Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

Hii hapa kwani si ungejiua mwenyewe sio hao watu kuwa wao ndio wauaji. Yaani everything kinachotokea kwako wewe ndiye chanzo sema kwa asili ya our mother brain huwa haitaki kukiri udhaifu Ila uimara tu ndio inaoupenda coz of ego. Yaani kila kitu sie ndio chanzo Cha Hilo Jambo kutokea. Sema Ile kukwepa responsibility or kukwepa maumivu ya kweli tunajaribu kutupia wengine mpira..

Ni sawa ukifanikisha maisha bila ya elimu ama konekesheni utajisifu kuwa ulipigana ,haikuwa rahisi,ulijinyima,ulilala stendi,ulikula ukoko kwa mama ntilie. Ila Sasa ukifeeli maisha huwezi sema Ile dry truth kuwa it was up to me Bali utasingizia umasikini wenu,hukusoma,huna konekesheni and the like. That's nature of our brain. Ndio Mana mwingine akitoboa wewe utasema alipata bahati ama zali Ila ubongo wako kumpa credits mwenzako kuwa amepigana ama amefanya Kama hayo ya kwako ulivyofanya huwezi sema. Ila Sasa njoo wewe fanikisha life nakuambia utatuambia ulivyohaso hata anodi Shwaznegger ameshasema alilala stendi Kama Mara tatu hivi mpaka akatoboa. So no asili ya binadamu na tricky ubongo unacheza with us , it's all about EGO. Yani igo yako inakuambia ama kukuaminisha kuwa you're the better than others or the rest ya dunia,unavimba unajisikia kuwa waweza tembea juu ya maji ama angani ukaonyesha ukuu na utukufu
Umesema kila baya limtokealo mtu ni uzembe wake
 
EPISODE 8: Nilikuja kuelewa kwamba uki-mess up kwenye mawasiliano umeharibu kila kitu.

That is to say kwa shughuli ambazo nilikuwa nazifanya pale ofisini, effective communication was crucial in such projects because it helped me to build and maintain positive relationships, ensures transparency, and fosters collaboration among diverse stakeholders. Chukua hiyoutajishuluru badae kama ulikuwa unapuuzia.

Nitawapeni kisa kidogo kilichowahi kunitokea au kukishuhudia pale ofsini. Ulifika muda ambao sasa staff tulitakiwa kwenda field mikoani kufanya shughuli mbalimbali kadiri ya majukumu ya idara. Kama nilivogusia kule juu kwama kwa kuwa idara yetu ilikuwa inadili moja kwa moja na usimamizi wa ruzuku kwa viNGO vingine karibia Tz yote basi moja ya kazi zangu ilikuwa ni kwenda huko mikoani kuwajengea uwezo katika maeneo mbalimbali. Mfano kwa wale waliopata ruzuku na wanaoendelea kutekeleza miradi niliwajibika kwenda kuangalia au kufatilia jinsi wanavyotekeleza shughuli zao, matumizi ya fedha, kukusanya success stories na mafanikio lkn kikubwa ni kutatua kwa pamoja changamoto zinazowakabili. Lakini pia kwa kuwa wengi walikuwa wanakosa ruzuku kutokana na kushindwa kumeet vigezo basi niliwajibika kuwakusanya kwenye mikoa yao na kuwafanyia training kama kama ya siku nikikaa nao na kuwapitisha katika namna bora ya kuandika projects zenye mashiko na namna ya kujaza fomu za ruzuku. Kiukweli ni kazi ambayo ilinipa exposure ya kusafiri Tanzania nzima mpaka huko vijijini mno. Pia ilinipa exposure ya kujua kumbe nchi hii ina watu masikini sana, chamuhimu ni utembee uone.

Nakumbuka field yangu ya kwanza nilikuwa na dada mmoja ambaye yeye alikuwa ana uzoefu wa kutosha tuu pale ofsini, hivyo utaratibu ulikuwa kama wewe ni mgeni basi trip tatu za mwanzo unaambata na mzoefu ili ukajifunze kwa vitembo badae ukikaa sawa ndio unaweza kuanza kwenda mwenyewe. Baada ya maandalizi pale ofsini na huko field safari ikaanza. Nakumbuka tulipangiwa mikoa miwili, Tabora na Kigoma na ilibidi huko kuzipitia wilaya karibu zote na tulikuwa tuna muda wa wiki 4, yaani ilikuwa mtu ukipotea unapotea kwelikweli kulingana na ukubwa wa mikoa unayopangiwa. Basi tukakwea mwewe pale mpaka Tabora maana tulipanga yuanzie kazi hapo. Pale Tabora tukafanya kazi kwa muda wiki mbili then tukaenda kumalizi mkoa wa Kigoma. Kigoma pale kulikuwa na wadau wengi sana kufanya nao hivyo ilitulazimu kukaa wiki tatu.

Kwakuwa mimi ilikuwa ndio mara yangu ya kwanza basi yule dada (tumwite dada B) alikuwa anatake lead ili mimi nijifunze. KKwahiyo kama kwenye trainings alikuwa anatake lead yeye au kama ni kwenye kutembelea ofisi kwa ajili ya ukaguzi nako alikuwa anatake lead. Ile kazi haikuwa ngumu sana mimi kuimasta kwa sababu kama kufacilitate trainings nilifanya sana kule Dr KJ kama mnakumbuka. Sana sana kidogo nilichelewa kumaster zile procedure za kuhandle ukaguzi kwa wadau tuliowapa ruzuku lakini baada ya kuambatana na dada B wiki moja tuu ikawa tayari ninaweza, ofcourse kujiongeza pia ni muhimu.

Ile kazi ilikuwa inaushawishi na mitego sana. Maana mnaweza kwenda kufanya ukaguzi mahali yaani mnanyeyekewa kama miungu watu. Kuwa donor kuna raha na karaha zake sometimes. Raha ni pale ambapo mnapokelewa huku watu wakionyesha kuwajali, wengine mnavyowapa taarifa mnaenda basi utakuta wamewalipia mpaka lodge au hotel za kulala. Lakini wengine unaweza ukakuta hawajiamini kwenye utekelezaji miradi na matumizi ya fedha basi wanatengezeza mazingira ya kupeana vibahasha njenje. Hatari ambayo ilikuwepo ni kwamba huwezi jua zipi ni fedha za moto na zipi sio za moto lkn kwakuwa tulikuwa tunaishi kufata misingi ya kazi basi haikuwa tatizo sana. Sometimes kwa sisi vijana unatengenezewa mpaka mazingira ya kupewa vitoto vizuri vya kike ilimradi ughafirike mambo ya wadau yaende. Hii ilikuwa mimi mwenyewe bila kusimuliwa ilikuwa Urambo huko, lakini hii sio stori kwa leo. Ila wengi sana kwa nilivoshuhudia na nilivosikia story walinaswa kwenye mtego huu. Hapo juu niliwa BOSS KUBWA la ofici alikuwa na networks zake kama CIA/FBI kwenye kuwadaka staff wanaotaka rushwa.

Basi Tabora tukamaliza vizuri tu tukavamia mkoa wa Kigoma. Tulipomaliza kufanya nkazi Kigoma mjini pale tukaanza wilayani. Tukasema tukaanzie kibondo kwanza. Ili kwenda Kibondo na Kasulu ilibidi tukodi na escort ya polisi maana kipindi hicho kulikuwa na ujambazi sana wa kuteka magari porini huko. Nasikikia wale jamaa walikuwa waasi wa Burundi huko so waliikuwa wanafanya sana uhalifu upande wa Tz kwa kuiba mifugo, kuteka mabasi nk. Nasikia walikuwa wakilianzisha mbungi wanakuja kama wapo vitani mpaka jeshi la JW ikabidi liweke escort zone kwenye yale maeneo yenye hatari. Bahati nzuri tukafika Kibondo bila shida. Basi tukakutana na wenyeji wetu pale ili kucheki kama maandalizi ya shughuli ya kesho yamekaa sawa.

Pale Kibondo tulikuwa na training ya siku tatu kwa ajili ya viNGO vilivyokosa ruzuku so tulipanga tuwasaidie ili waweze kupata ruzuku. Basi asubuhi tumefika pale kama kawaida sasa kwa kuwa mimi nilishakwiva ile session nikawa mimi ndio natrain. Sasa unajua hizi session wale wadau walikuwa wanazipendaga sana maana walikuwa wanakula pale breakfast and lunch nzito na wanapewa pesa ndefu kwa siku za kujikimu na nauli kwa wanaotoka mbali kwa hiyo kiasi cha chini mtu alikuwa anapata kati ya elfu 25 mpaka 50 kwa siku times 4 days. Kwa vijijini kule ilikuwa ni pesa ndefu sana miaka hiyo hivyo kuhudhuria zile trainings ilikuwa ni dili kwao na wazamiaji hawakukosekana. Kwahiyo ni kawaida sana kuanza kuchelewa kuanza session kwa ajili kwnza ya kuchuja wazamiaji.

Sasa bhana kwenye lile swala la kuhandle wazamiaji dada B alikuwa anakereka sana yaani alikuwa analose temper yake haraka. Mimi hilo nililinote mapema sana kama ndio udhaifu wake. Yaani yeye kukishakuwa na mzamiaji hana simile wala lugha ya stara, yaani ile “tokaa kwenye kipindi changu” zilikuwa ni lugha za kawaida akiwabalasa wadau wetu. Duu mimi nikawa naona haipo sawa so mara nyingi nikawa namtuliza na kujaribu kuintervene. Sasa bhana wakati tukiwa tunajiandaa na session pale Kibondo mjini (mji una vumbi ule balaa hahaa) ile asubuhi uzamiaji ukawa kama kawaida. Dada B kama kawaida alipaniki sana.

Sasa wazamiaji wa Kibondo pale siku iyo walikuwa ni wengi sana karibu nusu nzima ya darasa walizamia. Mchujo ulikuwa mkali sana. Sasa dada B akalivalia njuga lile swala kwa hasira sana. Ukaanza mchujo wa nguvu pale tulijikuta mpaka muda wa session bado watu hawataki kutoka. Watu wabishi wale sikuwahi kuona b4 khaa. Mimi nikamshauri dadaB wacha tuendelee na training lkn hao waliozamia tusiwalipe na kama tusipowalipa keshi na keshokutwa hawatafika, bidada akanigomea akasema wacha apambane nao mpaka kitaeleweka. Senior kasema hivyo mimi junior ntasemaje? Kiukweli alifanikiwa kupambana nao isipokuwa kulibaki wazee watatu. Wale wazee wala hawakuwa waongeaji sana wao walikuwa tu wanamsikiliza kisha wanamjibu tuu mama sisi hatutoki tutahudhuria.

Dada B alikwazika sana na zile kauli zao akawa anawafokea sana wale wazee kama watoto. Badae wale wazee wakakonyezana wakaondoka kisha wakasimama wote watatu kwa pamoja wakaondoka bila kuaga. Mh, mimi ile situation nikaona haipo sawa nikamwambia dadaB naona kama wale wazee wameondoka na kinyongo nikajibiwa achana nao waache waende zao mimi najiamini na nasimamia kanuni za kazi yangu na sitishiki maana nalindwa na damu ya Yesu. Na akaniambia unaona mdogo wangu na hizi ndio sehemu ya changamoto tunazokutana nazo huku field hivyo jiandae kuziweka kwenye report tukiridi ofsini.

Mimi nikamsikiliza pale lakini nikaona haipi sawa. Nikachomoka pale nikawatoka kuwawahi wale kabla hawajatokomea. Nikawakuta mahali wamekaa chini mti sijui wanaongea vitu gani. Basi nikawasalimia pale na kuanza kuongea nao lakini kubwa ilikuwa kuwaomba watusamehe tulighafirika tuu kutowajuisha hivyo kama hawatajali wanipe majina na namba za simu ili tukirudi baada ya mwezi mmoja tuwaalike na wao. Mimi niliongea tu vile ile kuwaondolea kile kinyongo maana kwenye miji ya watu bhana unatakiwa uwe unaishi kwa kujiongeza ongeza kidogo.

Wale wazee bhana ni kama niliamsha mashetwaini yao maana walianza kufoka na kulaani utafikiri mimi nimeenda pale kuwafukuza tena. Waliaani na kutoa maneno makali sana. Basi mimi ili kutuliza hali ya hewa nikawaomba omba msamaha pale nikarudi kuendelea na session. Wakati naongea na wale wazee ilikuwa ni muda wa breakfast kule kwenye session. Dada B akaniuliza ulikuwa wapi nikamwambia nilikuwa na wale wazee pale kwenye mti. Alipowaona nikamwambia tuwaite tu waje wanywe chai kisha waende maana inaonekana kama wana njaa akaniambia achana nao. Wale wazee hawakuondoka pale kwenye mti walikuwa wanatazama sana upande ule ambao sisi tulikuwa tunakunywa chai. Breakfast siku ile naikumbuka vizuri sana ilikuwa chai ya maziwa, viazi, chapati na supu ya kuku wa kienyeji. Basi tukawa tumekaa meza moja mimi, dada B na wenyeji wetu wawili tunaendelea kupata msosi. Wale wazee wapo tuu pale kwenye mti tunawaona.

