Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

- kwa hiyo afisa Elimu kwa mlipakodi wa TRA anatembelea wafanyabishara wote wa Tanzania?
Umesema "mfunga biashara ni assistant mwenye diplomA"

Ndio nimekuuliza "Mbona huku Afisa elimu ndio mfunga maduka na mgawa vitisho wa kuchukua EFD Mashine?"

#YNWA
 
  • Thanks
Reactions: apk
Umesema "mfunga biashara ni assistant mwenye diplomA"

Ndio nimekuuliza "Mbona huku Afisa elimu ndio mfunga maduka na mgawa vitisho wa kuchukua EFD Mashine?"

#YNWA
- hayo ndiyo majukumu specifically kwa tax mgt assistant kufanya physical attendance kwa wafanyabishara, kwa sababu wao ndiyo majukumu yao kwa sababu wafanyabishara Ni Wengi Huyo afisa Elimu kwa mlipakodi hawezi kufanya physical attendance kwa kila mfanyabiashaa nchi nzima(mikoa yote).
 
- hayo ndiyo majukumu specifically kwa tax mgt assistant kufanya physical attendance kwa wafanyabishara, kwa sababu wao ndiyo majukumu yao kwa sababu wafanyabishara Ni Wengi Huyo afisa Elimu kwa mlipakodi hawezi kufanya physical attendance kwa kila mfanyabiashaa nchi nzima(mikoa yote).
R.Kayombo huko alipo atakua anatikisa kichwa Kukubali darasa unalompa huyu fogo wa halmashauri.
 
Toka huko halmashauri uliko,
😂😂😂Khee kaka mi siko halmashauri Niko kwenye mamlaka..entry level aliyosema ni sawa for gross hapo Kuna posho nyingine kwahiyo usione mtu anasema it's not true ukahisi ni WA halmashauri
 
Tunachokisema hapa, Kwa waliopata kazi usifocus na maneno ya mitandaoni esp wanaoguess scale. Utakua disappointed
Cha muhimu soon utapata offer letter Yako utajua scale hiyo ni sawa na ngapi then utapiga calculations zako kama unaweza ishi nayo.
 
- ajitahidi tu kuomba Kazi TRA
-au kasoma Sociology? Kwa maana TRA inaajiri Sana Watu wa taxation, Customs,law, Finance, business administration sociology Ni wachache mno mno TRA
Sociology watakufa njaa, hairstyles waajiriwe 200kwa mpigo. Nasikitika sociology Hahahahahaha
 
Back
Top Bottom