Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Yaan unamtetea zombe????ama kweli kila mmoja anatetea nafsi yako
Kitabu usichokielewa hakikuandikwa kwa ajilli yako.
Waandishi wa mihemko ndio walioupotosha UMMA na kuwaaminisha watanzania kwamba Abdallah Zombe aliwapiga risasi wafanya biashara wa Madini.
Inatubidi tujifinze kuweka maneno ya akiba ndiyo busara.