Tulipomaliza kunywa chai tukaingia ukumbini mimi nikawa naendelea na session. Nusu mbele dada b akaanza kukohoa kohoa pale. Mara kikohozi kikawa kinazidi mpaka kupelekea kutoka nje. Mara kikohozi kikawa kikavu sana kama kile cha mgonjwa wa TB. Alikuwa anakohoa mpaka mimi ikabidi nisitishe kwanza session kwenda kumwangalia. Nafika nje nakuta ameshikwa na mmama mmoja nadhali alikuwa ametoka toilet. Toba kumcheki dadaB ameshikilia shingo macho yamemtoka hawezi hata kuongea. Nilipagawa sana tukimuuliza nini hawezi kujibu anatutumbulia macho tuu. Sasa kwenye ile session kulikuwa na mama mmoja mlokole akaanza kukemea pale mapepo kwa muda mda mrefu kama dk 20 nzima lakini hali ya dadaB ndio ikawa inazidi kuwa mbaya. Sasa

Mimi akili yangu ikiwa imepagawa maana naona workmate anaondoka huyu hivyo nikawa namtafuta dereva wa gari tuliyokodi toka Kigoma kuja nayo KIbondo aje tumkimbize hospitali. Yule jamaa hakuwepo alikuwa kwenye misele yake maana tulimwambia sisi atufufate saa tisa aturudishe lodge. Nikipiga simu yake akawa hapokei. Sasa wakati tunahangaika kupata usafiri mwingine na wale walokole wanaendelea na maombi yao pale kukema kuna mzee mmoja ambaye alikuwa mkimya sana muda wote akawanyamazisha wale wakole waache maombi yao. Wakawa wanabisha nbasi yule mzee mkimya akawa mkali akiwaambia mkiendelea na makelele yenu mtampoteza huyu dada. Basi wakatulia. Yule mzee akamsogelea dadaB akamzunguka pale kama mara saba kisha akawa anapiga makofi huku akiangalia mawinguni kama anafukuza fukuza vitu hewani. Baada ya muda tukaona dadaB anaanza kupiga chafya mfululizo. Gafla akatapika bonge la mwiba wa samaki yaani ule mwiba mkubwa kama sindano kubwa ya kushonea nguo majumbani. Kila mmoja akashangaa pale, na mara baada ya kutapika dadaB alipa nafuu kubwa sana.

Wote pale tukashangaa akiwemo dada B mwenyewe kwamba ule mwiba wa samaki umtoka wapi. Maana usku wake nakumbuka kabisa dadaB alikula chipi na mishikaki na asubuhi ile alikuwa kuku sio samaki. Tukaona hayo ni mazingaombwe. Yule mzee mkimya akasema hili jambo bado halijaisha huko njiani mtakapokuwa mnarudi hamtakuwa salama cha muhimu watafuteni wale wazee watatu muongee nao. Wale wazee bila aibu waliikuja pale maana walikuwa bado wapo pale pale kwenye tena wanafatilia kila linalotokea. Wale wazee wala hawakupepesa maneno walituchana live walikuwa wamepanga wakati tungekuwa tunamkimbiza dada B hospitali basi gari ingepata ajali napengine kupelekea kifo. Awali walipanga kutufanyizia wote ila kadili ya maelezo yao mimi walinisamehee kwa sababu nilonekana muungwana. This is very true story maana wazee wa chai hamkawii kuhoji hapa. Yaani wallikuwa na ushujaa wakutueleza kila plan yao walivoichora bila kuogopa wala kufikatena wakisisitiza wao wanaheshimika hawajawahi kudharauliwa na watu wepesi kama sisi.

Basi tukawaomba msamaha pale nakumbuka dadaB aliomba msamaha sana mwisho wakaamua kutegua mitego yao. Nao walifanya kama yule mzee mkimya walimzunguka dadab na kufukuza fukuza vitu hewani, jamani haya mazingaombwe yapo nyie achene. Kwiukweli kabisa ile shughuli iliitibuka pale. DadaB hakuweza tena kufanya iile kazi pale. Hata mimi sikuwa kiakili. Ikabidi tuahirishe tu kwa siku hiyo. Jioni wakati tupo lodge nikamwona dadaB hayupo sawa kabisa kisaikolojia. Kwakuwa yeye ndio alikuwa victim mkubwa nikamshauri kama vipi afanye utaratibu arudi Dar akapumzike nap engine akaangalie afya yake ya kiakili. Dada b nikama nilikuwa kwenye akili yake nayeye alikuwa anafikiria ni namna gani angenishawishi aondoke tuu. Ila tulikubaliana tufanye siri ofisini wasijue basi aka niacha mimi nimalizie kupiga mzigo Kigoma. Watu wa Kigoma kama mpo humu salamaleko.

Baada ya pale sasa nilipobaki mwenyewe kumalizia kazi sehemu zilizobaki ikabidi niintroduce mtindo ambao mwenyeji wangu ndio nilimpa mamlaka ya kuchuja wazamiaji pamoja na kuwalipa washiriki. Nilikuwa na nidhamu sana na uchaguzi wa nini cha kuongea ili kutotibua hali ya hewa. Utashangaa kwa nini niliwaachia wenyeji wangu walipe washiriki ni kwa sababu kwenye hizi mambo yakulipa mara nyingi tulikuwa tunaingia loss sana yaani ni kama unapigwa viini macho hata uwe makini mara nyingi ilikuwa inatokea unajikuta unapata loss yaani kuna mtu watu unakuwa umewali mara mbili. Hii mimi imeshanitokea sana. Kwahiyo nikasema wacha haya mambo wacharurane wenyewe.

Muendelezo Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa
 
EPISODE 8: Nilikuja kuelewa kwamba uki-mess up kwenye mawasiliano umeharibu kila kitu.

That is to say kwa shughuli ambazo nilikuwa nazifanya pale ofisini, effective communication was crucial in such projects because it helped me to build and maintain positive relationships, ensures transparency, and fosters collaboration among diverse stakeholders. Chukua hiyoutajishuluru badae kama ulikuwa unapuuzia.

Nitawapeni kisa kidogo kilichowahi kunitokea au kukishuhudia pale ofsini. Ulifika muda ambao sasa staff tulitakiwa kwenda field mikoani kufanya shughuli mbalimbali kadiri ya majukumu ya idara. Kama nilivogusia kule juu kwama kwa kuwa idara yetu ilikuwa inadili moja kwa moja na usimamizi wa ruzuku kwa viNGO vingine karibia Tz yote basi moja ya kazi zangu ilikuwa ni kwenda huko mikoani kuwajengea uwezo katika maeneo mbalimbali. Mfano kwa wale waliopata ruzuku na wanaoendelea kutekeleza miradi niliwajibika kwenda kuangalia au kufatilia jinsi wanavyotekeleza shughuli zao, matumizi ya fedha, kukusanya success stories na mafanikio lkn kikubwa ni kutatua kwa pamoja changamoto zinazowakabili. Lakini pia kwa kuwa wengi walikuwa wanakosa ruzuku kutokana na kushindwa kumeet vigezo basi niliwajibika kuwakusanya kwenye mikoa yao na kuwafanyia training kama kama ya siku nikikaa nao na kuwapitisha katika namna bora ya kuandika projects zenye mashiko na namna ya kujaza fomu za ruzuku. Kiukweli ni kazi ambayo ilinipa exposure ya kusafiri Tanzania nzima mpaka huko vijijini mno. Pia ilinipa exposure ya kujua kumbe nchi hii ina watu masikini sana, chamuhimu ni utembee uone.

Nakumbuka field yangu ya kwanza nilikuwa na dada mmoja ambaye yeye alikuwa ana uzoefu wa kutosha tuu pale ofsini, hivyo utaratibu ulikuwa kama wewe ni mgeni basi trip tatu za mwanzo unaambata na mzoefu ili ukajifunze kwa vitembo badae ukikaa sawa ndio unaweza kuanza kwenda mwenyewe. Baada ya maandalizi pale ofsini na huko field safari ikaanza. Nakumbuka tulipangiwa mikoa miwili, Tabora na Kigoma na ilibidi huko kuzipitia wilaya karibu zote na tulikuwa tuna muda wa wiki 4, yaani ilikuwa mtu ukipotea unapotea kwelikweli kulingana na ukubwa wa mikoa unayopangiwa. Basi tukakwea mwewe pale mpaka Tabora maana tulipanga yuanzie kazi hapo. Pale Tabora tukafanya kazi kwa muda wiki mbili then tukaenda kumalizi mkoa wa Kigoma. Kigoma pale kulikuwa na wadau wengi sana kufanya nao hivyo ilitulazimu kukaa wiki tatu.

Kwakuwa mimi ilikuwa ndio mara yangu ya kwanza basi yule dada (tumwite dada B) alikuwa anatake lead ili mimi nijifunze. KKwahiyo kama kwenye trainings alikuwa anatake lead yeye au kama ni kwenye kutembelea ofisi kwa ajili ya ukaguzi nako alikuwa anatake lead. Ile kazi haikuwa ngumu sana mimi kuimasta kwa sababu kama kufacilitate trainings nilifanya sana kule Dr KJ kama mnakumbuka. Sana sana kidogo nilichelewa kumaster zile procedure za kuhandle ukaguzi kwa wadau tuliowapa ruzuku lakini baada ya kuambatana na dada B wiki moja tuu ikawa tayari ninaweza, ofcourse kujiongeza pia ni muhimu.

Ile kazi ilikuwa inaushawishi na mitego sana. Maana mnaweza kwenda kufanya ukaguzi mahali yaani mnanyeyekewa kama miungu watu. Kuwa donor kuna raha na karaha zake sometimes. Raha ni pale ambapo mnapokelewa huku watu wakionyesha kuwajali, wengine mnavyowapa taarifa mnaenda basi utakuta wamewalipia mpaka lodge au hotel za kulala. Lakini wengine unaweza ukakuta hawajiamini kwenye utekelezaji miradi na matumizi ya fedha basi wanatengezeza mazingira ya kupeana vibahasha njenje. Hatari ambayo ilikuwepo ni kwamba huwezi jua zipi ni fedha za moto na zipi sio za moto lkn kwakuwa tulikuwa tunaishi kufata misingi ya kazi basi haikuwa tatizo sana. Sometimes kwa sisi vijana unatengenezewa mpaka mazingira ya kupewa vitoto vizuri vya kike ilimradi ughafirike mambo ya wadau yaende. Hii ilikuwa mimi mwenyewe bila kusimuliwa ilikuwa Urambo huko, lakini hii sio stori kwa leo. Ila wengi sana kwa nilivoshuhudia na nilivosikia story walinaswa kwenye mtego huu. Hapo juu niliwa BOSS KUBWA la ofici alikuwa na networks zake kama CIA/FBI kwenye kuwadaka staff wanaotaka rushwa.

Basi Tabora tukamaliza vizuri tu tukavamia mkoa wa Kigoma. Tulipomaliza kufanya nkazi Kigoma mjini pale tukaanza wilayani. Tukasema tukaanzie kibondo kwanza. Ili kwenda Kibondo na Kasulu ilibidi tukodi na escort ya polisi maana kipindi hicho kulikuwa na ujambazi sana wa kuteka magari porini huko. Nasikikia wale jamaa walikuwa waasi wa Burundi huko so waliikuwa wanafanya sana uhalifu upande wa Tz kwa kuiba mifugo, kuteka mabasi nk. Nasikia walikuwa wakilianzisha mbungi wanakuja kama wapo vitani mpaka jeshi la JW ikabidi liweke escort zone kwenye yale maeneo yenye hatari. Bahati nzuri tukafika Kibondo bila shida. Basi tukakutana na wenyeji wetu pale ili kucheki kama maandalizi ya shughuli ya kesho yamekaa sawa.

Pale Kibondo tulikuwa na training ya siku tatu kwa ajili ya viNGO vilivyokosa ruzuku so tulipanga tuwasaidie ili waweze kupata ruzuku. Basi asubuhi tumefika pale kama kawaida sasa kwa kuwa mimi nilishakwiva ile session nikawa mimi ndio natrain. Sasa unajua hizi session wale wadau walikuwa wanazipendaga sana maana walikuwa wanakula pale breakfast and lunch nzito na wanapewa pesa ndefu kwa siku za kujikimu na nauli kwa wanaotoka mbali kwa hiyo kiasi cha chini mtu alikuwa anapata kati ya elfu 25 mpaka 50 kwa siku times 4 days. Kwa vijijini kule ilikuwa ni pesa ndefu sana miaka hiyo hivyo kuhudhuria zile trainings ilikuwa ni dili kwao na wazamiaji hawakukosekana. Kwahiyo ni kawaida sana kuanza kuchelewa kuanza session kwa ajili kwnza ya kuchuja wazamiaji.

Sasa bhana kwenye lile swala la kuhandle wazamiaji dada B alikuwa anakereka sana yaani alikuwa analose temper yake haraka. Mimi hilo nililinote mapema sana kama ndio udhaifu wake. Yaani yeye kukishakuwa na mzamiaji hana simile wala lugha ya stara, yaani ile “tokaa kwenye kipindi changu” zilikuwa ni lugha za kawaida akiwabalasa wadau wetu. Duu mimi nikawa naona haipo sawa so mara nyingi nikawa namtuliza na kujaribu kuintervene. Sasa bhana wakati tukiwa tunajiandaa na session pale Kibondo mjini (mji una vumbi ule balaa hahaa) ile asubuhi uzamiaji ukawa kama kawaida. Dada B kama kawaida alipaniki sana.

