajua anachofanya. Nikamwambia hii italeta shida si unakumbuka ile ishu ya kulazimisha mkpo kule kwa meneja utawala anaweza akajiuliza pesa umepata wapi wakati mkopo hakuidhinisha. Big akaniambia nisijali kuhusu hizo mambo yeye amejipanga. Bai akavuta ile ndinga ilikuwa ni moja ya nding zinazokula sana wese ila ndio ilikuwa habari ya mjini kwa majanki wa enzi zile.

Big hana baya ile ndinga ilivotoka tu bandarini siku hiyo hiyo alikuja nayo ofsini na kila mtu huko parking alioneshwa. Mjengo mzima ukajua leo there is a new father car in town. Nyie si mmezo father house, sasa kuna father car ndio sisi tunaosema kujenga sijengi maana sijawahi kulala nje ila nimetembea sana kwa miguu na kuloana wacha ninunue gari. Kuna jamaa mmoja nae alikuwa ni mmoja wa washkaji wa Big ila yeye alikuwa pale mda mrefu akawa anampa madini sana Big namna ya kuyaendea mambo ofsini, ila Big akataka hadi kuvunja urafiki kwa kuona kuwa jamaa ameanza kumwangia.

Basi maisha yakaendelea pale job kama kawaida. Nakumbuka tulikuwa tumebakiza kama wiki mbili hivi kumaliza probation mimi na Big tulienda kwenye training Nairobi ya wiki tatu ili tukitoka uko tuwe tumekwiva kwa ajili kupiga mzigo kama full employees. Sasa tukiwa kule kwenye training Big akatumiwa email na line meneja wetu inatakiwa arudi ofisini mara moja. Akaniuliza kama na mimi nimetumiwa nikamwabia sijatumiwa. Sasa tukawa hatuelewi pale ni nini kinaendelea. Akili yangu mimi ikawaza labda ni matatizo ya kifamilia labda msiba unaomuhusu sana so wanaoshindwa kumwambia. Hii ikaingia hata kwenye akili ya big huenda kweli kuna tatizo la kifamilia. Akawacheki ndg zake hakuna taarifa yoyote. Siku ya pili asubuhi akapigiwa simu kutoka ofisini kwamba inabidi arudi faster. Tukachanganyikiwa sana pale, basi ikabidi jamaa abadili ticket apande mwewe arudi dar ofsini akisisitizwa akishuka eapoti hasiende hata nyumba aunganishe job.

Kufika ofsini bhana amefikia kwenye kikao chamenejiment. Kiufuoi jamaa yangu Big aliingia kwenye harakati za panya pale ofsini kwa speed sana. Alisomewa mashtaka yake na ushahidi wa kutosha kuhusu harakati za panya mpaka simu zilizorekodiwa na wadau wakipanga mambo yao. Jamaa yangu wakampiga on the sport na kuambiwa kama anahisi ameonewa anaweza kwenda mahamani ila kwa kumuhurumia mambo yasiwe na kuepukwa kufungwa achukue vyake asepe. Huo ndio ukawa mwisho wa mshkaji wangu sana Big.

Anyway weekend hii wakubwa wangu tunafanyeje? Mana kutwa nasikiliza vipindi vya redio tuu home mpaka masikio yataka kutoboka. Na watangazaji wanakera sana maana kutwa kututangazi tu kwamba huu ni mwezi wa matumizi na sherehe kwahiyo watu watumie pesa. Nyie wenzangu mnatumia wapi pesa zetu, basi mtu mmoja ajitokeze anipe mwaliko wa kushangilia pamoja Mnyama akimuua wydad kwake.​

See you badae kwenye episode 7
Big kama Big..
 
EPISODE 6: The new Office

This is just an advice, when joining a new office it's important to avoid coming across as someone who knows too much. (u-much know unaweza kukucost)


Niliweza kujiunga na shirika jipya huku nikiwa nimejipanga kukabiliana na mazingira mapya yakazi, watu tofauti na wale niliowazoea lakini pia huku majukumu yaliongezeka kidogo na hata kasali kalikuwa na ahueni. Nilipokelewa pale kazini vizuri tu na kufanyiwa proper orientation. Utofauti ulikuwa mkubwa sana wakimazigira pamoja na structure ya uendeshaji wa ofisi kwani huku kwa sasa kulikuwa na idara nyingi nyingi ambazo zilikuwa na line managers ambapo mimi niliajiriwa pale idara ya ruzuku nikiwa ni mmoja wa maofisa usimamizi wa ruzuku (Program Officer – Grants). Nakumbuka kwenye ile nafasi tuliajiriwa wawili mimi pamoja na mwenzangu mmoja alikuwa kibonge hivi. Kwenye hii stori nitamwita Big.

