Mamilioni ya pesa anayotaka Jackline Mengi kwa ajili ya malezi ya watoto wake haya hapa!

Mamilioni ya pesa anayotaka Jackline Mengi kwa ajili ya malezi ya watoto wake haya hapa!

Ni sawa lakini kumbuka umetafuta hizo mali ukiwa na amani ya moyo kutoka familia, Mke na Watoto...sasa iweje mali zije kuwa zako peke yako?.

Kama inapaswa kuwa hivyo basi iandikwekabla ya ndoa kwamba mali yote itakuwa ni ya Baba, Mama na Watoto mtakuwa wasindikizaji tu.
Tumrudishe katika hali yakr kabla ya ndoa na Mengi.

Matumizi yake yalikuwaje??

This is absurd.

Matunzo anayaomba sio kwa ajili yake bali ni kwa ajili ya watoto wa Mengi..

Watoto wa bilionea lazima waishi kibilionea..

Ni sawa na wewe upewe mtoto wa Mo dewji umlee halafu utegemee kuomba vilaki laki kumtunza huyo mtoto
 
Muoaji ba muolewaji anaweka tamaa kubwa. Ya kutaka mpaka jasho lile ambalo yeye haja lichuma. Alikuta pesa za watu hivyo asitake zote atake kilicho halali yake
Anaeamua nani amiliki nini ni nani?
Muoaji akimmilikisha vyote kuna kosa? Si maamuzi yake na mali zake? Hao watoto wa mwanzo washakua wakubwa wajitafutie wenyewe.... Mwisho wa mtoto ni miaka 21 hao wazee badala watafute chao wanamsumbua binti wa watu wanajua raha na mateso aliyopitia na huyo mke mdogo?
 
Anaeamua nani amiliki nini ni nani?
Muoaji akimmilikisha vyote kuna kosa? Si maamuzi yake na mali zake? Hao watoto wa mwanzo washakua wakubwa wajitafutie wenyewe.... Mwisho wa mtoto ni miaka 21 hao wazee badala watafute chao wanamsumbua binti wa watu wanajua raha na mateso aliyopitia na huyo mke mdogo?

Watu wana miaka zaidi ya 50 ila wanajiita watoto wanagombea mirathi
 
Sawa ila kwani sheria inasemaje.. ? Kuhusu hili.? Mm naweza kuwa labda sioni mbali ila nasimamia ninachojua wewe unaeona mbali mbona hutuelezei huo umbali unaosemea.?
Sheria gani mazee inasimamia ulichandika kuwa wazee wasioa wasichana wadogo? Mbona unabwabwaja tu?
 

Mahakama imeeleza kuwa uamuzi wa kiasi halisi kinacholipwa lazima ufanywe kwa kuzingatia njia na hali ya maisha ya baba. Mawasilisho na viambatanisho vinadhihirisha kuwa kabla ya kifo cha marehemu alikuwa akitoa kiasi kilichoombwa kutokana na uwezo na hadhi yake. Marehemu alikuwa baba mzazi wa watoto walioitwa.

Mahakama pia imesema kuwa Mwombaji ametaja biashara nyingi kuwa ni ushahidi wa mapato yanayotokana na biashara inayohusishwa na mirathi, hata hivyo watu aliyowaomba matunzo mbele ya mahakama ni wasimamizi wa mali za marehemu.

Mapato yanayotokana na mirathi ya marehemu si mali ya walalamikiwa pekee bali ni mali ya mirathi ambayo imeshughulikiwa mbele ya Mahakama ya Mirathi. Waliyohojiwa wangekuwa baba mzazi wa watoto Mahakama ingewashikilia vinginevyo.

Kwa kuwa hakuna ubishi kwamba mhojiwa kwa nafasi yake ya wasimamizi wamewajibika kuwakimu watoto mahitaji ya msingi, wanapaswa kuendelea na malezi ya watoto kulingana na uwezo na nafasi zao.

Pia, suala la pili la uamuzi ni suala la malimbikizo na amri inayowataka walalamikiwa kutoa matunzo kwa watoto waliotajwa hadi watimize umri wa miaka 18. Ni ukweli kwamba Sheria ya Mtoto ilitungwa ili kuhudumia ustawi wa mtoto. Hata hivyo, tangu awali ni lazima ieleweke kwamba usimamizi wa mali ya marehemu sio jukumu la kudumu.

Kutokana na maelezo ya pande zote, hakuna ubishi kuwa katika shauri la mirathi namba 39 la mwaka 2019 walalamikiwa waliotajwa waliteuliwa kuwa wasimamizi wa mirathi ya marehemu Dk. Reginald Abrahaman Mengi.

Kwa mujibu wa kifungu cha 109 cha mirathi na usimamizi wa Sheria ya Mali majukumu ya wasimamizi ni kukusanya na kusambaza mali za marehemu kwa warithi halali. Jukumu hilo linaisha mara baada ya wasimamizi kuwasilisha hesabu. Mapato ambayo mwombaji anaomba kutunza watoto wake hadi watimize umri wa miaka 18 yakitoka katika mirathi ya marehemu ambapo walalamikiwa ni wasimamizi tu na sio wamiliki.

Kesi ya uthibitisho ni mbele ya mahakama kuu kwa hivyo mahakama ya watoto sio mahakama inayofaa kwa mwombaji kuomba maombi haya. Kadhalika, mahakama hii haiwezi kuwaamuru walalamikiwa kama wasimamizi wa mali za marehemu walipe malimbikizo kutokana na jinsi marehemu alivyokuwa akitunza watoto wake enzi za uhai wake.

Marehemu alikuwa akitoa mahitaji ya watoto wake kwa vile alikuwa baba mzazi wa watoto waliotajwa, na njia na namna zake zilifanikisha mipango yake. Waliohojiwa si wazazi wa watoto, wao ni walezi tu na wasimamizi wa mali za marehemu.

Zaidi ya hayo, kwa kuwa kuna kesi zinazoendelea za mirathi ambazo zote zinalenga kuhakikisha mirathi ya marehemu inagawiwa kwa haki kwa warithi halali, ni vyema mwombaji kupeleka maombi yake mbele ya mahakama ya mirathi na siyo mahakama ya watoto.
Usijaribu kuoa mwanamke mchawi
 
Nawashangaa mnaomlaumu huyo dada!! Kwahyo mnataka awaachie mali?angekuwa dada yako je?
 
Nawashangaa mnaomlaumu huyo dada!! Kwahyo mnataka awaachie mali?angekuwa dada yako je?
Mkuu Salama
Nauliza Tu Unieleweshe Kidogo
Mfano Bonite Bottlers Limited
IPP Media
Na Vingine Vingi
Nadhani Mzee Alikuwa Navyo Kabla Jackline Hajazaliwa
Leo Wampe Tu Kwa Kutumia Janja
 
Hakuna pesa makampuni yote yana jiendesha kwa mikopo, nyumba zake zote zimewekwa rehani kwenye mabanki!
Huyu mama hajui anacho tafuta ni mwendawazimu mflani tu walahi!
Watoto watunzwe kwa kiwango ambacho baba yao alikuwepo
 
Back
Top Bottom