Inawezekana kabisa akaishia nusu fainali kama ambavyk amekua akifanya misimu ya hivi karibuniMuulize haya maswali
Mamelodi kwa sifa zake zote hizo amewai kutwaa ubingwa wa Caf mara ngapi ?
Na pia mamelodi amewai kufika nusu fainali mara ngapi ?
Akikupa majibu utajua mamelodi yupo over rated
Je Wasipopangwa nusu hawawezi kukutana?Ni bora ufiche ujinga wako, hujui mpira, Raja wanapangwa vipi na Simba wakati wapi kundi moja?
Inawezekana kabisa akaishia nusu fainali kama ambavyk amekua akifanya misimu ya hivi karibuni
Hata mashabiki wa Azam ni wale walitoka Simba&yanga kwa hiyo sishangai wew kuwa zao la timu hizi mbili ...kwa hy punguza mihemkoMimi sio Yanga brother ficha ujinga wako Mimi ni Azam shishanikii team za wazee
Before nilikuwa sishabikii mpiraHata mashabiki wa Azam ni wale walitoka Simba&yanga kwa hiyo sishangai wew kuwa zao la timu hizi mbili ...kwa hy punguza mihemko
HahahahaUnafungwa na Kaizer na Orlando una mtaka Mamelody[emoji16]
Tushajua mshabiki unajifarijiHabari wakuu
Awali ya yote ningependa ku-declare interest kuwa nawataka Masandawana. Twende kwenye mada, imezuka mijadala mingi sana mitandaoni hususani kwa baadhi...
Sawa mkuu nashukuru kwa kuniambia ukweli wako.Before nilikuwa sishabikii mpira
Simba ametwaa kombe la CAF mara ngapiMechi zake na timu ya Al ahly tu ndio huwa factor ya kumpima mamelodi?
Mamelodi kwa sifa zake zote hizo amewai kutwaa ubingwa wa Caf mara ngapi ?
Na pia mamelodi amewai kufika nusu fainali mara ngapi ?
Tunaomb rekodi zake za kufika hizo stage caf za miaka yote toka timu ya mamelodi imeanzishwa mpaka leo ili tujue kama ni mkali ama yupo over rated.
Mamelodi amewai mfunga waydad ?
Mamelodi amewai mfunga esperence ?
Mamelodi amewai mfunga raja casablanca ?
Mfano mwaka huu Liverpool kamfunga man utd 7 - 0, ndio tuseme liverpool anatisha level ya kutwaa ubingwa sababu kamfunga utd goli 7
Kwani alitolewa na petro kwenye raundi gani ?
Simba ametwaa kombe la CAF mara ngapi