Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Hana mafanikio kivip nawakati mamelodi ana kombe la CAF ambalo simba hana., sasa hayo mafanikio unayoongelea ni yapiSimba hajawai kutwaa kombe la caf.
Hio haiondoi ukweli kwamba mamelodi hana mpira wala mafanikio kuliko wenzake waliiongoza makundi . Ambao ni esperence, waydad na raja casablanca..
Simba na mamelodi wamezidiana kidogo sana kimafanikio caf.. tofauti na simba alivyozidiwa mbali na esperence, raja, na waydad.
Ni sahihi simba kumtaka mamelodi maana ndio mnyonge kuliko hao wengine
Jiulize kwa nini Raja hakumchapa Horoya 7 ila Simba akamchapa 7 Horoya?Wenge la goli 7 bado wengi halijawatoka kichwani. Ona upuuzi unaoandikwa hapa, yani Kwa beki ya Onyango utegemee kumzuia Shalulile? Ni kwa namna gani Chama anaweza penetrate kwa ile backline yao matata
Kwa hiyo simba ni bora zaid ya raja kwa sababu tu raja hakumfunga horoya goli 7 hii nchi ina wajinga wengiJiulize kwa nini Raja hakumchapa Horoya 7 ila Simba akamchapa 7 Horoya?
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Timu zilizokuwa kundi moja huwa zinakutana Fainali sio robo wala nusuMamelodi kibongo bongo ana jina kubwa na anasifiwa na wachambuzi kuliko ubora wake katika michuano ya Africa.
Simba ana nafasi kubwa sana ya kupita akipangiwa Mamelodi.
Ila simba ana nafasi ndogo sana ya kupita kama akipangiwa Wydad , Esperence ama Raja Casablanca.
Kisa ni waarabu basi wao wangepita tu !?Ebu jihoji vizuriUngekuwa kundi la petro ungetoboa mbele ya Wydad na Beloizdad? Waarabu wawili
Nani top scorer wa CAFCL hadi sasa?Sio kwa wachezaji hawa ase, hawa kina Chama anaekimbia upande upande kama kachezewa spika?
Ni chama mkuu, ila jamaa anakimbia upande upande au kashachezewa spika mkuu wangu?
Unaongea ujinga Simba awekwe na waarabu wawili apiteKisa ni waarabu basi wao wangepita tu !?Ebu jihoji vizuri
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Baada ya kumfunga kwa Mkapa ikawaje?Huu ni utaahira au ndio unyani kabisa?
Kaizer hatujamfunga kwa Mkapa?
Na je uliangalia match ya south au ulisimuliwa na wachambuzi?
Umemuonea sana huyo Jamaa Ndugu.Simba ametwaa kombe la CAF mara ngapi
Si wajinga tu bali ni Mazumbukuku kabisa [emoji16]Kwa hiyo simba ni bora zaid ya raja kwa sababu tu raja hakumfunga horoya goli 7 hii nchi ina wajinga wengi
Mkuu,, Simba ni ya nane kwa viwango vya Caf barani africa, hivyo kama Giant huwezi kuhofia kukutana na Giant wengine wa Africa ni kujipanga tu,, Cha msingi Mo aweke mzigo wa kutosha tuongeze Quality kwenye kikosi,, Simba ni Giant kwa sasa Africa.Tema mate chini mkuu, Simba hii tutapigwa kama ngoma na mamelody
Binafsi namuomba esperance de tunis.
Mkuu Arsenal, Man city, Tottenham zote ni timu kubwa barani ulaya ila hawana kombe la Uefa,,..Hana mafanikio kivip nawakati mamelodi ana kombe la CAF ambalo simba hana., sasa hayo mafanikio unayoongelea ni yapi
Acha uzwazwa mwenzako ana makombe yote ya CAF champion na confederation alafu unasema mko sawa hio ni akili au matope