Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

EPISODE 11: Nilijifunza kuacha kuwahurumia kabisa watu wenye ulemavu

Hii experience najua itawashangaza wengi au labda watu kutokunielewa kabisa. Kabla ya kujifunza kwamba sipaswi kabisa kuwahurumia watu wenye ulemavu namimi pia nilikuwa ni mmoja wa watu katika kundi ambalo nawaonea huruma sana watu wenye ulemavu.

Kikawaida nilikuwa nikiona au nikikutana na mtu mwenye ulemavu wowote kama vile wasioona, wanaotambaa, wenye magongo, viziwi au hata albino nilikuwa nawahurumia sana Nilikuwa nafikiria ni watu wenye shida sana na wanahitaji kuhurumiwa na kupewa misaada hivyo nilikuwa najitoa sana hasa hasa kwa wale ombaomba wa barabarani. Nakumbuka kuna omba omba alikuwa anatega kituo ambacho mimi ndio ilikuwa nashukia au napita kwenda na kurudi kwenye mihangaiko yangu, yule jamaa alikuwa anatembelea mikono (ni kama anatambaa vile) basi nilikuwa mara kwa mara namsapoti na kiasi kidogo cha pesa mpaka akanizoea yule mlemavu.

Yaani ilikuwa hawa omba omba wa wenye ulemavu mitaani hususani wanawake nilikuwa mara nyingi sana nawapa vijisenti kidogo maana nilikuwa nawahurumia sana. Hali hii iliendelea kunitawala sana na ilifikia hatua kama nikipata nafasi ya kuongea na mtu mwenye ulemavu basi ilikuwa ni yale maongezi ya kumpa moyo yaliyotawaliwa na majonzi. Yaani niliona hawa walemavu ni kama vile wanahitaji kufarijiwa kila mara na kama Mungu anawatumia kutukumbusha wengine ukuu wake.

Sasa bhana baada ya kuona kule serikalini hakuna tena dalili ya kurejeshwa job (maana niliachishwa kazi kabla sijaanza kuifanya hahaha) nikajikita kwenye kutafuta mchongo mwingine ili maisha yasije kunipiga mjini hapa. Huku na huku nifanikiwa kupata kazi kwenye shirika moja ambalo lenyewe lilikuwa linadili na maswala ya kuwainua watu wenye ulemavu na mambo mengine yanayohusiana na haki zao.

Pale niliajiriwa kama Program advocacy coordinator hivo ilikuwa ni managerial position ambacho kwenye idara yangu nilikuwa na staff kama wanne hivi ambao walikuwa wanareport kwangu direct, na pia nilikuwa naingia kwenye vikao vya menejimenti, hapa nilipanda ngazi katika career yangu. Sasa kwenye organization unadili moja kwa moja na watu wenye ulemavu ambapo wengi tulikuwa nao pale ofsini kama staff wenzangu nawengine walikuwa ni wanufaika wa program mbali mbali za pale ofsini.

Kama ilivyokawaida kazi zangu pia zilikuwa zinahusisha sana safari za mikoani katika kutimiza majukumu mbaalimbali ya program za pale ofisini. Basi ilikuwa katika zangu watu ambao na-engage naokwa asilimia kubwa walikuwa ni wenye ulemavu. Ilikuwa nikienda mikoani nakutana na walemavu, nikifanya seminars workshops basin i walemavu, nikialikwa kwenye mikutano basin i walemavu yaani ilikuwa ni walemavu walemavu kila kitu.

Sasa baada kufanya kazi na watu wenye ulemavu tena wa aina tofautitofauti kwa muda mrefu na mimi nikaaza kuwafahamu tabia zao kwa undani, lakini pia niliweza kujifunza mambo mengi sana yanayohusiana na watu wenye ulemavu. Niliweza kuzielewa hisia zao, mitazamo yao, mahitaji yao na mikakati mbali mbali ambao walikuwa nayo kibinafsi, kisera au kiprogamu yenye lengo la kutetea haki zao na kuwainua kujikwamua na hali ngumu za maisha.

Kwanza kabisa nikaja kugundua kumbe hawa jamaa ni binadamu kama binadamu wengine despite their disabilities. Kwamba mapungufu yao ya kimwili au kiakili hayawafanyi wasiwe na hisia, matamanio au mipango katika maisha yao ya kila kitu. Kikubwa sana katika hilo nikaja kuelewa kwamba watu wenye ulemavu hawataki kabisa kuonewa huruma. Yaani vile nilivyokuwa nikiwachukulia kama watu wenye kuonewa huruma na kuongea nao kwa lugha flani hivi ya kuwasikitia hicho wenyewe walikuwa hawaki kabisa.

Nakumbuka wakati naanza kufanya kazi pale ilikuwa kila kitu nafanya kwa kuwapendelea watu wenye ulemavu. Mathalani kwenye mikutano kwa kuwa mimi ndio nilikuwa organizer na facilitator mkuu basi nikatoa maagizo labda waaanze kwanza kula watu wenye ulemavu, au naweza agiza malipo waanza kulipwa wenye ulemavu, ukiniuliza sababu nakuwa sababu yenye mashiko isipokuwa ni kasumba tuu ya kuona kama wanahitaji zaidi sympathetic treatment. Nakumbuka wengi wao walikuwa hawapendi hizi privilege nilizokuwa nawapa. Nakumbuka kuna siku jamaa wawili wenye ulemavu waliniita chemba na kunichana live kwamba nakosea sana ninavyowapa upendelea wa wazi mambo mengine ambayo hayana athari moja kwa moja napaswa kuwachukulia kwa usawa na watu wengine ambao hawana ulemavu.

Nilishangaa sana inakuwaje mimi nawapa upendeleo halafu wao wanakataa? Basi ikabidi nianze kuwasoma sasa kwa ukaribu zaidi. Nikaja kugundua yafuatayo:

kwanza, Watu wenye ulemavu hawataki kuonewa huruma pasipo sababu za msingi. Kwamba wanataka kama hakuna umuhimu na sababu yoyote ya maana basi wewe wachukulie ni kama watu wengine tuu na sio kama kundi spesho. Mimi nimesafiri nao sana, nimeenda nao sana maeneo ya mitoko na kupitia hayo n imejua tabia zao nyingi sana. Wanapenda kubishana mpira, wanajichanganya kwenye starehe, wanapenda kuabudu na kufanya kazi. Hiyo ni mifano michache tuu niliyoianisha.

Nakumbuka kwenye moja ya safari zangu nilisafiri na jamaa mmoja ambaye yeye alikuwa hana miguu kabisa. Sasa kwenye hizi safari ujue mnakuwa na mda mwingi wa kufanya mambo mengi pamoja kwenye tripp kama vile kula nk. Sasa yule jamaa nikaja gundua ni mtu wa kupenda sana kutoka usiku kwenda kwenye viwanja vya starehe. Sasa siku moja nikasema ngoja nitoke na mshikaji nikampe kampani. Basi tumefanya mambo yetu pale mara jamaa akaopoa demu mmoja mkare sana. Yule manzi alikuwa pisi kwelikweli na jamaa aliondoka naye. Asubuhi nikawa namtania namtani kaka ile pisi hata mimi niliielewa jamaa akacheka sana akaniambia zile ndio pigo zake na anazo nyingi tuu na nikisema tushindane Taidume huwezi kuwin. Ila nilichokuja kugundua jamaa alikuwa ni muhongaji mzuri sana dadeki.

Pili, Watu wenye ulemavu wanakereka sana kuona wenye ulemavu wengine wanavyoomba omba mitaani kwani wanadai wanawadhalilisha. Pale ofsini kulikuwa na program ambazo zilikuwa zinawakutanisha walemavu wanaoomba omba mitaani ambazo zilikuwa zinakuwa na lengo la kuwekana sawa na kupeana mikakati ya kujiinua. Kwenye vile vikao nilikuwa naingia na wale omba omba walikuwa wanatoa shuhuda kwamba wanapata pesa nyingi sana. Akikupigia hesabu sometimes kiwango cha chini mtu anaondoka hata 50k kwa siku. Sasa wakawa wanapeana makavu wenyewe kwa wenyewe kwamba kama mtu umeomba omba kwa mwaka mmoja tu si unakuwa na pesa za kutosha na hata kuwa na uwezo wa kuanzisha biashara ya heshima tuu. Hapo nikaja gundua kwamba wale omba omba wa mitaani wengi wao ile wameishaifanya ni ajira na hawawezi kuacha.

Hii ikanifanya nikumbuke siku moja kipindi cha nyuma wakati nipo nafanya kazi kwenye lile shirika la kugawa ruzuku, nilipita pale Rombo green view shekilango kula ilikuwa ni kama saa saba hivi mchana. Basi wakati nasubiri msosi pale liliingia kundi la omba omba wasioona kama nane wakiwa na wale watoto wanaowaongoza. Basi mimi kwenye akili yangu nikawa nawaza pale leo tumevamiwa ila nikawa nimetenga buku wakipita mezani kwangu pale niwape. Gafla nikaona kuna meza ni kama zilikuwa reserved wakaenda wale ombaomba kukaa na vitoto vyao. Haikuchuka hata dakika 10 nikaona misosi ya maana ya inapekwa kwenye zile meza zao nikama wametoa oda na ndivyo ilivyokuwa. Maana nilipoletewa msosi wangu nilimuuliza yule muhudumu mbona wale ombaomba wameletewa chakula haraka je mnawasaidia kuwapa na misosi. Akanijibu kwamba wale ni wateja wao wakubwa na huwa wanakulaga pale lunch. Nikashangaa sana pale na bei za misosi rombo ya kipindi kile zilikuwa zimesimama. Kwa wale ombaomba sikutegemea kama wangemudu kula pale.

Tatu, Watu wenye ulemavu hawahitaji kuhurumiwa bali kutengenezewa mazingira mazuri yatakayowafanya waweza kujumuika pamoja na raia wengine katika shughuli mbalimbali. Nilikuja kugundua watu wenye ulemavu ni very potential. Wapo wenye vipaji na vipawa vikubwa katika field mbali mbali lakini wengi vipawa vyao wanashindwa kuvionesha na kuwanuifa kwa sababu tuu wengi wetu tumeishia tuu kwenye kuwaonea huruma badala ya kuwatengenezea mazingira wezeshi ili waweze kuonesha uwezo wao. Tena kwenye hili nina idea nzuri sana ya tv program yenye kuhusisha watu wenye ulemavu, ambayo nina uhakika itabamba sana. So kama kuna wadau wa hizo connection tuwasiliane nishee hiyo idea na kama wana uwezo wakaifanyie kazi, mimi sitaki hata kumi hapo – nipo siriasi.

Amini ama usiamini kwamba mazingira wezeshi (accessibility) plays a crucial role in empowering people with disabilities to showcase their talents and contribute to economic empowerment. By removing barriers and creating an inclusive environment, society can tap into the diverse skills and abilities of individuals with disabilities. Kwa kutowekeza katika mazingira wezshi tuapote viongozi wazuri, tunapoteza wafanyabiashara wakubwa, tunapoteza wasanii mahiri kabisa, tunapoteza wasomi wabobevu kisa tu wamezaliwa na ulemavu au kupata ulemavu katika hatua za ukuaji. Sio fair kabisa

Kwahiyo katika maana hiyo nikaachana kabisa na tabia ya kuwaonea huruma watu wenye ulemavu na badala nikajikita kushiriki kikamilifu kutengeneza mazingira ili kuwawezesha kwa nafasi nilizokuwa nazo. Mfano sasa hivi kuna wale watu wanaowatumia watoto wenye ulemavu kuomba omba mitaani. Asee siku hizi nakuwa mkali sana kwanini yule mtoto asikazaniwe kupelekwa shule instead ya kuzungushwa kwenye jua muda wa kusoma. Nimekuwa nikiwakkaripia wengi sana kuachana na tabia hizo na mara nyingi sitoi pesa ila naweza nikamnunulia chakula.

Nakumbuka hata yule mlemavu aliyekuwa anaomba omba pale kituo cha daladala mtaani kwangu kuna siku moja nikaongea nae na kumshauri kwavile lile eneo analokaa pale kituoni kumechangamka sana nikamwambia aanzish biashara yoyote. Akadai nimpe mtaji, nikamchana live kwamba nikimpa mtaji mimi au mtu mwingine hawezi kuwa na uchungu na biashar. Nikamwambia wewe anzisha biashara yoyote hata kuuza pipi mimi nitakuwa mmoja wa wateja wako na nitakuletea wateja. Ikawa kila nikipita namkomalia ishu ya biashara. Kuna kipindi nikawa nimesfairi kama wiki hivi. Nilivyorudi nikakuta ameanzisha biashara ya kuuza maji ya kandoro anauzia kwenye ndoo. Huwezi amini alipata wateja wengi sana hususani madereva na makonda wa daladala. Hapo usiniulize kama nilikuwa nanunua ama sinunui ila nakumbuka nilimfanyia mpango nikamuunganisha na jamaa yangu mmoja alikuwa anafanya kazi tigo wakampa mwamvuli na benchi. Nilihama ile mitaa lakini naamini aliiendeleza na kukuza biashara yake.

