Denis Alphonce
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 625
- 856
Mbali na Hilo super great inabeba mzigo mkubwa kuliko mende scania mizani fuso haisumbui compare to scaniaGari za ulaya? Gari zipi hizo za ulaya unazozipambanisha na FUSO?
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Sasa mkuu mwenye uzoefu umeishia tu kusema fuso ya tani 4 ameitoa wapi embu tujuze tusiojua yapo ya tani ngapi hayo mafuso? Na je kweli ukiongeza body inafika tani 12?Fuso ya tani 4 umeitoa wapi mkuu?? Au unaongea tu jamaangu
Naongea kutokana na uzoefu wa zaidi ya miaka 10 kuendesha Fuso (zote namanisha single,tipper na tandam) na uzoefu wa miaka 7 ya kumiliki Fuso zaidi ya 10
Usiongee vitu usivyovijua.
Nitakubaliana na wewe kuhusu ishu ya MADEREVA tu kuwa hao ni pasua kichwa ila sijuI kama wanatumia hivyo vitu umeorodhesha.
Ajali za Tanzania hii sababu kuu ni 3
1:Elimu ya MADEREVA
2:Barabara vimeo
3:Spea vimeo
Usisingizie FUSO mkuu. Achana nayo kabisa
Hata wajapani ushangaa ubunifu wa mbongo.Neno utafiti limetumika vibaya. Yaan Japan wasifanye utafiti mje kufanya utafiti Wamatumbi?
Ishu ni chassis tu sio injiniFuso mlangoni imeandikwa ton 4 lakini utakuta imebeba ton 12
Hailipi,tozo na makodi kibao utajilipaje sasa.Wazee wa zzziiiiii chaaaaa zzziiiiiii chaaaa zzziiiiii chaaaaaa, na kuchafua cabin kwa stickers, wamiliki wa fuso wananatakiwa wazuiwe hii tabia ya kuongeza ukubwa wa body huko nyuma na zbak vpis kma znavyotoka kiwandani.
Tote hayo chanzo ni ushuru komozi.Hizi Fuso ni kwaajili ya light cargo!!.. Ikifika Bongo nyingi wanaziongezea chases..alafu wengine wanaweka na diff nyingine!!.. ukiangalia uzito wa gari na engine capacity yake ni vitu 2 tofauti!!..Ndio maana unaona huko kwenye Mizani zinapita bila mashaka kabisa!!..Gari yenye uzito wa 3/4/5 Tones ,hii inaweuzo wa kubabe 10/12/15 Tones!!..Hawa wa Tandam ndio kiboko hawa Hadi 20/22/24 Tones wanabeba!!.. Tatizo hapa siyo Magari kwasababu Serikali inaruhusu na sio kwamba yamezidisha uzito!!!...Madereva wetu ndio shida tuache kupotosha kuhusu Hizi Fuso/Isuzu/Hino na Nissan ni Gari nzuri na zinafanya Kazi kubwa kwenye uchumi wetu!!..
Ungewaambia apunguze akigoma unambinulia kioo cha kujitazamia mwanga unamrudia mwenyewe aione shughuli yake[emoji2] 2001 Nliwai Kukutana na fuso usiku nikiwa na sedan,
Yale mataa ilkua ndo mara yangu ya Kwanza kuyaona, Kuna wenge flan hv lilinipitia nikachochora mtaroni kwa usalama wangu
Tani 17 inafika mkuuSasa mkuu mwenye uzoefu umeishia tu kusema fuso ya tani 4 ameitoa wapi embu tujuze tusiojua yapo ya tani ngapi hayo mafuso? Na je kweli ukiongeza body inafika tani 12?
Hasa barabara ya Dar, Klm hadi Arushakama utasafiri usiku ndio utaona namaanusha nn!?? Mwendo wa haya magari sio mchezo ni hatari sana kwa watumiaji wengine wa barabara!!!aina ya madereva wa Fuso ni watu waliojitoa mhanga kwa kweli!! Pia ni watumiaji wazuri sana wa bangi ,mirungi ,k vant ,gongo nk!!! Wamekuwa ni chanzo kikubwa cha ajali!
TBS TANROADS hawaoni, je hayapiti mizani kupima!!Pili Haya malori ni tani nne lakini hayo mabodi ya fuso ( ambayo yamejengwa hapa Tanzania) yanabeba mpaka tani 12!!! Au zaidi !! Hii ni hatari mno!! Hasa kwenye mifumo ya break!!! Fuso nyingi huanguaka au kugonga sababu ni ujazo mkubwa unao sababisha break kufeil !!
hivi mkuu Mshana Jr ipo tofauti yoyote kati ya wapare wa wilaya ya Same na wilaya ya Mwanga?Mi Mpare[emoji1787]
cha pili ni madereva na uendeshaji mbovu
cha tatu ni barabara zetu
Mimi nimependa wanavyozi pimp mataa ya rangi oteeUtafiti wa kutosha ufanyike kuhusiana na mwenendo wa haya maliri jamii ya FUSO!!!
Magari haya yamekuwa ni chanzo kikubwa sana cha ajali zinazo poteza maisha ya watanzania wengi!! Yan kama utasafiri usiku ndio utaona namaanusha nn!?? Mwendo wa haya magari sio mchezo ni hatari sana kwa watumiaji wengine wa barabara!!!aina ya madereva wa Fuso ni watu waliojitoa mhanga kwa kweli!! Pia ni watumiaji wazuri sana wa bangi ,mirungi ,k vant ,gongo nk!!! Wamekuwa ni chanzo kikubwa cha ajali!
