Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Kitabu usichokielewa hakikuandikwa kwa ajilli yako.
Waandishi wa mihemko ndio walioupotosha UMMA na kuwaaminisha watanzania kwamba Abdallah Zombe aliwapiga risasi wafanya biashara wa Madini.
Inatubidi tujifinze kuweka maneno ya akiba ndiyo busara.
Tunasubiri na kufuatilia kwa kqribu sana tusisahau kuchangia wake za makomandoo wanaoteseka......Uteuzi wa Jaji Siyani kuwa Jaji Kiongozi una sura tatu tata sana.
1) Ikiwa Jaji Kiongozi Mh Siyani atalazimika kuachia Jaji mwingine hii kesi ya Mh Mbowe, Athari za kuteuliwa jaji mwingine kwenye kesi hii ni kwamba ajaye anaweza kutoa maamuzi kwaniaba ya mamlaka za uteuzi ili nae apendelewe kupata ulaji wa ujiaji kiongozi... Hi ni dhana yangu tu tata.
(2) Ikiwa Jaji Kiongozi Siyani licha ya kuteuliwa kuwa Jaji Kiongozi ataendelea kusikiliza kesi ya Mh Mbowe, Upande wa Pili wa dhana yangu tata nikwamba, athari za Jaji Siyani anayesikiliza kesi hii ikiwa maamuzi yatakuwa kinyume na "UMMA", itatafsiriwa kwamba kapata asante kuwa jaji Kiongozi kabla hata kazi haramu ambayo mteuaji alishahukumu mbele ya dunia kupitia BBC Swahili hajaimaliza.
(3) Na kwa asilimia ndogo sana ikiwa Jaji Kiongozi Mh Siani ataendelea kusikiliza kesi kama kawaida, inaweza kuwa sasa ni ahueni kwa "umma" kwakuwa Jaji kiongozi atakuwa huru zaidi kuamua kwa haki bila hofu ya kuingiliwa tofauti na awali alipokuwa jaji wa mahakama kuu tu.
Kwa mizani hii mitatu na kwa asili ya siasa za kiutawala za Dar es Salaam, tuendelee kupiga magoti kila mtu kwa imani yake haki itendeke na ionekane kutendeka.
Na Yericko Nyerere
View attachment 1968603
Mbowe ni mtuhumiwa kama watuhumiwa wengine na kesi yake ni ya kawaida kabisa!
li ni miongoni mwa matatizo ya msingi ya Chadema. Hawana jema na wana pupa. Tangu lini mzanzibari akawa na siasa za kukomoa?
Hata mie napata picha kama ya yule msanii!Mama sijui ana mataizo gani! Kulikua kuna ulazima gani wa kufanya uteuzi wakati mchakato wa kesi ukiendelea?
Yaani watu waone tatizo la katiba kwasababu ya matatizo binafsi ya Mbowe.Sasa watu wasioona umuhimu wa Katiba mpya, ambayo inatakiwa iyapembue vizuri mambo kama haya, hapo ndipo pa kuanzia kunyoosha uelewa wao juu ya Katiba Mpya.
Ni jambo muhimu sana huyu mtu anayeitwa rais, asiwe ndiye mtu wa kuamua kila kitu bila kuwa na mipaka. Bunge haliwezi kumhoji, wala halina nafasi au sauti yoyote juu ya kila jambo analofanya. Hii siyo sawa hata kidogo.
Pili, hukumu itakayotolewa na mahakama yoyote juu ya hii kesi ya Mbowe, kutokana na mambo mengi ambayo yamekwishafunuliwa hadi sasa; kuna mahakama nyingine ambayo itaona na kuhoji uamzi wa kesi hii kama utakuwa umefanywa kwa kupindisha sheria.
Hapa atakayekuwa anajiaibisha ni huyo mteuzi, kama amefanya uteuzi kutokana na dhana ya kuyumbisha kesi hiyo. Aibu yake haitaishia Tanzania, bali dunia nzima itakuwa imefahamu maksudi ya huyo mwenye nia mbaya.
Maoni ya mtu binafsi iweje yawe branded kama maoni ya chama kizima...?Chadema hamna jema!
enjoy your saturday!In your good opinion unadhani nani alitakiwa ateuliwe kuwa Jaji Kiongozi? Maana naona mmekaza misuli ya shingo kuhusu uteuzi wa Jaji Siyani kwa hoja ambazo hazielezeki iwe kisheria wala kwa misingi ya kanuni za natural justice
Wewe unajema lipi???Chadema hamna jema!
Achana na huyo mjinga, people might not notice the difference.Endelea kuona wakati wenzio wananunua na kusoma
Uchambuzi huu tutaendelea kuufuatilia siku hadi siku, mpaka mwisho wa kesi husikaUteuzi wa Jaji Siyani kuwa Jaji Kiongozi una sura tatu tata sana.
1) Ikiwa Jaji Kiongozi Mh Siyani atalazimika kuachia Jaji mwingine hii kesi ya Mh Mbowe, Athari za kuteuliwa jaji mwingine kwenye kesi hii ni kwamba ajaye anaweza kutoa maamuzi kwaniaba ya mamlaka za uteuzi ili nae apendelewe kupata ulaji wa ujiaji kiongozi... Hi ni dhana yangu tu tata.
(2) Ikiwa Jaji Kiongozi Siyani licha ya kuteuliwa kuwa Jaji Kiongozi ataendelea kusikiliza kesi ya Mh Mbowe, Upande wa Pili wa dhana yangu tata nikwamba, athari za Jaji Siyani anayesikiliza kesi hii ikiwa maamuzi yatakuwa kinyume na "UMMA", itatafsiriwa kwamba kapata asante kuwa jaji Kiongozi kabla hata kazi haramu ambayo mteuaji alishahukumu mbele ya dunia kupitia BBC Swahili hajaimaliza.
(3) Na kwa asilimia ndogo sana ikiwa Jaji Kiongozi Mh Siani ataendelea kusikiliza kesi kama kawaida, inaweza kuwa sasa ni ahueni kwa "umma" kwakuwa Jaji kiongozi atakuwa huru zaidi kuamua kwa haki bila hofu ya kuingiliwa tofauti na awali alipokuwa jaji wa mahakama kuu tu.
Kwa mizani hii mitatu na kwa asili ya siasa za kiutawala za Dar es Salaam, tuendelee kupiga magoti kila mtu kwa imani yake haki itendeke na ionekane kutendeka.
Na Yericko Nyerere
View attachment 1968603
"Ushahidi wa Adamoo utakataliwa na mahakama"; ikitokea kuwa hivyo, hapatakuwa na kesi tena!Ushahidi wa Adamoo utakataliwa kupokewa na mahakama au Mbowe na wenzake wataachiliwa huru.
Incredulously, at one time I considered you to be a reasonable and level headed contributor to these forums. What happened to you?Yaani watu waone tatizo la katiba kwasababu ya matatizo binafsi ya Mbowe.
Are you guys serious ??
Wewe lazima ni chawa, tena wa pindo la kiunoni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Crap