Kabla sijamaliza hii episode ngoja niwapeni shule ndogo. Tunatakiwa sana kuheshimu utu wa mtu mwenye ulemavu. Watu wengi sana wanawadhalilisha watu wenye ulemavu bila kujua kupitia au kutokana na majina tunayowaita mitaani kila siku. Ni kawaida sana kusikia mtu akimwita mtu mwenye ulemavu kipofu, kiwete, kilema, asiyesikia, zeruzeru nk. Ndugu zangu haya ni baadhi tuu ya majina yanayotweza utu wa mtu mwenye ulemavu.​
  • Usahihi upo hivi, kwanza unapotaka kutaja majina ya walemavu anzia na neno “mtu” au “watu”.​
  • Mfano,​
  • Mtu asiyeona badala ya kipofu. Ukiita kipofu wenyewe hawataki watakupiga na zile fimbo zao.​
  • Mtu mwenye ulemavu wa viungo/miguu badala ya kiwete. Ukiita kiwete wenyewe wanakuwa wakali kweli kweli.​
  • Mtu kiziwi badala ya asiyesikia. Ukiita asiyesikia wanasema wao sio watukutu maana mitoto mitukutu ndio huwa haisikii.​
  • Mtu mwenye ualbino badala ya zeruzeru.​
  • Mtu mwenye ulemavu badala ya kilema/vilema.​
Nadhani nimetoa shule kidogo hapo. See you next episode hakutakuwa na arosto jamani.​
Arosto ilikuwa juu mnoi mkuu
 
Yaani katika moja ya jambo ambalo nawahurumia watu wenye ulemavu ni mahusiano...nimeshafanya nao kazi ila maishani mwangu sijawahi KUZAGAMUA mdada mwenye ulemavu...sio kwamba hazipo pisi kali, hapana wapo... nimeshakutana na cases kama 6 ama 7 wadada wenye ulemavu wananichana live kwamba wanataka mdinyo lakini niliwatolea nje...kisa? NAWAONEA HURUMA yaani naona kama nikimdinya ntakuwa namuumiza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

TAI DUME nipe ushauri nasaha niache hizo huruma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
EPISODE 12: Wacha kudharau watu kwa muonekano wao, heshimu kila mtu maana huwezi jua

Hapa naomba nitilie mkazo kwamba kama ulikuwa na hiyo tabia please stop despising people based on their appearance at once and for all. Respect everyone because you never know. I emphasize the importance of treating everyone with respect and avoiding judgment based solely on outward appearances.

Point ya msingi hapa ni kwamba, one should not underestimate or look down upon others based on how they look, as appearances can be deceiving, and you may not fully understand someone's worth or capabilities without getting to know them. The call for respect underscores the idea that showing kindness and consideration to everyone, regardless of their appearance, is a more just and equitable approach. Unaweza kutumia google translator kupata maana kwa kugha ya kwenu hata Kingoni.

Iko hivi, maisha ya hapo ofsini kwa walemavu yaliendelea kama kawaida as time ilivosonga na mimi nikaendelea kupata uzoefu. Aisee nilikuwa deep sana kwenye issues za disability pamoja na mikakati mbali mbali ambayo ipo kisheria, kisera na kiprogramu ambayo ipo katika utekekelezwaji ili kutetea haki za watu wenye ulemavu. Niliongeza uzoefu mkubwa sana kwenye CV hususani mwasala ya disability inclusion into developmental programs. Nimeenda sana bungeni kufanya lobbying and advocacy sessions na kamati mbalimbali za kudumu za bunge na kuwapa madini wabunge mambo gani ya kwenda kuongea bungeni yakuwezesha watu wenye ulemavu. Hapa niwamegee siri moja, michango mingi ya wabunge wakati wa vikao vya bunge mara nyingi inakuwa ni madini wanayopewa na wadau mbali mbali husussani hizi NGOs kwenye sekta husika. Kama wiki hiyo yatajadiliwa matahalani maswala ya ukatili wa kijinsia basi NGOs zinazodili na maswala ya kijinsia wataandaa vikao na wabunge na kuwapa madini ya nini sheria, sera na mikakati ya kimataifa inataka ili kumlinda mtoto au mwanamke dhidi ya ukatili wa kijinsia. Hivyo hivyo kwenye mijadala ya maswala ya uchumi, usafirishaji, nishati nk. So hata sisi tulitumia fursa hiyo vizuri fursa, na waheshimiwa wabunge hawana baya mkikaa nao na kuwaelimisha vizuri basi wanaibeba ajenda yenu vizuri tuu, ila angalizo isiwe tuu hoja ambazo zinamwelekeo wa kukiaibisha chama watakukataeni mcha kweupe, hahahaa.

Kwakweli namshukuru Mungu niliiva sana kwenye maswala ya disability inclusion na mpaka leo nina uzoefu mkubwa sana whent it comes to disability inclusion and empowerment. Nimesema hapo juu kwamba tuwache kudharau watu kisa nafasi zetu au mwonekano wa mtu maana huwezi kujua huyo mtu au watu tunaowadharau watatufaa vipi. Najua hii sio hoja ngeni kwenu na mmeshaisikia mara nyingi sana. Hapa nitakupeni uzoefu wangu kwa mfano hai kabisa.

Pale kwa walemavu nilimkuta sisat duu mmoja hivi ameajiriwa kwenye nafasi ya maswala ya M&E. Alikuwa ni professional kweli kweli kwenye M&E. Sasa kwenye kuhangaika hangaika na ajira akajikuta ameajiriwa pale. Kiukweli yule dada sijui niseme alikuwa na nyodo au ni dharau au ni kujiskia sana, maana sijui hata mimuweke kundi gani. Ni dizaini ya vile visista duu vya kuvaaga mawani za macho si mnajuaga vijitabia vyao (sio wote jamani ila ni most of them). Any way tumuite tu sista duu.

Basi bhana, sista duu wetu yule kiukweli hakuwa mtu wa kuchangamana sana na watu alikuwa very selective, na mara kwa mara alikuwa anasema pale ofisini yeye hapakuwa sehemu yake target zake ni kufanya kazi na internationa NGOs yaani yeye alijiona ni wakimataifa zaidi. Haikuwa kitu kibaya kutamanai kufanya kazi na international organizations lakini alikuwa anabeza sana ile ofisi as if yeye hakuwa anafanya kazi. Kiukweli yule dada alikuwa mzuri sana kwenye maswala ya M&E nampa respect kwa hilo hata mimi alibrash vitu sana ambavyo niliviapply katika kazi zangu. Sista duu I still salute you kwa hilo, ulinifaa sanaaa.

Basi sista duu ilikuwa asione kazi kwenye international NGO anaomba na alikuwa ananyenyekea sana wageni kutoka kwenye international NGOs wanaokuja pale ofisini. Kule hakukuwa kujichanganya bali ilikuwa ni kujishobosha, any way kila mtu ana mbinu zake hata mimi nilishawahi kulamba viatu vya Dr KJ kama mnakumbuka ili mradi tuu kupata ninachotaka. Na hata hapa still bado nawalamba watu miguu wakivutiwa na CV yangu wanipe connection ahahahaa. Unashangaa nini unaambiwa hata viongozi wengi wa Kiafrika wanalamba viatu vya wakubwa wa magharibi ili waendelee kupata misaada na wengine kusalia madarakani – sembuse mimi na sista duu? Habari ndio hiyo.

Kama nilivosema pale ofsini kulikuwa na wageni wa aina tofauti tofauti sana wanaokuja. Kwa kuwa tunadili na watu wenye ulemavu basi ilikuwa ni kawaida watu wenye ulemavu kuja pale wengine kuomba misaada, wengine kutafuta kazi lakini pia wafadhili wengi sana au mashirika ya kimataifa walikuwa wanakija pale kuangalia namna ya kufanya kazi na sisi. Na hao wafadhili na mashirika ya kimataifa ndio ilikuwa target ya sista duu. Na vile alikuwa na kingereza kilichonyooka basi aliwaentertain vizuri sana ilia pate connection.

Sasa nakumbuka wakati Fulani wakati nina miaka kama mitatu pale ofsini ilikuwa ni kipindi cha mvua. Siku hiyo ofsini tulikuwa mimi na sista du utu ofsini kwa sababu kuna safari tulkikuwa tunaandaa ili tusafiri. Gafla akaingia ofsini jamaa mmoja kwa mwonekano tuu alikuwa yupo kama rafu rafu kimtindo, alikuwa amevaa pensi yake halafu amelowana chepechepe. Sasa ile anaingia pale reception hakuna mtu akaanza kuita sista duu akatoka. Sijui kaongea naye nini mara karudi akaniambia nitoke nikamsaidie kuna mtu anamletea ubishi hataki kuondoka.

Mimi nikatoka nikiwa na tahadhari zote nikijua labda ni kibaka na kweli kwa muonekano tuu yule jamaa uanaweza ukamuitia ukibaka kwanza alikuwa na dreads hizi fupi ila nilipozichunguza nikagundua zina matunzo hizi ni vile tuu zimelowa na mvua. Basi nikamsalimia pale jamaa akasema anataka kuongea na uongozi ila yule sista duu hampi ushirikiano wa kutosha. Nikamsikiliza pale jamaa akasema hana muda sana ni muhimu aongee na uongozi kama vipi tumpe namba za simu ya mkuu wetu pale.

Kiukweli jamaa ilikuwa ngumu sana kumwelewa, sista duu akawa analazimisha jamaa aondoke. Ila mimi kiubinadamu tuu nikamwambia sistaduu hebu mwache jamaa asubiri basi hata mvua ikate maana ilikuwa inanyesha balaa. Sista duu akasema kama utakaa naye hapo reception sawa maana hamwamini mwani kumuacha mwenyewe. Anaenda kuendelea na kazi zake ofsini kwake. Basi mimi nikaenda kuchukua laptop yangu nikawa nimekaa na yule jamaa pale reception huku na endelea na shughuli zangu na huku numdodosa mdogo mdogo. Nikampa na kikombe cha gahawa pale ili walau mwili upate joto.

Sasa yule jamaa alikuja na dereva wake ila alikuwa amemwacha mbali kidogo maana walipotea potea sana kwenye kuitafuta ile ofisi ilipo. Yule jamaa alivokuja pale simu na kila kitu chake alikuwa ameacha kwenye gari hivyo akaniomba amfate dereva wake ili kama anishirikishe kilichomleta pale. Basi akaenda baada ya muda mfupi nikaona m-prado unapaki pale nje jamaa akashuka na begi lake la laptop. Then akanaimbia kama mimi mwenyeji pale na nipo kitengo gani. Nikamwambia, basi akaniambia kwakuwa menejiment haipo basi atanishirikisha mimi kilichomleta na majibu yanatakiwa ndani ya wiki moja so mimi nilitakiwa niijulishe menejiment proposal yake. Nikamwambia basi ngoja nimuite na yule sista duu jamaa akagoma kabisa akasema kama siwezi kufanya naye mimi kikao basi wacha aende.

Nikamwambia basi tuendelee. Jamaa akawasha kompyuta yake na akaanza kunipitisha kwenye program ambayo wanataka kufanya na sisi pale ofisini ambayo itawanufaisha watu wenye ulemavu. Asee yule jamaa alikuwa na anawakilisha shirika moja la ulaya ambao walikuwa wanajishughulisha na maswala ya afya sasa yeye alikuwa amehamishiwa Kenya ambako ndio makao makuu ya East Africa ya hilo shirika. Na ni yeye ndio alieandika hiyo proposal ya kufanya kazi na watu wenye ulemavu Tz na ilikuwa ni proposal kubwa tuu yenye pesa mingi. Kwa kweli nivutiwa na ile proposal sasa pale ikawa ishu ni menejiment ya ofisi yetu wakiiridhia tupige kazi. Ndio mana alikuwa anafosi sana kuonana na menejiment.

