Mamlaka ya kiroho ndani ya mbingu - je, yalikuwa na pande mbili?

Naona uzi huu unakona kona nyingi sana.

Naomba niulize swali kwako Mshana Jr ni lini shetani alitupwa duniani?

Huwa unanadharia unazozijua ambazo kimsingi hata biblia haijazitaja.
 
Mshana Jr umeandika mambo ya kufikirika sana humu mkuu. Mbaya zaidi your biasness is transparent. Umeandika ukiwa tayari una imani yako - Yesu ni Mungu na Utatu Mtakatifu. Kosa.
Asante kwa mtazamo na mchango.... Ngoja tusikie na wengine wanasemaje
 
Naona uzi huu unakona kona nyingi sana.

Naomba niulize swali kwako Mshana Jr ni lini shetani alitupwa duniani?

Huwa unanadharia unazozijua ambazo kimsingi hata biblia haijazitaja.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
 
Ni kwanini yote haya yalitokea?
Je yalipangwa yatokee?
Je ni unabii?
Je kuna kitu kiliingilia mahali?
 
Mungu hana tofauti na hili jiwe letu! Sifa zao zinaendana kabisa
 
Kazi zote za utendaji wa Mungu ziko chini ya mamlaka ya Roho Mtakatifu. Unless mtu haamini juu ya utatu mtakatifu, yaani Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu, huyo ndiye anayeweza kupinga hili, na akawa yuko sahihi kwa mtizamo wake. Kwa hiyo maongezi unayoongelea hapa yalikuwa ni ya hao watatu.

Zaidi ni kuwa Yesu alikuja duniani kwa njia ya kuzaliwa na binadamu, lakini alikuwepo huko mbinguni kabla. Kumbuka kuwa kipindi wakati wale malaika wawili wanakuja kuchoma Sodoma na Gomora, Yesu pia alikuja pamoja nao, na anatajwa kwenye maandiko matakatifu kama Bwana.

Malaika ni kiumbe mtumishi wa Mungu ameumbwa kwa ajili ya kukulinda wewe, and you are senior to all the angels, kwa sababu wewe ni mwana wa Mungu wakati yeye ni mtumishi wa mwana wa Mungu. Uhusiano wako wewe na Malika ni kama ule wa Rais na BodyGuard wake, isipokuwa:

Mlinzi wako wewe inabidi awe ana ujuzi zaidi kuliko wewe, na ndiyo maana mlinzi wa Rais ana ujuzi kuliko Rais
Zaidi ni kuwa malaika wao hawafi na hawana dhamhi, ila sisi tuna dhambi na huwa tunakufa. Malaika ni viumbe aliowaumba Mungu na hivyo hawakuwahi kushiriki kwa namna yoyote ile kwenye uumbaji!

Shetani ni malaika
 
Maji, giza, kifo, vilikuwepo havikuumbwa
Hivi maji yalitoka wap? Maana hakuna sehemu inayo onesha kuumbwa kwa maji.
Na nchi( ardhi), giza vyote hivi uwepo hauja ainishwa moja kwa moja kweny biblia kwamba vilitokeaje. Sasa je vyote hivi nani aliviumba.
 
Shetani alitangulia kutupwa kabla ya kuubwa kwa mwanadam. Na kilicho muuma zaidi ni ile kauli ya
Mwanzo 1:26

"Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi."

Hii kauli ya kutawala ili muuma shetani kumbuka kakoswa utawala mbinguni kashushwa duniani napo anaenda kutawaliwa na binadam!!? Akaona nibora aturubuni ili na ss tuingie zambini lama yeye tusiweze kutawala kila kitu
 
Hakuna dhambi kumbwa kama wivu uongo huzaa zambi zote nyingine na hizo zambi ndo zambi pekee za shetani
 
Sikuwahi kuitazama Biblia kwa mtazamo huu katika uumbaji. Ahsante Mkuu umefungua ufahamu wangu eneo hilo
 
Mlinzi wako wewe inabidi awe ana ujuzi zaidi kuliko wewe, na ndiyo maana mlinzi wa Rais ana ujuzi kuliko Rais

Zaidi ni kuwa malaika wao hawafi na hawana dhamhi, ila sisi tuna dhambi na huwa tunakufa. Malaika ni viumbe aliowaumba Mungu na hivyo hawakuwahi kushiriki kwa namna yoyote ile kwenye uumbaji! Shetani ni malaika [emoji109][emoji109][emoji123][emoji123][emoji123][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Ndugu mshana nimesoma comments zote za wadau humu wengi wao huzungumzia hii dhana ya uumbaji kwa kuegemea upande wa biblia na quran ,kwani hatuwezi kuelezea hii dhana nje ya reference za bible na quran?
Tuna uwanja mdogo sana nje ya hiyo misahafu.. Na uwanja wenyewe ni kihistoria na kisayansi ambavyo ni kama vile viko mbali na uhalisia
 
Naona uzi huu unakona kona nyingi sana.

Naomba niulize swali kwako Mshana Jr ni lini shetani alitupwa duniani?

Huwa unanadharia unazozijua ambazo kimsingi hata biblia haijazitaja.
Shetani hajawahi kutupwa duniani, ni uongo, au misleading ya maandishi, mwenye aya alete tui analyse😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…