mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 188
Nimefuatilia kwa muda mrefu juu ya "tiba-miujiza" inayotolewa na Babu wa loliondo.Kwa wengi wanaomuunga mkono ni sabab "wanajihisi?" wameponywa na dawa hiyo kimuujiza,na wanaompinga n kutokana na asili/chanzo cha dawa hiyo.
Dawa ya babu ikipimwa kwa vigezo vya kibiblia inapwaya ndio maana wa kina kakobe,pengo,mwingra wanapinga dawa hiyo.Kwa wakristo kigezo cha muujiza wowote kutokea(kuonekana) uwe wa kupona au la si kigezo pekee/cha muhimu kujua nguv za miujiza asili yake ni Yesu,kwa kuwa hata shetan,nabii wa uongo ana ishara tena kubwa ambazo zinaweza kuwadanganya hata wateule(wakristo wa kweli)-soma Matayo 24:24, ufunuo 13:13
Biblia imeturuhus kupima nguv (roho) zinazofanya kaz kwa watu kama Babu-1 yoh 4:1,3.
Babu alijinadi kuwa ametumwa na Mungu(Yesu) na kibiblia muujiza,uponyaji,vinafanyika kwa mamlaka ya Jina la Yesu- Matendo ya mitume 3:6,filip 2:9.
Kutumia vitu ktk uponyaj kibiblia sio lazima, bali n sharti vifanywe ktk jina la Yesu maana ndilo lenye mamlaka.
HIVYO MUUJIZA WOWOTE WAWEZA KUTOKEA KWA JINA LA YESU BILA YA KUTUMIA MAJI-matendo 3:6.
Je Babu kama kweli ametumwa na Yesu anaweza kutumia jina la Yesu pekee(pasipo maji) na watu wakpata uzima?
Muujiza wa Yesu ni kwaajili ya kuwaonya watu,kuwafungua,na kuwafundisha wasitende dhambi tena-wamgeukie Yesu sio warudi makwao kama wametoka 'theatre' bila kutubu-Yohana 5:14
Tena,muujiza wa Mungu ni lazma umtukuze Yesu na sio Babu wa loliondo-matendo 3:9 ,luka 5:26,13:13
Muujiza wa Muungu hauuzwi hata kwa shiling 1-kwani mmepewa bure toen bure-kwanin babu auze?
Babu anatakiw kujib hoja kibiblia kama kweli yeye katumwa na Yesu kweli-2petro 3:15 Tuwen macho hiz n cku za mwisho.
good food for thought mpendwa. keep it up
Glory to God
hellow miss Judith I like the way understand quickly! I've detected something in you! JESUS! Here is your bro Steve.
Uchambuzi wako umekaa kimaslahi zaidi just like those statements from Pengo et al.Nimefuatilia kwa muda mrefu juu ya "tiba-miujiza" inayotolewa na Babu wa loliondo.Kwa wengi wanaomuunga mkono ni sabab "wanajihisi?" wameponywa na dawa hiyo kimuujiza,na wanaompinga n kutokana na asili/chanzo cha dawa hiyo.
Dawa ya babu ikipimwa kwa vigezo vya kibiblia inapwaya ndio maana wa kina kakobe,pengo,mwingra wanapinga dawa hiyo.Kwa wakristo kigezo cha muujiza wowote kutokea(kuonekana) uwe wa kupona au la si kigezo pekee/cha muhimu kujua nguv za miujiza asili yake ni Yesu,kwa kuwa hata shetan,nabii wa uongo ana ishara tena kubwa ambazo zinaweza kuwadanganya hata wateule(wakristo wa kweli)-soma Matayo 24:24, ufunuo 13:13
Biblia imeturuhus kupima nguv (roho) zinazofanya kaz kwa watu kama Babu-1 yoh 4:1,3.
Babu alijinadi kuwa ametumwa na Mungu(Yesu) na kibiblia muujiza,uponyaji,vinafanyika kwa mamlaka ya Jina la Yesu- Matendo ya mitume 3:6,filip 2:9.
Kutumia vitu ktk uponyaj kibiblia sio lazima, bali n sharti vifanywe ktk jina la Yesu maana ndilo lenye mamlaka.
HIVYO MUUJIZA WOWOTE WAWEZA KUTOKEA KWA JINA LA YESU BILA YA KUTUMIA MAJI-matendo 3:6.
Je Babu kama kweli ametumwa na Yesu anaweza kutumia jina la Yesu pekee(pasipo maji) na watu wakpata uzima?
Muujiza wa Yesu ni kwaajili ya kuwaonya watu,kuwafungua,na kuwafundisha wasitende dhambi tena-wamgeukie Yesu sio warudi makwao kama wametoka 'theatre' bila kutubu-Yohana 5:14
Tena,muujiza wa Mungu ni lazma umtukuze Yesu na sio Babu wa loliondo-matendo 3:9 ,luka 5:26,13:13
Muujiza wa Muungu hauuzwi hata kwa shiling 1-kwani mmepewa bure toen bure-kwanin babu auze?
Babu anatakiw kujib hoja kibiblia kama kweli yeye katumwa na Yesu kweli-2petro 3:15 Tuwen macho hiz n cku za mwisho.
Uchambuzi wako umekaa kimaslahi zaidi just like those statements from Pengo et al.
Mbona Yesu alitumia tope kumponya kipofu?Kwanini asingesema tu mimi ni Yesu,nakuamuru upate kuona?
Tatizo ni kwamba unataka ukishawahudumia watu basi na kanisa uanzishe kimaslahi,hao maaskofu wanhofu tu kuhusu congregations zao na si eti kwamba miujiza yenye Yesu haitumii vitu!
Biblia inasema kila mtu atakula kwa jasho lake,jasho la babu ni lipi?
Hata mara nyingine watu wakipitia mambo magumu ie magonjwa yanayohitaji upasuaji,halafu upasuaji huo ukawa wa mafanikio,basi huchukuliwa kama ni muujiza kwa muumini aliyefanyiwa upasuaji huo....Kuna wanaomeza dawa wakipona wanamshukuru Mungu na Yesu kwa muujiza wa uponyaji.
Tuachane na maslahi kwenye issue za kiimani.
Hata mungu anasingiziwa tu.
Inaonekana hakuna mtu aliye na ukweli juu ya tiba ya loliondo ila ni Mungu peke yake. Naomba tusitishe mjadala huu tujadili mambo mengine. Hii ni kwa sababu imefika hatua ya wengine kuwarushia wengine matusi badala ya kujibu hoja! Tumwachie Mungu atoweka wazi ukweli! Days will tell the truth. Mbarikiwe.