rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Kwani kukaa na maiti kwa muda mrefu inakuwa Ina maana gani ? Au huwa wanadhani itafufuka?Huu msiba na mazishi silipendi kwanini wanazika haraka?
Kila nikikumbuka hii comment nabaki kucheka tu. Eti unakuta talaka WhatsAppKuoa-kuacha (usiku umeolewa asubuhi unakuta talaka whatsapp)
Napentraaa
Kupigwa na mumeo makonde na Mume kuacha kukudinya ndio Wema katika uislam? Quran 4:34Uislam ni mwema sana.
| |
Wife-BeatingDoes Islam allow a man to hit his wife?Yes, but only if she doesn't do as he tells her. The beating must stop if the woman complies with her husband's demands. Behind verbal abuse and abandonment, beating is intended as last resort solution to coerce submission. According her testimony in the Hadith, Muhammad physically struck his favorite wife for leaving the house without his permission. It is not known how he treated his less-favored wives. Kwenye red hapo kama mkeo ndio Faiza F bishi unaua and Sharia Law Mume hana kosa Evelyn Salt Subiria uso wako huu after Ramadan kwa Wakuperuzi uliyemuahidi... akikuambia usitoke ndani yaani ni hakuna kutoka... ndio mtajua Uislam ni nini Quran 4:34 Quran (38:44) - "And take in your hand a green branch and beat her with it, and do not break your oath..." Allah telling Job to beat his wife (Tafsir). Unajua zile fimbo za matawi ya Mti uitwao Muswaki kudadeki |
Sawa pesa umetafuta ww lakini umeangalia warithi wako umewaachia nini ? Mfano labda ww ndo ulikua tegemezi kwao inakuaje? Ufanye msiba wa kifahari ili umfaidishe nani? Baada ya siku kadhaa watoto,mke, wazazi wako wanataabika na wale uliowalisha vizuri msibani hakuna hata mmoja atakae saidi familia yoko sasa kwanini ufanye israfu wakati kuna wengine maisha lazima yaendeleee??Sijaona hoja yako, mimi siyo tajiri ila kwny msiba wangu nauwezo wa kuchinja ng'ombe sita watu wakae wiki nzima wale wafurahi.
Kwa nini wewe unipangie nizikwe haraka?
Kwa nini unataka na mimi nimuige huyo tajiri aliyezikwa kimasikini?
Pesa nimetafuta mimi kwa shida, kwa nini nikifa mali nilizonazo zisitumike watu wale waenjoi?
Ninabana matumizi kwny msiba wangu ili mali zibaki wachukue akina nani? Nao si watafute zao?
Heshimu Imani yako Mkuu
What Does Islam Teach About...
Wife-Beating
Does Islam allow a man to hit his wife?
Yes, but only if she doesn't do as he tells her. The beating must stop if the woman complies with her husband's demands. Behind verbal abuse and abandonment, beating is intended as last resort solution to coerce submission.
According her testimony in the Hadith, Muhammad physically struck his favorite wife for leaving the house without his permission. It is not known how he treated his less-favored wives.
Kwenye red hapo kama mkeo ndio Faiza F bishi unaua and Sharia Law Mume hana kosa
Evelyn Salt Subiria uso wako huu after Ramadan kwa Wakuperuzi uliyemuahidi... akikuambia usitoke ndani yaani ni hakuna kutoka... ndio mtajua Uislam ni nini Quran 4:34
Wewe nawe ni moja ya watu wa hovyo kabisa 😅Kupigwa na mumeo makonde na Mume kuacha kukudinya ndio Wema katika uislam? Quran 4:34
View attachment 2940536
Mume kumdanganya Mkewe nayo ni wema katika Uislam! so ''Iblis anapumzika akiwaambia Good job good job keep goin you do my job''
Amkimbia mumewe wa Kiislam kwa vipigo aomba msaada kwa waislam
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Tafadhali kwangu mimi hiyo namba nne umeiweka mbali mno..... Ilifaa iwe namba moja.....
Sishangai kama Allah tu anatuchukia wewe ni nani... Kama mimi kuweka aya ya Quran maneno ya Allah yanayosema Waislam wawapige wanawake nimekuwa mtu wa Hovyo inamana Allah ni hovyo zaidi maana ndie aliyesema au huamini Quran? au hujui uislam yaani wewe ni fake muslimWewe nawe ni moja ya watu wa hovyo kabisa 😅
Allah na Mohammad hawaeshimu Imani Zetu Soma Quran. [5:52]Heshimu Imani yako Mkuu
Dini ni kama duka la biashara.Upande mmoja unausoma udhaifu wa upande mwingine na kuvutia wateja/waamini waende upande wake.Simple tu.Pamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.
1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma
2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia
3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao
4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.
5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini
6: Kuharakisha mazishi.
7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!
8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!
Dini zote ni usanii mtupu , ni mambo ya binadamu tuu aliyojianzishia , control ndio nia ya dini zote, mungu ni hadithi za kufikirika tuu ,na moto au pepo ndio namna ya kuwadhibiti wapuuzi wote wasiotumia akili zao kufikiria na hakuna kitu kama hicho, hao mitume wote na hadithi zao wamekuja kama miaka 2000 tuu iliyopita wakati Dunia ipo billions of years, civilizations kama China zipo zaidi ya miaka 5000 wakati hawa mitume wenu ni miaka chini ya 1500, ndio maana hawaamini hizo dini zenuAllah akufanyie wepesi katika shughuli zako zote. Uislamu ni dini ya kweli iliyobakia.
AsantePamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.
1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma
2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia
3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao
4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.
5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini
6: Kuharakisha mazishi.
7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!
8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!
kwenye dini ya kwelj hapo umedanganya !!…Uislam ndo dini iliyoua mamilion ya watu kwa kusambazwa kwa upanga!!Allah akufanyie wepesi katika shughuli zako zote. Uislamu ni dini ya kweli iliyobakia.
No. 4 tu, hayo mengine ni mbwembwe tuPamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.
1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma
2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia
3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao
4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.
5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini
6: Kuharakisha mazishi.
7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!
8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!