Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dodoma 😎Umeshinda nikupe mji gani?
mkuu hlo jina lake t pakijinja , n busara t kutobishana nae, ulizia hadith y huyo pakijnja wa tukuyu utaelew mkuuWeeee ni kabishi tuu bana
Hahahaha kuna ile watu wamebeba matenga mgongoni wanavuna chai huwa inanivunja mbavu sana.Wanaonimaliza kabisa ni wale wanaokuja na picha za mashamba ya chai na wengine chai kitokota jikoni🤣🤣😅
Hii nayo inaitaji uzi wake mkuu....utufungue macho vijanaNimemkumbuka miaka hiyo nilipita Kuna pori kabla hujatoka inyonga gari iliharibika hapo..... Tulikaaa masaa kabla haijapita gari zile za wajenga barabara ndio walitupa msaada¡!!!!! Nimemkumbuka pia boss wangu enzi hizo nilikua nasafirisha dhahabu naitoa mpanda, mbeya dar..... Alikua ananiambia leo kuwa makini dhahabu Ina harufu kuwa makini mama!!!!! Wakati huo magu hajui Kama pamoja na soko lake la dhahabu lakini muhindi dhahabu ilimfikia Kama kawaida bila kuacha trace yoyote
Bufa anaelewaga sasa? 😁Usilete ujuaji mwingi ikiwa ujui chochote
Aisee. Uko vzuri mamaNimemkumbuka miaka hiyo nilipita Kuna pori kabla hujatoka inyonga gari iliharibika hapo..... Tulikaaa masaa kabla haijapita gari zile za wajenga barabara ndio walitupa msaada¡!!!!! Nimemkumbuka pia boss wangu enzi hizo nilikua nasafirisha dhahabu naitoa mpanda, mbeya dar..... Alikua ananiambia leo kuwa makini dhahabu Ina harufu kuwa makini mama!!!!! Wakati huo magu hajui Kama pamoja na soko lake la dhahabu lakini muhindi dhahabu ilimfikia Kama kawaida bila kuacha trace yoyote
Hzo story za majoka nikweli kabisa,,Kuna sehemu moja hv pori lakwenda na Kenya Kuna nyoka pia mkuubwa ye mkiani anakitu Kama chungu ana mayai yana waka usiku..pia kuna mwingine yuko huko upareni..ye kichwani ana kitu Kama jiwe linawaka usiku sana ukibahatisha kulichukua umetoboa sema ndokimbembe..pia kuna mahali kijijini huko ndanndani Kuna joka mkubwa akikatiza barabara nimpaka amalize kupita ndo mpite ukimruka tu umekwisha..maana anapopita anakuwa Kama amezungukwa na mvuke mvuke,,Kuna mgeni mmoja alienda kutembeleaga huko akajitia kichwa ngumu ,,naharaka zake akameuka akaenda zake..joka lilivomaliza kupita kwenda mbele wana mkuta kakatamoto amekaa chini ya mti..so ushukuru gari ilizima maana Kama mnge mpita huyo nyoka mbele mngepata ajali ndokwisha yenu..
Mkuu endeleza story tujifunze
Nimemkumbuka miaka hiyo nilipita Kuna pori kabla hujatoka inyonga gari iliharibika hapo..... Tulikaaa masaa kabla haijapita gari zile za wajenga barabara ndio walitupa msaada¡!!!!! Nimemkumbuka pia boss wangu enzi hizo nilikua nasafirisha dhahabu naitoa mpanda, mbeya dar..... Alikua ananiambia leo kuwa makini dhahabu Ina harufu kuwa makini mama!!!!! Wakati huo magu hajui Kama pamoja na soko lake la dhahabu lakini muhindi dhahabu ilimfikia Kama kawaida bila kuacha trace yoyote
Wewe umejuaje kama amebebwa kichawi😅Oyawee nyie mambo yakichaw saf san mwenye anamtaalamu wakumrudsha mtu alieyebwa kichaw naomba mawasiliano
Ule muda kubishana sinaBaada ya boss wako kukutumia kusafirisha magendo umepata faida gani?
Hiii ulikua ni miaka hiyo2012,,, boss humjui hela inatumwa kwa Kota ananunua anakusanya dhahabu ikiwa tayari ni simu unaipeleka kwa boss bila kujua boss ni nani??? Sijui Kama huo utaratibu Bado upo.... Muhimu kijana jichanganye hii Tanzania Ina harakati nyingi sana. Siku nikipata muda nitashare humu baadhi ya visanga vyangu!Hii nayo inaitaji uzi wake mkuu....utufungue macho vijana