Zipo tuhuma zinazolikabili kundi la muziki nchini linalopendwa na wakubwa pamoja na watoto na ndiyo kundi linalotumiwa hata kwenye kampeni za kisiasa.
Kwenye kundi hili kuna watu wa ajabu wanaosadikika Kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja na kuna videos nyingi zinawaonesha watu hawa haswa kwenye shoo zao mbaya zaidi wamejificha kwenye kivuli cha "udizaina".
Wahusika na hili fanyeni uchunguzi HARAKA iwezekanavyo siyo kutaka kuifungia Twitter ''X'' na madanguro wakati kuna mambo ya ajabu yanafanyika wazi wazi hii nayo ni HATARI katika jamii yetu na WATOTO wetu.
Mwanaume kuingiliwa kinyume cha maumbile wanaume wote tunajua ni kitu hakitakiwi abadan sasa hao wanaokuwa nao karibu wanatoa wapi guts za kuwatetea?au nao lao moja may be nao ni mashoga?
Mwanaume kuingiliwa kinyume cha maumbile wanaume wote tunajua ni kitu hakitakiwi abadan sasa hao wanaokuwa nao karibu wanatoa wapi guts za kuwatetea?au nao lao moja may be nao ni mashoga?
Hili swali mie pia huwa najiuliza, marafiki wakubwa wa mashoga ni wanawake. Hivi huyu huyu mwanamke mtoto ake akiwa shoga atamuentertain hivyo kwenda nae shughulini?? Akiwa kaka ake atafanya hayo??
Mwanaume kuingiliwa kinyume cha maumbile wanaume wote tunajua ni kitu hakitakiwi abadan sasa hao wanaokuwa nao karibu wanatoa wapi guts za kuwatetea?au nao lao moja may be nao ni mashoga?
Hili swali mie pia huwa najiuliza, marafiki wakubwa wa mashoga ni wanawake. Hivi huyu huyu nwanamke mtoto ake akiwa shoga atamuintertain hivyo kwenda nae shughulini?? Akiwa kaka ake atafanya hayo??
Muda si mrefu, zile nguo za kijani zitawekwa chapa ya Rangi za upinde wa mvua.
Moja ya masharti ya kujiunga na wajenzi huru, lazima uutangaze na kuulinda ushoga.
Hilo kundi hakuna asiyejua, na wana nguvu kiasi sasa wataongeza wawakilishi wao kule bungeni.
Nilikua na zembwela siku moja,alizungumzia hao watoto maisha yao kwa boss wao,kutwa kuongelea ngondo,na kwamba wanafumuana, zembwela akasema tunaishi nao hivyohivyo baasi tu