Wiki ya tatu tu wakati nikiwa nimeanza kuzoea zoea kidogo mazingira nilipata very shocking news, that Dr KJ my former boss passed away. Nakumbuka nilikuwa nipo kwenye mkutano wakawaida wa wafanyakazi wa idara yetu nilipoona simu ya PS nikajua huyu labda kwa ni ijumaa hii basi ananitafuta labda twende kwenye mtoko maana aliniambia angenitafuta. Nikampotezea kwanza ili nimalize meeting. Kidogo nikana simu ya yule dereva na muhasibu wananipigia nikaona hii mbona kama haijawa sawa. Ikabidi nitoke nikapokee ya dereva ndio kuniambia Dr KJ is no more. Aisee nilipawtwa na mshtuko sana. Nikaconfirm kwa kumpigia mhasibu na PS. PS ndio akawa hajiwezi kabisa yaani anaongea huku analia tuu. Kwakweli ule zile habari ziliniumiza sana sikuweza tena kuendelea na kikao. Ikabidi niombe ruhusa pale niende msibani muda ule ule.

Kiufupi yale maradhi yaliyokuwa yanamsumbua KJ ndiyo yaliyopelekea kifo chake. Basi tukaorganize pale pamoja na wafanyakazi wengine tukaenda wote msibani. Kwahiyo ile weekend yote nilihudhuria msibar wa Dr KJ mpaka tulipomaliza kuzika. Wakati wa kuaga hakika nilitoa chozi la uchungu sana japo kisirisiri maana nilikumbuka mengi sana na mchango wake mkubwa katika kuniingixa kwenye ulimwengu wa ajira rasmi na decent. Japokuwa alikuwa na madhaifu yake lkn mchango wake kwangu ulikuwa mkubwa sana, Mr KJ aliniheshimisha sana mjini kwani maisha yalishanipiga sana ni yeye ndio aliyenipa ramani. Nakumbuka kuna kipindi baadhi ya madogo waliokuwa nyuma yangu kule chuoni ambaye pia alikuwa anawafundisha walinipigia simu za kunipongeza. Mwamba kama ilivyo kawaida ya masifa yake nasikia alikuwa anawaonyesha picha tuliyopiga ya wafanyakazi ya ofisi na kuwauliza darasani kama wananijua. Nasikia alikuwa ananifagilia kinoma noma kwamba amepata jembe ofisini kwake na alikuwa anafikiria hata kuniachia ofisi. Sema tu sifa zake ziliniletea matatizo kwa madogo maana aliwaambia mshahara anaolipa ni mkubwa sana (yeye aliwatajia mara nne ya kiasi alichokuwa ananilipa hahaha) kitu ambacho kilisababisha wale madogo wawe wananipiga sana mizinga. Kiufupi tu mwamba namkumbuka hadi kesho na kuna vitu ninavyo hadi leo kama kumbukumbu yake kwangu. RIP Dr, daima utaendelea kuwa mtu muhimu sana kwangu.

Anyway ya maamuzi ya Mungu hatupaswi kulalamikia sana tuendelee na stori yetu. Basi baada ya mazishi niliendelea na kazi kama kawaida. Sasa hii ofisi ilikuwa na watu sana ukilinganisha na kule nilipotoka. Mfano sisi kwenye department yetu pekee tulikuwa kama 16 hivi, hapo ongezea na wa idara nyingine. Kama nilivosema tuliingia mimi na Big tukiwa ndio newcomers –pale. Kwa kile kkipindi cha wiki mbili tu za mwanzo mwenzangu Big alikuwa ameshazoeana na watu wa karibia ofisi nzima na kwa muda mfupi akaanza mpaka kushirikishwa kwenye madili ya ofisi.