Sasa wazamiaji wa Kibondo pale siku iyo walikuwa ni wengi sana karibu nusu nzima ya darasa walizamia. Mchujo ulikuwa mkali sana. Sasa dada B akalivalia njuga lile swala kwa hasira sana. Ukaanza mchujo wa nguvu pale tulijikuta mpaka muda wa session bado watu hawataki kutoka. Watu wabishi wale sikuwahi kuona b4 khaa. Mimi nikamshauri dadaB wacha tuendelee na training lkn hao waliozamia tusiwalipe na kama tusipowalipa keshi na keshokutwa hawatafika, bidada akanigomea akasema wacha apambane nao mpaka kitaeleweka. Senior kasema hivyo mimi junior ntasemaje? Kiukweli alifanikiwa kupambana nao isipokuwa kulibaki wazee watatu. Wale wazee wala hawakuwa waongeaji sana wao walikuwa tu wanamsikiliza kisha wanamjibu tuu mama sisi hatutoki tutahudhuria.

Dada B alikwazika sana na zile kauli zao akawa anawafokea sana wale wazee kama watoto. Badae wale wazee wakakonyezana wakaondoka kisha wakasimama wote watatu kwa pamoja wakaondoka bila kuaga. Mh, mimi ile situation nikaona haipo sawa nikamwambia dadaB naona kama wale wazee wameondoka na kinyongo nikajibiwa achana nao waache waende zao mimi najiamini na nasimamia kanuni za kazi yangu na sitishiki maana nalindwa na damu ya Yesu. Na akaniambia unaona mdogo wangu na hizi ndio sehemu ya changamoto tunazokutana nazo huku field hivyo jiandae kuziweka kwenye report tukiridi ofsini.

Mimi nikamsikiliza pale lakini nikaona haipi sawa. Nikachomoka pale nikawatoka kuwawahi wale kabla hawajatokomea. Nikawakuta mahali wamekaa chini mti sijui wanaongea vitu gani. Basi nikawasalimia pale na kuanza kuongea nao lakini kubwa ilikuwa kuwaomba watusamehe tulighafirika tuu kutowajuisha hivyo kama hawatajali wanipe majina na namba za simu ili tukirudi baada ya mwezi mmoja tuwaalike na wao. Mimi niliongea tu vile ile kuwaondolea kile kinyongo maana kwenye miji ya watu bhana unatakiwa uwe unaishi kwa kujiongeza ongeza kidogo.

Wale wazee bhana ni kama niliamsha mashetwaini yao maana walianza kufoka na kulaani utafikiri mimi nimeenda pale kuwafukuza tena. Waliaani na kutoa maneno makali sana. Basi mimi ili kutuliza hali ya hewa nikawaomba omba msamaha pale nikarudi kuendelea na session. Wakati naongea na wale wazee ilikuwa ni muda wa breakfast kule kwenye session. Dada B akaniuliza ulikuwa wapi nikamwambia nilikuwa na wale wazee pale kwenye mti. Alipowaona nikamwambia tuwaite tu waje wanywe chai kisha waende maana inaonekana kama wana njaa akaniambia achana nao. Wale wazee hawakuondoka pale kwenye mti walikuwa wanatazama sana upande ule ambao sisi tulikuwa tunakunywa chai. Breakfast siku ile naikumbuka vizuri sana ilikuwa chai ya maziwa, viazi, chapati na supu ya kuku wa kienyeji. Basi tukawa tumekaa meza moja mimi, dada B na wenyeji wetu wawili tunaendelea kupata msosi. Wale wazee wapo tuu pale kwenye mti tunawaona.

Tulipomaliza kunywa chai tukaingia ukumbini mimi nikawa naendelea na session. Nusu mbele dada b akaanza kukohoa kohoa pale. Mara kikohozi kikawa kinazidi mpaka kupelekea kutoka nje. Mara kikohozi kikawa kikavu sana kama kile cha mgonjwa wa TB. Alikuwa anakohoa mpaka mimi ikabidi nisitishe kwanza session kwenda kumwangalia. Nafika nje nakuta ameshikwa na mmama mmoja nadhali alikuwa ametoka toilet. Toba kumcheki dadaB ameshikilia shingo macho yamemtoka hawezi hata kuongea. Nilipagawa sana tukimuuliza nini hawezi kujibu anatutumbulia macho tuu. Sasa kwenye ile session kulikuwa na mama mmoja mlokole akaanza kukemea pale mapepo kwa muda mda mrefu kama dk 20 nzima lakini hali ya dadaB ndio ikawa inazidi kuwa mbaya. Sasa

Mimi akili yangu ikiwa imepagawa maana naona workmate anaondoka huyu hivyo nikawa namtafuta dereva wa gari tuliyokodi toka Kigoma kuja nayo KIbondo aje tumkimbize hospitali. Yule jamaa hakuwepo alikuwa kwenye misele yake maana tulimwambia sisi atufufate saa tisa aturudishe lodge. Nikipiga simu yake akawa hapokei. Sasa wakati tunahangaika kupata usafiri mwingine na wale walokole wanaendelea na maombi yao pale kukema kuna mzee mmoja ambaye alikuwa mkimya sana muda wote akawanyamazisha wale wakole waache maombi yao. Wakawa wanabisha nbasi yule mzee mkimya akawa mkali akiwaambia mkiendelea na makelele yenu mtampoteza huyu dada. Basi wakatulia. Yule mzee akamsogelea dadaB akamzunguka pale kama mara saba kisha akawa anapiga makofi huku akiangalia mawinguni kama anafukuza fukuza vitu hewani. Baada ya muda tukaona dadaB anaanza kupiga chafya mfululizo. Gafla akatapika bonge la mwiba wa samaki yaani ule mwiba mkubwa kama sindano kubwa ya kushonea nguo majumbani. Kila mmoja akashangaa pale, na mara baada ya kutapika dadaB alipa nafuu kubwa sana.

Wote pale tukashangaa akiwemo dada B mwenyewe kwamba ule mwiba wa samaki umtoka wapi. Maana usku wake nakumbuka kabisa dadaB alikula chipi na mishikaki na asubuhi ile alikuwa kuku sio samaki. Tukaona hayo ni mazingaombwe. Yule mzee mkimya akasema hili jambo bado halijaisha huko njiani mtakapokuwa mnarudi hamtakuwa salama cha muhimu watafuteni wale wazee watatu muongee nao. Wale wazee bila aibu waliikuja pale maana walikuwa bado wapo pale pale kwenye tena wanafatilia kila linalotokea. Wale wazee wala hawakupepesa maneno walituchana live walikuwa wamepanga wakati tungekuwa tunamkimbiza dada B hospitali basi gari ingepata ajali napengine kupelekea kifo. Awali walipanga kutufanyizia wote ila kadili ya maelezo yao mimi walinisamehee kwa sababu nilonekana muungwana. This is very true story maana wazee wa chai hamkawii kuhoji hapa. Yaani wallikuwa na ushujaa wakutueleza kila plan yao walivoichora bila kuogopa wala kufikatena wakisisitiza wao wanaheshimika hawajawahi kudharauliwa na watu wepesi kama sisi.

Basi tukawaomba msamaha pale nakumbuka dadaB aliomba msamaha sana mwisho wakaamua kutegua mitego yao. Nao walifanya kama yule mzee mkimya walimzunguka dadab na kufukuza fukuza vitu hewani, jamani haya mazingaombwe yapo nyie achene. Kwiukweli kabisa ile shughuli iliitibuka pale. DadaB hakuweza tena kufanya iile kazi pale. Hata mimi sikuwa kiakili. Ikabidi tuahirishe tu kwa siku hiyo. Jioni wakati tupo lodge nikamwona dadaB hayupo sawa kabisa kisaikolojia. Kwakuwa yeye ndio alikuwa victim mkubwa nikamshauri kama vipi afanye utaratibu arudi Dar akapumzike nap engine akaangalie afya yake ya kiakili. Dada b nikama nilikuwa kwenye akili yake nayeye alikuwa anafikiria ni namna gani angenishawishi aondoke tuu. Ila tulikubaliana tufanye siri ofisini wasijue basi aka niacha mimi nimalizie kupiga mzigo Kigoma. Watu wa Kigoma kama mpo humu salamaleko.

Baada ya pale sasa nilipobaki mwenyewe kumalizia kazi sehemu zilizobaki ikabidi niintroduce mtindo ambao mwenyeji wangu ndio nilimpa mamlaka ya kuchuja wazamiaji pamoja na kuwalipa washiriki. Nilikuwa na nidhamu sana na uchaguzi wa nini cha kuongea ili kutotibua hali ya hewa. Utashangaa kwa nini niliwaachia wenyeji wangu walipe washiriki ni kwa sababu kwenye hizi mambo yakulipa mara nyingi tulikuwa tunaingia loss sana yaani ni kama unapigwa viini macho hata uwe makini mara nyingi ilikuwa inatokea unajikuta unapata loss yaani kuna mtu watu unakuwa umewali mara mbili. Hii mimi imeshanitokea sana. Kwahiyo nikasema wacha haya mambo wacharurane wenyewe.

BYE FOR NOW
Kigoma duh hatari hao jamaa
 
EPISODE 8: Nilikuja kuelewa kwamba uki-mess up kwenye mawasiliano umeharibu kila kitu.

That is to say kwa shughuli ambazo nilikuwa nazifanya pale ofisini, effective communication was crucial in such projects because it helped me to build and maintain positive relationships, ensures transparency, and fosters collaboration among diverse stakeholders. Chukua hiyoutajishuluru badae kama ulikuwa unapuuzia.

Nitawapeni kisa kidogo kilichowahi kunitokea au kukishuhudia pale ofsini. Ulifika muda ambao sasa staff tulitakiwa kwenda field mikoani kufanya shughuli mbalimbali kadiri ya majukumu ya idara. Kama nilivogusia kule juu kwama kwa kuwa idara yetu ilikuwa inadili moja kwa moja na usimamizi wa ruzuku kwa viNGO vingine karibia Tz yote basi moja ya kazi zangu ilikuwa ni kwenda huko mikoani kuwajengea uwezo katika maeneo mbalimbali. Mfano kwa wale waliopata ruzuku na wanaoendelea kutekeleza miradi niliwajibika kwenda kuangalia au kufatilia jinsi wanavyotekeleza shughuli zao, matumizi ya fedha, kukusanya success stories na mafanikio lkn kikubwa ni kutatua kwa pamoja changamoto zinazowakabili. Lakini pia kwa kuwa wengi walikuwa wanakosa ruzuku kutokana na kushindwa kumeet vigezo basi niliwajibika kuwakusanya kwenye mikoa yao na kuwafanyia training kama kama ya siku nikikaa nao na kuwapitisha katika namna bora ya kuandika projects zenye mashiko na namna ya kujaza fomu za ruzuku. Kiukweli ni kazi ambayo ilinipa exposure ya kusafiri Tanzania nzima mpaka huko vijijini mno. Pia ilinipa exposure ya kujua kumbe nchi hii ina watu masikini sana, chamuhimu ni utembee uone.

Nakumbuka field yangu ya kwanza nilikuwa na dada mmoja ambaye yeye alikuwa ana uzoefu wa kutosha tuu pale ofsini, hivyo utaratibu ulikuwa kama wewe ni mgeni basi trip tatu za mwanzo unaambata na mzoefu ili ukajifunze kwa vitembo badae ukikaa sawa ndio unaweza kuanza kwenda mwenyewe. Baada ya maandalizi pale ofsini na huko field safari ikaanza. Nakumbuka tulipangiwa mikoa miwili, Tabora na Kigoma na ilibidi huko kuzipitia wilaya karibu zote na tulikuwa tuna muda wa wiki 4, yaani ilikuwa mtu ukipotea unapotea kwelikweli kulingana na ukubwa wa mikoa unayopangiwa. Basi tukakwea mwewe pale mpaka Tabora maana tulipanga yuanzie kazi hapo. Pale Tabora tukafanya kazi kwa muda wiki mbili then tukaenda kumalizi mkoa wa Kigoma. Kigoma pale kulikuwa na wadau wengi sana kufanya nao hivyo ilitulazimu kukaa wiki tatu.

Kwakuwa mimi ilikuwa ndio mara yangu ya kwanza basi yule dada (tumwite dada B) alikuwa anatake lead ili mimi nijifunze. KKwahiyo kama kwenye trainings alikuwa anatake lead yeye au kama ni kwenye kutembelea ofisi kwa ajili ya ukaguzi nako alikuwa anatake lead. Ile kazi haikuwa ngumu sana mimi kuimasta kwa sababu kama kufacilitate trainings nilifanya sana kule Dr KJ kama mnakumbuka. Sana sana kidogo nilichelewa kumaster zile procedure za kuhandle ukaguzi kwa wadau tuliowapa ruzuku lakini baada ya kuambatana na dada B wiki moja tuu ikawa tayari ninaweza, ofcourse kujiongeza pia ni muhimu.

Ile kazi ilikuwa inaushawishi na mitego sana. Maana mnaweza kwenda kufanya ukaguzi mahali yaani mnanyeyekewa kama miungu watu. Kuwa donor kuna raha na karaha zake sometimes. Raha ni pale ambapo mnapokelewa huku watu wakionyesha kuwajali, wengine mnavyowapa taarifa mnaenda basi utakuta wamewalipia mpaka lodge au hotel za kulala. Lakini wengine unaweza ukakuta hawajiamini kwenye utekelezaji miradi na matumizi ya fedha basi wanatengezeza mazingira ya kupeana vibahasha njenje. Hatari ambayo ilikuwepo ni kwamba huwezi jua zipi ni fedha za moto na zipi sio za moto lkn kwakuwa tulikuwa tunaishi kufata misingi ya kazi basi haikuwa tatizo sana. Sometimes kwa sisi vijana unatengenezewa mpaka mazingira ya kupewa vitoto vizuri vya kike ilimradi ughafirike mambo ya wadau yaende. Hii ilikuwa mimi mwenyewe bila kusimuliwa ilikuwa Urambo huko, lakini hii sio stori kwa leo. Ila wengi sana kwa nilivoshuhudia na nilivosikia story walinaswa kwenye mtego huu. Hapo juu niliwa BOSS KUBWA la ofici alikuwa na networks zake kama CIA/FBI kwenye kuwadaka staff wanaotaka rushwa.

