Mamlaka husika fanyieni utafiti haya malori aina ya FUSO

Mamlaka husika fanyieni utafiti haya malori aina ya FUSO

Fuso ya tani 4 umeitoa wapi mkuu?? Au unaongea tu jamaangu

Naongea kutokana na uzoefu wa zaidi ya miaka 10 kuendesha Fuso (zote namanisha single,tipper na tandam) na uzoefu wa miaka 7 ya kumiliki Fuso zaidi ya 10

Usiongee vitu usivyovijua.

Nitakubaliana na wewe kuhusu ishu ya MADEREVA tu kuwa hao ni pasua kichwa ila sijuI kama wanatumia hivyo vitu umeorodhesha.

Ajali za Tanzania hii sababu kuu ni 3
1:Elimu ya MADEREVA
2:Barabara vimeo
3:Spea vimeo

Usisingizie FUSO mkuu. Achana nayo kabisa
Sasa mkuu mwenye uzoefu umeishia tu kusema fuso ya tani 4 ameitoa wapi embu tujuze tusiojua yapo ya tani ngapi hayo mafuso? Na je kweli ukiongeza body inafika tani 12?
 
Wazee wa zzziiiiii chaaaaa zzziiiiiii chaaaa zzziiiiii chaaaaaa, na kuchafua cabin kwa stickers, wamiliki wa fuso wananatakiwa wazuiwe hii tabia ya kuongeza ukubwa wa body huko nyuma na zbak vpis kma znavyotoka kiwandani.
Hailipi,tozo na makodi kibao utajilipaje sasa.
 
Hizi Fuso ni kwaajili ya light cargo!!.. Ikifika Bongo nyingi wanaziongezea chases..alafu wengine wanaweka na diff nyingine!!.. ukiangalia uzito wa gari na engine capacity yake ni vitu 2 tofauti!!..Ndio maana unaona huko kwenye Mizani zinapita bila mashaka kabisa!!..Gari yenye uzito wa 3/4/5 Tones ,hii inaweuzo wa kubabe 10/12/15 Tones!!..Hawa wa Tandam ndio kiboko hawa Hadi 20/22/24 Tones wanabeba!!.. Tatizo hapa siyo Magari kwasababu Serikali inaruhusu na sio kwamba yamezidisha uzito!!!...Madereva wetu ndio shida tuache kupotosha kuhusu Hizi Fuso/Isuzu/Hino na Nissan ni Gari nzuri na zinafanya Kazi kubwa kwenye uchumi wetu!!..
Tote hayo chanzo ni ushuru komozi.
Lori zingeingia free Ili zikazalishe yote yasingetokea.
Scania ton 10 UK milioni 20 ukileta tu bongo utaliacha Bandarini ushuru wake ni mara tatu,
 
[emoji2] 2001 Nliwai Kukutana na fuso usiku nikiwa na sedan,
Yale mataa ilkua ndo mara yangu ya Kwanza kuyaona, Kuna wenge flan hv lilinipitia nikachochora mtaroni kwa usalama wangu
Ungewaambia apunguze akigoma unambinulia kioo cha kujitazamia mwanga unamrudia mwenyewe aione shughuli yake
 
Sasa mkuu mwenye uzoefu umeishia tu kusema fuso ya tani 4 ameitoa wapi embu tujuze tusiojua yapo ya tani ngapi hayo mafuso? Na je kweli ukiongeza body inafika tani 12?
Tani 17 inafika mkuu

Sijataka kuongea humu tu kwenye uzi wa watu.

Ila nimeshachangia humu uzoefu wangu wa magari ya mizigo mkuu.

