Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ugalaTatizo huwa huwa mna story nyingi zenye chumvi mpaka haziliki. Mfano hapa pekee, story ya kweli hapa ni uwepo wa Pori na hao wanyama (Simba na Twiga), lakini Simba wakubwa kuliko uliowahi kuwaona (nalo nisibishe) pia hakuna pori linaloitwa Mpembampazi. Nimelina sana asali pande hizo hadi kule Inyonga
kwa haraka haraka inaweza kuwa ni dini gani? Almasi au Tanzanite.. Hiyo mizimu ya majoka ina miliki hayo mawe mawe sana.Hata wale wenyeji(wazee) walitueleza hivyo.....ila huwezi kulichukua kienyeji...kuna vipengele kadhaa,,,,pamoja na vifaa (mafuta ya mizaituni),,,,pia usiwe ulilala na mwanamke jana yake...n.k.
Pamoja na Ujasiri! Maana hivyo viumbe huwa vinajua kusoma nafsi/akili ya mtu unachowaza, Ujasiri wako..!Hata wale wenyeji(wazee) walitueleza hivyo.....ila huwezi kulichukua kienyeji...kuna vipengele kadhaa,,,,pamoja na vifaa (mafuta ya mizaituni),,,,pia usiwe ulilala na mwanamke jana yake...n.k.
Wabongo bana, ni wapi niliposema ni uongo? Anyways kila mtu na uelewa wakeWEWE KAMA UNAONA NI UONGO JAMBA UKAKUNWE! UNALETA KELELE TU
Ubishi mwingi wa nini mkuu, kwani kila jambo lazima ulielewe duniani humu?Tatizo huwa huwa mna story nyingi zenye chumvi mpaka haziliki. Mfano hapa pekee, story ya kweli hapa ni uwepo wa Pori na hao wanyama (Simba na Twiga), lakini Simba wakubwa kuliko uliowahi kuwaona (nalo nisibishe) pia hakuna pori linaloitwa Mpembampazi. Nimelina sana asali pande hizo hadi kule Inyonga
Harufu ya dhahabu huwa ni kuchomana tu.Nimemkumbuka miaka hiyo nilipita Kuna pori kabla hujatoka inyonga gari iliharibika hapo..... Tulikaaa masaa kabla haijapita gari zile za wajenga barabara ndio walitupa msaada¡!!!!! Nimemkumbuka pia boss wangu enzi hizo nilikua nasafirisha dhahabu naitoa mpanda, mbeya dar..... Alikua ananiambia leo kuwa makini dhahabu Ina harufu kuwa makini mama!!!!! Wakati huo magu hajui Kama pamoja na soko lake la dhahabu lakini muhindi dhahabu ilimfikia Kama kawaida bila kuacha trace yoyote
Tulisomea mabadiliko ya,mwafrica kutoka kuwa nyani mpaka kuwa binadam
sio chai, ni kweli! hiyo sio Taa ni Madini inaweza kuwa Lulu, Almasi au Tanzanite ambalo ukilipata hilo jiwe Ni mabilioni ya pesa.Taa inayowaka kwenye mkia imeniacha hoi, sio chai kweli!.
Kuna watu hawajawai ku hustle MAISHA kabisa...ni mwendo wa rula ni mstari mnyoofu..Watoto waliozaliwa getini, wakapanda school bus, wakafuliwa chupi, wakafanyiwa graduation primary, wakaenda advance, wakaenda chuo, wakatafutiwa kazi, kwenda kuoa wakalipiwa mahali, wakazaa watoto wazuri ( wasiokuwa na changamoto yoyote), bado wazazi wao wakawapa mtaji wa biashara na bado mpaka Leo wazazi wote wawili wapo wanawapa hela za matumizi, na wakifa watazikwa na wazazi wao.
Wamevamia Uzi.
Aisome Kalaga Baho Nongwa 😊☺️ kaka nimeamini maneno yako Kwenye comment yako hapo juu.Walisema waafrica tu au binadamu wote? Ndo maana unajazwa ujinga kirahisi uwezo wako wa akili mdogo sana kama funza.
Watoto waliozaliwa getini, wakapanda school bus, wakafuliwa chupi, wakafanyiwa graduation primary, wakaenda advance, wakaenda chuo, wakatafutiwa kazi, kwenda kuoa wakalipiwa mahali, wakazaa watoto wazuri ( wasiokuwa na changamoto yoyote), bado wazazi wao wakawapa mtaji wa biashara na bado mpaka Leo wazazi wote wawili wapo wanawapa hela za matumizi, na wakifa watazikwa na wazazi wao.
Wamevamia Uzi.
Kuna watu hawajawai ku hustle MAISHA kabisa...ni mwendo wa rula ni mstari mnyoofu..
sio chai, ni kweli! hiyo sio Taa ni Madini inaweza kuwa Lulu, Almasi au Tanzanite ambalo ukilipata hilo jiwe Ni mabilioni ya pesa.
Sema hayo ni mambo ya mizimu. Dunia ina mambo mengi sana ya kustaajabisha. Cha muhimu ni kujifunza tu
Raha ya ngoma uingie kucheza utaelewa sikuWewe umejuaje kama amebebwa kichawi😅
ujuaji wako ni wa kishamba kusema hakuna pori linaitwa mpembampazi kisa eti ww hujawai lisikia hio haimaanishi halikuwahi kuwepo kwani inategemea umezaliwa lini..ukute mtoa mada anasimulia mapito yake ya miaka 1970-80 huko zamani alafu ww unabishia wakati umeijua dunia kuanzia miaka ya 2000 ukute hilo pori sahivi lina jina lingine ambalo ndio ww unalijua ila zamani lilikywa hilo alotaja mleta mada kwani majina ya maeneo mengi ya zamani yamebadilika kutokana mabadiliko ya vizaz..au ww unafikiri humu JF kila mtu unalingana nae kiumri wenzako wanatoa stori zao za miaka 20- 30 iliyopita ila ww unasoma kama vile ni mwezi uliopita lazima useme ni chai tu sababu unaona maisha yalianza baada ya ww kuzaliwa..penda kujifunza usiyojuaTatizo huwa huwa mna story nyingi zenye chumvi mpaka haziliki. Mfano hapa pekee, story ya kweli hapa ni uwepo wa Pori na hao wanyama (Simba na Twiga), lakini Simba wakubwa kuliko uliowahi kuwaona (nalo nisibishe) pia hakuna pori linaloitwa Mpembampazi. Nimelina sana asali pande hizo hadi kule Inyonga