Nikamwambia mimi na yule sistaduu ni sehemu pia ya menejiment ila hilo swala ni bodi ya wakurugenzi sio CEO peke yake. Ila nikamhahakikishia atapewa jibu ndani ya hiyo wiki moja. Basi akanishukuru pale tukabadilishana biz cards. Pia akaniachia na ile proposal ili niipitie vizuri ili nitakapoiwasilisha kwa wakubwa iwe rahisi. Aliniachia full proposal yenye mpaka bajeti, ilikuwa ni kubwa mno. Ile project ilikuwa ina nafasi nyingi tuu za kazi kwa wale watakaobase pale ofsini na watakaohitajika kule kwenye shirika lao. Nikaisoma pale then nikamshirikisha sista duu. Unaambiwa alipagawa sana baada ya kuiona ile proposal. Nikamuonyesha na biz card ya yule rasta alipagawa zaidi mana jamaa alikuwa ni partnership advisor wa hilo shirika so ni cheo kikubwa sana. Basi kwenye kuzicheki zile positions mimi nikaona moja ambayo inafaa kubase kule kwenye shirika nikasema hapa lazima nifanye jambo. Na sista duu nay eye aliiona ya mkuu wa kitengo cha M&E ipo akasema nay eye lazima afanye jambo. Sikutaka kumakatisha tama pale na pia sikutaka kumwambia jinsi yule rasta alivomkataa wakati tunafanya nae kikao kile.

Basi mimi nikampigia simu CEO na kumpatia ile taarifa akasema ataitisha kikao cha menejiment na bodi kesho yake. Kweli siku ya pili mimi nikapresent ile proposal utafikiri mimi ndio niliyeiandaa. Basi huku na huku nikapewa jukumu la kumjibu yule jamaa kwamba menejiment na bodi ya wakurugenzi imeridhia kufanya ule mradi in partnership na shirika lao. Basi siku hiyo hiyo nikamu-email rasta na akarespond promptly kwamba wataorganize a skype meeting baina yao na sisi. Baada ya kama siku tatu tukafanya skype meeting pale na deal was closed kwamba tuanze maandalizi ikiwemo kutafuta wafanyakazi.

Basi tukatoa matangazo pale. Binafsi nikamcheki rasta kwa wasapu kumwambia kuwa nina interest na ile position niliyoiona kwenye proposal ambayo ipo kule upande wao. Pale pale akanicall na akanifanyia interview kwa njia ya simu ambayo sikujiandaa kabisa. Akaniambia japo sijaona CV yako lakini nitakuinterview technical questions basi tukafanya interview tukamaliza. Ila akaniambia atanitumia email ya mwajiri wa ofisi yao wa Nairobi ili nitume CV na cover letter. Alivonitumia email address na mimi nikaandaa CV yangu na cover letter faster nikamtumia yule mwajiri. Akanijibu nijianda kesho nitafanyiwa interview kwa video call. Kweli kesho yake tukanya interview, walikuwa panelist wawili nakumbuka rasta hakushiriki. Pale pale wakaniambia nimepata Kazi so nisubiri offer letter. It was simple like that.

Basi wiki iliyofata kweli nikapokea offer letter na contact ambao nilitakiwa nisign na kuwarudishia immediately. Siku ya pili nikapokea simu kutoka kwenye ofisi yao ya hapa Dar ambapo ndio ingekuwa ofisi yangu mpya ya kufanyia kazi. Nikatakiwa nipeleke testimonials zangu kwa uthibitisho, basi nikafanya hivyo na nikawaomba wanipe mwezi mmoja ili niweze kumalizana na huku kwa walemavu. Ujue sio vizuri kuondoka mahali ukiwa na vimeo vimeo, clear kwanza vimeo vyako ndio uondoke na huo ndio uprefessional.

Baada ya wiki wakati tangazo la kazi limetoka sista duu akaniuliza taidume tunafanyaje sasa maana chansi ndio hii mimi nikamjibu mwenzio hapa nilipo naandika resignation letter naenda kujoin na shirika la rasta. Akashtuka sana akaniuliza mbona muda bado mpa briefing pale akashangaa sana. Akaniambai nayeye atamcheki. Ikabidi nimwambie tuu ukweli pale kwa situation yake itakuwa ngumu maana rasta hataki hata kumuona na hata mpa ushirikiano wa kutosha na anawza akamuharibia kabisa.

Nikamshauri kwa kuwa rasta hamjui kwa jina ni bora tuu akafanya procedures za kawaida anaweza akapata maana una CV nzuri. Akanijubu wewe niconnect basi, msaada wako utakuwa umeishia hapo kuhusu hayo mengine niachie mimi hakuna mkate mkate mgumu mbele ya chai. Nikasema poa. Pale pale nikamcall rasta na kumweleza interest za sista duu. Sasa rasta akataka kujua huyo sista ni nani nikamwambia subiri nampa namba yako atakupigia. Kweli nikampa sista duu akasema atampigia jioni akiwa off.

Basi tukaendelea na majukum na mimi nikasubmitt ile resignation letter kwa mkono kwa CEO. Kiufupi alisikitika sana lakini kwa kuwa alikuwa mwelew akaniruhusu kwa moyo mmoja. Usiku kwenye saa mbili hivi wakati nipo home napiga msosi mara nikaona rasta ananipigia. Nikajiuliza kuna nini tena? Kupokea pale akaniambia tuu kifupi ofisi yao haiwezi kufanya kazi na sista duu. Akaniamba wewe umepata ile kazi sio kwa sababu una vigezo vikubwa kuliko watu wengine bali additional value was the respect you showed when we first met. Basi akaniongea sana pale akasema wao katika ofisi yao wanasisitiza sana kuheshimu na kujitoa kwa ajili ya watu wengi. Akanianbia hata sista duu amemweleza maneno hayohayo na kumwambia wazi kwamba hawawezi kufanya nae kazi. Basi tukagana pale na mimi nikamcall sista duu kumuuliza imekuwaje maana jamaa kanipigia. Alichoniambia tu niachane na mambo hayo ahikuwa rizki yake na rizki anatoa Mungu. Kwa yale majivuno yake sikutaka kumshauri chochote.

Ndio ikawa hivyo hivyo ndugu zanguni. Muendelezo soma Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa
 
Rasta mwenyewe ndiyo huyu hapa
 

Attachments

  • RASTA.png
    RASTA.png
    56.2 KB · Views: 28
EPISODE 11: Nilijifunza kuacha kuwahurumia kabisa watu wenye ulemavu

Hii experience najua itawashangaza wengi au labda watu kutokunielewa kabisa. Kabla ya kujifunza kwamba sipaswi kabisa kuwahurumia watu wenye ulemavu namimi pia nilikuwa ni mmoja wa watu katika kundi ambalo nawaonea huruma sana watu wenye ulemavu.

Kikawaida nilikuwa nikiona au nikikutana na mtu mwenye ulemavu wowote kama vile wasioona, wanaotambaa, wenye magongo, viziwi au hata albino nilikuwa nawahurumia sana Nilikuwa nafikiria ni watu wenye shida sana na wanahitaji kuhurumiwa na kupewa misaada hivyo nilikuwa najitoa sana hasa hasa kwa wale ombaomba wa barabarani. Nakumbuka kuna omba omba alikuwa anatega kituo ambacho mimi ndio ilikuwa nashukia au napita kwenda na kurudi kwenye mihangaiko yangu, yule jamaa alikuwa anatembelea mikono (ni kama anatambaa vile) basi nilikuwa mara kwa mara namsapoti na kiasi kidogo cha pesa mpaka akanizoea yule mlemavu.

Yaani ilikuwa hawa omba omba wa wenye ulemavu mitaani hususani wanawake nilikuwa mara nyingi sana nawapa vijisenti kidogo maana nilikuwa nawahurumia sana. Hali hii iliendelea kunitawala sana na ilifikia hatua kama nikipata nafasi ya kuongea na mtu mwenye ulemavu basi ilikuwa ni yale maongezi ya kumpa moyo yaliyotawaliwa na majonzi. Yaani niliona hawa walemavu ni kama vile wanahitaji kufarijiwa kila mara na kama Mungu anawatumia kutukumbusha wengine ukuu wake.

Sasa bhana baada ya kuona kule serikalini hakuna tena dalili ya kurejeshwa job (maana niliachishwa kazi kabla sijaanza kuifanya hahaha) nikajikita kwenye kutafuta mchongo mwingine ili maisha yasije kunipiga mjini hapa. Huku na huku nifanikiwa kupata kazi kwenye shirika moja ambalo lenyewe lilikuwa linadili na maswala ya kuwainua watu wenye ulemavu na mambo mengine yanayohusiana na haki zao.

Pale niliajiriwa kama Program advocacy coordinator hivo ilikuwa ni managerial position ambacho kwenye idara yangu nilikuwa na staff kama wanne hivi ambao walikuwa wanareport kwangu direct, na pia nilikuwa naingia kwenye vikao vya menejimenti, hapa nilipanda ngazi katika career yangu. Sasa kwenye organization unadili moja kwa moja na watu wenye ulemavu ambapo wengi tulikuwa nao pale ofsini kama staff wenzangu nawengine walikuwa ni wanufaika wa program mbali mbali za pale ofsini.

Kama ilivyokawaida kazi zangu pia zilikuwa zinahusisha sana safari za mikoani katika kutimiza majukumu mbaalimbali ya program za pale ofisini. Basi ilikuwa katika zangu watu ambao na-engage naokwa asilimia kubwa walikuwa ni wenye ulemavu. Ilikuwa nikienda mikoani nakutana na walemavu, nikifanya seminars workshops basin i walemavu, nikialikwa kwenye mikutano basin i walemavu yaani ilikuwa ni walemavu walemavu kila kitu.

Sasa baada kufanya kazi na watu wenye ulemavu tena wa aina tofautitofauti kwa muda mrefu na mimi nikaaza kuwafahamu tabia zao kwa undani, lakini pia niliweza kujifunza mambo mengi sana yanayohusiana na watu wenye ulemavu. Niliweza kuzielewa hisia zao, mitazamo yao, mahitaji yao na mikakati mbali mbali ambao walikuwa nayo kibinafsi, kisera au kiprogamu yenye lengo la kutetea haki zao na kuwainua kujikwamua na hali ngumu za maisha.

Kwanza kabisa nikaja kugundua kumbe hawa jamaa ni binadamu kama binadamu wengine despite their disabilities. Kwamba mapungufu yao ya kimwili au kiakili hayawafanyi wasiwe na hisia, matamanio au mipango katika maisha yao ya kila kitu. Kikubwa sana katika hilo nikaja kuelewa kwamba watu wenye ulemavu hawataki kabisa kuonewa huruma. Yaani vile nilivyokuwa nikiwachukulia kama watu wenye kuonewa huruma na kuongea nao kwa lugha flani hivi ya kuwasikitia hicho wenyewe walikuwa hawaki kabisa.

Nakumbuka wakati naanza kufanya kazi pale ilikuwa kila kitu nafanya kwa kuwapendelea watu wenye ulemavu. Mathalani kwenye mikutano kwa kuwa mimi ndio nilikuwa organizer na facilitator mkuu basi nikatoa maagizo labda waaanze kwanza kula watu wenye ulemavu, au naweza agiza malipo waanza kulipwa wenye ulemavu, ukiniuliza sababu nakuwa sababu yenye mashiko isipokuwa ni kasumba tuu ya kuona kama wanahitaji zaidi sympathetic treatment. Nakumbuka wengi wao walikuwa hawapendi hizi privilege nilizokuwa nawapa. Nakumbuka kuna siku jamaa wawili wenye ulemavu waliniita chemba na kunichana live kwamba nakosea sana ninavyowapa upendelea wa wazi mambo mengine ambayo hayana athari moja kwa moja napaswa kuwachukulia kwa usawa na watu wengine ambao hawana ulemavu.

Nilishangaa sana inakuwaje mimi nawapa upendeleo halafu wao wanakataa? Basi ikabidi nianze kuwasoma sasa kwa ukaribu zaidi. Nikaja kugundua yafuatayo:

kwanza, Watu wenye ulemavu hawataki kuonewa huruma pasipo sababu za msingi. Kwamba wanataka kama hakuna umuhimu na sababu yoyote ya maana basi wewe wachukulie ni kama watu wengine tuu na sio kama kundi spesho. Mimi nimesafiri nao sana, nimeenda nao sana maeneo ya mitoko na kupitia hayo n imejua tabia zao nyingi sana. Wanapenda kubishana mpira, wanajichanganya kwenye starehe, wanapenda kuabudu na kufanya kazi. Hiyo ni mifano michache tuu niliyoianisha.