Basi Tabora tukamaliza vizuri tu tukavamia mkoa wa Kigoma. Tulipomaliza kufanya nkazi Kigoma mjini pale tukaanza wilayani. Tukasema tukaanzie kibondo kwanza. Ili kwenda Kibondo na Kasulu ilibidi tukodi na escort ya polisi maana kipindi hicho kulikuwa na ujambazi sana wa kuteka magari porini huko. Nasikikia wale jamaa walikuwa waasi wa Burundi huko so waliikuwa wanafanya sana uhalifu upande wa Tz kwa kuiba mifugo, kuteka mabasi nk. Nasikia walikuwa wakilianzisha mbungi wanakuja kama wapo vitani mpaka jeshi la JW ikabidi liweke escort zone kwenye yale maeneo yenye hatari. Bahati nzuri tukafika Kibondo bila shida. Basi tukakutana na wenyeji wetu pale ili kucheki kama maandalizi ya shughuli ya kesho yamekaa sawa.

Pale Kibondo tulikuwa na training ya siku tatu kwa ajili ya viNGO vilivyokosa ruzuku so tulipanga tuwasaidie ili waweze kupata ruzuku. Basi asubuhi tumefika pale kama kawaida sasa kwa kuwa mimi nilishakwiva ile session nikawa mimi ndio natrain. Sasa unajua hizi session wale wadau walikuwa wanazipendaga sana maana walikuwa wanakula pale breakfast and lunch nzito na wanapewa pesa ndefu kwa siku za kujikimu na nauli kwa wanaotoka mbali kwa hiyo kiasi cha chini mtu alikuwa anapata kati ya elfu 25 mpaka 50 kwa siku times 4 days. Kwa vijijini kule ilikuwa ni pesa ndefu sana miaka hiyo hivyo kuhudhuria zile trainings ilikuwa ni dili kwao na wazamiaji hawakukosekana. Kwahiyo ni kawaida sana kuanza kuchelewa kuanza session kwa ajili kwnza ya kuchuja wazamiaji.

Sasa bhana kwenye lile swala la kuhandle wazamiaji dada B alikuwa anakereka sana yaani alikuwa analose temper yake haraka. Mimi hilo nililinote mapema sana kama ndio udhaifu wake. Yaani yeye kukishakuwa na mzamiaji hana simile wala lugha ya stara, yaani ile “tokaa kwenye kipindi changu” zilikuwa ni lugha za kawaida akiwabalasa wadau wetu. Duu mimi nikawa naona haipo sawa so mara nyingi nikawa namtuliza na kujaribu kuintervene. Sasa bhana wakati tukiwa tunajiandaa na session pale Kibondo mjini (mji una vumbi ule balaa hahaa) ile asubuhi uzamiaji ukawa kama kawaida. Dada B kama kawaida alipaniki sana.

Sasa wazamiaji wa Kibondo pale siku iyo walikuwa ni wengi sana karibu nusu nzima ya darasa walizamia. Mchujo ulikuwa mkali sana. Sasa dada B akalivalia njuga lile swala kwa hasira sana. Ukaanza mchujo wa nguvu pale tulijikuta mpaka muda wa session bado watu hawataki kutoka. Watu wabishi wale sikuwahi kuona b4 khaa. Mimi nikamshauri dadaB wacha tuendelee na training lkn hao waliozamia tusiwalipe na kama tusipowalipa keshi na keshokutwa hawatafika, bidada akanigomea akasema wacha apambane nao mpaka kitaeleweka. Senior kasema hivyo mimi junior ntasemaje? Kiukweli alifanikiwa kupambana nao isipokuwa kulibaki wazee watatu. Wale wazee wala hawakuwa waongeaji sana wao walikuwa tu wanamsikiliza kisha wanamjibu tuu mama sisi hatutoki tutahudhuria.

Dada B alikwazika sana na zile kauli zao akawa anawafokea sana wale wazee kama watoto. Badae wale wazee wakakonyezana wakaondoka kisha wakasimama wote watatu kwa pamoja wakaondoka bila kuaga. Mh, mimi ile situation nikaona haipo sawa nikamwambia dadaB naona kama wale wazee wameondoka na kinyongo nikajibiwa achana nao waache waende zao mimi najiamini na nasimamia kanuni za kazi yangu na sitishiki maana nalindwa na damu ya Yesu. Na akaniambia unaona mdogo wangu na hizi ndio sehemu ya changamoto tunazokutana nazo huku field hivyo jiandae kuziweka kwenye report tukiridi ofsini.

Mimi nikamsikiliza pale lakini nikaona haipi sawa. Nikachomoka pale nikawatoka kuwawahi wale kabla hawajatokomea. Nikawakuta mahali wamekaa chini mti sijui wanaongea vitu gani. Basi nikawasalimia pale na kuanza kuongea nao lakini kubwa ilikuwa kuwaomba watusamehe tulighafirika tuu kutowajuisha hivyo kama hawatajali wanipe majina na namba za simu ili tukirudi baada ya mwezi mmoja tuwaalike na wao. Mimi niliongea tu vile ile kuwaondolea kile kinyongo maana kwenye miji ya watu bhana unatakiwa uwe unaishi kwa kujiongeza ongeza kidogo.

Wale wazee bhana ni kama niliamsha mashetwaini yao maana walianza kufoka na kulaani utafikiri mimi nimeenda pale kuwafukuza tena. Waliaani na kutoa maneno makali sana. Basi mimi ili kutuliza hali ya hewa nikawaomba omba msamaha pale nikarudi kuendelea na session. Wakati naongea na wale wazee ilikuwa ni muda wa breakfast kule kwenye session. Dada B akaniuliza ulikuwa wapi nikamwambia nilikuwa na wale wazee pale kwenye mti. Alipowaona nikamwambia tuwaite tu waje wanywe chai kisha waende maana inaonekana kama wana njaa akaniambia achana nao. Wale wazee hawakuondoka pale kwenye mti walikuwa wanatazama sana upande ule ambao sisi tulikuwa tunakunywa chai. Breakfast siku ile naikumbuka vizuri sana ilikuwa chai ya maziwa, viazi, chapati na supu ya kuku wa kienyeji. Basi tukawa tumekaa meza moja mimi, dada B na wenyeji wetu wawili tunaendelea kupata msosi. Wale wazee wapo tuu pale kwenye mti tunawaona.

Tulipomaliza kunywa chai tukaingia ukumbini mimi nikawa naendelea na session. Nusu mbele dada b akaanza kukohoa kohoa pale. Mara kikohozi kikawa kinazidi mpaka kupelekea kutoka nje. Mara kikohozi kikawa kikavu sana kama kile cha mgonjwa wa TB. Alikuwa anakohoa mpaka mimi ikabidi nisitishe kwanza session kwenda kumwangalia. Nafika nje nakuta ameshikwa na mmama mmoja nadhali alikuwa ametoka toilet. Toba kumcheki dadaB ameshikilia shingo macho yamemtoka hawezi hata kuongea. Nilipagawa sana tukimuuliza nini hawezi kujibu anatutumbulia macho tuu. Sasa kwenye ile session kulikuwa na mama mmoja mlokole akaanza kukemea pale mapepo kwa muda mda mrefu kama dk 20 nzima lakini hali ya dadaB ndio ikawa inazidi kuwa mbaya. Sasa

Mimi akili yangu ikiwa imepagawa maana naona workmate anaondoka huyu hivyo nikawa namtafuta dereva wa gari tuliyokodi toka Kigoma kuja nayo KIbondo aje tumkimbize hospitali. Yule jamaa hakuwepo alikuwa kwenye misele yake maana tulimwambia sisi atufufate saa tisa aturudishe lodge. Nikipiga simu yake akawa hapokei. Sasa wakati tunahangaika kupata usafiri mwingine na wale walokole wanaendelea na maombi yao pale kukema kuna mzee mmoja ambaye alikuwa mkimya sana muda wote akawanyamazisha wale wakole waache maombi yao. Wakawa wanabisha nbasi yule mzee mkimya akawa mkali akiwaambia mkiendelea na makelele yenu mtampoteza huyu dada. Basi wakatulia. Yule mzee akamsogelea dadaB akamzunguka pale kama mara saba kisha akawa anapiga makofi huku akiangalia mawinguni kama anafukuza fukuza vitu hewani. Baada ya muda tukaona dadaB anaanza kupiga chafya mfululizo. Gafla akatapika bonge la mwiba wa samaki yaani ule mwiba mkubwa kama sindano kubwa ya kushonea nguo majumbani. Kila mmoja akashangaa pale, na mara baada ya kutapika dadaB alipa nafuu kubwa sana.

Wote pale tukashangaa akiwemo dada B mwenyewe kwamba ule mwiba wa samaki umtoka wapi. Maana usku wake nakumbuka kabisa dadaB alikula chipi na mishikaki na asubuhi ile alikuwa kuku sio samaki. Tukaona hayo ni mazingaombwe. Yule mzee mkimya akasema hili jambo bado halijaisha huko njiani mtakapokuwa mnarudi hamtakuwa salama cha muhimu watafuteni wale wazee watatu muongee nao. Wale wazee bila aibu waliikuja pale maana walikuwa bado wapo pale pale kwenye tena wanafatilia kila linalotokea. Wale wazee wala hawakupepesa maneno walituchana live walikuwa wamepanga wakati tungekuwa tunamkimbiza dada B hospitali basi gari ingepata ajali napengine kupelekea kifo. Awali walipanga kutufanyizia wote ila kadili ya maelezo yao mimi walinisamehee kwa sababu nilonekana muungwana. This is very true story maana wazee wa chai hamkawii kuhoji hapa. Yaani wallikuwa na ushujaa wakutueleza kila plan yao walivoichora bila kuogopa wala kufikatena wakisisitiza wao wanaheshimika hawajawahi kudharauliwa na watu wepesi kama sisi.

Basi tukawaomba msamaha pale nakumbuka dadaB aliomba msamaha sana mwisho wakaamua kutegua mitego yao. Nao walifanya kama yule mzee mkimya walimzunguka dadab na kufukuza fukuza vitu hewani, jamani haya mazingaombwe yapo nyie achene. Kwiukweli kabisa ile shughuli iliitibuka pale. DadaB hakuweza tena kufanya iile kazi pale. Hata mimi sikuwa kiakili. Ikabidi tuahirishe tu kwa siku hiyo. Jioni wakati tupo lodge nikamwona dadaB hayupo sawa kabisa kisaikolojia. Kwakuwa yeye ndio alikuwa victim mkubwa nikamshauri kama vipi afanye utaratibu arudi Dar akapumzike nap engine akaangalie afya yake ya kiakili. Dada b nikama nilikuwa kwenye akili yake nayeye alikuwa anafikiria ni namna gani angenishawishi aondoke tuu. Ila tulikubaliana tufanye siri ofisini wasijue basi aka niacha mimi nimalizie kupiga mzigo Kigoma. Watu wa Kigoma kama mpo humu salamaleko.

Baada ya pale sasa nilipobaki mwenyewe kumalizia kazi sehemu zilizobaki ikabidi niintroduce mtindo ambao mwenyeji wangu ndio nilimpa mamlaka ya kuchuja wazamiaji pamoja na kuwalipa washiriki. Nilikuwa na nidhamu sana na uchaguzi wa nini cha kuongea ili kutotibua hali ya hewa. Utashangaa kwa nini niliwaachia wenyeji wangu walipe washiriki ni kwa sababu kwenye hizi mambo yakulipa mara nyingi tulikuwa tunaingia loss sana yaani ni kama unapigwa viini macho hata uwe makini mara nyingi ilikuwa inatokea unajikuta unapata loss yaani kuna mtu watu unakuwa umewali mara mbili. Hii mimi imeshanitokea sana. Kwahiyo nikasema wacha haya mambo wacharurane wenyewe.

BYE FOR NOW
Hahah kigoma noma
 
EPISODE 8: Nilikuja kuelewa kwamba uki-mess up kwenye mawasiliano umeharibu kila kitu.

That is to say kwa shughuli ambazo nilikuwa nazifanya pale ofisini, effective communication was crucial in such projects because it helped me to build and maintain positive relationships, ensures transparency, and fosters collaboration among diverse stakeholders. Chukua hiyoutajishuluru badae kama ulikuwa unapuuzia.

