Mambo tofauti tunayokutana nayo Madereva wa malori toka enzi

Mambo tofauti tunayokutana nayo Madereva wa malori toka enzi

ujuaji wako ni wa kishamba kusema hakuna pori linaitwa mpembampazi kisa eti ww hujawai lisikia hio haimaanishi halikuwahi kuwepo kwani inategemea umezaliwa lini..ukute mtoa mada anasimulia mapito yake ya miaka 1970-80 huko zamani alafu ww unabishia wakati umeijua dunia kuanzia miaka ya 2000 ukute hilo pori sahivi lina jina lingine ambalo ndio ww unalijua ila zamani lilikywa hilo alotaja mleta mada kwani majina ya maeneo mengi ya zamani yamebadilika kutokana mabadiliko ya vizaz..au ww unafikiri humu JF kila mtu unalingana nae kiumri wenzako wanatoa stori zao za miaka 20- 30 iliyopita ila ww unasoma kama vile ni mwezi uliopita lazima useme ni chai tu sababu unaona maisha yalianza baada ya ww kuzaliwa..penda kujifunza usiyojua
Duh! Si ungeenda moja kwa moja kwenye point ukanirekebisha na kunielekeza ni wakati gani hilo pori lilibadilishwa mkuu? kuliko na wewe kuleta tena ubishi usio solve chochote. Halafu unaleta taarifa za kusadikika kuhusu wakati nilioanza kuijua dunia? Kwa kuwa unahisi mimi ni muongo hivyo unaamua kutunga uongo?

Halafu mimi nimeshatoka huko, endeleeni kuburudika.
Kwani nikikupa ushindi bei gani?
 
Kuteseka sio sifa au achievement. Somesheni watoto wenu na muwaachie mali, mateso sio sifa au jambo la kujivunia.
😂😅 Ukiyadekeza matoto kupita kiasi yanaharibikiwa.. wafundishe skills za mikono , wafundishe kupata na kukosa, wafundishe NJAA DHIKI UMASKINI una Ladha gani?

Bila kusahau tisiwanyime mapigo wanapo kosea period!

NB.
Mifano ipo mingi ya watoto walio dekezwa kwa kupewa kila kitu na baadae yanakuja kua mateja au kuwa wasio taka kufanya kazi wanezoea (KKB)

KULA, KULALA, BUREE (KKB)
 
😂😅 Ukiyadekeza matoto kupita kiasi yanaharibikiwa.. wafundishe skills za mikono , wafundishe kupata na kukosa, wafundishe NJAA DHIKI UMASKINI una Ladha gani?

Bila kusahau tisiwanyime mapigo wanapo kosea period!

NB.
Mifano ipo mingi ya watoto walio dekezwa kwa kupewa kila kitu na baadae yanakuja kua mateja au kuwa wasio taka kufanya kazi wanezoea (KKB)

KULA, KULALA, BUREE (KKB)

Watoto wa Mengi, Azam, Dewji, Dangote nk wamekuta kila kitu wameharibika?

Wapeni watoto maisha mazuri waache kujisifia ujinga wa kuteseka. Maisha magumu na umaskini sio achievement.
 
Watoto wa Mengi, Azam, Dewji, Dangote nk wamekuta kila kitu wameharibika?

Wapeni watoto maisha mazuri waache kujisifia ujinga wa kuteseka. Maisha magumu na umaskini sio achievement.
Hao wote ulio wataja hawadekezi watoto wanawapa ELIMU Bora na Wana shepiwa kua WATU wa maana

😊☺️
 
Mtoa mada nimemkumbuka dereva wa zamani kidogo anaitwa babaa kasongo.... Nilisikia amefariki sasa sina uhakika mwenyezi Mungu amrehemu!!! Alikua sukari ya warembo enzi hizo za high way.... Jamaa alijua kutumia viungo vyake vya uzazi!!!!!!
Sasa babaa kasongo alikua na matashtiti siku hiyo Kajq demu wake alikua mpangaji wetu harafu sebule tulikua tunampangisha,,, ile sebule tukimpangisha anakaa na kasongo harafu Bibi tunampiga Stella atwas mbili analewa.... Sasa siku hiyo hawara yake kaandaa satoo mkubwa katenga tunamsubiri kasongo demu wake anauza grocery yake hana habari si tukamla yule samaki harafu alikua kafunikwa na vile vikapu vyenye maneno ya mahaba!!!! Tumemaliza kula tukafunika.... kilichotupata sitasahau mpka naenda kaburini.
Mh! Maliza kitu gan kiliwapata leo dada
 
Back
Top Bottom