Nakumbuka kwenye moja ya safari zangu nilisafiri na jamaa mmoja ambaye yeye alikuwa hana miguu kabisa. Sasa kwenye hizi safari ujue mnakuwa na mda mwingi wa kufanya mambo mengi pamoja kwenye tripp kama vile kula nk. Sasa yule jamaa nikaja gundua ni mtu wa kupenda sana kutoka usiku kwenda kwenye viwanja vya starehe. Sasa siku moja nikasema ngoja nitoke na mshikaji nikampe kampani. Basi tumefanya mambo yetu pale mara jamaa akaopoa demu mmoja mkare sana. Yule manzi alikuwa pisi kwelikweli na jamaa aliondoka naye. Asubuhi nikawa namtania namtani kaka ile pisi hata mimi niliielewa jamaa akacheka sana akaniambia zile ndio pigo zake na anazo nyingi tuu na nikisema tushindane Taidume huwezi kuwin. Ila nilichokuja kugundua jamaa alikuwa ni muhongaji mzuri sana dadeki.

Pili, Watu wenye ulemavu wanakereka sana kuona wenye ulemavu wengine wanavyoomba omba mitaani kwani wanadai wanawadhalilisha. Pale ofsini kulikuwa na program ambazo zilikuwa zinawakutanisha walemavu wanaoomba omba mitaani ambazo zilikuwa zinakuwa na lengo la kuwekana sawa na kupeana mikakati ya kujiinua. Kwenye vile vikao nilikuwa naingia na wale omba omba walikuwa wanatoa shuhuda kwamba wanapata pesa nyingi sana. Akikupigia hesabu sometimes kiwango cha chini mtu anaondoka hata 50k kwa siku. Sasa wakawa wanapeana makavu wenyewe kwa wenyewe kwamba kama mtu umeomba omba kwa mwaka mmoja tu si unakuwa na pesa za kutosha na hata kuwa na uwezo wa kuanzisha biashara ya heshima tuu. Hapo nikaja gundua kwamba wale omba omba wa mitaani wengi wao ile wameishaifanya ni ajira na hawawezi kuacha.

Hii ikanifanya nikumbuke siku moja kipindi cha nyuma wakati nipo nafanya kazi kwenye lile shirika la kugawa ruzuku, nilipita pale Rombo green view shekilango kula ilikuwa ni kama saa saba hivi mchana. Basi wakati nasubiri msosi pale liliingia kundi la omba omba wasioona kama nane wakiwa na wale watoto wanaowaongoza. Basi mimi kwenye akili yangu nikawa nawaza pale leo tumevamiwa ila nikawa nimetenga buku wakipita mezani kwangu pale niwape. Gafla nikaona kuna meza ni kama zilikuwa reserved wakaenda wale ombaomba kukaa na vitoto vyao. Haikuchuka hata dakika 10 nikaona misosi ya maana ya inapekwa kwenye zile meza zao nikama wametoa oda na ndivyo ilivyokuwa. Maana nilipoletewa msosi wangu nilimuuliza yule muhudumu mbona wale ombaomba wameletewa chakula haraka je mnawasaidia kuwapa na misosi. Akanijibu kwamba wale ni wateja wao wakubwa na huwa wanakulaga pale lunch. Nikashangaa sana pale na bei za misosi rombo ya kipindi kile zilikuwa zimesimama. Kwa wale ombaomba sikutegemea kama wangemudu kula pale.

Tatu, Watu wenye ulemavu hawahitaji kuhurumiwa bali kutengenezewa mazingira mazuri yatakayowafanya waweza kujumuika pamoja na raia wengine katika shughuli mbalimbali. Nilikuja kugundua watu wenye ulemavu ni very potential. Wapo wenye vipaji na vipawa vikubwa katika field mbali mbali lakini wengi vipawa vyao wanashindwa kuvionesha na kuwanuifa kwa sababu tuu wengi wetu tumeishia tuu kwenye kuwaonea huruma badala ya kuwatengenezea mazingira wezeshi ili waweze kuonesha uwezo wao. Tena kwenye hili nina idea nzuri sana ya tv program yenye kuhusisha watu wenye ulemavu, ambayo nina uhakika itabamba sana. So kama kuna wadau wa hizo connection tuwasiliane nishee hiyo idea na kama wana uwezo wakaifanyie kazi, mimi sitaki hata kumi hapo – nipo siriasi.

Amini ama usiamini kwamba mazingira wezeshi (accessibility) plays a crucial role in empowering people with disabilities to showcase their talents and contribute to economic empowerment. By removing barriers and creating an inclusive environment, society can tap into the diverse skills and abilities of individuals with disabilities. Kwa kutowekeza katika mazingira wezshi tuapote viongozi wazuri, tunapoteza wafanyabiashara wakubwa, tunapoteza wasanii mahiri kabisa, tunapoteza wasomi wabobevu kisa tu wamezaliwa na ulemavu au kupata ulemavu katika hatua za ukuaji. Sio fair kabisa

Kwahiyo katika maana hiyo nikaachana kabisa na tabia ya kuwaonea huruma watu wenye ulemavu na badala nikajikita kushiriki kikamilifu kutengeneza mazingira ili kuwawezesha kwa nafasi nilizokuwa nazo. Mfano sasa hivi kuna wale watu wanaowatumia watoto wenye ulemavu kuomba omba mitaani. Asee siku hizi nakuwa mkali sana kwanini yule mtoto asikazaniwe kupelekwa shule instead ya kuzungushwa kwenye jua muda wa kusoma. Nimekuwa nikiwakkaripia wengi sana kuachana na tabia hizo na mara nyingi sitoi pesa ila naweza nikamnunulia chakula.

Nakumbuka hata yule mlemavu aliyekuwa anaomba omba pale kituo cha daladala mtaani kwangu kuna siku moja nikaongea nae na kumshauri kwavile lile eneo analokaa pale kituoni kumechangamka sana nikamwambia aanzish biashara yoyote. Akadai nimpe mtaji, nikamchana live kwamba nikimpa mtaji mimi au mtu mwingine hawezi kuwa na uchungu na biashar. Nikamwambia wewe anzisha biashara yoyote hata kuuza pipi mimi nitakuwa mmoja wa wateja wako na nitakuletea wateja. Ikawa kila nikipita namkomalia ishu ya biashara. Kuna kipindi nikawa nimesfairi kama wiki hivi. Nilivyorudi nikakuta ameanzisha biashara ya kuuza maji ya kandoro anauzia kwenye ndoo. Huwezi amini alipata wateja wengi sana hususani madereva na makonda wa daladala. Hapo usiniulize kama nilikuwa nanunua ama sinunui ila nakumbuka nilimfanyia mpango nikamuunganisha na jamaa yangu mmoja alikuwa anafanya kazi tigo wakampa mwamvuli na benchi. Nilihama ile mitaa lakini naamini aliiendeleza na kukuza biashara yake.

Kabla sijamaliza hii episode ngoja niwapeni shule ndogo. Tunatakiwa sana kuheshimu utu wa mtu mwenye ulemavu. Watu wengi sana wanawadhalilisha watu wenye ulemavu bila kujua kupitia au kutokana na majina tunayowaita mitaani kila siku. Ni kawaida sana kusikia mtu akimwita mtu mwenye ulemavu kipofu, kiwete, kilema, asiyesikia, zeruzeru nk. Ndugu zangu haya ni baadhi tuu ya majina yanayotweza utu wa mtu mwenye ulemavu.​
  • Usahihi upo hivi, kwanza unapotaka kutaja majina ya walemavu anzia na neno “mtu” au “watu”.​
  • Mfano,​
  • Mtu asiyeona badala ya kipofu. Ukiita kipofu wenyewe hawataki watakupiga na zile fimbo zao.​
  • Mtu mwenye ulemavu wa viungo/miguu badala ya kiwete. Ukiita kiwete wenyewe wanakuwa wakali kweli kweli.​
  • Mtu kiziwi badala ya asiyesikia. Ukiita asiyesikia wanasema wao sio watukutu maana mitoto mitukutu ndio huwa haisikii.​
  • Mtu mwenye ualbino badala ya zeruzeru.​
  • Mtu mwenye ulemavu badala ya kilema/vilema.​
Nadhani nimetoa shule kidogo hapo. See you next episode hakutakuwa na arosto jamani.​
[emoji91][emoji91]
 
EPISODE 12: Wacha kudharau watu kwa muonekano wao, heshimu kila mtu maana huwezi jua

Hapa naomba nitilie mkazo kwamba kama ulikuwa na hiyo tabia please stop despising people based on their appearance at once and for all. Respect everyone because you never know. I emphasize the importance of treating everyone with respect and avoiding judgment based solely on outward appearances.

Point ya msingi hapa ni kwamba, one should not underestimate or look down upon others based on how they look, as appearances can be deceiving, and you may not fully understand someone's worth or capabilities without getting to know them. The call for respect underscores the idea that showing kindness and consideration to everyone, regardless of their appearance, is a more just and equitable approach. Unaweza kutumia google translator kupata maana kwa kugha ya kwenu hata Kingoni.

Iko hivi, maisha ya hapo ofsini kwa walemavu yaliendelea kama kawaida as time ilivosonga na mimi nikaendelea kupata uzoefu. Aisee nilikuwa deep sana kwenye issues za disability pamoja na mikakati mbali mbali ambayo ipo kisheria, kisera na kiprogramu ambayo ipo katika utekekelezwaji ili kutetea haki za watu wenye ulemavu. Niliongeza uzoefu mkubwa sana kwenye CV hususani mwasala ya disability inclusion into developmental programs. Nimeenda sana bungeni kufanya lobbying and advocacy sessions na kamati mbalimbali za kudumu za bunge na kuwapa madini wabunge mambo gani ya kwenda kuongea bungeni yakuwezesha watu wenye ulemavu. Hapa niwamegee siri moja, michango mingi ya wabunge wakati wa vikao vya bunge mara nyingi inakuwa ni madini wanayopewa na wadau mbali mbali husussani hizi NGOs kwenye sekta husika. Kama wiki hiyo yatajadiliwa matahalani maswala ya ukatili wa kijinsia basi NGOs zinazodili na maswala ya kijinsia wataandaa vikao na wabunge na kuwapa madini ya nini sheria, sera na mikakati ya kimataifa inataka ili kumlinda mtoto au mwanamke dhidi ya ukatili wa kijinsia. Hivyo hivyo kwenye mijadala ya maswala ya uchumi, usafirishaji, nishati nk. So hata sisi tulitumia fursa hiyo vizuri fursa, na waheshimiwa wabunge hawana baya mkikaa nao na kuwaelimisha vizuri basi wanaibeba ajenda yenu vizuri tuu, ila angalizo isiwe tuu hoja ambazo zinamwelekeo wa kukiaibisha chama watakukataeni mcha kweupe, hahahaa.

Kwakweli namshukuru Mungu niliiva sana kwenye maswala ya disability inclusion na mpaka leo nina uzoefu mkubwa sana whent it comes to disability inclusion and empowerment. Nimesema hapo juu kwamba tuwache kudharau watu kisa nafasi zetu au mwonekano wa mtu maana huwezi kujua huyo mtu au watu tunaowadharau watatufaa vipi. Najua hii sio hoja ngeni kwenu na mmeshaisikia mara nyingi sana. Hapa nitakupeni uzoefu wangu kwa mfano hai kabisa.

Pale kwa walemavu nilimkuta sisat duu mmoja hivi ameajiriwa kwenye nafasi ya maswala ya M&E. Alikuwa ni professional kweli kweli kwenye M&E. Sasa kwenye kuhangaika hangaika na ajira akajikuta ameajiriwa pale. Kiukweli yule dada sijui niseme alikuwa na nyodo au ni dharau au ni kujiskia sana, maana sijui hata mimuweke kundi gani. Ni dizaini ya vile visista duu vya kuvaaga mawani za macho si mnajuaga vijitabia vyao (sio wote jamani ila ni most of them). Any way tumuite tu sista duu.

Basi bhana, sista duu wetu yule kiukweli hakuwa mtu wa kuchangamana sana na watu alikuwa very selective, na mara kwa mara alikuwa anasema pale ofisini yeye hapakuwa sehemu yake target zake ni kufanya kazi na internationa NGOs yaani yeye alijiona ni wakimataifa zaidi. Haikuwa kitu kibaya kutamanai kufanya kazi na international organizations lakini alikuwa anabeza sana ile ofisi as if yeye hakuwa anafanya kazi. Kiukweli yule dada alikuwa mzuri sana kwenye maswala ya M&E nampa respect kwa hilo hata mimi alibrash vitu sana ambavyo niliviapply katika kazi zangu. Sista duu I still salute you kwa hilo, ulinifaa sanaaa.