Nitawapeni kisa kidogo kilichowahi kunitokea au kukishuhudia pale ofsini. Ulifika muda ambao sasa staff tulitakiwa kwenda field mikoani kufanya shughuli mbalimbali kadiri ya majukumu ya idara. Kama nilivogusia kule juu kwama kwa kuwa idara yetu ilikuwa inadili moja kwa moja na usimamizi wa ruzuku kwa viNGO vingine karibia Tz yote basi moja ya kazi zangu ilikuwa ni kwenda huko mikoani kuwajengea uwezo katika maeneo mbalimbali. Mfano kwa wale waliopata ruzuku na wanaoendelea kutekeleza miradi niliwajibika kwenda kuangalia au kufatilia jinsi wanavyotekeleza shughuli zao, matumizi ya fedha, kukusanya success stories na mafanikio lkn kikubwa ni kutatua kwa pamoja changamoto zinazowakabili. Lakini pia kwa kuwa wengi walikuwa wanakosa ruzuku kutokana na kushindwa kumeet vigezo basi niliwajibika kuwakusanya kwenye mikoa yao na kuwafanyia training kama kama ya siku nikikaa nao na kuwapitisha katika namna bora ya kuandika projects zenye mashiko na namna ya kujaza fomu za ruzuku. Kiukweli ni kazi ambayo ilinipa exposure ya kusafiri Tanzania nzima mpaka huko vijijini mno. Pia ilinipa exposure ya kujua kumbe nchi hii ina watu masikini sana, chamuhimu ni utembee uone.

Nakumbuka field yangu ya kwanza nilikuwa na dada mmoja ambaye yeye alikuwa ana uzoefu wa kutosha tuu pale ofsini, hivyo utaratibu ulikuwa kama wewe ni mgeni basi trip tatu za mwanzo unaambata na mzoefu ili ukajifunze kwa vitembo badae ukikaa sawa ndio unaweza kuanza kwenda mwenyewe. Baada ya maandalizi pale ofsini na huko field safari ikaanza. Nakumbuka tulipangiwa mikoa miwili, Tabora na Kigoma na ilibidi huko kuzipitia wilaya karibu zote na tulikuwa tuna muda wa wiki 4, yaani ilikuwa mtu ukipotea unapotea kwelikweli kulingana na ukubwa wa mikoa unayopangiwa. Basi tukakwea mwewe pale mpaka Tabora maana tulipanga yuanzie kazi hapo. Pale Tabora tukafanya kazi kwa muda wiki mbili then tukaenda kumalizi mkoa wa Kigoma. Kigoma pale kulikuwa na wadau wengi sana kufanya nao hivyo ilitulazimu kukaa wiki tatu.

Kwakuwa mimi ilikuwa ndio mara yangu ya kwanza basi yule dada (tumwite dada B) alikuwa anatake lead ili mimi nijifunze. KKwahiyo kama kwenye trainings alikuwa anatake lead yeye au kama ni kwenye kutembelea ofisi kwa ajili ya ukaguzi nako alikuwa anatake lead. Ile kazi haikuwa ngumu sana mimi kuimasta kwa sababu kama kufacilitate trainings nilifanya sana kule Dr KJ kama mnakumbuka. Sana sana kidogo nilichelewa kumaster zile procedure za kuhandle ukaguzi kwa wadau tuliowapa ruzuku lakini baada ya kuambatana na dada B wiki moja tuu ikawa tayari ninaweza, ofcourse kujiongeza pia ni muhimu.

Ile kazi ilikuwa inaushawishi na mitego sana. Maana mnaweza kwenda kufanya ukaguzi mahali yaani mnanyeyekewa kama miungu watu. Kuwa donor kuna raha na karaha zake sometimes. Raha ni pale ambapo mnapokelewa huku watu wakionyesha kuwajali, wengine mnavyowapa taarifa mnaenda basi utakuta wamewalipia mpaka lodge au hotel za kulala. Lakini wengine unaweza ukakuta hawajiamini kwenye utekelezaji miradi na matumizi ya fedha basi wanatengezeza mazingira ya kupeana vibahasha njenje. Hatari ambayo ilikuwepo ni kwamba huwezi jua zipi ni fedha za moto na zipi sio za moto lkn kwakuwa tulikuwa tunaishi kufata misingi ya kazi basi haikuwa tatizo sana. Sometimes kwa sisi vijana unatengenezewa mpaka mazingira ya kupewa vitoto vizuri vya kike ilimradi ughafirike mambo ya wadau yaende. Hii ilikuwa mimi mwenyewe bila kusimuliwa ilikuwa Urambo huko, lakini hii sio stori kwa leo. Ila wengi sana kwa nilivoshuhudia na nilivosikia story walinaswa kwenye mtego huu. Hapo juu niliwa BOSS KUBWA la ofici alikuwa na networks zake kama CIA/FBI kwenye kuwadaka staff wanaotaka rushwa.

Basi Tabora tukamaliza vizuri tu tukavamia mkoa wa Kigoma. Tulipomaliza kufanya nkazi Kigoma mjini pale tukaanza wilayani. Tukasema tukaanzie kibondo kwanza. Ili kwenda Kibondo na Kasulu ilibidi tukodi na escort ya polisi maana kipindi hicho kulikuwa na ujambazi sana wa kuteka magari porini huko. Nasikikia wale jamaa walikuwa waasi wa Burundi huko so waliikuwa wanafanya sana uhalifu upande wa Tz kwa kuiba mifugo, kuteka mabasi nk. Nasikia walikuwa wakilianzisha mbungi wanakuja kama wapo vitani mpaka jeshi la JW ikabidi liweke escort zone kwenye yale maeneo yenye hatari. Bahati nzuri tukafika Kibondo bila shida. Basi tukakutana na wenyeji wetu pale ili kucheki kama maandalizi ya shughuli ya kesho yamekaa sawa.

Pale Kibondo tulikuwa na training ya siku tatu kwa ajili ya viNGO vilivyokosa ruzuku so tulipanga tuwasaidie ili waweze kupata ruzuku. Basi asubuhi tumefika pale kama kawaida sasa kwa kuwa mimi nilishakwiva ile session nikawa mimi ndio natrain. Sasa unajua hizi session wale wadau walikuwa wanazipendaga sana maana walikuwa wanakula pale breakfast and lunch nzito na wanapewa pesa ndefu kwa siku za kujikimu na nauli kwa wanaotoka mbali kwa hiyo kiasi cha chini mtu alikuwa anapata kati ya elfu 25 mpaka 50 kwa siku times 4 days. Kwa vijijini kule ilikuwa ni pesa ndefu sana miaka hiyo hivyo kuhudhuria zile trainings ilikuwa ni dili kwao na wazamiaji hawakukosekana. Kwahiyo ni kawaida sana kuanza kuchelewa kuanza session kwa ajili kwnza ya kuchuja wazamiaji.

Sasa bhana kwenye lile swala la kuhandle wazamiaji dada B alikuwa anakereka sana yaani alikuwa analose temper yake haraka. Mimi hilo nililinote mapema sana kama ndio udhaifu wake. Yaani yeye kukishakuwa na mzamiaji hana simile wala lugha ya stara, yaani ile “tokaa kwenye kipindi changu” zilikuwa ni lugha za kawaida akiwabalasa wadau wetu. Duu mimi nikawa naona haipo sawa so mara nyingi nikawa namtuliza na kujaribu kuintervene. Sasa bhana wakati tukiwa tunajiandaa na session pale Kibondo mjini (mji una vumbi ule balaa hahaa) ile asubuhi uzamiaji ukawa kama kawaida. Dada B kama kawaida alipaniki sana.

Sasa wazamiaji wa Kibondo pale siku iyo walikuwa ni wengi sana karibu nusu nzima ya darasa walizamia. Mchujo ulikuwa mkali sana. Sasa dada B akalivalia njuga lile swala kwa hasira sana. Ukaanza mchujo wa nguvu pale tulijikuta mpaka muda wa session bado watu hawataki kutoka. Watu wabishi wale sikuwahi kuona b4 khaa. Mimi nikamshauri dadaB wacha tuendelee na training lkn hao waliozamia tusiwalipe na kama tusipowalipa keshi na keshokutwa hawatafika, bidada akanigomea akasema wacha apambane nao mpaka kitaeleweka. Senior kasema hivyo mimi junior ntasemaje? Kiukweli alifanikiwa kupambana nao isipokuwa kulibaki wazee watatu. Wale wazee wala hawakuwa waongeaji sana wao walikuwa tu wanamsikiliza kisha wanamjibu tuu mama sisi hatutoki tutahudhuria.

Dada B alikwazika sana na zile kauli zao akawa anawafokea sana wale wazee kama watoto. Badae wale wazee wakakonyezana wakaondoka kisha wakasimama wote watatu kwa pamoja wakaondoka bila kuaga. Mh, mimi ile situation nikaona haipo sawa nikamwambia dadaB naona kama wale wazee wameondoka na kinyongo nikajibiwa achana nao waache waende zao mimi najiamini na nasimamia kanuni za kazi yangu na sitishiki maana nalindwa na damu ya Yesu. Na akaniambia unaona mdogo wangu na hizi ndio sehemu ya changamoto tunazokutana nazo huku field hivyo jiandae kuziweka kwenye report tukiridi ofsini.

Mimi nikamsikiliza pale lakini nikaona haipi sawa. Nikachomoka pale nikawatoka kuwawahi wale kabla hawajatokomea. Nikawakuta mahali wamekaa chini mti sijui wanaongea vitu gani. Basi nikawasalimia pale na kuanza kuongea nao lakini kubwa ilikuwa kuwaomba watusamehe tulighafirika tuu kutowajuisha hivyo kama hawatajali wanipe majina na namba za simu ili tukirudi baada ya mwezi mmoja tuwaalike na wao. Mimi niliongea tu vile ile kuwaondolea kile kinyongo maana kwenye miji ya watu bhana unatakiwa uwe unaishi kwa kujiongeza ongeza kidogo.

Wale wazee bhana ni kama niliamsha mashetwaini yao maana walianza kufoka na kulaani utafikiri mimi nimeenda pale kuwafukuza tena. Waliaani na kutoa maneno makali sana. Basi mimi ili kutuliza hali ya hewa nikawaomba omba msamaha pale nikarudi kuendelea na session. Wakati naongea na wale wazee ilikuwa ni muda wa breakfast kule kwenye session. Dada B akaniuliza ulikuwa wapi nikamwambia nilikuwa na wale wazee pale kwenye mti. Alipowaona nikamwambia tuwaite tu waje wanywe chai kisha waende maana inaonekana kama wana njaa akaniambia achana nao. Wale wazee hawakuondoka pale kwenye mti walikuwa wanatazama sana upande ule ambao sisi tulikuwa tunakunywa chai. Breakfast siku ile naikumbuka vizuri sana ilikuwa chai ya maziwa, viazi, chapati na supu ya kuku wa kienyeji. Basi tukawa tumekaa meza moja mimi, dada B na wenyeji wetu wawili tunaendelea kupata msosi. Wale wazee wapo tuu pale kwenye mti tunawaona.

Tulipomaliza kunywa chai tukaingia ukumbini mimi nikawa naendelea na session. Nusu mbele dada b akaanza kukohoa kohoa pale. Mara kikohozi kikawa kinazidi mpaka kupelekea kutoka nje. Mara kikohozi kikawa kikavu sana kama kile cha mgonjwa wa TB. Alikuwa anakohoa mpaka mimi ikabidi nisitishe kwanza session kwenda kumwangalia. Nafika nje nakuta ameshikwa na mmama mmoja nadhali alikuwa ametoka toilet. Toba kumcheki dadaB ameshikilia shingo macho yamemtoka hawezi hata kuongea. Nilipagawa sana tukimuuliza nini hawezi kujibu anatutumbulia macho tuu. Sasa kwenye ile session kulikuwa na mama mmoja mlokole akaanza kukemea pale mapepo kwa muda mda mrefu kama dk 20 nzima lakini hali ya dadaB ndio ikawa inazidi kuwa mbaya. Sasa

Mimi akili yangu ikiwa imepagawa maana naona workmate anaondoka huyu hivyo nikawa namtafuta dereva wa gari tuliyokodi toka Kigoma kuja nayo KIbondo aje tumkimbize hospitali. Yule jamaa hakuwepo alikuwa kwenye misele yake maana tulimwambia sisi atufufate saa tisa aturudishe lodge. Nikipiga simu yake akawa hapokei. Sasa wakati tunahangaika kupata usafiri mwingine na wale walokole wanaendelea na maombi yao pale kukema kuna mzee mmoja ambaye alikuwa mkimya sana muda wote akawanyamazisha wale wakole waache maombi yao. Wakawa wanabisha nbasi yule mzee mkimya akawa mkali akiwaambia mkiendelea na makelele yenu mtampoteza huyu dada. Basi wakatulia. Yule mzee akamsogelea dadaB akamzunguka pale kama mara saba kisha akawa anapiga makofi huku akiangalia mawinguni kama anafukuza fukuza vitu hewani. Baada ya muda tukaona dadaB anaanza kupiga chafya mfululizo. Gafla akatapika bonge la mwiba wa samaki yaani ule mwiba mkubwa kama sindano kubwa ya kushonea nguo majumbani. Kila mmoja akashangaa pale, na mara baada ya kutapika dadaB alipa nafuu kubwa sana.

Wote pale tukashangaa akiwemo dada B mwenyewe kwamba ule mwiba wa samaki umtoka wapi. Maana usku wake nakumbuka kabisa dadaB alikula chipi na mishikaki na asubuhi ile alikuwa kuku sio samaki. Tukaona hayo ni mazingaombwe. Yule mzee mkimya akasema hili jambo bado halijaisha huko njiani mtakapokuwa mnarudi hamtakuwa salama cha muhimu watafuteni wale wazee watatu muongee nao. Wale wazee bila aibu waliikuja pale maana walikuwa bado wapo pale pale kwenye tena wanafatilia kila linalotokea. Wale wazee wala hawakupepesa maneno walituchana live walikuwa wamepanga wakati tungekuwa tunamkimbiza dada B hospitali basi gari ingepata ajali napengine kupelekea kifo. Awali walipanga kutufanyizia wote ila kadili ya maelezo yao mimi walinisamehee kwa sababu nilonekana muungwana. This is very true story maana wazee wa chai hamkawii kuhoji hapa. Yaani wallikuwa na ushujaa wakutueleza kila plan yao walivoichora bila kuogopa wala kufikatena wakisisitiza wao wanaheshimika hawajawahi kudharauliwa na watu wepesi kama sisi.

