Aaanguke tu..Kwa HAYA anayoyafanya...Nasimama nao, ila mbona kama kuna kampeni ya kumuangusha Mwenyekiti wenu 2025? Nadhani haya yote yanayotokea yako well calculated and planned mbali Sana Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaanguke tu..Kwa HAYA anayoyafanya...Nasimama nao, ila mbona kama kuna kampeni ya kumuangusha Mwenyekiti wenu 2025? Nadhani haya yote yanayotokea yako well calculated and planned mbali Sana Sana
TendeWe unadhani wamempa kitu gani hadi hasikii ndugu zangu
Nasikia comments na nazionakweli! wana mpango kumuangusha samia
Ccm ni majiziWananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.
Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.
Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.
Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.
Busara itumike.
Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Figisu za kisiasa hazikwepeki nchi hii...Nasimama nao, ila mbona kama kuna kampeni ya kumuangusha Mwenyekiti wenu 2025? Nadhani haya yote yanayotokea yako well calculated and planned mbali Sana Sana
Unateseka ukiwa unakatwa gogo wapi desiriiKWA UJINGA NA UPUMBAVU UNAOENDELEA HUKO NGORONGORO NA KWA JINSI WASHENZI WACHACHE WANAOWACHOCHEA MASAI KUFANYA MIGOMO YA KIPUMBAVU, NA KWA JINSI MASAI WALIVYOZALIANA KWA WINGI NGORONGORO MPAKA KUTISHIA HIFADHI, SASA NI WAKATI WA KWA HEKIMA ZETU KUCHAGUA JE TUNAHITAJI EXISTENCE YA NGORONGORO KWA MIAKA YA BAADAE AU HAKUNA HAJA YA HILO?, TUNATAKA NGORONGORO IGEUKE JIJI?, SASA SIJUI TUNATAKA NINI TUSIPOYADHITI HAYA KATIKA WAKATI HUU
Nakazia naunga mkono hoja.Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.
Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.
Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.
Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.
Busara itumike.
Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Nadhani umeanza kuelewa point ipo wapi?Unateseka ukiwa unakatwa gogo wapi desirii
Unajua bomu moja linaua watu wangapi?My take: Hivi Makabila yote na Mikoa yote ikija juu patakalika: Population: 60,000,0000
Ila atakuwa anajiangusha mwenyewe, hii movement nzima aliyeikomalia ni yeye mwenyewe. Nadhani pia ana maslahi makubwa sana na hiyo issue, pengine ilipofikia inabidi atumie busara badala ya mabavuNasimama nao, ila mbona kama kuna kampeni ya kumuangusha Mwenyekiti wenu 2025? Nadhani haya yote yanayotokea yako well calculated and planned mbali Sana Sana
Huko Kizimkazi anawaambia wenyeji watunze mila na desturi zao, Huko Ngorongoro anawaambia wahame, hili unalizingumziaje..Niliwahi kusema wale vijana wa CCM hawapigi kampeni za 2030
Hata mbogax2 hawana imani na hili limazeri! Kuna mkakati wa kumtimua arudi zenj!Ila atakuwa anajiangusha mwenyewe, hii movement nzima aliyeikomalia ni yeye mwenyewe. Nadhani pia ana maslahi makubwa sana na hiyo issue, pengine ilipofikia inabidi atumie busara badala ya mabavu
Ila naye ameonyesha udhaifu mkubwa sana kiuongozi. Atahitaji sapoti kubwa sana ya wenye chama.Hata mbogax2 hawana imani na hili limazeri! Kuna mkakati wa kumtimua arudi zenj!
Mkataa kwao Mtumwa hivyo Wamasai tusiwabezeHuko Kizimkazi anawaambia wenyeji watunze mila na desturi zao, Huko Ngorongoro anawaambia wahame, hili unalizingumziaje..
Wapo wapo tu wanawafanyia wanyakyusa uchawa.Mkataa kwao Mtumwa hivyo Wamasai tusiwabeze
Ukienda Mbeya Kwa akina Choicevariable Wasafwa wamepoteza asili 😃😃
Si kweli. Wamasai hawakati miti hovyo. Jamii za wafugali katika mikoa uliyoitaja ndio hujishughulisha pia na Kilimo na hivyo hukata miti kwa wingi ili kupata maeneo ya kulima.Waondoke tu. Mi nikitembelea Mwanza na Shinyanga jinsi miti ilivyokatwa na kuharibu mazingira, waondoke tu