Basi sista duu ilikuwa asione kazi kwenye international NGO anaomba na alikuwa ananyenyekea sana wageni kutoka kwenye international NGOs wanaokuja pale ofisini. Kule hakukuwa kujichanganya bali ilikuwa ni kujishobosha, any way kila mtu ana mbinu zake hata mimi nilishawahi kulamba viatu vya Dr KJ kama mnakumbuka ili mradi tuu kupata ninachotaka. Na hata hapa still bado nawalamba watu miguu wakivutiwa na CV yangu wanipe connection ahahahaa. Unashangaa nini unaambiwa hata viongozi wengi wa Kiafrika wanalamba viatu vya wakubwa wa magharibi ili waendelee kupata misaada na wengine kusalia madarakani – sembuse mimi na sista duu? Habari ndio hiyo.

Kama nilivosema pale ofsini kulikuwa na wageni wa aina tofauti tofauti sana wanaokuja. Kwa kuwa tunadili na watu wenye ulemavu basi ilikuwa ni kawaida watu wenye ulemavu kuja pale wengine kuomba misaada, wengine kutafuta kazi lakini pia wafadhili wengi sana au mashirika ya kimataifa walikuwa wanakija pale kuangalia namna ya kufanya kazi na sisi. Na hao wafadhili na mashirika ya kimataifa ndio ilikuwa target ya sista duu. Na vile alikuwa na kingereza kilichonyooka basi aliwaentertain vizuri sana ilia pate connection.

Sasa nakumbuka wakati Fulani wakati nina miaka kama mitatu pale ofsini ilikuwa ni kipindi cha mvua. Siku hiyo ofsini tulikuwa mimi na sista du utu ofsini kwa sababu kuna safari tulkikuwa tunaandaa ili tusafiri. Gafla akaingia ofsini jamaa mmoja kwa mwonekano tuu alikuwa yupo kama rafu rafu kimtindo, alikuwa amevaa pensi yake halafu amelowana chepechepe. Sasa ile anaingia pale reception hakuna mtu akaanza kuita sista duu akatoka. Sijui kaongea naye nini mara karudi akaniambia nitoke nikamsaidie kuna mtu anamletea ubishi hataki kuondoka.

Mimi nikatoka nikiwa na tahadhari zote nikijua labda ni kibaka na kweli kwa muonekano tuu yule jamaa uanaweza ukamuitia ukibaka kwanza alikuwa na dreads hizi fupi ila nilipozichunguza nikagundua zina matunzo hizi ni vile tuu zimelowa na mvua. Basi nikamsalimia pale jamaa akasema anataka kuongea na uongozi ila yule sista duu hampi ushirikiano wa kutosha. Nikamsikiliza pale jamaa akasema hana muda sana ni muhimu aongee na uongozi kama vipi tumpe namba za simu ya mkuu wetu pale.

Kiukweli jamaa ilikuwa ngumu sana kumwelewa, sista duu akawa analazimisha jamaa aondoke. Ila mimi kiubinadamu tuu nikamwambia sistaduu hebu mwache jamaa asubiri basi hata mvua ikate maana ilikuwa inanyesha balaa. Sista duu akasema kama utakaa naye hapo reception sawa maana hamwamini mwani kumuacha mwenyewe. Anaenda kuendelea na kazi zake ofsini kwake. Basi mimi nikaenda kuchukua laptop yangu nikawa nimekaa na yule jamaa pale reception huku na endelea na shughuli zangu na huku numdodosa mdogo mdogo. Nikampa na kikombe cha gahawa pale ili walau mwili upate joto.

Sasa yule jamaa alikuja na dereva wake ila alikuwa amemwacha mbali kidogo maana walipotea potea sana kwenye kuitafuta ile ofisi ilipo. Yule jamaa alivokuja pale simu na kila kitu chake alikuwa ameacha kwenye gari hivyo akaniomba amfate dereva wake ili kama anishirikishe kilichomleta pale. Basi akaenda baada ya muda mfupi nikaona m-prado unapaki pale nje jamaa akashuka na begi lake la laptop. Then akanaimbia kama mimi mwenyeji pale na nipo kitengo gani. Nikamwambia, basi akaniambia kwakuwa menejiment haipo basi atanishirikisha mimi kilichomleta na majibu yanatakiwa ndani ya wiki moja so mimi nilitakiwa niijulishe menejiment proposal yake. Nikamwambia basi ngoja nimuite na yule sista duu jamaa akagoma kabisa akasema kama siwezi kufanya naye mimi kikao basi wacha aende.

Nikamwambia basi tuendelee. Jamaa akawasha kompyuta yake na akaanza kunipitisha kwenye program ambayo wanataka kufanya na sisi pale ofisini ambayo itawanufaisha watu wenye ulemavu. Asee yule jamaa alikuwa na anawakilisha shirika moja la ulaya ambao walikuwa wanajishughulisha na maswala ya afya sasa yeye alikuwa amehamishiwa Kenya ambako ndio makao makuu ya East Africa ya hilo shirika. Na ni yeye ndio alieandika hiyo proposal ya kufanya kazi na watu wenye ulemavu Tz na ilikuwa ni proposal kubwa tuu yenye pesa mingi. Kwa kweli nivutiwa na ile proposal sasa pale ikawa ishu ni menejiment ya ofisi yetu wakiiridhia tupige kazi. Ndio mana alikuwa anafosi sana kuonana na menejiment.

Nikamwambia mimi na yule sistaduu ni sehemu pia ya menejiment ila hilo swala ni bodi ya wakurugenzi sio CEO peke yake. Ila nikamhahakikishia atapewa jibu ndani ya hiyo wiki moja. Basi akanishukuru pale tukabadilishana biz cards. Pia akaniachia na ile proposal ili niipitie vizuri ili nitakapoiwasilisha kwa wakubwa iwe rahisi. Aliniachia full proposal yenye mpaka bajeti, ilikuwa ni kubwa mno. Ile project ilikuwa ina nafasi nyingi tuu za kazi kwa wale watakaobase pale ofsini na watakaohitajika kule kwenye shirika lao. Nikaisoma pale then nikamshirikisha sista duu. Unaambiwa alipagawa sana baada ya kuiona ile proposal. Nikamuonyesha na biz card ya yule rasta alipagawa zaidi mana jamaa alikuwa ni partnership advisor wa hilo shirika so ni cheo kikubwa sana. Basi kwenye kuzicheki zile positions mimi nikaona moja ambayo inafaa kubase kule kwenye shirika nikasema hapa lazima nifanye jambo. Na sista duu nay eye aliiona ya mkuu wa kitengo cha M&E ipo akasema nay eye lazima afanye jambo. Sikutaka kumakatisha tama pale na pia sikutaka kumwambia jinsi yule rasta alivomkataa wakati tunafanya nae kikao kile.

Basi mimi nikampigia simu CEO na kumpatia ile taarifa akasema ataitisha kikao cha menejiment na bodi kesho yake. Kweli siku ya pili mimi nikapresent ile proposal utafikiri mimi ndio niliyeiandaa. Basi huku na huku nikapewa jukumu la kumjibu yule jamaa kwamba menejiment na bodi ya wakurugenzi imeridhia kufanya ule mradi in partnership na shirika lao. Basi siku hiyo hiyo nikamu-email rasta na akarespond promptly kwamba wataorganize a skype meeting baina yao na sisi. Baada ya kama siku tatu tukafanya skype meeting pale na deal was closed kwamba tuanze maandalizi ikiwemo kutafuta wafanyakazi.

Basi tukatoa matangazo pale. Binafsi nikamcheki rasta kwa wasapu kumwambia kuwa nina interest na ile position niliyoiona kwenye proposal ambayo ipo kule upande wao. Pale pale akanicall na akanifanyia interview kwa njia ya simu ambayo sikujiandaa kabisa. Akaniambia japo sijaona CV yako lakini nitakuinterview technical questions basi tukafanya interview tukamaliza. Ila akaniambia atanitumia email ya mwajiri wa ofisi yao wa Nairobi ili nitume CV na cover letter. Alivonitumia email address na mimi nikaandaa CV yangu na cover letter faster nikamtumia yule mwajiri. Akanijibu nijianda kesho nitafanyiwa interview kwa video call. Kweli kesho yake tukanya interview, walikuwa panelist wawili nakumbuka rasta hakushiriki. Pale pale wakaniambia nimepata Kazi so nisubiri offer letter. It was simple like that.

Basi wiki iliyofata kweli nikapokea offer letter na contact ambao nilitakiwa nisign na kuwarudishia immediately. Siku ya pili nikapokea simu kutoka kwenye ofisi yao ya hapa Dar ambapo ndio ingekuwa ofisi yangu mpya ya kufanyia kazi. Nikatakiwa nipeleke testimonials zangu kwa uthibitisho, basi nikafanya hivyo na nikawaomba wanipe mwezi mmoja ili niweze kumalizana na huku kwa walemavu. Ujue sio vizuri kuondoka mahali ukiwa na vimeo vimeo, clear kwanza vimeo vyako ndio uondoke na huo ndio uprefessional.

Baada ya wiki wakati tangazo la kazi limetoka sista duu akaniuliza taidume tunafanyaje sasa maana chansi ndio hii mimi nikamjibu mwenzio hapa nilipo naandika resignation letter naenda kujoin na shirika la rasta. Akashtuka sana akaniuliza mbona muda bado mpa briefing pale akashangaa sana. Akaniambai nayeye atamcheki. Ikabidi nimwambie tuu ukweli pale kwa situation yake itakuwa ngumu maana rasta hataki hata kumuona na hata mpa ushirikiano wa kutosha na anawza akamuharibia kabisa.

Nikamshauri kwa kuwa rasta hamjui kwa jina ni bora tuu akafanya procedures za kawaida anaweza akapata maana una CV nzuri. Akanijubu wewe niconnect basi, msaada wako utakuwa umeishia hapo kuhusu hayo mengine niachie mimi hakuna mkate mkate mgumu mbele ya chai. Nikasema poa. Pale pale nikamcall rasta na kumweleza interest za sista duu. Sasa rasta akataka kujua huyo sista ni nani nikamwambia subiri nampa namba yako atakupigia. Kweli nikampa sista duu akasema atampigia jioni akiwa off.

Basi tukaendelea na majukum na mimi nikasubmitt ile resignation letter kwa mkono kwa CEO. Kiufupi alisikitika sana lakini kwa kuwa alikuwa mwelew akaniruhusu kwa moyo mmoja. Usiku kwenye saa mbili hivi wakati nipo home napiga msosi mara nikaona rasta ananipigia. Nikajiuliza kuna nini tena? Kupokea pale akaniambia tuu kifupi ofisi yao haiwezi kufanya kazi na sista duu. Akaniamba wewe umepata ile kazi sio kwa sababu una vigezo vikubwa kuliko watu wengine bali additional value was the respect you showed when we first met. Basi akaniongea sana pale akasema wao katika ofisi yao wanasisitiza sana kuheshimu na kujitoa kwa ajili ya watu wengi. Akanianbia hata sista duu amemweleza maneno hayohayo na kumwambia wazi kwamba hawawezi kufanya nae kazi. Basi tukagana pale na mimi nikamcall sista duu kumuuliza imekuwaje maana jamaa kanipigia. Alichoniambia tu niachane na mambo hayo ahikuwa rizki yake na rizki anatoa Mungu. Kwa yale majivuno yake sikutaka kumshauri chochote.

Ndio ikawa hivyo hivyo ndugu zanguni. See you next episode.
Madini [emoji91][emoji91]
 
EPISODE 12: Wacha kudharau watu kwa muonekano wao, heshimu kila mtu maana huwezi jua

Hapa naomba nitilie mkazo kwamba kama ulikuwa na hiyo tabia please stop despising people based on their appearance at once and for all. Respect everyone because you never know. I emphasize the importance of treating everyone with respect and avoiding judgment based solely on outward appearances.

Point ya msingi hapa ni kwamba, one should not underestimate or look down upon others based on how they look, as appearances can be deceiving, and you may not fully understand someone's worth or capabilities without getting to know them. The call for respect underscores the idea that showing kindness and consideration to everyone, regardless of their appearance, is a more just and equitable approach. Unaweza kutumia google translator kupata maana kwa kugha ya kwenu hata Kingoni.