Basi tukawaomba msamaha pale nakumbuka dadaB aliomba msamaha sana mwisho wakaamua kutegua mitego yao. Nao walifanya kama yule mzee mkimya walimzunguka dadab na kufukuza fukuza vitu hewani, jamani haya mazingaombwe yapo nyie achene. Kwiukweli kabisa ile shughuli iliitibuka pale. DadaB hakuweza tena kufanya iile kazi pale. Hata mimi sikuwa kiakili. Ikabidi tuahirishe tu kwa siku hiyo. Jioni wakati tupo lodge nikamwona dadaB hayupo sawa kabisa kisaikolojia. Kwakuwa yeye ndio alikuwa victim mkubwa nikamshauri kama vipi afanye utaratibu arudi Dar akapumzike nap engine akaangalie afya yake ya kiakili. Dada b nikama nilikuwa kwenye akili yake nayeye alikuwa anafikiria ni namna gani angenishawishi aondoke tuu. Ila tulikubaliana tufanye siri ofisini wasijue basi aka niacha mimi nimalizie kupiga mzigo Kigoma. Watu wa Kigoma kama mpo humu salamaleko.

Baada ya pale sasa nilipobaki mwenyewe kumalizia kazi sehemu zilizobaki ikabidi niintroduce mtindo ambao mwenyeji wangu ndio nilimpa mamlaka ya kuchuja wazamiaji pamoja na kuwalipa washiriki. Nilikuwa na nidhamu sana na uchaguzi wa nini cha kuongea ili kutotibua hali ya hewa. Utashangaa kwa nini niliwaachia wenyeji wangu walipe washiriki ni kwa sababu kwenye hizi mambo yakulipa mara nyingi tulikuwa tunaingia loss sana yaani ni kama unapigwa viini macho hata uwe makini mara nyingi ilikuwa inatokea unajikuta unapata loss yaani kuna mtu watu unakuwa umewali mara mbili. Hii mimi imeshanitokea sana. Kwahiyo nikasema wacha haya mambo wacharurane wenyewe.

BYE FOR NOW
Naamini Dada B alijifunza kutokutumia Jina la YESU Bure, huo ukax aliowaletea hao walozi wazee watatu ni kinyume cha mafunzo ya Jesus, so alifungua mlango wa kukandwa mwenyewe, ila ulimwengu wa Kiroho upo deep sana hutakiwi kujiaminisha juu juu, miezi kama minne imepita dada mmoja coworker tulienda kumdai mteja rejesho si akaanza kumletea maneno ya dharau mteja (Alikua ni mwanamke mwenzie) Wacha wacharuane na mataashtiti kama yote tukambebea vitu bana Sasa nikawa namshauri mwenzangu apunguze maneno makali na dharau akawa asikii wakafikia hatua ya kutishiana kiroho, dada mteja akawa anamtishia job mate wangu kumnyoosha kishirikina huku job mate wangu anaringishia Upako wa mwamposa mara mafuta mara nini, baada ya siku tatu job mate wangu alianza kuumwa ugonjwa usiojulikana mwezi mzima ndio akapoa, yaani nikajifunza Jina la Mungu halitumiki hivi hivi lazima ujiridhishe uko sawa sawa kabla ya kulitaka likulinde inahotaji hekima ya hali ya juu sana, Mungu atupe roho ya kutuangazia kwa kweli. Hicho kisa cha Dada B kimenifanya niwekee mkazo kuwa muungwana kwa kila mtu hata kama anakukwaza tutafute namna ya kutokuwachokoza maana upande wa pili haucheleweshagi kichapo🙌
 
EPISODE 8: Nilikuja kuelewa kwamba uki-mess up kwenye mawasiliano umeharibu kila kitu.

That is to say kwa shughuli ambazo nilikuwa nazifanya pale ofisini, effective communication was crucial in such projects because it helped me to build and maintain positive relationships, ensures transparency, and fosters collaboration among diverse stakeholders. Chukua hiyoutajishuluru badae kama ulikuwa unapuuzia.

Nitawapeni kisa kidogo kilichowahi kunitokea au kukishuhudia pale ofsini. Ulifika muda ambao sasa staff tulitakiwa kwenda field mikoani kufanya shughuli mbalimbali kadiri ya majukumu ya idara. Kama nilivogusia kule juu kwama kwa kuwa idara yetu ilikuwa inadili moja kwa moja na usimamizi wa ruzuku kwa viNGO vingine karibia Tz yote basi moja ya kazi zangu ilikuwa ni kwenda huko mikoani kuwajengea uwezo katika maeneo mbalimbali. Mfano kwa wale waliopata ruzuku na wanaoendelea kutekeleza miradi niliwajibika kwenda kuangalia au kufatilia jinsi wanavyotekeleza shughuli zao, matumizi ya fedha, kukusanya success stories na mafanikio lkn kikubwa ni kutatua kwa pamoja changamoto zinazowakabili. Lakini pia kwa kuwa wengi walikuwa wanakosa ruzuku kutokana na kushindwa kumeet vigezo basi niliwajibika kuwakusanya kwenye mikoa yao na kuwafanyia training kama kama ya siku nikikaa nao na kuwapitisha katika namna bora ya kuandika projects zenye mashiko na namna ya kujaza fomu za ruzuku. Kiukweli ni kazi ambayo ilinipa exposure ya kusafiri Tanzania nzima mpaka huko vijijini mno. Pia ilinipa exposure ya kujua kumbe nchi hii ina watu masikini sana, chamuhimu ni utembee uone.

Nakumbuka field yangu ya kwanza nilikuwa na dada mmoja ambaye yeye alikuwa ana uzoefu wa kutosha tuu pale ofsini, hivyo utaratibu ulikuwa kama wewe ni mgeni basi trip tatu za mwanzo unaambata na mzoefu ili ukajifunze kwa vitembo badae ukikaa sawa ndio unaweza kuanza kwenda mwenyewe. Baada ya maandalizi pale ofsini na huko field safari ikaanza. Nakumbuka tulipangiwa mikoa miwili, Tabora na Kigoma na ilibidi huko kuzipitia wilaya karibu zote na tulikuwa tuna muda wa wiki 4, yaani ilikuwa mtu ukipotea unapotea kwelikweli kulingana na ukubwa wa mikoa unayopangiwa. Basi tukakwea mwewe pale mpaka Tabora maana tulipanga yuanzie kazi hapo. Pale Tabora tukafanya kazi kwa muda wiki mbili then tukaenda kumalizi mkoa wa Kigoma. Kigoma pale kulikuwa na wadau wengi sana kufanya nao hivyo ilitulazimu kukaa wiki tatu.

Kwakuwa mimi ilikuwa ndio mara yangu ya kwanza basi yule dada (tumwite dada B) alikuwa anatake lead ili mimi nijifunze. KKwahiyo kama kwenye trainings alikuwa anatake lead yeye au kama ni kwenye kutembelea ofisi kwa ajili ya ukaguzi nako alikuwa anatake lead. Ile kazi haikuwa ngumu sana mimi kuimasta kwa sababu kama kufacilitate trainings nilifanya sana kule Dr KJ kama mnakumbuka. Sana sana kidogo nilichelewa kumaster zile procedure za kuhandle ukaguzi kwa wadau tuliowapa ruzuku lakini baada ya kuambatana na dada B wiki moja tuu ikawa tayari ninaweza, ofcourse kujiongeza pia ni muhimu.

Ile kazi ilikuwa inaushawishi na mitego sana. Maana mnaweza kwenda kufanya ukaguzi mahali yaani mnanyeyekewa kama miungu watu. Kuwa donor kuna raha na karaha zake sometimes. Raha ni pale ambapo mnapokelewa huku watu wakionyesha kuwajali, wengine mnavyowapa taarifa mnaenda basi utakuta wamewalipia mpaka lodge au hotel za kulala. Lakini wengine unaweza ukakuta hawajiamini kwenye utekelezaji miradi na matumizi ya fedha basi wanatengezeza mazingira ya kupeana vibahasha njenje. Hatari ambayo ilikuwepo ni kwamba huwezi jua zipi ni fedha za moto na zipi sio za moto lkn kwakuwa tulikuwa tunaishi kufata misingi ya kazi basi haikuwa tatizo sana. Sometimes kwa sisi vijana unatengenezewa mpaka mazingira ya kupewa vitoto vizuri vya kike ilimradi ughafirike mambo ya wadau yaende. Hii ilikuwa mimi mwenyewe bila kusimuliwa ilikuwa Urambo huko, lakini hii sio stori kwa leo. Ila wengi sana kwa nilivoshuhudia na nilivosikia story walinaswa kwenye mtego huu. Hapo juu niliwa BOSS KUBWA la ofici alikuwa na networks zake kama CIA/FBI kwenye kuwadaka staff wanaotaka rushwa.

Basi Tabora tukamaliza vizuri tu tukavamia mkoa wa Kigoma. Tulipomaliza kufanya nkazi Kigoma mjini pale tukaanza wilayani. Tukasema tukaanzie kibondo kwanza. Ili kwenda Kibondo na Kasulu ilibidi tukodi na escort ya polisi maana kipindi hicho kulikuwa na ujambazi sana wa kuteka magari porini huko. Nasikikia wale jamaa walikuwa waasi wa Burundi huko so waliikuwa wanafanya sana uhalifu upande wa Tz kwa kuiba mifugo, kuteka mabasi nk. Nasikia walikuwa wakilianzisha mbungi wanakuja kama wapo vitani mpaka jeshi la JW ikabidi liweke escort zone kwenye yale maeneo yenye hatari. Bahati nzuri tukafika Kibondo bila shida. Basi tukakutana na wenyeji wetu pale ili kucheki kama maandalizi ya shughuli ya kesho yamekaa sawa.

Pale Kibondo tulikuwa na training ya siku tatu kwa ajili ya viNGO vilivyokosa ruzuku so tulipanga tuwasaidie ili waweze kupata ruzuku. Basi asubuhi tumefika pale kama kawaida sasa kwa kuwa mimi nilishakwiva ile session nikawa mimi ndio natrain. Sasa unajua hizi session wale wadau walikuwa wanazipendaga sana maana walikuwa wanakula pale breakfast and lunch nzito na wanapewa pesa ndefu kwa siku za kujikimu na nauli kwa wanaotoka mbali kwa hiyo kiasi cha chini mtu alikuwa anapata kati ya elfu 25 mpaka 50 kwa siku times 4 days. Kwa vijijini kule ilikuwa ni pesa ndefu sana miaka hiyo hivyo kuhudhuria zile trainings ilikuwa ni dili kwao na wazamiaji hawakukosekana. Kwahiyo ni kawaida sana kuanza kuchelewa kuanza session kwa ajili kwnza ya kuchuja wazamiaji.

Sasa bhana kwenye lile swala la kuhandle wazamiaji dada B alikuwa anakereka sana yaani alikuwa analose temper yake haraka. Mimi hilo nililinote mapema sana kama ndio udhaifu wake. Yaani yeye kukishakuwa na mzamiaji hana simile wala lugha ya stara, yaani ile “tokaa kwenye kipindi changu” zilikuwa ni lugha za kawaida akiwabalasa wadau wetu. Duu mimi nikawa naona haipo sawa so mara nyingi nikawa namtuliza na kujaribu kuintervene. Sasa bhana wakati tukiwa tunajiandaa na session pale Kibondo mjini (mji una vumbi ule balaa hahaa) ile asubuhi uzamiaji ukawa kama kawaida. Dada B kama kawaida alipaniki sana.

Sasa wazamiaji wa Kibondo pale siku iyo walikuwa ni wengi sana karibu nusu nzima ya darasa walizamia. Mchujo ulikuwa mkali sana. Sasa dada B akalivalia njuga lile swala kwa hasira sana. Ukaanza mchujo wa nguvu pale tulijikuta mpaka muda wa session bado watu hawataki kutoka. Watu wabishi wale sikuwahi kuona b4 khaa. Mimi nikamshauri dadaB wacha tuendelee na training lkn hao waliozamia tusiwalipe na kama tusipowalipa keshi na keshokutwa hawatafika, bidada akanigomea akasema wacha apambane nao mpaka kitaeleweka. Senior kasema hivyo mimi junior ntasemaje? Kiukweli alifanikiwa kupambana nao isipokuwa kulibaki wazee watatu. Wale wazee wala hawakuwa waongeaji sana wao walikuwa tu wanamsikiliza kisha wanamjibu tuu mama sisi hatutoki tutahudhuria.

Dada B alikwazika sana na zile kauli zao akawa anawafokea sana wale wazee kama watoto. Badae wale wazee wakakonyezana wakaondoka kisha wakasimama wote watatu kwa pamoja wakaondoka bila kuaga. Mh, mimi ile situation nikaona haipo sawa nikamwambia dadaB naona kama wale wazee wameondoka na kinyongo nikajibiwa achana nao waache waende zao mimi najiamini na nasimamia kanuni za kazi yangu na sitishiki maana nalindwa na damu ya Yesu. Na akaniambia unaona mdogo wangu na hizi ndio sehemu ya changamoto tunazokutana nazo huku field hivyo jiandae kuziweka kwenye report tukiridi ofsini.

