Mambo ya kuzingatia ukifikia nyumbani kwa mtu

Honger kwa utabiri w Yanga Yetu mpya..! Pia niongeze jambo ukiwa ugenini usikae kama bubu., Tambua wenyeji wako wanapenda kipi cha kuzungumza... NB: usivuke mipaka ,kuw mtu wa fact
 
Nachukia mgeni anakuja kwako anawasha computer sa 1 mpaka anaitwa mezani chakula Cha usiku, akimaliza kula anarudikwenye computer mpaka mnaenda kulala mnamuacha sebuleni.

F@(n bastard, mpaka watoto wanaogopa kumuambia wanataka kufanya kazizao kwenye computer, jitu limepinda mgongo linamaliza umemetu.
 
USIWEKE MIGUU KWENYE MAKOCHI AU MEZA. .

Kuna watu wanaweka miguu katoka kupuyanga nje huko anatuliza kwenye coffee table au masofa wakati anajua hayafuliwi. .
duh, sasa atajuaje na hana exposure?
 
Mgeni anagombania rimoti na watoto....😁
 
Mie nisivyo penda kukaa kwa watu, iwe ndugu au jamaa na marafiki, naish kwangu, nikichokaaa ni home kwa wazaziii.

Hawa wenginee hapana wanisamehe tyuuh, kwan had wanani mic wenyewe niende makwao. Lol.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa namna nilivyo na mambo yangu..kukaa kwa watu kutanishinda.
 
Miezi mitatu bado anajiita mgeni?
 
Watu mnajua kujipendekeza; yaanimuwanawishe mikono😂
 
Hicho kitoto kilikuwa Cha kike😂😂
 
KWANI KOSA LA MLETA MADA NI LIPI HAPO MAANA KAWEKA NA USHAHIDI WA PICHA?
 

 

Attachments

  • 248893095_109945061486324_4066502796358241732_n.jpg
    42.8 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…