Mambo ya kuzingatia ukifikia nyumbani kwa mtu

Mimi mara nyingi nilikua sili ..nikirud nawaambia nishakula naenda tu kulala
😂😂😂😂🤓🤓🤓Mkuu wee ndo komoa sasa..
Hapo sasa na wewe itabidi umtengenezee mazingira mazuri mgeni wako ata akija kwako awe huru yaani mweke mazingira ambayo asione kila analo fanya anakosea

Kipindi hicho Niliwahi zinguliwa na mfanyakazi wa pale kwa ndugu yangu
Nikaona bora niwe cool maana naweza kuzinguana nae. Nikamwalibia
ukizingatia yeye pale kaja kutafuta ila akaona sisi ndugu kama wote tupo chini yake
 
4. USIZIDISHE MUDA WA KUKAA
Ukifika ni vizuri uwajulishe wenyeji wako utakaa hadi lini na usizidishe muda labda wenyeji wakuombe wenyewe. Kama uliwaambia utakaa wiki ikifika ondoka sio unasubiri hadi wakuulize unaondoka lini.
10. USIJE MIKONO MITUPU
Usije mikono mitupu beba zawadi kidogo kwa wenyeji wako.
Hizo mbili kwangu muhimu sana kuzingatia mtu anapokuja kwangu, mengine nishazowea kuna jamaa yangu yeye baada ya salamu moja kwa moja kwenye Friji. Akiona juice,soda,chocolate,keki,vileja au mayai lazima apite navyo.🤣🤣
 
Mfumo wa maisha kwa dunia ya sasa unebadilika watu hawapendani umfumo wa ubepari ndio unatawala ukileta itikadi za kijaamaa unatafuta lawama na watu .Ili uheshimiwe usipende kupokea bali uwe mtoaji .
Yah kweli man ....
Ukiwa na kitu ww toa ila usipokeee
NA ukitoa usingoje shukrani sepa haraka haswaa
 
Maisha ya zamani yalikua mazuri sana mnatembeleana hadi raha..ile.jioni mnawasha moto mnakaa nje mnapiga stori za maaana za maisha
Ila siku hizi hamna hayo unaenda kusalimia ndugu kila mtu yupo busy na simu
 
Maisha ya zamani yalikua mazuri sana mnatembeleana hadi raha..ile.jioni mnawasha moto mnakaa nje mnapiga stori za maaana za maisha
Ila siku hizi hamna hayo unaenda kusalimia ndugu kila mtu yupo busy na simu
Mfumo wa maisha umebadilika kwanza wanakuona kero labda uwe na hela ila umechoka unamchongo utakubali.
 
"USIZIDISHE MUDA WA KUKAA
Ukifika ni vizuri uwajulishe wenyeji wako utakaa hadi lini na usizidishe muda labda wenyeji wakuombe wenyewe", kama bado siku tano mshahara utoke itabidi nisubiri ili niondoke siku ya mshahara.
 
Kwa jinsi nilikuwa naona wageni wanavosemwa vby nyumbani kwetu.niliamua siendi KWA ndugu zaidi ya kusalimia au kuwa naenda na kuondoka.naweza kula msosi ila kulala na kuamkia hapo NEHIII.of coz hata mi sipendi wageni wasumbufu ambae akija ht donesheni hatoi.hata kusaidia usafi hakuna.utakuwa unapeleka makosa
 
USIWEKE MIGUU KWENYE MAKOCHI AU MEZA. .

Kuna watu wanaweka miguu katoka kupuyanga nje huko anatuliza kwenye coffee table au masofa wakati anajua hayafuliwi. .
[emoji1][emoji1] watu wanajisahau sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…