Mimi nikamsikiliza pale lakini nikaona haipi sawa. Nikachomoka pale nikawatoka kuwawahi wale kabla hawajatokomea. Nikawakuta mahali wamekaa chini mti sijui wanaongea vitu gani. Basi nikawasalimia pale na kuanza kuongea nao lakini kubwa ilikuwa kuwaomba watusamehe tulighafirika tuu kutowajuisha hivyo kama hawatajali wanipe majina na namba za simu ili tukirudi baada ya mwezi mmoja tuwaalike na wao. Mimi niliongea tu vile ile kuwaondolea kile kinyongo maana kwenye miji ya watu bhana unatakiwa uwe unaishi kwa kujiongeza ongeza kidogo.

Wale wazee bhana ni kama niliamsha mashetwaini yao maana walianza kufoka na kulaani utafikiri mimi nimeenda pale kuwafukuza tena. Waliaani na kutoa maneno makali sana. Basi mimi ili kutuliza hali ya hewa nikawaomba omba msamaha pale nikarudi kuendelea na session. Wakati naongea na wale wazee ilikuwa ni muda wa breakfast kule kwenye session. Dada B akaniuliza ulikuwa wapi nikamwambia nilikuwa na wale wazee pale kwenye mti. Alipowaona nikamwambia tuwaite tu waje wanywe chai kisha waende maana inaonekana kama wana njaa akaniambia achana nao. Wale wazee hawakuondoka pale kwenye mti walikuwa wanatazama sana upande ule ambao sisi tulikuwa tunakunywa chai. Breakfast siku ile naikumbuka vizuri sana ilikuwa chai ya maziwa, viazi, chapati na supu ya kuku wa kienyeji. Basi tukawa tumekaa meza moja mimi, dada B na wenyeji wetu wawili tunaendelea kupata msosi. Wale wazee wapo tuu pale kwenye mti tunawaona.

Tulipomaliza kunywa chai tukaingia ukumbini mimi nikawa naendelea na session. Nusu mbele dada b akaanza kukohoa kohoa pale. Mara kikohozi kikawa kinazidi mpaka kupelekea kutoka nje. Mara kikohozi kikawa kikavu sana kama kile cha mgonjwa wa TB. Alikuwa anakohoa mpaka mimi ikabidi nisitishe kwanza session kwenda kumwangalia. Nafika nje nakuta ameshikwa na mmama mmoja nadhali alikuwa ametoka toilet. Toba kumcheki dadaB ameshikilia shingo macho yamemtoka hawezi hata kuongea. Nilipagawa sana tukimuuliza nini hawezi kujibu anatutumbulia macho tuu. Sasa kwenye ile session kulikuwa na mama mmoja mlokole akaanza kukemea pale mapepo kwa muda mda mrefu kama dk 20 nzima lakini hali ya dadaB ndio ikawa inazidi kuwa mbaya. Sasa

Mimi akili yangu ikiwa imepagawa maana naona workmate anaondoka huyu hivyo nikawa namtafuta dereva wa gari tuliyokodi toka Kigoma kuja nayo KIbondo aje tumkimbize hospitali. Yule jamaa hakuwepo alikuwa kwenye misele yake maana tulimwambia sisi atufufate saa tisa aturudishe lodge. Nikipiga simu yake akawa hapokei. Sasa wakati tunahangaika kupata usafiri mwingine na wale walokole wanaendelea na maombi yao pale kukema kuna mzee mmoja ambaye alikuwa mkimya sana muda wote akawanyamazisha wale wakole waache maombi yao. Wakawa wanabisha nbasi yule mzee mkimya akawa mkali akiwaambia mkiendelea na makelele yenu mtampoteza huyu dada. Basi wakatulia. Yule mzee akamsogelea dadaB akamzunguka pale kama mara saba kisha akawa anapiga makofi huku akiangalia mawinguni kama anafukuza fukuza vitu hewani. Baada ya muda tukaona dadaB anaanza kupiga chafya mfululizo. Gafla akatapika bonge la mwiba wa samaki yaani ule mwiba mkubwa kama sindano kubwa ya kushonea nguo majumbani. Kila mmoja akashangaa pale, na mara baada ya kutapika dadaB alipa nafuu kubwa sana.

Wote pale tukashangaa akiwemo dada B mwenyewe kwamba ule mwiba wa samaki umtoka wapi. Maana usku wake nakumbuka kabisa dadaB alikula chipi na mishikaki na asubuhi ile alikuwa kuku sio samaki. Tukaona hayo ni mazingaombwe. Yule mzee mkimya akasema hili jambo bado halijaisha huko njiani mtakapokuwa mnarudi hamtakuwa salama cha muhimu watafuteni wale wazee watatu muongee nao. Wale wazee bila aibu waliikuja pale maana walikuwa bado wapo pale pale kwenye tena wanafatilia kila linalotokea. Wale wazee wala hawakupepesa maneno walituchana live walikuwa wamepanga wakati tungekuwa tunamkimbiza dada B hospitali basi gari ingepata ajali napengine kupelekea kifo. Awali walipanga kutufanyizia wote ila kadili ya maelezo yao mimi walinisamehee kwa sababu nilonekana muungwana. This is very true story maana wazee wa chai hamkawii kuhoji hapa. Yaani wallikuwa na ushujaa wakutueleza kila plan yao walivoichora bila kuogopa wala kufikatena wakisisitiza wao wanaheshimika hawajawahi kudharauliwa na watu wepesi kama sisi.

Basi tukawaomba msamaha pale nakumbuka dadaB aliomba msamaha sana mwisho wakaamua kutegua mitego yao. Nao walifanya kama yule mzee mkimya walimzunguka dadab na kufukuza fukuza vitu hewani, jamani haya mazingaombwe yapo nyie achene. Kwiukweli kabisa ile shughuli iliitibuka pale. DadaB hakuweza tena kufanya iile kazi pale. Hata mimi sikuwa kiakili. Ikabidi tuahirishe tu kwa siku hiyo. Jioni wakati tupo lodge nikamwona dadaB hayupo sawa kabisa kisaikolojia. Kwakuwa yeye ndio alikuwa victim mkubwa nikamshauri kama vipi afanye utaratibu arudi Dar akapumzike nap engine akaangalie afya yake ya kiakili. Dada b nikama nilikuwa kwenye akili yake nayeye alikuwa anafikiria ni namna gani angenishawishi aondoke tuu. Ila tulikubaliana tufanye siri ofisini wasijue basi aka niacha mimi nimalizie kupiga mzigo Kigoma. Watu wa Kigoma kama mpo humu salamaleko.

Baada ya pale sasa nilipobaki mwenyewe kumalizia kazi sehemu zilizobaki ikabidi niintroduce mtindo ambao mwenyeji wangu ndio nilimpa mamlaka ya kuchuja wazamiaji pamoja na kuwalipa washiriki. Nilikuwa na nidhamu sana na uchaguzi wa nini cha kuongea ili kutotibua hali ya hewa. Utashangaa kwa nini niliwaachia wenyeji wangu walipe washiriki ni kwa sababu kwenye hizi mambo yakulipa mara nyingi tulikuwa tunaingia loss sana yaani ni kama unapigwa viini macho hata uwe makini mara nyingi ilikuwa inatokea unajikuta unapata loss yaani kuna mtu watu unakuwa umewali mara mbili. Hii mimi imeshanitokea sana. Kwahiyo nikasema wacha haya mambo wacharurane wenyewe.

BYE FOR NOW
Kibondo 🤣🤣🤣
Ulikuwa sehem gani mzee
 
EPISODE 8: Nilikuja kuelewa kwamba uki-mess up kwenye mawasiliano umeharibu kila kitu.

That is to say kwa shughuli ambazo nilikuwa nazifanya pale ofisini, effective communication was crucial in such projects because it helped me to build and maintain positive relationships, ensures transparency, and fosters collaboration among diverse stakeholders. Chukua hiyoutajishuluru badae kama ulikuwa unapuuzia.

Nitawapeni kisa kidogo kilichowahi kunitokea au kukishuhudia pale ofsini. Ulifika muda ambao sasa staff tulitakiwa kwenda field mikoani kufanya shughuli mbalimbali kadiri ya majukumu ya idara. Kama nilivogusia kule juu kwama kwa kuwa idara yetu ilikuwa inadili moja kwa moja na usimamizi wa ruzuku kwa viNGO vingine karibia Tz yote basi moja ya kazi zangu ilikuwa ni kwenda huko mikoani kuwajengea uwezo katika maeneo mbalimbali. Mfano kwa wale waliopata ruzuku na wanaoendelea kutekeleza miradi niliwajibika kwenda kuangalia au kufatilia jinsi wanavyotekeleza shughuli zao, matumizi ya fedha, kukusanya success stories na mafanikio lkn kikubwa ni kutatua kwa pamoja changamoto zinazowakabili. Lakini pia kwa kuwa wengi walikuwa wanakosa ruzuku kutokana na kushindwa kumeet vigezo basi niliwajibika kuwakusanya kwenye mikoa yao na kuwafanyia training kama kama ya siku nikikaa nao na kuwapitisha katika namna bora ya kuandika projects zenye mashiko na namna ya kujaza fomu za ruzuku. Kiukweli ni kazi ambayo ilinipa exposure ya kusafiri Tanzania nzima mpaka huko vijijini mno. Pia ilinipa exposure ya kujua kumbe nchi hii ina watu masikini sana, chamuhimu ni utembee uone.

Nakumbuka field yangu ya kwanza nilikuwa na dada mmoja ambaye yeye alikuwa ana uzoefu wa kutosha tuu pale ofsini, hivyo utaratibu ulikuwa kama wewe ni mgeni basi trip tatu za mwanzo unaambata na mzoefu ili ukajifunze kwa vitembo badae ukikaa sawa ndio unaweza kuanza kwenda mwenyewe. Baada ya maandalizi pale ofsini na huko field safari ikaanza. Nakumbuka tulipangiwa mikoa miwili, Tabora na Kigoma na ilibidi huko kuzipitia wilaya karibu zote na tulikuwa tuna muda wa wiki 4, yaani ilikuwa mtu ukipotea unapotea kwelikweli kulingana na ukubwa wa mikoa unayopangiwa. Basi tukakwea mwewe pale mpaka Tabora maana tulipanga yuanzie kazi hapo. Pale Tabora tukafanya kazi kwa muda wiki mbili then tukaenda kumalizi mkoa wa Kigoma. Kigoma pale kulikuwa na wadau wengi sana kufanya nao hivyo ilitulazimu kukaa wiki tatu.

Kwakuwa mimi ilikuwa ndio mara yangu ya kwanza basi yule dada (tumwite dada B) alikuwa anatake lead ili mimi nijifunze. KKwahiyo kama kwenye trainings alikuwa anatake lead yeye au kama ni kwenye kutembelea ofisi kwa ajili ya ukaguzi nako alikuwa anatake lead. Ile kazi haikuwa ngumu sana mimi kuimasta kwa sababu kama kufacilitate trainings nilifanya sana kule Dr KJ kama mnakumbuka. Sana sana kidogo nilichelewa kumaster zile procedure za kuhandle ukaguzi kwa wadau tuliowapa ruzuku lakini baada ya kuambatana na dada B wiki moja tuu ikawa tayari ninaweza, ofcourse kujiongeza pia ni muhimu.

Ile kazi ilikuwa inaushawishi na mitego sana. Maana mnaweza kwenda kufanya ukaguzi mahali yaani mnanyeyekewa kama miungu watu. Kuwa donor kuna raha na karaha zake sometimes. Raha ni pale ambapo mnapokelewa huku watu wakionyesha kuwajali, wengine mnavyowapa taarifa mnaenda basi utakuta wamewalipia mpaka lodge au hotel za kulala. Lakini wengine unaweza ukakuta hawajiamini kwenye utekelezaji miradi na matumizi ya fedha basi wanatengezeza mazingira ya kupeana vibahasha njenje. Hatari ambayo ilikuwepo ni kwamba huwezi jua zipi ni fedha za moto na zipi sio za moto lkn kwakuwa tulikuwa tunaishi kufata misingi ya kazi basi haikuwa tatizo sana. Sometimes kwa sisi vijana unatengenezewa mpaka mazingira ya kupewa vitoto vizuri vya kike ilimradi ughafirike mambo ya wadau yaende. Hii ilikuwa mimi mwenyewe bila kusimuliwa ilikuwa Urambo huko, lakini hii sio stori kwa leo. Ila wengi sana kwa nilivoshuhudia na nilivosikia story walinaswa kwenye mtego huu. Hapo juu niliwa BOSS KUBWA la ofici alikuwa na networks zake kama CIA/FBI kwenye kuwadaka staff wanaotaka rushwa.

Basi Tabora tukamaliza vizuri tu tukavamia mkoa wa Kigoma. Tulipomaliza kufanya nkazi Kigoma mjini pale tukaanza wilayani. Tukasema tukaanzie kibondo kwanza. Ili kwenda Kibondo na Kasulu ilibidi tukodi na escort ya polisi maana kipindi hicho kulikuwa na ujambazi sana wa kuteka magari porini huko. Nasikikia wale jamaa walikuwa waasi wa Burundi huko so waliikuwa wanafanya sana uhalifu upande wa Tz kwa kuiba mifugo, kuteka mabasi nk. Nasikia walikuwa wakilianzisha mbungi wanakuja kama wapo vitani mpaka jeshi la JW ikabidi liweke escort zone kwenye yale maeneo yenye hatari. Bahati nzuri tukafika Kibondo bila shida. Basi tukakutana na wenyeji wetu pale ili kucheki kama maandalizi ya shughuli ya kesho yamekaa sawa.

