wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Bonyeza *102# utakua umem-tagg fogo.Mwenzio kaogopa ban.
Hebu muite.
Kwahiyo umekua mtu mzima ili ufatilie comment za watu?
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bonyeza *102# utakua umem-tagg fogo.Mwenzio kaogopa ban.
Hebu muite.
Kwahiyo umekua mtu mzima ili ufatilie comment za watu?
#YNWA
Umesema "mfunga biashara ni assistant mwenye diplomA"- kwa hiyo afisa Elimu kwa mlipakodi wa TRA anatembelea wafanyabishara wote wa Tanzania?
- hayo ndiyo majukumu specifically kwa tax mgt assistant kufanya physical attendance kwa wafanyabishara, kwa sababu wao ndiyo majukumu yao kwa sababu wafanyabishara Ni Wengi Huyo afisa Elimu kwa mlipakodi hawezi kufanya physical attendance kwa kila mfanyabiashaa nchi nzima(mikoa yote).Umesema "mfunga biashara ni assistant mwenye diplomA"
Ndio nimekuuliza "Mbona huku Afisa elimu ndio mfunga maduka na mgawa vitisho wa kuchukua EFD Mashine?"
#YNWA
R.Kayombo huko alipo atakua anatikisa kichwa Kukubali darasa unalompa huyu fogo wa halmashauri.- hayo ndiyo majukumu specifically kwa tax mgt assistant kufanya physical attendance kwa wafanyabishara, kwa sababu wao ndiyo majukumu yao kwa sababu wafanyabishara Ni Wengi Huyo afisa Elimu kwa mlipakodi hawezi kufanya physical attendance kwa kila mfanyabiashaa nchi nzima(mikoa yote).
Yani 100G unaweka mradi mmoja wa maana for life mzee baba!Kabisa kabisa kiongozi kama waliopo BOT wale wanaoingia naskia mkopo wao kaka...!
Acha kabisa mkuu.
Watu wanadanganyana🤣🤣 ukifika ukakuta tofauti ndo unaanza kuwa disappointedEntry level ya Officer II ulipwe 2.3 Mil
😏😏😏😏😏
#YNWA
Indeed ...yanii umeongea ukweli wa mamboHakuna entry level ya Officer II serikalini ulipwe 2.4Mil
Nipo serikalini tokea 2012 na nimefanya tafiti nyingii za maslahi ya Utumishi wa umma.
Kwahiyo ya 1.7mil hapo sawa.
#YNWA
Toka huko halmashauri uliko,Indeed ...yanii umeongea ukweli wa mambo
😂😂😂Khee kaka mi siko halmashauri Niko kwenye mamlaka..entry level aliyosema ni sawa for gross hapo Kuna posho nyingine kwahiyo usione mtu anasema it's not true ukahisi ni WA halmashauriToka huko halmashauri uliko,
Hao ni afya na ualimu kiongoziStay tuned wiki ijayo kuna mzigo mwingine wa zile ajira 32,000
Asante sanaHongera sana mkuu,all the best
Nikusaidiaje mkuu?We fala bado upo humu ? , We si ndio ulikuwa unajifaragua kwamba unasoma havard university we kenge ?
Huu mshahara wa TRAS 4 ambayo ni 2.3m hapo haijaincluded housing na transport allowances au?TRA Scale 4 ni 2.3 M watu huku kweli tunadanganyana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio mshahara bila allowanceHuu mshahara wa TRAS 4 ambayo ni 2.3m hapo haijaincluded housing na transport allowances au?
Sociology watakufa njaa, hairstyles waajiriwe 200kwa mpigo. Nasikitika sociology Hahahahahaha- ajitahidi tu kuomba Kazi TRA
-au kasoma Sociology? Kwa maana TRA inaajiri Sana Watu wa taxation, Customs,law, Finance, business administration sociology Ni wachache mno mno TRA
Haitatokea waajiriwe 200 Kwa mpigo. Na Za wiki ijayo Za waalimu, Yani sociology wataelewa moto tu.Sociology watakufa njaa, hairstyles waajiriwe 200kwa mpigo. Nasikitika sociology Hahahahahaha
Haitatokea waajiriwe 200 Kwa mpigo. Na Za wiki ijayo Za waalimu, Yani sociology wataelewa moto tu.Sociology watakufa njaa, hairstyles waajiriwe 200kwa mpigo. Nasikitika sociology Hahahahahaha