Iko hivi, maisha ya hapo ofsini kwa walemavu yaliendelea kama kawaida as time ilivosonga na mimi nikaendelea kupata uzoefu. Aisee nilikuwa deep sana kwenye issues za disability pamoja na mikakati mbali mbali ambayo ipo kisheria, kisera na kiprogramu ambayo ipo katika utekekelezwaji ili kutetea haki za watu wenye ulemavu. Niliongeza uzoefu mkubwa sana kwenye CV hususani mwasala ya disability inclusion into developmental programs. Nimeenda sana bungeni kufanya lobbying and advocacy sessions na kamati mbalimbali za kudumu za bunge na kuwapa madini wabunge mambo gani ya kwenda kuongea bungeni yakuwezesha watu wenye ulemavu. Hapa niwamegee siri moja, michango mingi ya wabunge wakati wa vikao vya bunge mara nyingi inakuwa ni madini wanayopewa na wadau mbali mbali husussani hizi NGOs kwenye sekta husika. Kama wiki hiyo yatajadiliwa matahalani maswala ya ukatili wa kijinsia basi NGOs zinazodili na maswala ya kijinsia wataandaa vikao na wabunge na kuwapa madini ya nini sheria, sera na mikakati ya kimataifa inataka ili kumlinda mtoto au mwanamke dhidi ya ukatili wa kijinsia. Hivyo hivyo kwenye mijadala ya maswala ya uchumi, usafirishaji, nishati nk. So hata sisi tulitumia fursa hiyo vizuri fursa, na waheshimiwa wabunge hawana baya mkikaa nao na kuwaelimisha vizuri basi wanaibeba ajenda yenu vizuri tuu, ila angalizo isiwe tuu hoja ambazo zinamwelekeo wa kukiaibisha chama watakukataeni mcha kweupe, hahahaa.

Kwakweli namshukuru Mungu niliiva sana kwenye maswala ya disability inclusion na mpaka leo nina uzoefu mkubwa sana whent it comes to disability inclusion and empowerment. Nimesema hapo juu kwamba tuwache kudharau watu kisa nafasi zetu au mwonekano wa mtu maana huwezi kujua huyo mtu au watu tunaowadharau watatufaa vipi. Najua hii sio hoja ngeni kwenu na mmeshaisikia mara nyingi sana. Hapa nitakupeni uzoefu wangu kwa mfano hai kabisa.

Pale kwa walemavu nilimkuta sisat duu mmoja hivi ameajiriwa kwenye nafasi ya maswala ya M&E. Alikuwa ni professional kweli kweli kwenye M&E. Sasa kwenye kuhangaika hangaika na ajira akajikuta ameajiriwa pale. Kiukweli yule dada sijui niseme alikuwa na nyodo au ni dharau au ni kujiskia sana, maana sijui hata mimuweke kundi gani. Ni dizaini ya vile visista duu vya kuvaaga mawani za macho si mnajuaga vijitabia vyao (sio wote jamani ila ni most of them). Any way tumuite tu sista duu.

Basi bhana, sista duu wetu yule kiukweli hakuwa mtu wa kuchangamana sana na watu alikuwa very selective, na mara kwa mara alikuwa anasema pale ofisini yeye hapakuwa sehemu yake target zake ni kufanya kazi na internationa NGOs yaani yeye alijiona ni wakimataifa zaidi. Haikuwa kitu kibaya kutamanai kufanya kazi na international organizations lakini alikuwa anabeza sana ile ofisi as if yeye hakuwa anafanya kazi. Kiukweli yule dada alikuwa mzuri sana kwenye maswala ya M&E nampa respect kwa hilo hata mimi alibrash vitu sana ambavyo niliviapply katika kazi zangu. Sista duu I still salute you kwa hilo, ulinifaa sanaaa.

Basi sista duu ilikuwa asione kazi kwenye international NGO anaomba na alikuwa ananyenyekea sana wageni kutoka kwenye international NGOs wanaokuja pale ofisini. Kule hakukuwa kujichanganya bali ilikuwa ni kujishobosha, any way kila mtu ana mbinu zake hata mimi nilishawahi kulamba viatu vya Dr KJ kama mnakumbuka ili mradi tuu kupata ninachotaka. Na hata hapa still bado nawalamba watu miguu wakivutiwa na CV yangu wanipe connection ahahahaa. Unashangaa nini unaambiwa hata viongozi wengi wa Kiafrika wanalamba viatu vya wakubwa wa magharibi ili waendelee kupata misaada na wengine kusalia madarakani – sembuse mimi na sista duu? Habari ndio hiyo.

Kama nilivosema pale ofsini kulikuwa na wageni wa aina tofauti tofauti sana wanaokuja. Kwa kuwa tunadili na watu wenye ulemavu basi ilikuwa ni kawaida watu wenye ulemavu kuja pale wengine kuomba misaada, wengine kutafuta kazi lakini pia wafadhili wengi sana au mashirika ya kimataifa walikuwa wanakija pale kuangalia namna ya kufanya kazi na sisi. Na hao wafadhili na mashirika ya kimataifa ndio ilikuwa target ya sista duu. Na vile alikuwa na kingereza kilichonyooka basi aliwaentertain vizuri sana ilia pate connection.

Sasa nakumbuka wakati Fulani wakati nina miaka kama mitatu pale ofsini ilikuwa ni kipindi cha mvua. Siku hiyo ofsini tulikuwa mimi na sista du utu ofsini kwa sababu kuna safari tulkikuwa tunaandaa ili tusafiri. Gafla akaingia ofsini jamaa mmoja kwa mwonekano tuu alikuwa yupo kama rafu rafu kimtindo, alikuwa amevaa pensi yake halafu amelowana chepechepe. Sasa ile anaingia pale reception hakuna mtu akaanza kuita sista duu akatoka. Sijui kaongea naye nini mara karudi akaniambia nitoke nikamsaidie kuna mtu anamletea ubishi hataki kuondoka.

Mimi nikatoka nikiwa na tahadhari zote nikijua labda ni kibaka na kweli kwa muonekano tuu yule jamaa uanaweza ukamuitia ukibaka kwanza alikuwa na dreads hizi fupi ila nilipozichunguza nikagundua zina matunzo hizi ni vile tuu zimelowa na mvua. Basi nikamsalimia pale jamaa akasema anataka kuongea na uongozi ila yule sista duu hampi ushirikiano wa kutosha. Nikamsikiliza pale jamaa akasema hana muda sana ni muhimu aongee na uongozi kama vipi tumpe namba za simu ya mkuu wetu pale.

Kiukweli jamaa ilikuwa ngumu sana kumwelewa, sista duu akawa analazimisha jamaa aondoke. Ila mimi kiubinadamu tuu nikamwambia sistaduu hebu mwache jamaa asubiri basi hata mvua ikate maana ilikuwa inanyesha balaa. Sista duu akasema kama utakaa naye hapo reception sawa maana hamwamini mwani kumuacha mwenyewe. Anaenda kuendelea na kazi zake ofsini kwake. Basi mimi nikaenda kuchukua laptop yangu nikawa nimekaa na yule jamaa pale reception huku na endelea na shughuli zangu na huku numdodosa mdogo mdogo. Nikampa na kikombe cha gahawa pale ili walau mwili upate joto.

Sasa yule jamaa alikuja na dereva wake ila alikuwa amemwacha mbali kidogo maana walipotea potea sana kwenye kuitafuta ile ofisi ilipo. Yule jamaa alivokuja pale simu na kila kitu chake alikuwa ameacha kwenye gari hivyo akaniomba amfate dereva wake ili kama anishirikishe kilichomleta pale. Basi akaenda baada ya muda mfupi nikaona m-prado unapaki pale nje jamaa akashuka na begi lake la laptop. Then akanaimbia kama mimi mwenyeji pale na nipo kitengo gani. Nikamwambia, basi akaniambia kwakuwa menejiment haipo basi atanishirikisha mimi kilichomleta na majibu yanatakiwa ndani ya wiki moja so mimi nilitakiwa niijulishe menejiment proposal yake. Nikamwambia basi ngoja nimuite na yule sista duu jamaa akagoma kabisa akasema kama siwezi kufanya naye mimi kikao basi wacha aende.

Nikamwambia basi tuendelee. Jamaa akawasha kompyuta yake na akaanza kunipitisha kwenye program ambayo wanataka kufanya na sisi pale ofisini ambayo itawanufaisha watu wenye ulemavu. Asee yule jamaa alikuwa na anawakilisha shirika moja la ulaya ambao walikuwa wanajishughulisha na maswala ya afya sasa yeye alikuwa amehamishiwa Kenya ambako ndio makao makuu ya East Africa ya hilo shirika. Na ni yeye ndio alieandika hiyo proposal ya kufanya kazi na watu wenye ulemavu Tz na ilikuwa ni proposal kubwa tuu yenye pesa mingi. Kwa kweli nivutiwa na ile proposal sasa pale ikawa ishu ni menejiment ya ofisi yetu wakiiridhia tupige kazi. Ndio mana alikuwa anafosi sana kuonana na menejiment.

Nikamwambia mimi na yule sistaduu ni sehemu pia ya menejiment ila hilo swala ni bodi ya wakurugenzi sio CEO peke yake. Ila nikamhahakikishia atapewa jibu ndani ya hiyo wiki moja. Basi akanishukuru pale tukabadilishana biz cards. Pia akaniachia na ile proposal ili niipitie vizuri ili nitakapoiwasilisha kwa wakubwa iwe rahisi. Aliniachia full proposal yenye mpaka bajeti, ilikuwa ni kubwa mno. Ile project ilikuwa ina nafasi nyingi tuu za kazi kwa wale watakaobase pale ofsini na watakaohitajika kule kwenye shirika lao. Nikaisoma pale then nikamshirikisha sista duu. Unaambiwa alipagawa sana baada ya kuiona ile proposal. Nikamuonyesha na biz card ya yule rasta alipagawa zaidi mana jamaa alikuwa ni partnership advisor wa hilo shirika so ni cheo kikubwa sana. Basi kwenye kuzicheki zile positions mimi nikaona moja ambayo inafaa kubase kule kwenye shirika nikasema hapa lazima nifanye jambo. Na sista duu nay eye aliiona ya mkuu wa kitengo cha M&E ipo akasema nay eye lazima afanye jambo. Sikutaka kumakatisha tama pale na pia sikutaka kumwambia jinsi yule rasta alivomkataa wakati tunafanya nae kikao kile.

Basi mimi nikampigia simu CEO na kumpatia ile taarifa akasema ataitisha kikao cha menejiment na bodi kesho yake. Kweli siku ya pili mimi nikapresent ile proposal utafikiri mimi ndio niliyeiandaa. Basi huku na huku nikapewa jukumu la kumjibu yule jamaa kwamba menejiment na bodi ya wakurugenzi imeridhia kufanya ule mradi in partnership na shirika lao. Basi siku hiyo hiyo nikamu-email rasta na akarespond promptly kwamba wataorganize a skype meeting baina yao na sisi. Baada ya kama siku tatu tukafanya skype meeting pale na deal was closed kwamba tuanze maandalizi ikiwemo kutafuta wafanyakazi.

Basi tukatoa matangazo pale. Binafsi nikamcheki rasta kwa wasapu kumwambia kuwa nina interest na ile position niliyoiona kwenye proposal ambayo ipo kule upande wao. Pale pale akanicall na akanifanyia interview kwa njia ya simu ambayo sikujiandaa kabisa. Akaniambia japo sijaona CV yako lakini nitakuinterview technical questions basi tukafanya interview tukamaliza. Ila akaniambia atanitumia email ya mwajiri wa ofisi yao wa Nairobi ili nitume CV na cover letter. Alivonitumia email address na mimi nikaandaa CV yangu na cover letter faster nikamtumia yule mwajiri. Akanijibu nijianda kesho nitafanyiwa interview kwa video call. Kweli kesho yake tukanya interview, walikuwa panelist wawili nakumbuka rasta hakushiriki. Pale pale wakaniambia nimepata Kazi so nisubiri offer letter. It was simple like that.

Basi wiki iliyofata kweli nikapokea offer letter na contact ambao nilitakiwa nisign na kuwarudishia immediately. Siku ya pili nikapokea simu kutoka kwenye ofisi yao ya hapa Dar ambapo ndio ingekuwa ofisi yangu mpya ya kufanyia kazi. Nikatakiwa nipeleke testimonials zangu kwa uthibitisho, basi nikafanya hivyo na nikawaomba wanipe mwezi mmoja ili niweze kumalizana na huku kwa walemavu. Ujue sio vizuri kuondoka mahali ukiwa na vimeo vimeo, clear kwanza vimeo vyako ndio uondoke na huo ndio uprefessional.

Baada ya wiki wakati tangazo la kazi limetoka sista duu akaniuliza taidume tunafanyaje sasa maana chansi ndio hii mimi nikamjibu mwenzio hapa nilipo naandika resignation letter naenda kujoin na shirika la rasta. Akashtuka sana akaniuliza mbona muda bado mpa briefing pale akashangaa sana. Akaniambai nayeye atamcheki. Ikabidi nimwambie tuu ukweli pale kwa situation yake itakuwa ngumu maana rasta hataki hata kumuona na hata mpa ushirikiano wa kutosha na anawza akamuharibia kabisa.