Pili Haya malori ni tani nne lakini hayo mabodi ya fuso ( ambayo yamejengwa hapa Tanzania) yanabeba mpaka tani 12!!! Au zaidi !! Hii ni hatari mno!! Hasa kwenye mifumo ya break!!! Fuso nyingi huanguaka au kugonga sababu ni ujazo mkubwa unao sababisha break kufeil !!
Mwezi uliopita wa 8, nimetoka zangu Iringa kuelekea Moro si nikasema ngoja nidandie tank maana ilikua usiku saa tatu.Utafiti wa kutosha ufanyike kuhusiana na mwenendo wa haya maliri jamii ya FUSO!!!
Magari haya yamekuwa ni chanzo kikubwa sana cha ajali zinazo poteza maisha ya watanzania wengi!! Yan kama utasafiri usiku ndio utaona namaanusha nn!?? Mwendo wa haya magari sio mchezo ni hatari sana kwa watumiaji wengine wa barabara!!!aina ya madereva wa Fuso ni watu waliojitoa mhanga kwa kweli!! Pia ni watumiaji wazuri sana wa bangi ,mirungi ,k vant ,gongo nk!!! Wamekuwa ni chanzo kikubwa cha ajali!
Pili Haya malori ni tani nne lakini hayo mabodi ya fuso ( ambayo yamejengwa hapa Tanzania) yanabeba mpaka tani 12!!! Au zaidi !! Hii ni hatari mno!! Hasa kwenye mifumo ya break!!! Fuso nyingi huanguaka au kugonga sababu ni ujazo mkubwa unao sababisha break kufeil !!
Usilojua pia Fuso inaponunuliwa huwa inabadilishwa Spring,aina ya tairi inazotumia,inanyayuliwa na body inaongezwa ukubwa ili iweze kubeba mzigo mkubwa.Kwahiyo ile stability iliokuja nayo yote huwa inapotea...Utafiti wa kutosha ufanyike kuhusiana na mwenendo wa haya maliri jamii ya FUSO!!!
Magari haya yamekuwa ni chanzo kikubwa sana cha ajali zinazo poteza maisha ya watanzania wengi!! Yan kama utasafiri usiku ndio utaona namaanusha nn!?? Mwendo wa haya magari sio mchezo ni hatari sana kwa watumiaji wengine wa barabara!!!aina ya madereva wa Fuso ni watu waliojitoa mhanga kwa kweli!! Pia ni watumiaji wazuri sana wa bangi ,mirungi ,k vant ,gongo nk!!! Wamekuwa ni chanzo kikubwa cha ajali!
Pili Haya malori ni tani nne lakini hayo mabodi ya fuso ( ambayo yamejengwa hapa Tanzania) yanabeba mpaka tani 12!!! Au zaidi !! Hii ni hatari mno!! Hasa kwenye mifumo ya break!!! Fuso nyingi huanguaka au kugonga sababu ni ujazo mkubwa unao sababisha break kufeil !!
Kikubwa ni chasis lazima iongezwa tyre zinaweza Baki size Ile IleUsilojua pia Fuso inaponunuliwa huwa inabadilishwa Spring,aina ya tairi inazotumia,inanyayuliwa na body inaongezwa ukubwa ili iweze kubeba mzigo mkubwa.Kwahiyo ile stability iliokuja nayo yote huwa inapotea...
Hoja yako ni yamsingi sanaUtafiti wa kutosha ufanyike kuhusiana na mwenendo wa haya maliri jamii ya FUSO!!!
Magari haya yamekuwa ni chanzo kikubwa sana cha ajali zinazo poteza maisha ya watanzania wengi!! Yan kama utasafiri usiku ndio utaona namaanusha nn!?? Mwendo wa haya magari sio mchezo ni hatari sana kwa watumiaji wengine wa barabara!!!aina ya madereva wa Fuso ni watu waliojitoa mhanga kwa kweli!! Pia ni watumiaji wazuri sana wa bangi ,mirungi ,k vant ,gongo nk!!! Wamekuwa ni chanzo kikubwa cha ajali!
Pili Haya malori ni tani nne lakini hayo mabodi ya fuso (ambayo yamejengwa hapa Tanzania) yanabeba mpaka tani 12!!! Au zaidi !! Hii ni hatari mno!! Hasa kwenye mifumo ya break!!! Fuso nyingi huanguaka au kugonga sababu ni ujazo mkubwa unaosababisha break kufeil !!
Vipi mfumo wa breki? Nao huwa unabadilishwa.......maana kama system ni kuhimili tani kadhaa zikiongezeka inakuaje?Usilojua pia Fuso inaponunuliwa huwa inabadilishwa Spring,aina ya tairi inazotumia,inanyayuliwa na body inaongezwa ukubwa ili iweze kubeba mzigo mkubwa.Kwahiyo ile stability iliokuja nayo yote huwa inapotea...
Upo sahihi kuna siku usiku tukiwa kwenye coasta Mbeya-Tunduma, eneo fulani kabla ya Mlowo kuna mtelemko, tulikuwa tunapanda fuso inashuka huku inakata mauno, daah tulinusulika sana paleFuso zizuiwe tabia ya kuongeza body urefu kwenda juu na zbak vipis kma znavyotoka kiwandani, maana inasababisha boss anaweka mzigo wake uliozidi uwezo wa gari na dereva akiona nafas kdogo anaongeza na mzigo wake huko barabaran mwsho wa siku gar inatembea inayumba barabara nzima tunao safir usik nafkiri huwa tunaziona vzur kabsa gar inayumba balaa