Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Poa.acha kurahsisha mambo asee
Mshauri[emoji23]Umeelezea kwa kifupi sana mkuu.
Anyway, sijajua unatupa taarifa au unahitaji mchango wa mawazo.
AiseeeePole sanaa mkuu... kiukweli yaliyo kukuta wewe ndo yananikuta mimi yan natamani hata nimuache lkn tusha fika kwao na Mpunga tulitoa yan natamani nimuache sijui nianzie wap yan mwanamke hataki kula ugali dagaa, hataki kula mboga za majani mda mwingine hataki kupika anasimgizia anaumwa ... naombeni msaada na mimi jamani
Ulipigwa kipapai cha kihindi yalaaaah βΊοΈHuyu mwanamke nilikua najiona kama najilazimisha kua nae ila sijui ni nini kilichokua kama kinaniforce kuwa nae, kwanza alikua anapenda kudanganya vitu vodogo vidogo, nikimuangalia naona kabisa hafai kuwa na mimi ila sasa sijui shida nini mpaka tukafika mbali, nilipaswa hufikia mwisho kipindi ile kile
Bado mapema, unayo nafasi mbona ila uking'ang'ana utajuta mbele ya safari aisee kuna kuyumba kiuchumi ati.Shida ni moja mkuu... tumesha enda kwao na mahali tushatoa sina kwakutokea yani
π π π Hajasema sasa. Sijui ndio kavurugwa au vipiMshauri[emoji23]
Mwanaume ambaye hana maamuzi bado ni mvulana mdogo kiakili, na utapata shida sana maisha yako yote sbb unamajibu alafu hufanyi maamuzi, na bado ukomeHuyu mwanamke nilikua najiona kama najilazimisha kua nae ila sijui ni nini kilichokua kama kinaniforce kuwa nae, kwanza alikua anapenda kudanganya vitu vodogo vidogo, nikimuangalia naona kabisa hafai kuwa na mimi ila sasa sijui shida nini mpaka tukafika mbali, nilipaswa hufikia mwisho kipindi ile kile
Haeleweki anataka nini[emoji16][emoji28][emoji28][emoji28] Hajasema sasa. Sijui ndio kavurugwa au vipi
Nikwel tena naona kama naachia viragoMaisha yako yanathamani kuliko hiyo mali. Kwa maelezo yako inaonyesha hiyo ndoa itakusumbua Sana mkuu umeoa mtu asiye wa level yako, piga chini huyo Kama Ni mali zinatafutwa!!
Nikweli but yaani anataka kukaa nyumba ya laki ya ef50 hataki duu jmnBado mapema, unayo nafasi mbona ila uking'ang'ana utajuta mbele ya safari aisee kuna kuyumba kiuchumi ati.
Mwendo umeumalizaHuyu mwanamke nilikua najiona kama najilazimisha kua nae ila sijui ni nini kilichokua kama kinaniforce kuwa nae, kwanza alikua anapenda kudanganya vitu vodogo vidogo, nikimuangalia naona kabisa hafai kuwa na mimi ila sasa sijui shida nini mpaka tukafika mbali, nilipaswa hufikia mwisho kipindi ile kile
Mkuu wahi kabla hujachelewa. Kama umejiridhisha hakufai vunja mahusiano mapema kabla hamjafika mbali wewe sio wa kwanza na hautakua wa mwisho.Bado mkuu
Hujachelewa badoHuyu mwanamke nilikua najiona kama najilazimisha kua nae ila sijui ni nini kilichokua kama kinaniforce kuwa nae, kwanza alikua anapenda kudanganya vitu vodogo vidogo, nikimuangalia naona kabisa hafai kuwa na mimi ila sasa sijui shida nini mpaka tukafika mbali, nilipaswa hufikia mwisho kipindi ile kile