Nikamshauri kwa kuwa rasta hamjui kwa jina ni bora tuu akafanya procedures za kawaida anaweza akapata maana una CV nzuri. Akanijubu wewe niconnect basi, msaada wako utakuwa umeishia hapo kuhusu hayo mengine niachie mimi hakuna mkate mkate mgumu mbele ya chai. Nikasema poa. Pale pale nikamcall rasta na kumweleza interest za sista duu. Sasa rasta akataka kujua huyo sista ni nani nikamwambia subiri nampa namba yako atakupigia. Kweli nikampa sista duu akasema atampigia jioni akiwa off.

Basi tukaendelea na majukum na mimi nikasubmitt ile resignation letter kwa mkono kwa CEO. Kiufupi alisikitika sana lakini kwa kuwa alikuwa mwelew akaniruhusu kwa moyo mmoja. Usiku kwenye saa mbili hivi wakati nipo home napiga msosi mara nikaona rasta ananipigia. Nikajiuliza kuna nini tena? Kupokea pale akaniambia tuu kifupi ofisi yao haiwezi kufanya kazi na sista duu. Akaniamba wewe umepata ile kazi sio kwa sababu una vigezo vikubwa kuliko watu wengine bali additional value was the respect you showed when we first met. Basi akaniongea sana pale akasema wao katika ofisi yao wanasisitiza sana kuheshimu na kujitoa kwa ajili ya watu wengi. Akanianbia hata sista duu amemweleza maneno hayohayo na kumwambia wazi kwamba hawawezi kufanya nae kazi. Basi tukagana pale na mimi nikamcall sista duu kumuuliza imekuwaje maana jamaa kanipigia. Alichoniambia tu niachane na mambo hayo ahikuwa rizki yake na rizki anatoa Mungu. Kwa yale majivuno yake sikutaka kumshauri chochote.

Ndio ikawa hivyo hivyo ndugu zanguni. See you next episode.
Hongera sana Mkuu kwa uhandishi mzuri na usimuliaji wenye mafunzo yakutosha
 
Hii get ready for unexpected kwa mtu ambae bado hayajamkuta mambo anaweza asikuelewe.

Baada ya kusema hayo, sasa nitamke rasmi kuwa niko Tayari kwa episode ya 11.
Mimi hii ilinikuta tena kama njia hii ya TAIDUME ilifikia natembea naongea mwenyewe hadi watu wananistukia..hiyo taasisi niliichukia sana lakini kuna mtu akaniambia njia pekee ni kukubali na kuamua kuachia kutochukia..kusema kweli nilijua ndio mwisho wa dunia kwa yale maumivu….maana sikutegemea!
Hii hakika asikie kwa mtu tuu huwa sitaki kabisa imkute mtu…..

Bahati mbaya tena kwangu ikaja kumkuta mdogo wangu tena yeye alishariport kituo cha kazi kwaajili ya kusaini mkataba …jumatatu inayofata anaambiwa kuwa wameshitisha mkataba watamjuza yani akarudi na mizigo yake toka mkoani ….hakika ule mwaka sitousahau …. Nilikuwa nashinda geto nalia tuu asikwambie mtu kama si Mungu sujui kwakweli…

Namshukuru sana Mama yangu kwakweli ndio wakati yeye alilia na mimi wakati wote na tukawa tunaongozana kwenye maombi na alikuwa na imani ambayo nisingekuwa kuwa nayo…alikuwa ananiambia kwa sababu kazuia hii ataleta nyingine…Mama alikuwa analia lakini nilikuwa sijawai kumuona..lakini siku moja nakwenda kumtembelea ndio namkuta anasali uku anaongea analia na Mungu wake ,wakati huo hajajua kama mimi nimefika nasikiliza ..hakika tuwaheshimu wazazi na tuwatunze jamani…. Mimi ilinibidi kutoka nje kwa uchungu nilijikuta natoka machozi kuona na mliza kiasi kile Mama yangu..
Lakini hakika Mungu ni mwema sana yalipita na tukasahau na kila mtu akapata kwingine!

Mungu ni mwema sana sana….hii situations kusema kweli ndio ilinifunza kusali, kutenga muda wa kanisani….yaani wee acha..Jamani tujifunze kuwa karibu na Mungu kila wakati tusijidanganye mambo hubadilika wakati wowote….hata serikalini kufukuzwa kupo pia….
 
Mimi hii ilinikuta tena kama njia hii ya TAIDUME ilifikia natembea naongea mwenyewe hadi watu wananistukia..hiyo taasisi niliichukia sana lakini kuna mtu akaniambia njia pekee ni kukubali na kuamua kuachia kutochukia..kusema kweli nilijua ndio mwisho wa dunia kwa yale maumivu….maana sikutegemea!
Hii hakika asikie kwa mtu tuu huwa sitaki kabisa imkute mtu…..

Bahati mbaya tena kwangu ikaja kumkuta mdogo wangu tena yeye alishariport kituo cha kazi kwaajili ya kusaini mkataba …jumatatu inayofata anaambiwa kuwa wameshitisha mkataba watamjuza yani akarudi na mizigo yake toka mkoani ….hakika ule mwaka sitousahau …. Nilikuwa nashinda geto nalia tuu asikwambie mtu kama si Mungu sujui kwakweli…

Namshukuru sana Mama yangu kwakweli ndio wakati yeye alilia na mimi wakati wote na tukawa tunaongozana kwenye maombi na alikuwa na imani ambayo nisingekuwa kuwa nayo…alikuwa ananiambia kwa sababu kazuia hii ataleta nyingine…Mama alikuwa analia lakini nilikuwa sijawai kumuona..lakini siku moja nakwenda kumtembelea ndio namkuta anasali uku anaongea analia na Mungu wake ,wakati huo hajajua kama mimi nimefika nasikiliza ..hakika tuwaheshimu wazazi na tuwatunze jamani…. Mimi ilinibidi kutoka nje kwa uchungu nilijikuta natoka machozi kuona na mliza kiasi kile Mama yangu..
Lakini hakika Mungu ni mwema sana yalipita na tukasahau na kila mtu akapata kwingine!

Mungu ni mwema sana sana….hii situations kusema kweli ndio ilinifunza kusali, kutenga muda wa kanisani….yaani wee acha..Jamani tujifunze kuwa karibu na Mungu kila wakati tusijidanganye mambo hubadilika wakati wowote….hata serikalini kufukuzwa kupo pia….
Huyo dada alitakiwa ajifunze kuna PhD holder Mkenya yuko Berlin hapo Ujerumani ana rasta .

Ni researcher na lecturer wa muda mrefu anaitwa Dr John Njenga Karugia.

Yeye akaishia kuona rasta ni uhuni.



images (2).jpeg
images (1).jpeg
images.jpeg
 
Mimi hii ilinikuta tena kama njia hii ya TAIDUME ilifikia natembea naongea mwenyewe hadi watu wananistukia..hiyo taasisi niliichukia sana lakini kuna mtu akaniambia njia pekee ni kukubali na kuamua kuachia kutochukia..kusema kweli nilijua ndio mwisho wa dunia kwa yale maumivu….maana sikutegemea!
Hii hakika asikie kwa mtu tuu huwa sitaki kabisa imkute mtu…..

Bahati mbaya tena kwangu ikaja kumkuta mdogo wangu tena yeye alishariport kituo cha kazi kwaajili ya kusaini mkataba …jumatatu inayofata anaambiwa kuwa wameshitisha mkataba watamjuza yani akarudi na mizigo yake toka mkoani ….hakika ule mwaka sitousahau …. Nilikuwa nashinda geto nalia tuu asikwambie mtu kama si Mungu sujui kwakweli…

Namshukuru sana Mama yangu kwakweli ndio wakati yeye alilia na mimi wakati wote na tukawa tunaongozana kwenye maombi na alikuwa na imani ambayo nisingekuwa kuwa nayo…alikuwa ananiambia kwa sababu kazuia hii ataleta nyingine…Mama alikuwa analia lakini nilikuwa sijawai kumuona..lakini siku moja nakwenda kumtembelea ndio namkuta anasali uku anaongea analia na Mungu wake ,wakati huo hajajua kama mimi nimefika nasikiliza ..hakika tuwaheshimu wazazi na tuwatunze jamani…. Mimi ilinibidi kutoka nje kwa uchungu nilijikuta natoka machozi kuona na mliza kiasi kile Mama yangu..
Lakini hakika Mungu ni mwema sana yalipita na tukasahau na kila mtu akapata kwingine!

Mungu ni mwema sana sana….hii situations kusema kweli ndio ilinifunza kusali, kutenga muda wa kanisani….yaani wee acha..Jamani tujifunze kuwa karibu na Mungu kila wakati tusijidanganye mambo hubadilika wakati wowote….hata serikalini kufukuzwa kupo pia….
Natumaini baadae ulifanikiwa kupata kazi sehemu nyingine nzuri zaidi licha ya kupitia hali hiyo.
 
EPISODE 12: Wacha kudharau watu kwa muonekano wao, heshimu kila mtu maana huwezi jua

Hapa naomba nitilie mkazo kwamba kama ulikuwa na hiyo tabia please stop despising people based on their appearance at once and for all. Respect everyone because you never know. I emphasize the importance of treating everyone with respect and avoiding judgment based solely on outward appearances.

Point ya msingi hapa ni kwamba, one should not underestimate or look down upon others based on how they look, as appearances can be deceiving, and you may not fully understand someone's worth or capabilities without getting to know them. The call for respect underscores the idea that showing kindness and consideration to everyone, regardless of their appearance, is a more just and equitable approach. Unaweza kutumia google translator kupata maana kwa kugha ya kwenu hata Kingoni.

Iko hivi, maisha ya hapo ofsini kwa walemavu yaliendelea kama kawaida as time ilivosonga na mimi nikaendelea kupata uzoefu. Aisee nilikuwa deep sana kwenye issues za disability pamoja na mikakati mbali mbali ambayo ipo kisheria, kisera na kiprogramu ambayo ipo katika utekekelezwaji ili kutetea haki za watu wenye ulemavu. Niliongeza uzoefu mkubwa sana kwenye CV hususani mwasala ya disability inclusion into developmental programs. Nimeenda sana bungeni kufanya lobbying and advocacy sessions na kamati mbalimbali za kudumu za bunge na kuwapa madini wabunge mambo gani ya kwenda kuongea bungeni yakuwezesha watu wenye ulemavu. Hapa niwamegee siri moja, michango mingi ya wabunge wakati wa vikao vya bunge mara nyingi inakuwa ni madini wanayopewa na wadau mbali mbali husussani hizi NGOs kwenye sekta husika. Kama wiki hiyo yatajadiliwa matahalani maswala ya ukatili wa kijinsia basi NGOs zinazodili na maswala ya kijinsia wataandaa vikao na wabunge na kuwapa madini ya nini sheria, sera na mikakati ya kimataifa inataka ili kumlinda mtoto au mwanamke dhidi ya ukatili wa kijinsia. Hivyo hivyo kwenye mijadala ya maswala ya uchumi, usafirishaji, nishati nk. So hata sisi tulitumia fursa hiyo vizuri fursa, na waheshimiwa wabunge hawana baya mkikaa nao na kuwaelimisha vizuri basi wanaibeba ajenda yenu vizuri tuu, ila angalizo isiwe tuu hoja ambazo zinamwelekeo wa kukiaibisha chama watakukataeni mcha kweupe, hahahaa.

Kwakweli namshukuru Mungu niliiva sana kwenye maswala ya disability inclusion na mpaka leo nina uzoefu mkubwa sana whent it comes to disability inclusion and empowerment. Nimesema hapo juu kwamba tuwache kudharau watu kisa nafasi zetu au mwonekano wa mtu maana huwezi kujua huyo mtu au watu tunaowadharau watatufaa vipi. Najua hii sio hoja ngeni kwenu na mmeshaisikia mara nyingi sana. Hapa nitakupeni uzoefu wangu kwa mfano hai kabisa.

Pale kwa walemavu nilimkuta sisat duu mmoja hivi ameajiriwa kwenye nafasi ya maswala ya M&E. Alikuwa ni professional kweli kweli kwenye M&E. Sasa kwenye kuhangaika hangaika na ajira akajikuta ameajiriwa pale. Kiukweli yule dada sijui niseme alikuwa na nyodo au ni dharau au ni kujiskia sana, maana sijui hata mimuweke kundi gani. Ni dizaini ya vile visista duu vya kuvaaga mawani za macho si mnajuaga vijitabia vyao (sio wote jamani ila ni most of them). Any way tumuite tu sista duu.