Pale Kibondo tulikuwa na training ya siku tatu kwa ajili ya viNGO vilivyokosa ruzuku so tulipanga tuwasaidie ili waweze kupata ruzuku. Basi asubuhi tumefika pale kama kawaida sasa kwa kuwa mimi nilishakwiva ile session nikawa mimi ndio natrain. Sasa unajua hizi session wale wadau walikuwa wanazipendaga sana maana walikuwa wanakula pale breakfast and lunch nzito na wanapewa pesa ndefu kwa siku za kujikimu na nauli kwa wanaotoka mbali kwa hiyo kiasi cha chini mtu alikuwa anapata kati ya elfu 25 mpaka 50 kwa siku times 4 days. Kwa vijijini kule ilikuwa ni pesa ndefu sana miaka hiyo hivyo kuhudhuria zile trainings ilikuwa ni dili kwao na wazamiaji hawakukosekana. Kwahiyo ni kawaida sana kuanza kuchelewa kuanza session kwa ajili kwnza ya kuchuja wazamiaji.

Sasa bhana kwenye lile swala la kuhandle wazamiaji dada B alikuwa anakereka sana yaani alikuwa analose temper yake haraka. Mimi hilo nililinote mapema sana kama ndio udhaifu wake. Yaani yeye kukishakuwa na mzamiaji hana simile wala lugha ya stara, yaani ile “tokaa kwenye kipindi changu” zilikuwa ni lugha za kawaida akiwabalasa wadau wetu. Duu mimi nikawa naona haipo sawa so mara nyingi nikawa namtuliza na kujaribu kuintervene. Sasa bhana wakati tukiwa tunajiandaa na session pale Kibondo mjini (mji una vumbi ule balaa hahaa) ile asubuhi uzamiaji ukawa kama kawaida. Dada B kama kawaida alipaniki sana.

Sasa wazamiaji wa Kibondo pale siku iyo walikuwa ni wengi sana karibu nusu nzima ya darasa walizamia. Mchujo ulikuwa mkali sana. Sasa dada B akalivalia njuga lile swala kwa hasira sana. Ukaanza mchujo wa nguvu pale tulijikuta mpaka muda wa session bado watu hawataki kutoka. Watu wabishi wale sikuwahi kuona b4 khaa. Mimi nikamshauri dadaB wacha tuendelee na training lkn hao waliozamia tusiwalipe na kama tusipowalipa keshi na keshokutwa hawatafika, bidada akanigomea akasema wacha apambane nao mpaka kitaeleweka. Senior kasema hivyo mimi junior ntasemaje? Kiukweli alifanikiwa kupambana nao isipokuwa kulibaki wazee watatu. Wale wazee wala hawakuwa waongeaji sana wao walikuwa tu wanamsikiliza kisha wanamjibu tuu mama sisi hatutoki tutahudhuria.

Dada B alikwazika sana na zile kauli zao akawa anawafokea sana wale wazee kama watoto. Badae wale wazee wakakonyezana wakaondoka kisha wakasimama wote watatu kwa pamoja wakaondoka bila kuaga. Mh, mimi ile situation nikaona haipo sawa nikamwambia dadaB naona kama wale wazee wameondoka na kinyongo nikajibiwa achana nao waache waende zao mimi najiamini na nasimamia kanuni za kazi yangu na sitishiki maana nalindwa na damu ya Yesu. Na akaniambia unaona mdogo wangu na hizi ndio sehemu ya changamoto tunazokutana nazo huku field hivyo jiandae kuziweka kwenye report tukiridi ofsini.

Mimi nikamsikiliza pale lakini nikaona haipi sawa. Nikachomoka pale nikawatoka kuwawahi wale kabla hawajatokomea. Nikawakuta mahali wamekaa chini mti sijui wanaongea vitu gani. Basi nikawasalimia pale na kuanza kuongea nao lakini kubwa ilikuwa kuwaomba watusamehe tulighafirika tuu kutowajuisha hivyo kama hawatajali wanipe majina na namba za simu ili tukirudi baada ya mwezi mmoja tuwaalike na wao. Mimi niliongea tu vile ile kuwaondolea kile kinyongo maana kwenye miji ya watu bhana unatakiwa uwe unaishi kwa kujiongeza ongeza kidogo.

Wale wazee bhana ni kama niliamsha mashetwaini yao maana walianza kufoka na kulaani utafikiri mimi nimeenda pale kuwafukuza tena. Waliaani na kutoa maneno makali sana. Basi mimi ili kutuliza hali ya hewa nikawaomba omba msamaha pale nikarudi kuendelea na session. Wakati naongea na wale wazee ilikuwa ni muda wa breakfast kule kwenye session. Dada B akaniuliza ulikuwa wapi nikamwambia nilikuwa na wale wazee pale kwenye mti. Alipowaona nikamwambia tuwaite tu waje wanywe chai kisha waende maana inaonekana kama wana njaa akaniambia achana nao. Wale wazee hawakuondoka pale kwenye mti walikuwa wanatazama sana upande ule ambao sisi tulikuwa tunakunywa chai. Breakfast siku ile naikumbuka vizuri sana ilikuwa chai ya maziwa, viazi, chapati na supu ya kuku wa kienyeji. Basi tukawa tumekaa meza moja mimi, dada B na wenyeji wetu wawili tunaendelea kupata msosi. Wale wazee wapo tuu pale kwenye mti tunawaona.

Tulipomaliza kunywa chai tukaingia ukumbini mimi nikawa naendelea na session. Nusu mbele dada b akaanza kukohoa kohoa pale. Mara kikohozi kikawa kinazidi mpaka kupelekea kutoka nje. Mara kikohozi kikawa kikavu sana kama kile cha mgonjwa wa TB. Alikuwa anakohoa mpaka mimi ikabidi nisitishe kwanza session kwenda kumwangalia. Nafika nje nakuta ameshikwa na mmama mmoja nadhali alikuwa ametoka toilet. Toba kumcheki dadaB ameshikilia shingo macho yamemtoka hawezi hata kuongea. Nilipagawa sana tukimuuliza nini hawezi kujibu anatutumbulia macho tuu. Sasa kwenye ile session kulikuwa na mama mmoja mlokole akaanza kukemea pale mapepo kwa muda mda mrefu kama dk 20 nzima lakini hali ya dadaB ndio ikawa inazidi kuwa mbaya. Sasa

Mimi akili yangu ikiwa imepagawa maana naona workmate anaondoka huyu hivyo nikawa namtafuta dereva wa gari tuliyokodi toka Kigoma kuja nayo KIbondo aje tumkimbize hospitali. Yule jamaa hakuwepo alikuwa kwenye misele yake maana tulimwambia sisi atufufate saa tisa aturudishe lodge. Nikipiga simu yake akawa hapokei. Sasa wakati tunahangaika kupata usafiri mwingine na wale walokole wanaendelea na maombi yao pale kukema kuna mzee mmoja ambaye alikuwa mkimya sana muda wote akawanyamazisha wale wakole waache maombi yao. Wakawa wanabisha nbasi yule mzee mkimya akawa mkali akiwaambia mkiendelea na makelele yenu mtampoteza huyu dada. Basi wakatulia. Yule mzee akamsogelea dadaB akamzunguka pale kama mara saba kisha akawa anapiga makofi huku akiangalia mawinguni kama anafukuza fukuza vitu hewani. Baada ya muda tukaona dadaB anaanza kupiga chafya mfululizo. Gafla akatapika bonge la mwiba wa samaki yaani ule mwiba mkubwa kama sindano kubwa ya kushonea nguo majumbani. Kila mmoja akashangaa pale, na mara baada ya kutapika dadaB alipa nafuu kubwa sana.

Wote pale tukashangaa akiwemo dada B mwenyewe kwamba ule mwiba wa samaki umtoka wapi. Maana usku wake nakumbuka kabisa dadaB alikula chipi na mishikaki na asubuhi ile alikuwa kuku sio samaki. Tukaona hayo ni mazingaombwe. Yule mzee mkimya akasema hili jambo bado halijaisha huko njiani mtakapokuwa mnarudi hamtakuwa salama cha muhimu watafuteni wale wazee watatu muongee nao. Wale wazee bila aibu waliikuja pale maana walikuwa bado wapo pale pale kwenye tena wanafatilia kila linalotokea. Wale wazee wala hawakupepesa maneno walituchana live walikuwa wamepanga wakati tungekuwa tunamkimbiza dada B hospitali basi gari ingepata ajali napengine kupelekea kifo. Awali walipanga kutufanyizia wote ila kadili ya maelezo yao mimi walinisamehee kwa sababu nilonekana muungwana. This is very true story maana wazee wa chai hamkawii kuhoji hapa. Yaani wallikuwa na ushujaa wakutueleza kila plan yao walivoichora bila kuogopa wala kufikatena wakisisitiza wao wanaheshimika hawajawahi kudharauliwa na watu wepesi kama sisi.

Basi tukawaomba msamaha pale nakumbuka dadaB aliomba msamaha sana mwisho wakaamua kutegua mitego yao. Nao walifanya kama yule mzee mkimya walimzunguka dadab na kufukuza fukuza vitu hewani, jamani haya mazingaombwe yapo nyie achene. Kwiukweli kabisa ile shughuli iliitibuka pale. DadaB hakuweza tena kufanya iile kazi pale. Hata mimi sikuwa kiakili. Ikabidi tuahirishe tu kwa siku hiyo. Jioni wakati tupo lodge nikamwona dadaB hayupo sawa kabisa kisaikolojia. Kwakuwa yeye ndio alikuwa victim mkubwa nikamshauri kama vipi afanye utaratibu arudi Dar akapumzike nap engine akaangalie afya yake ya kiakili. Dada b nikama nilikuwa kwenye akili yake nayeye alikuwa anafikiria ni namna gani angenishawishi aondoke tuu. Ila tulikubaliana tufanye siri ofisini wasijue basi aka niacha mimi nimalizie kupiga mzigo Kigoma. Watu wa Kigoma kama mpo humu salamaleko.

Baada ya pale sasa nilipobaki mwenyewe kumalizia kazi sehemu zilizobaki ikabidi niintroduce mtindo ambao mwenyeji wangu ndio nilimpa mamlaka ya kuchuja wazamiaji pamoja na kuwalipa washiriki. Nilikuwa na nidhamu sana na uchaguzi wa nini cha kuongea ili kutotibua hali ya hewa. Utashangaa kwa nini niliwaachia wenyeji wangu walipe washiriki ni kwa sababu kwenye hizi mambo yakulipa mara nyingi tulikuwa tunaingia loss sana yaani ni kama unapigwa viini macho hata uwe makini mara nyingi ilikuwa inatokea unajikuta unapata loss yaani kuna mtu watu unakuwa umewali mara mbili. Hii mimi imeshanitokea sana. Kwahiyo nikasema wacha haya mambo wacharurane wenyewe.

BYE FOR NOW
Umenikumbusha ,mbali,

Kuna jamaa Ali vimbishwa Domo na wazee pale bandarini,

Si unajua Tena,dogo mdogo kaja juzi kapewa kitengo kikubwa,kuliko wale wazee aliowakuta,

Sasa wale wazee ,hawakupenda kuendeshwa na kijana mdogo,


Huenda wakamsoma kwenye Anga ya pili ya kiroho ,vipi yupo juu zaidi Yao na HUKO,

Basi wakamuona kiroho ni mweupe,
Wakamfanyia mambo,

Jamaa ulimi ukavimba, kiasi Cha kuwa kama andazi,

Jamaa akaanza kuangaika kujiuguza ,kutafuta msahada ,na kitengo chake wakachukua wengine,

Bandarini Kuna mambo
 
Naamini Dada B alijifunza kutokutumia Jina la YESU Bure, huo ukax aliowaletea hao walozi wazee watatu ni kinyume cha mafunzo ya Jesus, so alifungua mlango wa kukandwa mwenyewe, ila ulimwengu wa Kiroho upo deep sana hutakiwi kujiaminisha juu juu, miezi kama minne imepita dada mmoja coworker tulienda kumdai mteja rejesho si akaanza kumletea maneno ya dharau mteja (Alikua ni mwanamke mwenzie) Wacha wacharuane na mataashtiti kama yote tukambebea vitu bana Sasa nikawa namshauri mwenzangu apunguze maneno makali na dharau akawa asikii wakafikia hatua ya kutishiana kiroho, dada mteja akawa anamtishia job mate wangu kumnyoosha kishirikina huku job mate wangu anaringishia Upako wa mwamposa mara mafuta mara nini, baada ya siku tatu job mate wangu alianza kuumwa ugonjwa usiojulikana mwezi mzima ndio akapoa, yaani nikajifunza Jina la Mungu halitumiki hivi hivi lazima ujiridhishe uko sawa sawa kabla ya kulitaka likulinde inahotaji hekima ya hali ya juu sana, Mungu atupe roho ya kutuangazia kwa kweli. Hicho kisa cha Dada B kimenifanya niwekee mkazo kuwa muungwana kwa kila mtu hata kama anakukwaza tutafute namna ya kutokuwachokoza maana upande wa pili haucheleweshagi kichapo[emoji119]
Kabisa upande wa pili majibu huwa ya haraka sana.
 
Back
Top Bottom