Mambo tata matatu, Uteuzi wa Jaji Kiongozi Siyani

Ngoja tuendelee ujio wa visasi tunasubiri hukumu ndio watajua screen protector ni mende kama mende wa scania. Kila la kheri nyuki waingie kwenye mzinga wa baba/babu
 
Wanaokukejeli wapuuze kuthubutu kuandika vitabu kiakili umetoboa, wivu ni ugonjwa pia waache wateseke.
 
Hii italeta tatizo la kimadili kwa jaji atakae endelea na kesi,maana atahisi mtangulizi wake amepandishwa cheo kwa kuipendelea jamhuri! hivyo hatakuwa huru kutumia weledi ktk kesi.
Kwani jaji Siyani alishatoa hukumu yoyote kuhusu kesi hii? Anaonekanaje sasa kupendelea upende wa serikali wakati hajawahi kutoa hukumu yoyote. Chadema akili zenu mnazijua wenyewe. Hoja za kitoto kweli.
 
Hoja zako ni za kitoto sana. Kila siku unavyoendelea kuandika ndiyo tunazidi kuthibitisha ulivyo na uwezo mdogo wa kuchambua na kuelewa mambo. Kwa huu uzi umedharaulika sana.
 
Ushahidi wa Adamoo utakataliwa kupokewa na mahakama au Mbowe na wenzake wataachiliwa huru.
 
Uzuri wa demokrasia kika mtu ana haki ya kutoa naoni yake

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 

Laiti wangekua na uwezo wa kuona hata chembe ya aibu.
 
Kitabu usichokielewa hakikuandikwa kwa ajilli yako.

Waandishi wa mihemko ndio walioupotosha UMMA na kuwaaminisha watanzania kwamba Abdallah Zombe aliwapiga risasi wafanya biashara wa Madini.

Inatubidi tujifinze kuweka maneno ya akiba ndiyo busara.
Pole sana mzee zombe. Lakini madini si ulichukua?
 
Majaji wapo wengi sana kusikiliza kesi ya Mbowe

Kama alivyoteuliwa jaji Siyani kusikiliza kesi ya Mbowe akitokea Dodoma, anaweza pia kuchaguliwa jaji toka Tanga. Muhimu haki itendeke, hatuwezi kuzuia promotion, kisa jaji anaskiliza kesi ya Mbowe
 
Huwezi kuelewa alichoondika Yeriko maana inaonekana huna ufahamu wa logic, haki au wewe si mtu mwenye mapenzi mema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…