Unaju ile ofisi pamoja na shughuli nyingine ilikuwa pia inadili na mambo ya kugawa ruzuku kwa NGOs nyingine ili wakatekeleze miradi mbalimbali sasa kwa wazoefu wa pale kuna vimichezo walikuwa wanaicheza wanapiga piga vijisenti kwa njia za panya wanazozijua wao. Hii ilikuwa ni seriously unacceptable behavior na ukibainika unapiga hizo ilikuwa kwamba you are terminated on the spot. Na nakumbuka CEO wa lile shirika alikuwa hana msalie mtume katika hizo ishu. Kuna stori niliikuta pale kwamba CEO aliwahi kutimua department nzima ya grants kisa upigaji, akaanza kuajiri upya.hii idara ya grants ndio ambayo inahusika moja kwa moja na kureview proposals, ku-recoomen nani apate nani akose kulingana na vigezo na kusimamia miradi pale ofisini pamoja na kwenda field kuwakagua. Ilikuwa ni department ambayo imekaa kimtego mtego na kiushawishi sana na ilikuwa ukimaliza contarct yako ya miaka mine basi utapongezwa kwa kupewa zawadi ya pesa za kutosha before hujarenew mkataba. Yaani mimi tangu nilipofika pale before hata sijamaliza probation ya miezi mitatu nilishuhudia watu wanne wakitimuliwa. Balaa unaambiwa CEO alikuwa na informers wake nchi nzima utafikiri CIA ya Marekani.

Basi bhana turudi sasa kwa bwana Big. Big bhana nimeingia naye pale wiki moja tu keshazoeleka kwenye idara (halafu ile idara yetu wanaume tulikuwa watatu tu wengine wote wanawake). Wiki ya tatu ofisi nzima Bigii Bigii - Bigi Big Kweli. Big mtu wa mastory, Big mtu wa totoz, Big hana baya na mtu. Mda mfupi kila mtu pale ofisini anajua Big anashabikia utopolo kwa hapa bongo kwa nje anaipenda Liva. Mda mfupi tu k=watu wote tunajua big anapenda kwenda viwanja flani vya kujirusha weekend. Yaani ndani yam da fupi hata mwezi bado watu wote tunajua mambo mengi ya Big ya nje ya kazi, yaani mambo yake binafsi.

Iyo haikuwa kesi maana hizo ni character za mtu kiukweli hata mimi nilikuwa nainjoy kampani yake. Maana sometime Big alikuwa lesi hata kwenye kudai haki zake msingi. Mfano kuna siku sina hili wala lile nipo zangu napambana na majukumu yangu nashangaa naitwa kwa Meneja utawala. Kufika ofsini namkuta Big naye yupo. Mara yule meneja akaniuliza na wewe unataka mkopo? Ile ofisi walikuwa na utaratibu unaweza kukopa advance salali mpaka ya miezi 7 kwa hiyo utakuwa unakatwa kiasi cha pesa kulingana na muda wa mkataba mtakavyokubalina. Mimi nikashangaa, mkopo tena imekuwaje mbona mimi sijataka huo mkopo. Ndio yule meneja kunipa taarifa kwamba Bwana Big amejaza fomu za advance salary na kutaka mkopo wa miezi saba. Akaendelea kusema kwamba alipomwelekeza kwamba ni amalize probation bwana Big akawa anaforce kama vipi tupewe maana hata mimi nina shida na hela so nimemtanguliza yeye akajaribu.

Nikaona duu hii sasa soo. Kwa hiyo meneja ndio ananiuliza kama na mimi nataka au laa. Nikafikiri hapa Big ashaniingiza kwenye mambo yake bila ridhaa yangu lakini pia nikimtosa mooja kwa moja inaweza ikamjengea picha mbaya Big kwa yule meneja. Basi nikasema tuu ni kweli tulidiscuss pamoja na Big maana ni kipengere ambacho kipo kwenye mkataba na nilikubaliana na Big tukipata muda tufatilia so mimi bado sikupata muda muda wa kufatilia, ila kwa maelekezo hayo basi inabidi tusubiri. Yaani nilitoa sababu ya kijinga mpaka yule meneja kuna siku aliniambia kwa utani tulipozoeana kwamba siku zile alicheka sana kwani alijua fika Big kanichomekea. Kwenye hilo niliipenda ile spirit ya Big ya kuzitumia fursa vyenye vyedi.

Ila sasa bwana Big kuna mambo alikuwa anayaendea pupa sana mpaka kuna washkaji wengine pale ofsini wenye mapenzi mema walimtonya apunguze spidi ila akawa mjuaji. Sasa unajua sehemu yoyote ile kwenye michongo michongo watu wanakuwa makini hususani kwa newcomers kujaribu kuwasoma kama mnasomeka ama vipi. Basi zali la kusomeka likamdondokea bwana Big. Wataalamu wa zile kazi wakaona Big hana noma hata akielekezwa mchongo anasomeka. Mimi nikawa sisomeki yaani watu kama hawanielewi elewi hivi. Sijui niite ubaya au uzuri mimi nilijipa muda kwanza wa kuwasoma watu kabla watu hawajanisoma. Kwa hiyo mara nyingi nilikuwa msikilzaji sana na muongeaji kidogo hususani kwenye maswala ya kazi. Sikutaka kuanza kujichanganya kutoka weekend na washkaji wa pale ofisini kwa sababu zangu maalum.