Ngoja ntatafuta huo uzi nikuwekee
 
kama utasafiri usiku ndio utaona namaanusha nn!?? Mwendo wa haya magari sio mchezo ni hatari sana kwa watumiaji wengine wa barabara!!!aina ya madereva wa Fuso ni watu waliojitoa mhanga kwa kweli!! Pia ni watumiaji wazuri sana wa bangi ,mirungi ,k vant ,gongo nk!!! Wamekuwa ni chanzo kikubwa cha ajali!
Hasa barabara ya Dar, Klm hadi Arusha
 
Pili Haya malori ni tani nne lakini hayo mabodi ya fuso ( ambayo yamejengwa hapa Tanzania) yanabeba mpaka tani 12!!! Au zaidi !! Hii ni hatari mno!! Hasa kwenye mifumo ya break!!! Fuso nyingi huanguaka au kugonga sababu ni ujazo mkubwa unao sababisha break kufeil !!
TBS TANROADS hawaoni, je hayapiti mizani kupima!!
 
Utafiti wa kutosha ufanyike kuhusiana na mwenendo wa haya maliri jamii ya FUSO!!!
Magari haya yamekuwa ni chanzo kikubwa sana cha ajali zinazo poteza maisha ya watanzania wengi!! Yan kama utasafiri usiku ndio utaona namaanusha nn!?? Mwendo wa haya magari sio mchezo ni hatari sana kwa watumiaji wengine wa barabara!!!aina ya madereva wa Fuso ni watu waliojitoa mhanga kwa kweli!! Pia ni watumiaji wazuri sana wa bangi ,mirungi ,k vant ,gongo nk!!! Wamekuwa ni chanzo kikubwa cha ajali!
Pili Haya malori ni tani nne lakini hayo mabodi ya fuso ( ambayo yamejengwa hapa Tanzania) yanabeba mpaka tani 12!!! Au zaidi !! Hii ni hatari mno!! Hasa kwenye mifumo ya break!!! Fuso nyingi huanguaka au kugonga sababu ni ujazo mkubwa unao sababisha break kufeil !!
Mimi nimependa wanavyozi pimp mataa ya rangi otee
1631475602550.png
 
Utafiti wa kutosha ufanyike kuhusiana na mwenendo wa haya maliri jamii ya FUSO!!!
Magari haya yamekuwa ni chanzo kikubwa sana cha ajali zinazo poteza maisha ya watanzania wengi!! Yan kama utasafiri usiku ndio utaona namaanusha nn!?? Mwendo wa haya magari sio mchezo ni hatari sana kwa watumiaji wengine wa barabara!!!aina ya madereva wa Fuso ni watu waliojitoa mhanga kwa kweli!! Pia ni watumiaji wazuri sana wa bangi ,mirungi ,k vant ,gongo nk!!! Wamekuwa ni chanzo kikubwa cha ajali!
Pili Haya malori ni tani nne lakini hayo mabodi ya fuso ( ambayo yamejengwa hapa Tanzania) yanabeba mpaka tani 12!!! Au zaidi !! Hii ni hatari mno!! Hasa kwenye mifumo ya break!!! Fuso nyingi huanguaka au kugonga sababu ni ujazo mkubwa unao sababisha break kufeil !!
Mwezi uliopita wa 8, nimetoka zangu Iringa kuelekea Moro si nikasema ngoja nidandie tank maana ilikua usiku saa tatu.
Eeh bwana ikajitokeza fuso nikasema sio mbaya ngoja niingie maana comfortability ya tank imezidi kwa fuso.

Ile fuso ilipakia njegere, ule mwendo sijawahi kuona tangu nazaliwa.
Nilicho jifunza hawa jamaa wa fuso wengi wanakodiwa kubeba mali mbichi kama nyanya, bamia, viazi waziwahishe sokon mapema kwa hiyo huo mwendo sasa.

Nikarud kweny kitand nikasema angalau likitikea la kutokea naweza kusalimika ila wapi usingiz uligoma kabisa.
 
Mjapan aliyetengeneza fuso ni balaa. Ila mchina aliyetengeneza howo ni mtu mbaya. Zile gari howo ni mbaya kuliko fuso ila ndio hivyo watu hatufatilii.
 