Basi bhana, sista duu wetu yule kiukweli hakuwa mtu wa kuchangamana sana na watu alikuwa very selective, na mara kwa mara alikuwa anasema pale ofisini yeye hapakuwa sehemu yake target zake ni kufanya kazi na internationa NGOs yaani yeye alijiona ni wakimataifa zaidi. Haikuwa kitu kibaya kutamanai kufanya kazi na international organizations lakini alikuwa anabeza sana ile ofisi as if yeye hakuwa anafanya kazi. Kiukweli yule dada alikuwa mzuri sana kwenye maswala ya M&E nampa respect kwa hilo hata mimi alibrash vitu sana ambavyo niliviapply katika kazi zangu. Sista duu I still salute you kwa hilo, ulinifaa sanaaa.

Basi sista duu ilikuwa asione kazi kwenye international NGO anaomba na alikuwa ananyenyekea sana wageni kutoka kwenye international NGOs wanaokuja pale ofisini. Kule hakukuwa kujichanganya bali ilikuwa ni kujishobosha, any way kila mtu ana mbinu zake hata mimi nilishawahi kulamba viatu vya Dr KJ kama mnakumbuka ili mradi tuu kupata ninachotaka. Na hata hapa still bado nawalamba watu miguu wakivutiwa na CV yangu wanipe connection ahahahaa. Unashangaa nini unaambiwa hata viongozi wengi wa Kiafrika wanalamba viatu vya wakubwa wa magharibi ili waendelee kupata misaada na wengine kusalia madarakani – sembuse mimi na sista duu? Habari ndio hiyo.

Kama nilivosema pale ofsini kulikuwa na wageni wa aina tofauti tofauti sana wanaokuja. Kwa kuwa tunadili na watu wenye ulemavu basi ilikuwa ni kawaida watu wenye ulemavu kuja pale wengine kuomba misaada, wengine kutafuta kazi lakini pia wafadhili wengi sana au mashirika ya kimataifa walikuwa wanakija pale kuangalia namna ya kufanya kazi na sisi. Na hao wafadhili na mashirika ya kimataifa ndio ilikuwa target ya sista duu. Na vile alikuwa na kingereza kilichonyooka basi aliwaentertain vizuri sana ilia pate connection.

Sasa nakumbuka wakati Fulani wakati nina miaka kama mitatu pale ofsini ilikuwa ni kipindi cha mvua. Siku hiyo ofsini tulikuwa mimi na sista du utu ofsini kwa sababu kuna safari tulkikuwa tunaandaa ili tusafiri. Gafla akaingia ofsini jamaa mmoja kwa mwonekano tuu alikuwa yupo kama rafu rafu kimtindo, alikuwa amevaa pensi yake halafu amelowana chepechepe. Sasa ile anaingia pale reception hakuna mtu akaanza kuita sista duu akatoka. Sijui kaongea naye nini mara karudi akaniambia nitoke nikamsaidie kuna mtu anamletea ubishi hataki kuondoka.

Mimi nikatoka nikiwa na tahadhari zote nikijua labda ni kibaka na kweli kwa muonekano tuu yule jamaa uanaweza ukamuitia ukibaka kwanza alikuwa na dreads hizi fupi ila nilipozichunguza nikagundua zina matunzo hizi ni vile tuu zimelowa na mvua. Basi nikamsalimia pale jamaa akasema anataka kuongea na uongozi ila yule sista duu hampi ushirikiano wa kutosha. Nikamsikiliza pale jamaa akasema hana muda sana ni muhimu aongee na uongozi kama vipi tumpe namba za simu ya mkuu wetu pale.

Kiukweli jamaa ilikuwa ngumu sana kumwelewa, sista duu akawa analazimisha jamaa aondoke. Ila mimi kiubinadamu tuu nikamwambia sistaduu hebu mwache jamaa asubiri basi hata mvua ikate maana ilikuwa inanyesha balaa. Sista duu akasema kama utakaa naye hapo reception sawa maana hamwamini mwani kumuacha mwenyewe. Anaenda kuendelea na kazi zake ofsini kwake. Basi mimi nikaenda kuchukua laptop yangu nikawa nimekaa na yule jamaa pale reception huku na endelea na shughuli zangu na huku numdodosa mdogo mdogo. Nikampa na kikombe cha gahawa pale ili walau mwili upate joto.

Sasa yule jamaa alikuja na dereva wake ila alikuwa amemwacha mbali kidogo maana walipotea potea sana kwenye kuitafuta ile ofisi ilipo. Yule jamaa alivokuja pale simu na kila kitu chake alikuwa ameacha kwenye gari hivyo akaniomba amfate dereva wake ili kama anishirikishe kilichomleta pale. Basi akaenda baada ya muda mfupi nikaona m-prado unapaki pale nje jamaa akashuka na begi lake la laptop. Then akanaimbia kama mimi mwenyeji pale na nipo kitengo gani. Nikamwambia, basi akaniambia kwakuwa menejiment haipo basi atanishirikisha mimi kilichomleta na majibu yanatakiwa ndani ya wiki moja so mimi nilitakiwa niijulishe menejiment proposal yake. Nikamwambia basi ngoja nimuite na yule sista duu jamaa akagoma kabisa akasema kama siwezi kufanya naye mimi kikao basi wacha aende.

Nikamwambia basi tuendelee. Jamaa akawasha kompyuta yake na akaanza kunipitisha kwenye program ambayo wanataka kufanya na sisi pale ofisini ambayo itawanufaisha watu wenye ulemavu. Asee yule jamaa alikuwa na anawakilisha shirika moja la ulaya ambao walikuwa wanajishughulisha na maswala ya afya sasa yeye alikuwa amehamishiwa Kenya ambako ndio makao makuu ya East Africa ya hilo shirika. Na ni yeye ndio alieandika hiyo proposal ya kufanya kazi na watu wenye ulemavu Tz na ilikuwa ni proposal kubwa tuu yenye pesa mingi. Kwa kweli nivutiwa na ile proposal sasa pale ikawa ishu ni menejiment ya ofisi yetu wakiiridhia tupige kazi. Ndio mana alikuwa anafosi sana kuonana na menejiment.

Nikamwambia mimi na yule sistaduu ni sehemu pia ya menejiment ila hilo swala ni bodi ya wakurugenzi sio CEO peke yake. Ila nikamhahakikishia atapewa jibu ndani ya hiyo wiki moja. Basi akanishukuru pale tukabadilishana biz cards. Pia akaniachia na ile proposal ili niipitie vizuri ili nitakapoiwasilisha kwa wakubwa iwe rahisi. Aliniachia full proposal yenye mpaka bajeti, ilikuwa ni kubwa mno. Ile project ilikuwa ina nafasi nyingi tuu za kazi kwa wale watakaobase pale ofsini na watakaohitajika kule kwenye shirika lao. Nikaisoma pale then nikamshirikisha sista duu. Unaambiwa alipagawa sana baada ya kuiona ile proposal. Nikamuonyesha na biz card ya yule rasta alipagawa zaidi mana jamaa alikuwa ni partnership advisor wa hilo shirika so ni cheo kikubwa sana. Basi kwenye kuzicheki zile positions mimi nikaona moja ambayo inafaa kubase kule kwenye shirika nikasema hapa lazima nifanye jambo. Na sista duu nay eye aliiona ya mkuu wa kitengo cha M&E ipo akasema nay eye lazima afanye jambo. Sikutaka kumakatisha tama pale na pia sikutaka kumwambia jinsi yule rasta alivomkataa wakati tunafanya nae kikao kile.

Basi mimi nikampigia simu CEO na kumpatia ile taarifa akasema ataitisha kikao cha menejiment na bodi kesho yake. Kweli siku ya pili mimi nikapresent ile proposal utafikiri mimi ndio niliyeiandaa. Basi huku na huku nikapewa jukumu la kumjibu yule jamaa kwamba menejiment na bodi ya wakurugenzi imeridhia kufanya ule mradi in partnership na shirika lao. Basi siku hiyo hiyo nikamu-email rasta na akarespond promptly kwamba wataorganize a skype meeting baina yao na sisi. Baada ya kama siku tatu tukafanya skype meeting pale na deal was closed kwamba tuanze maandalizi ikiwemo kutafuta wafanyakazi.

Basi tukatoa matangazo pale. Binafsi nikamcheki rasta kwa wasapu kumwambia kuwa nina interest na ile position niliyoiona kwenye proposal ambayo ipo kule upande wao. Pale pale akanicall na akanifanyia interview kwa njia ya simu ambayo sikujiandaa kabisa. Akaniambia japo sijaona CV yako lakini nitakuinterview technical questions basi tukafanya interview tukamaliza. Ila akaniambia atanitumia email ya mwajiri wa ofisi yao wa Nairobi ili nitume CV na cover letter. Alivonitumia email address na mimi nikaandaa CV yangu na cover letter faster nikamtumia yule mwajiri. Akanijibu nijianda kesho nitafanyiwa interview kwa video call. Kweli kesho yake tukanya interview, walikuwa panelist wawili nakumbuka rasta hakushiriki. Pale pale wakaniambia nimepata Kazi so nisubiri offer letter. It was simple like that.

Basi wiki iliyofata kweli nikapokea offer letter na contact ambao nilitakiwa nisign na kuwarudishia immediately. Siku ya pili nikapokea simu kutoka kwenye ofisi yao ya hapa Dar ambapo ndio ingekuwa ofisi yangu mpya ya kufanyia kazi. Nikatakiwa nipeleke testimonials zangu kwa uthibitisho, basi nikafanya hivyo na nikawaomba wanipe mwezi mmoja ili niweze kumalizana na huku kwa walemavu. Ujue sio vizuri kuondoka mahali ukiwa na vimeo vimeo, clear kwanza vimeo vyako ndio uondoke na huo ndio uprefessional.

Baada ya wiki wakati tangazo la kazi limetoka sista duu akaniuliza taidume tunafanyaje sasa maana chansi ndio hii mimi nikamjibu mwenzio hapa nilipo naandika resignation letter naenda kujoin na shirika la rasta. Akashtuka sana akaniuliza mbona muda bado mpa briefing pale akashangaa sana. Akaniambai nayeye atamcheki. Ikabidi nimwambie tuu ukweli pale kwa situation yake itakuwa ngumu maana rasta hataki hata kumuona na hata mpa ushirikiano wa kutosha na anawza akamuharibia kabisa.

Nikamshauri kwa kuwa rasta hamjui kwa jina ni bora tuu akafanya procedures za kawaida anaweza akapata maana una CV nzuri. Akanijubu wewe niconnect basi, msaada wako utakuwa umeishia hapo kuhusu hayo mengine niachie mimi hakuna mkate mkate mgumu mbele ya chai. Nikasema poa. Pale pale nikamcall rasta na kumweleza interest za sista duu. Sasa rasta akataka kujua huyo sista ni nani nikamwambia subiri nampa namba yako atakupigia. Kweli nikampa sista duu akasema atampigia jioni akiwa off.

Basi tukaendelea na majukum na mimi nikasubmitt ile resignation letter kwa mkono kwa CEO. Kiufupi alisikitika sana lakini kwa kuwa alikuwa mwelew akaniruhusu kwa moyo mmoja. Usiku kwenye saa mbili hivi wakati nipo home napiga msosi mara nikaona rasta ananipigia. Nikajiuliza kuna nini tena? Kupokea pale akaniambia tuu kifupi ofisi yao haiwezi kufanya kazi na sista duu. Akaniamba wewe umepata ile kazi sio kwa sababu una vigezo vikubwa kuliko watu wengine bali additional value was the respect you showed when we first met. Basi akaniongea sana pale akasema wao katika ofisi yao wanasisitiza sana kuheshimu na kujitoa kwa ajili ya watu wengi. Akanianbia hata sista duu amemweleza maneno hayohayo na kumwambia wazi kwamba hawawezi kufanya nae kazi. Basi tukagana pale na mimi nikamcall sista duu kumuuliza imekuwaje maana jamaa kanipigia. Alichoniambia tu niachane na mambo hayo ahikuwa rizki yake na rizki anatoa Mungu. Kwa yale majivuno yake sikutaka kumshauri chochote.

Ndio ikawa hivyo hivyo ndugu zanguni. See you next episode.
Mkuu umetuonea wavaa miwani😂😂😂😂😂
Tunavaa kwa sababu hatuoni jamani,
Kwanini tuonekane tuna dharau?🤣🤣🤣


Eti kupamba viatu😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom