Mambo nayopenda kwa Waislamu japo ni Mkristo

Sasa mfano eda ni miezi 3 nikiondoka wiki ya pili inakuaje? (Sijatimiza hiyo miezi)
 
Haya mavitabu ya dini yamejaa contradiction kibao halafu hayaeleki.

Ninayo Quran, ngoja nikasome hizo aya nitarudi.
 
Kuharakisha mazishi kuna tija gani?

Hoja ya kuokoa gharama haina mashiko, kuna watu wanapenda mazishi yao yawe ya kifahari na yatumie gharama.
Kurahishisha mazishi kwa ajili ya kumpumzisha Muumini wao sehemu salama..

Kuna vitu Vitatu katika uislamu huwa vinahitaji vifanyika haraka sana na mara moja vinapotokea..

-Mtu akitaka kuoa/Kuozeshwa
-Kuzika
-Mtu akitaka Kusilimu/Kuwa mwislam..

Hizi kufanyika haraka sana Kwa sababu ya Uharaka wa Ibada hizo..

Unaweza ukaacha kumuozesha mtu halafu likatokea Jambo wakakosana na ndoa ikawa haipo (Wewe ukabeba dhambi sawa na kuvunja ndoa )
Mtu kataka kusilimu ukaacha kumsilimisha Ikatokea kafariki au kaghairi wanaamini kuwa wewe ndo unabeba Lawama huko Akhera kwa kutokutimiza kilichopaswa kufanyika
 
Haya mavitabu ya dini yamejaa contradiction kibao halafu hayaeleki.

Ninayo Quran, ngoja nikasome hizo aya nitarudi.
No contradiction mkuu hapo just maelezo zaidi ya hiyo aya ya kuoa ndo maana huwa nawashangaa wanaosema wanapenda kuoa wake wengi..

Mimi Kwenye dini sasa hivi nilishajitoa huko..
Unakuwa umejifungia kwenye Kibox
 
Unaondoka unaenda wapi??
Na kwanini?
Yaani sababu ya kuondoka?
Eda Ni miezi minne kama sikosei
Ukitizama eda ipo makusudi kumfanya mwanamke na mwanaume wasiachane.

Kwenye uislamu mume na mke kutengana according to their beliefs huwa mbingu na ardhi zinatetemeka... Sijui ni kweli kwa maana hizi hadithi mi nazisikia kwenye vijiwe vya alkasusu mujarab.
 
Kuna huyu mtangazaji maarufu southfrica nayeye leo kapost kuvutiwa na uislamu naona ameona watu wanavyotia bidii kwenye ibada kipindi hichi cha ramadhani
Hata huyu mtangazaji maarufu southafrica amevutiwa na uislamu , naona ameona watu wanavyotia bidii kwenye ibada kipindi hichi cha ramadhani aise watu wapo serious sana na ibada
 

Attachments

  • Screenshot_20240320-072925_Facebook.jpg
    125 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…