CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,514
Haitatokea waajiriwe 200 Kwa mpigo. Na Za wiki ijayo Za waalimu, Yani sociology wataelewa moto tu.Sociology watakufa njaa, hairstyles waajiriwe 200kwa mpigo. Nasikitika sociology Hahahahahaha
Mnawacheka watu wa Sociology ila mngejua watu wa Sociology wanatafutwa sana kwenye NGO kama AMREF, World Vision, n.k na wanakula mshahara mrefu kweliHaitatokea waajiriwe 200 Kwa mpigo. Na Za wiki ijayo Za waalimu, Yani sociology wataelewa moto tu.
Na mie nashangaa tu hizi dharau zao hawa jamaa. Binafsi kila siku lazima nikutane na tangazo la kazi linalohitaji mtu wa sociology hasa kwenye NGO.Mnawacheka watu wa Sociology ila mngejua watu wa Sociology wanatafutwa sana kwenye NGO kama AMREF, World Vision, n.k na wanakula mshahara mrefu kweli
Yani 100G unaweka mradi mmoja wa maana for life mzee baba!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mange anasemaga "NAKOJOAAAAA"
[emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211]
#YNWA
Ni Mbeya au?Pole sanaa kwa haya mawazo yako ila mi binafsi....
View attachment 2182816
1. Am the farmer wa Parachichi + miti ya mbao.
2. Nawasaidia watu kupata scholarship
3. Research, proposal, business plan, E.t.c writer
Those [emoji115][emoji115] are my side hustle.
Kengine (out the box)...
Na sababu hasa ya kwenda kusoma scholarship nchi niliyoichagua ni kwamba "I need to do something big".
Nchi niendayo nataka pia kwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza mafuta mazuri ya Parachichi ili niwe Avocado Oil manufacturer hapa TZ.
Nchi niendayo inalima sanaa Parachichi.
Na Mimi nina mashamba makubwaa, yotee nikipanda Parachichi nitakuwa na zalisha nyingi sanaaa.
Na huko niendako nishaanda pesa ya kurudi na mashine "Avocado compressor"
Nilichoona wakulima wengi wanauza Parachichi, sasa mimi nimewaza mbele zaidi.
Sitaki kuuza Parachichi, nataka kuuza mafuta ya Parachichi.
Na kuhusu mshahara.
Nina watoto watatu.
Mmoja naishi nae, wawili kila mtu na mama yake (wapo kwa mama zao).
Nilichofanya nimejaza standing order NMB kila mwezi mshahara wanaugawa kwa watoto through account zao nilizo wafungulia.
Kwahiyo mshahara sio wangu ni wa watoto.
KARIBU KIJANA UFIKIRIE OUT THE BOX.
#YNWA
Duuuuuh watu watakua suprised huko lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Indeed ...yanii umeongea ukweli wa mambo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wanadanganyana[emoji1787][emoji1787] ukifika ukakuta tofauti ndo unaanza kuwa disappointed
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Khee kaka mi siko halmashauri Niko kwenye mamlaka..entry level aliyosema ni sawa for gross hapo Kuna posho nyingine kwahiyo usione mtu anasema it's not true ukahisi ni WA halmashauri
Boraa uwaambie ukweli tyuuuh,. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].kuna shost kashaanza kutunyanyasa yaan hata barua hajachukua khaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunachokisema hapa, Kwa waliopata kazi usifocus na maneno ya mitandaoni esp wanaoguess scale. Utakua disappointed
Cha muhimu soon utapata offer letter Yako utajua scale hiyo ni sawa na ngapi then utapiga calculations zako kama unaweza ishi nayo.
Mkuu ulifanya post gani kwenye interview iliyopita?Wakuu nawaomba m swallow pride, maisha yaendelee wakubwa, hii haipendezi sana.
TMOMkuu ulifanya post gani kwenye interview iliyopita?
Serikalini hawapati kazi hao, mishahara yao ni midogo Sana huko NGO asikwambie mtu.Na mie nashangaa tu hizi dharau zao hawa jamaa. Binafsi kila siku lazima nikutane na tangazo la kazi linalohitaji mtu wa sociology hasa kwenye NGO.
Nilikua naomba kama una material ya mitihani ya tax uweze nipatia au hints nisome sehemu gani unaweza nitumia whatsap 0654722223 naomba pliz unisaidieMy dear naomba nikuulize kitu kama htojali kuhusu hizi nafasi za kazi
Inazidi hiyo 35M kakaNilisikia n 35m
Ukipata namm naomba aiseeNilikua naomba kama una material ya mitihani ya tax uweze nipatia au hints nisome sehemu gani unaweza nitumia whatsap 0654722223 naomba pliz unisaidie
Hello tupe hints basi mkuu we ulisoma wapi na wapi tupitie na sisi huko tuchomoke?Mkuu usikate tamaa km umeomba ukakosa omba tena Mungu mlezi atakufungulia njia nilishaombaga sana nikakosa. Oyooo Oyoooo Oyooooo [emoji38][emoji38][emoji38][emoji14]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inazidi hiyo 35M kaka