Mambo tata matatu, Uteuzi wa Jaji Kiongozi Siyani

Yaan unamtetea zombe????ama kweli kila mmoja anatetea nafsi yako
Kitabu usichokielewa hakikuandikwa kwa ajilli yako.

Waandishi wa mihemko ndio walioupotosha UMMA na kuwaaminisha watanzania kwamba Abdallah Zombe aliwapiga risasi wafanya biashara wa Madini.

Inatubidi tujifinze kuweka maneno ya akiba ndiyo busara.
 
Tunasubiri na kufuatilia kwa kqribu sana tusisahau kuchangia wake za makomandoo wanaoteseka......
 
Halafu kitu kama hiki kilishatokea awamu ya Mkapa mwishoni mwa miaka ya tisini.
Aliyekuwa Jaji Kiongozi, B Samatta alikuwa anasikiliza kesi baina ya makundi yaliyokuwa yakikinzana katika NCCR Mageuzi nadhani kuhusu kutambuliwa kwa wajumbe wao wa Baraza la Wadhamini kuhusu ulipwaji wa ruzuku.
Serikali ilionekana kuwa upande wa akina Marando, dhidi ya Lyatonga.
Wakati kesi inaendelea ghafla Mkapa akamteua Samatta kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani na Hamisi Msumi akateuliwa kushika nafasi yake.
Naomba tukumbushane kilichojiri baadaye kuhusu kesi ile.
 
Kawaulize Wapemba wanachofanyiwa huko kisha ulete mrejesho.
li ni miongoni mwa matatizo ya msingi ya Chadema. Hawana jema na wana pupa. Tangu lini mzanzibari akawa na siasa za kukomoa?
 
kwanini usibaki na namba tatu halafu hayo mengine ukayaacha?...

Jaji naye ni mtanzania, anahaki zake naye kama mtanzania, kesi ya Mbowe ni kesi kama kesi nyingine isitulazimishe kuacha mengine eti kwa sababu Mbowe anakesi iko mahakamani...
 
Naona Kama Yesu anachelewa kuja....ili sote tupange foleni kule kwenye tanuru
 
Yaani watu waone tatizo la katiba kwasababu ya matatizo binafsi ya Mbowe.

Are you guys serious ??
 
Chadema hamna jema!
Maoni ya mtu binafsi iweje yawe branded kama maoni ya chama kizima...?

Haya ni maoni ya Yericko Nyerere, hayahusiani na CHADEMA kama taasisi...!

By the way, haya mengine yapo tu na ni uamuzi wa mteuzi....

Kwa shauri lililoko mahakamani dhidi ya Freeman Mbowe ambalo Jaji Kiongozi Mteule Mustapha Siyani analisikiliza, kinacho matter ni haki kutendeka na ionekane imetendeka....!

That's all. Nothing more, nothing less...
 
In your good opinion unadhani nani alitakiwa ateuliwe kuwa Jaji Kiongozi? Maana naona mmekaza misuli ya shingo kuhusu uteuzi wa Jaji Siyani kwa hoja ambazo hazielezeki iwe kisheria wala kwa misingi ya kanuni za natural justice
enjoy your saturday!
 
Uchambuzi huu tutaendelea kuufuatilia siku hadi siku, mpaka mwisho wa kesi husika
 
Ushahidi wa Adamoo utakataliwa kupokewa na mahakama au Mbowe na wenzake wataachiliwa huru.
"Ushahidi wa Adamoo utakataliwa na mahakama"; ikitokea kuwa hivyo, hapatakuwa na kesi tena!

Sasa baada ya hapo? Watu watafurahi na kusifu haki ilivyotendeka? Hakuna atakayesikitishwa na mfumo huu unaovuruga maisha ya watu?

Mimi ningetumaini kesi hii ndio ungekuwa mwanzo wa kukataa manyanyaso ya aina hii yasiendelee ndani ya taifa letu.
 
Umesema vyema sana tuendelee kupiga goti haki itendeke. Haki inaweza Kuwa mbowe kufungwa akipatikana na hatia au kuachiwa Huru kama Hana hatia.
Don't forget
 
Yaani watu waone tatizo la katiba kwasababu ya matatizo binafsi ya Mbowe.

Are you guys serious ??
Incredulously, at one time I considered you to be a reasonable and level headed contributor to these forums. What happened to you?
I mean, you have proved yourself to be not any different from the likes of Jingas, Magonjwas, Etweges, etc!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…