Utafiti wa kutosha ufanyike kuhusiana na mwenendo wa haya maliri jamii ya FUSO!!!
Magari haya yamekuwa ni chanzo kikubwa sana cha ajali zinazo poteza maisha ya watanzania wengi!! Yan kama utasafiri usiku ndio utaona namaanusha nn!?? Mwendo wa haya magari sio mchezo ni hatari sana kwa watumiaji wengine wa barabara!!!aina ya madereva wa Fuso ni watu waliojitoa mhanga kwa kweli!! Pia ni watumiaji wazuri sana wa bangi ,mirungi ,k vant ,gongo nk!!! Wamekuwa ni chanzo kikubwa cha ajali!
Pili Haya malori ni tani nne lakini hayo mabodi ya fuso ( ambayo yamejengwa hapa Tanzania) yanabeba mpaka tani 12!!! Au zaidi !! Hii ni hatari mno!! Hasa kwenye mifumo ya break!!! Fuso nyingi huanguaka au kugonga sababu ni ujazo mkubwa unao sababisha break kufeil !!
Usilojua pia Fuso inaponunuliwa huwa inabadilishwa Spring,aina ya tairi inazotumia,inanyayuliwa na body inaongezwa ukubwa ili iweze kubeba mzigo mkubwa.Kwahiyo ile stability iliokuja nayo yote huwa inapotea...
 
Usilojua pia Fuso inaponunuliwa huwa inabadilishwa Spring,aina ya tairi inazotumia,inanyayuliwa na body inaongezwa ukubwa ili iweze kubeba mzigo mkubwa.Kwahiyo ile stability iliokuja nayo yote huwa inapotea...
Kikubwa ni chasis lazima iongezwa tyre zinaweza Baki size Ile Ile
 
Utafiti wa kutosha ufanyike kuhusiana na mwenendo wa haya maliri jamii ya FUSO!!!
Magari haya yamekuwa ni chanzo kikubwa sana cha ajali zinazo poteza maisha ya watanzania wengi!! Yan kama utasafiri usiku ndio utaona namaanusha nn!?? Mwendo wa haya magari sio mchezo ni hatari sana kwa watumiaji wengine wa barabara!!!aina ya madereva wa Fuso ni watu waliojitoa mhanga kwa kweli!! Pia ni watumiaji wazuri sana wa bangi ,mirungi ,k vant ,gongo nk!!! Wamekuwa ni chanzo kikubwa cha ajali!

Pili Haya malori ni tani nne lakini hayo mabodi ya fuso (ambayo yamejengwa hapa Tanzania) yanabeba mpaka tani 12!!! Au zaidi !! Hii ni hatari mno!! Hasa kwenye mifumo ya break!!! Fuso nyingi huanguaka au kugonga sababu ni ujazo mkubwa unaosababisha break kufeil !!
Hoja yako ni yamsingi sana
 
Usilojua pia Fuso inaponunuliwa huwa inabadilishwa Spring,aina ya tairi inazotumia,inanyayuliwa na body inaongezwa ukubwa ili iweze kubeba mzigo mkubwa.Kwahiyo ile stability iliokuja nayo yote huwa inapotea...
Vipi mfumo wa breki? Nao huwa unabadilishwa.......maana kama system ni kuhimili tani kadhaa zikiongezeka inakuaje?
 
Fuso zizuiwe tabia ya kuongeza body urefu kwenda juu na zbak vipis kma znavyotoka kiwandani, maana inasababisha boss anaweka mzigo wake uliozidi uwezo wa gari na dereva akiona nafas kdogo anaongeza na mzigo wake huko barabaran mwsho wa siku gar inatembea inayumba barabara nzima tunao safir usik nafkiri huwa tunaziona vzur kabsa gar inayumba balaa
Upo sahihi kuna siku usiku tukiwa kwenye coasta Mbeya-Tunduma, eneo fulani kabla ya Mlowo kuna mtelemko, tulikuwa tunapanda fuso inashuka huku inakata mauno, daah tulinusulika sana pale
 
Back
Top Bottom