Mambo yanayoendelea Bar ya Savoy, sio tamaduni zetu

Mamlaka ndiyo inapenda kuona watu wakijichanganya na mambo hayo...
Bongo sahvi watu ni kulewa,kukatika mauno miziki kwishney
Huko savoy vibinti vinatoaa tig kama hawana akili nzr....

Ova
Hivi pale Kona baa (sahivi vibe lounge) bado kuna Malaya ambao ni pisi Kali kama ilivokua zamani mrangi
 
Badala ya kuwasema wanaotembea uchi unaisema bar🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hivi pale Kona baa (sahivi vibe lounge) bado kuna Malaya ambao ni pisi Kali kama ilivokua zamani mrangi
😄 mida sana sijapita pande Ile
Ila sinza sehemu nyingi malay wapo wa kutosha mkuu
Sinza,tabata kino sahv anasubiri
Ukienda buza huko chamaz mbagala ndy watoto wa kuku wa kienyeji

Ova
 
aisee starehe ina tafsiri kubwa. Nilikuwa sijawahi kupita kitambaa cheupe tbt jana nimepita nikaiona sikuamini macho yangu kama pale ndipo kitambaa cheupe maana kwa jinsi nilivyokuwa naisikia nilidhani sehemu moja matata sana kumbe ni kama banda fulani la ng'ombe.
 
Usitikirie Kwa kutumia miguu, kwani hao wangetoka wapi bila bar kuwepo???? Na kama bar isinge intertain Hilo unahisi wangeendelea?
Sawa kwa miguu hii hii hauwezi kulaumu bar wakati wateja wa bar ni walevi na sio hao watu wengine. Hata wakija polisi hapo watawakamata hao watu lakini hawatafunga bar.
 
Sawa kwa miguu hii hii hauwezi kulaumu bar wakati wateja wa bar ni walevi na sio hao watu wengine. Hata wakija polisi hapo watawakamata hao watu lakini hawatafunga bar.
Hii ndio shida ya kuongea kitu usiyofahamu? Bar unazojua wewe ndo Kuna walevi tu, hizi huku unakunywa na kujipoza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…