Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Wanaume Acheni tabia za kufukua mitaro wanawake nanyi acheni tabia za kufukua viazi mnaikaribisha laana ya ushoga kwenye uzao wenu bakini njia kuu. Ushoga ni roho na sio asilia, roho uzaa tabia, shetani abipiwi ukimuita anakuja kuukalia uzao wako ni lazima atatoka shoga. Bakini njia kuu.
 
Yes, kwa sababu nimekua hivyo tangu najijua, hisia zangu ziko hivo, hata nikijaribu kuziswitch haiwezekani, labda nipretend (kitu ambacho ndio nafanya), ni kama wewe nikwambie saa hii uswitch feelings zako badala ya kupenda madem upende sqme gender, hutaweza , vivo hivyo kwangu na kwa mwingine pia, sababu hii sio tabia ila ni biological situation au fault kwa wale wanaoamini ni matatizo ya kibaiolojia.
Kwa unaikubalia nafsi inavyotaka! Unajua kwamba kuna jahannam?
 
Ni maoni yako mkuu, ila hapa sijaandika ili kuonesha kufurahishwa, nimeandika ili ujifunze kitu ueze kujua jinsi ya kudeal na familia yako, usimalize maneno mkuu, huezi jua kile kilichojificha kwa watoto wako au hata ndugu zako, au watu unaowaheshimu. Soma kisha tafakari wala usioneshe chuki kiasi hiki.
Nataka nikufundishe namna ya kuacha hizo mambo. Upo tayari? Maana within a year tu utakuwa tayari umeacha. NIKO SERIOUS
 
Shukrani mkuu, gays wengi hasa wasiojinesha hawapendi hii hali ila hawana cha kufanya, ndio unakuta wengine wakijulikana wanajiua kama wale vijana na Arusha, sababu ni siri yao na imetoka , wanapoteza vingi na kuamua kujiua, mimi pia nawaza siku ikajulikana sjui itakuaje, ila Mungu asaidie nisije kujiua tu, hiyo roho ya kujiua iniepike, ila sitaweza kuhandle hiyo situation.
Unatamani kuacha?
 
Swali zuri mkuu, ni vigumu kwa sababu hisia ziko hivyo, ni kama wewe ulivyo straight , yani automatically tu ukifkilia kuhusu sex , basi unafikilia kuhus kusex na mwanamke, itakua vigumi sana kufikilia kusex na same gender sababu wewe ni straight, yani ndivyo ulivyo, ukiona msichana anaekuvutia hata asiekuvutia utamtamani kimapenzi, lakini hiyo hali haiwezi kutokea pale ukiwa na mwanaume mwenzako, basi iko the same pia. Niambie, unaweza badilisha hicho kitu ukaacha kupenda wasichana upende same gendee kwa kutumia akili yako? yani uanze badala ya kuerect ukiona demu, eti uerect ukiona samw gender? yani uuswitch mwili ufunction opposite. Ndivyo ilivyo pia kwangu, hata nikijaribu vipi najikuta tu sina hisia na mwanamke, naweza kupretend tu, hilo naweza, nikiwa na washkaji hata demu akipita naweza peretend nimemtamani.
Nahitaji kukusaidia. Wewe bado ni mdogo sana
 
yeah sababu sijajua ila ni kama ladies huwaonea huruma tu gays sababu wanakua wanatengwa kiais na straight men, ila kitu nakiepuka ni hicho kua na marafiki wa kike, hapana nahisi kama naweza kua na tabia za kike kike pia, hivyo nawa avoid sana.
Wew si una homon za kike kwanini sasa unaweza kujizuia kua na tabia za kike lakin unashindwa kujizuia kupumuliwa na mwanaume mwenzio... kubali ukatae ulifanywa ukiwa mdogo sana ikakuathiri na kukupotezea utu wako ukaamua tu ukubali kujishusha na kujitoa thaman ya uanaume mazima.
 
Wacha nikufundishe jambo ndugu, hayo maoni niliotoa juu ya kuepusha mtoto wala sikumaanisha kua ukifanya hivyo basi ndio mtoto hatokua gay, hapana, nimeandika kwa sababu hayo mambo angalau yatamfanya mtoto akue akijua hiki ni.kibaya hiki ni.kizuri, wewe sio gay kwa sababu kitu cha kwanza hata kama utataka kuingiliwa mind itakukumbusha kua ni vibaya na ni fedheha kuingiliwa na mwanaume mwenzako , basi utaacha wala hutaweza kujaribu, lakini yule ambae amekua akiachwa afanye anavotaka, ataona ni sawa kujaribu kila kitu,hata bible imesema, fundisheni watoto njia ilio bora, nao hawataiacha hata wakiwa wakubwa. Anaweza mtoto akawa gay, ila akajizuia sana asifanye sababu ameaminishwa hilo suala ni baya, hivyo ataogopa kufanya. Ndio maana yangu.
Sasa wewe huoni fedheha na kuzarauliwa kila unapokojolewa na mwanaume mwenzako??
 
Ni hivi kuna kitu kinaitwa sexual dimorphism
Defn: Sexual dimorphism is the systematic difference in form between individuals of different sex in the same species. For example, in some species, including many mammals, the male is larger than the female. In others, such as some spiders, the female is larger than the male.
Kama mfumo wa ubongo wa gay unafanana na wa mwanamke mbona wanawake hatuna hisia za juingiliwa kinyume na maumbile wakati gays wote wanaingiliwa huko na wana enjoy?
 
Kama mfumo wa ubongo wa gay unafanana na wa mwanamke mbona wanawake hatuna hisia za juingiliwa kinyume na maumbile wakati gays wote wanaingiliwa huko na wana enjoy?
Mkuu nisamehe,,nilikuwa napotosha makusudi
 
Ushoga unasambazwa na hawa, kimkakati kabisa...

licha ya vichwa vya habari kuhusu "lobi ya mashoga" yenye nguvu ndani ya Vatikani, na Papa mpya anayeahidi mageuzi, makadinali mashoga wa Kanisa Katoliki, watawa, na makasisi wengine wanaishi katika ulimwengu wa siri uliofichwa. Huko Roma, mwandishi anajifunza jinsi wanavyopitia kitendawili hatari cha maisha yao.

Soma zaidi: The Secret Lives of the Vatican’s Gay Cardinals, Monks, and Other Clergy Members
Sio hawa?


 
Sasa mzee unaonaje ukaacha kuliwa kichuri na ukiona imeshindikana ukajinywea zako sumu ukasepa tu kuiacha dunia iwe mahala salama pakuishi. Nyie ndio mtasababisha Allah atuadhubu kama kizazi cha Nabii Lutu maana mnakasirisha
 
Back
Top Bottom