Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kabisa na tokea ujio wa social networks ndio kabisa. Smartphone inachukua 80% ya muda wa kuhangaika na TV. Mi Tv yangu naweza maliza hata week 2 sijaiwasha inapigwa na mavumbi tu. Mpaka niwe na mzuka nmepata Movie mpya na Company ya wana ndio nawasha TVYaan mtu huna time nayo