Big alikuwa lesi sana unaambiwa kala hata probation haijaisha big ameshavuta usafiri.Nakumbuka mimi alinishirikisha ile plan yake ya kununua mkoko ila nikamwambia ndugu sikilizia kwanza ujue hapa hata ulikuwa na umedunduliza vijisenti vyako huko itakuwa ngumu watu kuelewa watakuweka kwenye kundi la wapigaji. Big akaniambia yeye anajua anachofanya. Nikamwambia hii italeta shida si unakumbuka ile ishu ya kulazimisha mkpo kule kwa meneja utawala anaweza akajiuliza pesa umepata wapi wakati mkopo hakuidhinisha. Big akaniambia nisijali kuhusu hizo mambo yeye amejipanga. Bai akavuta ile ndinga ilikuwa ni moja ya nding zinazokula sana wese ila ndio ilikuwa habari ya mjini kwa majanki wa enzi zile.

Big hana baya ile ndinga ilivotoka tu bandarini siku hiyo hiyo alikuja nayo ofsini na kila mtu huko parking alioneshwa. Mjengo mzima ukajua leo there is a new father car in town. Nyie si mmezo father house, sasa kuna father car ndio sisi tunaosema kujenga sijengi maana sijawahi kulala nje ila nimetembea sana kwa miguu na kuloana wacha ninunue gari. Kuna jamaa mmoja nae alikuwa ni mmoja wa washkaji wa Big ila yeye alikuwa pale mda mrefu akawa anampa madini sana Big namna ya kuyaendea mambo ofsini, ila Big akataka hadi kuvunja urafiki kwa kuona kuwa jamaa ameanza kumwangia.

Basi maisha yakaendelea pale job kama kawaida. Nakumbuka tulikuwa tumebakiza kama wiki mbili hivi kumaliza probation mimi na Big tulienda kwenye training Nairobi ya wiki tatu ili tukitoka uko tuwe tumekwiva kwa ajili kupiga mzigo kama full employees. Sasa tukiwa kule kwenye training Big akatumiwa email na line meneja wetu inatakiwa arudi ofisini mara moja. Akaniuliza kama na mimi nimetumiwa nikamwabia sijatumiwa. Sasa tukawa hatuelewi pale ni nini kinaendelea. Akili yangu mimi ikawaza labda ni matatizo ya kifamilia labda msiba unaomuhusu sana so wanaoshindwa kumwambia. Hii ikaingia hata kwenye akili ya big huenda kweli kuna tatizo la kifamilia. Akawacheki ndg zake hakuna taarifa yoyote. Siku ya pili asubuhi akapigiwa simu kutoka ofisini kwamba inabidi arudi faster. Tukachanganyikiwa sana pale, basi ikabidi jamaa abadili ticket apande mwewe arudi dar ofsini akisisitizwa akishuka eapoti hasiende hata nyumba aunganishe job.

Kufika ofsini bhana amefikia kwenye kikao chamenejiment. Kiufuoi jamaa yangu Big aliingia kwenye harakati za panya pale ofsini kwa speed sana. Alisomewa mashtaka yake na ushahidi wa kutosha kuhusu harakati za panya mpaka simu zilizorekodiwa na wadau wakipanga mambo yao. Jamaa yangu wakampiga on the sport na kuambiwa kama anahisi ameonewa anaweza kwenda mahamani ila kwa kumuhurumia mambo yasiwe na kuepukwa kufungwa achukue vyake asepe. Huo ndio ukawa mwisho wa mshkaji wangu sana Big.

Anyway weekend hii wakubwa wangu tunafanyeje? Mana kutwa nasikiliza vipindi vya redio tuu home mpaka masikio yataka kutoboka. Na watangazaji wanakera sana maana kutwa kututangazi tu kwamba huu ni mwezi wa matumizi na sherehe kwahiyo watu watumie pesa. Nyie wenzangu mnatumia wapi pesa zetu, basi mtu mmoja ajitokeze anipe mwaliko wa kushangilia pamoja Mnyama akimuua wydad kwake.​

See you badae kwenye episode 7
Watu Bigiii Bigiii Bigiiii maskini bigi wa watu
 
Back
Top Bottom